Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kweli aiseeeKinyambe na Tuisila Kisinda View attachment 2619670View attachment 2619671View attachment 2619672View attachment 2619673
Huyohuyo jamaa wa the god must be crazy namuonaga kafana Sana na Ally Kiba
Mwamedi na babraManara na keisha
Sure,japo wana utofauti kidogo,mwamba kuna kipindi alikipiga Barcelona kwa mkopo nilimjua pale!!Kuna mchezaji anaitwa Martin Braithwaite ni Chris Brown mtupu.
Google uone.
Hao nimeanza kumjua huyo Alikamwe kwa uso ila kwajina la Priva so ikawa nimeona Priva najua ni priva nikimuona Alikamwe najua Ni priva jina la Alikamwe nilikuwa silijui na wala kujua Kama watu wawili tofauti nilivyokuja kujua jina la alikwame ndio nikawa serious kujua what's is goes on ndio nikajua Kuna Priva anazo ndevu na Kuna Alikamwe hana ndevuUtakuwa una matatizo,hawa jamaa wapo tofauti kabisa hata hawafanani kama unavyotaka kutuaminiaha
Hawa wanafanana ni kweli kabisa.Peter Msechu na Tundu Lisu
Acha kumtukana Keisha hana pua la namna ile.Manara na keisha
Umeua hahahahKinyambe na Tuisila Kisinda View attachment 2619670View attachment 2619671View attachment 2619672View attachment 2619673
HahaahhhaManara na keisha
Kajala na Samuel sita. tafuta picha zao. Mje mnipe maua yangu1. Ally kamwe na Privaldinho
View attachment 2619654
2. Beka Flava na Mayele
View attachment 2619652
1. Ally Kamwe na Privaldinho
😂😂😂Sasa hao kina Priva na Ally Kamwe ndio mastaa?
Waambie wanao kwamba mastaa ndio sisi, tumeishia lasaba ila tunavaa form six...