Duniani kuna kipi cha maana mpaka ushukuru wazazi kukuleta?

Duniani kuna kipi cha maana mpaka ushukuru wazazi kukuleta?

Maisha yanaanza kuwa na maana pale utakapojiuliza na utakapopata majibu ya maswali haya matatu:
1-WEWE NI NANI.
2-NI KWANINI UKO DUNIANI.
3-NINI KITAFUATA BAADA YA MAISHA HAYA.

tofauti na hivyo, life is meaningless!
Hebu jibu hayo maswali Ili utuonyeshe kuwa maisha Ni meaningful
 
Uyo ni wewe na izo ni fikra zako... za kutojitambua na kujiona ni mjinga miongoni mwa wajinga wasiokuwa na faida katika hii dunia...

Kwa kuwa umelitambua ilo.... tafuta njia hurud ulikotokea... mie nadhan hata mzazi alikuleta kwa manufaa yake... ila kwa kupitia hii thread yako... ni kweli we ni useless kwa wazazi hadi jamii....
 
Allah anasema hakuwaumba watu na majini isipokuwa wamuabudu tu,maisha ya dunia ni upuuzi mtupu hoja ya kuwashukuru wazazi ni muhimu bcoz wangelitaka wangekutoa ukiwa mimba,
 
Kama una akili timamu Jiulize we nani?
Kabla ya hapa ulikuwa wapi?
Hapa ulipo ni wapi?
Baada ya hapa utakuwa wapi?
Huko utakapokuwa utakuwa unafanya nn?
 
Majibu ni rahisi sana, watu waliofanikiwa kimaisha lazima watashukuru wazazi maana huenda hata mafanikio yao yametokana na wao, wamesomeshwa au labda wamepewa mtaji au hata wamerithi mali. Sisi wenye maisha magumu ndio tunaolalamika na hata kumkosoa Mungu. Sidhani kama mtoa mada angekuwa na maisha mazuri bila stress angeandika uzi huu hapa leo. Lkn uwepo wetu duniani ni mipango ya Mungu kwa sisi tunaoamini uwepo wa Mungu.
Mleta mada anasema pia kwamba, pamoja na mafanikio ya aina yoyote mtu awezayo kupata duniani hatima yake ni kufa. Sasa faida yake ni nini?
Nabii Suleimani yeye alikonkludi kwamba yote ya duniani ni sawa na kujilisha (kula) upepo (hewa), it means hayana maana kama mleta mada anavyosema!
 
Uko sawa ila Hauko sahihi.

Hata huu uwezo wa kutuandikia hiki ulichokiandika ni moja ya sababu za Kuwashukuru wazazi waliokuzaa.

Kwani hiki ulichokiandika siyo cha maana?.
Acha ujinga wewe, ashukuru kwa lipi. kama kila kukicha afadhali ya jana
 
Mleta mada anasema pia kwamba, pamoja na mafanikio ya aina yoyote mtu awezayo kupata duniani hatima yake ni kufa. Sasa faida yake ni nini?
Nabii Suleimani yeye alikonkludi kwamba yote ya duniani ni sawa na kujilisha (kula) upepo (hewa), it means hayana maana kama mleta mada anavyosema!
Mwanaadam hafi kama anavyokufa mbuzi ni mapitio tu . Mwanadamu hupitia vituo vitatu, kwanza tumboni kwa mama yake, kuzaliwa na kuishi, kufa na kufufuliwa. Hii ni kwa sisi tunaomuamini Mungu, kifupi ni kwamba binaadamu hafi kwa maana ya kupotea kabisa baada ya uwepo wake duniani.
 
Huwa nashangaa kweli watu tukishukuru Wazazi hasa Mama eti kwa kukuleta duniani.
Kuna kipi hasa cha maana huku duniani mpaka uwashukuru hao wazazi?

Yani tumetengeneza kitu kwamba huko ulikokuwepo hapakuwa sehem nzuri kuliko dunian.

Kama dunia kwako imejaa Mateso kwanini isiwe Lawama kwao? Hivi kwanza uliwaomba hao wazazi wakuzae?

Mi naona hakuna haja ya kushukuru mzazi yoyote katika hili. Kwasababu hamkukubaliana kukuleta duniani, walifanya kwa malengo yao, hivyo wao ndio walipaswa kukunyenyekea kukuleta huku.

Maisha hayana maana yoyote ile kwani mwisho wa siku kuna kufa, baada ya kufa kila ulichokifanya hakina maana tena kwako.
Ungekuwa mtoto wa Queen Elizabeth usingeandika haya wala kuwaza[emoji2]
 
Mwanaadam hafi kama anavyokufa mbuzi ni mapitio tu . Mwanadamu hupitia vituo vitatu, kwanza tumboni kwa mama yake, kuzaliwa na kuishi, kufa na kufufuliwa. Hii ni kwa sisi tunaomuamini Mungu, kifupi ni kwamba binaadamu hafi kwa maana ya kupotea kabisa baada ya uwepo wake duniani.
Kwa muktadha wa mleta mada, kifo ni hali ya roho kuuacha mwili wa nyama (kuuvua mwili)- cease to exist in physical body on earth! Sasa sijui kama mleta mada anaelewa vile unavyoelewa!
Otherwise, I understand and concur with you that [Mwanaadam hafi kama anavyokufa mbuzi ni mapitio tu . Mwanadamu hupitia vituo vitatu, kwanza tumboni kwa mama yake, kuzaliwa na kuishi, kufa na kufufuliwa. Hii ni kwa sisi tunaomuamini Mungu, kifupi ni kwamba binaadamu hafi kwa maana ya kupotea kabisa baada ya uwepo wake duniani]
 
Hizi stress zako tuu mkuu!

Probability of being you was 1 out 1.2 bilions number of sperm cells in a single ejaculation..

Unfortunately it happened to be you! Then why would you need to complain on the innocent parents?

I guess you are wrong..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] thank you
 
Kwa muktadha wa mleta mada, kifo ni hali ya roho kuuacha mwili wa nyama (kuuvua mwili)- cease to exist in physical body on earth! Sasa sijui kama mleta mada anaelewa vile unavyoelewa!
Otherwise, I understand and concur with you that [Mwanaadam hafi kama anavyokufa mbuzi ni mapitio tu . Mwanadamu hupitia vituo vitatu, kwanza tumboni kwa mama yake, kuzaliwa na kuishi, kufa na kufufuliwa. Hii ni kwa sisi tunaomuamini Mungu, kifupi ni kwamba binaadamu hafi kwa maana ya kupotea kabisa baada ya uwepo wake duniani]
Evidence please..
 
Razarus can back to life 4 days after his death (bear in mind that he was been in tomb for more than 2 days)!
Jesus Christ died and rose again!
Those occured more than 2000 years ago... come with the current evidence..
 
Nothing is ever born and nothing ever dies. Things only move between manifestation and unmanifestation
 
Back
Top Bottom