Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #301
HAKI YA WAZANZIBAR KAWAPA NANI KATIKA MUUNGANO?
Katika video zilizopita na zitazaokuja, tumeona maswali yasiyo na majibu. Wazanzibar hawawezi kueleza kwa kina kwanini wana haki juu ya muungano dhidi ya mshirika mwenza Tanganyika.
Watanganyika watambue kuwa wao ndio muungano. Ndio wamebeba muungano kwa kila kitu. Znz haina uzito na wala haikubeba uzito wa aina yoyote. Hivyo, inapotokea znz kusema wanataka hiki au kile ni dharau. Na dharau hiyo inatokana na ukweli kuwa Tanganyika haipo. Hivyo znz ipo na Tanzania ambapo imo ndani yake.
Haiwezekani kukawa na znz na Tanzania zikaa meza moja kuamua hatima ya Tanzania. Kwa mfano, katika tume zilizoundwa kushughulikia muungano yupo makamu wa Rais wa pili wa znz na timu yake. Kwa upande wa Tanzania yupo makamu wa pili wa JMT. Hlafu humo ndani ya kamati wapo mawaziri wa fedha. Waziri wa fedha ni mzanzibar lakini ndiye anasimamia fedha za nchi wanayoita jirani ya Tanganyika.
Vikao hivyo huishia znz kujipangia kile wanachotaka. Wao ndiio Tanzania na wao ni znz.
Mwisho wa siku Mtanganyika anasukumiwa bili zisizomhusu. Mtanganyika analipa asilimia zisizo na hesabu kama 4.5, Bilioni 1.75, gharama za muungano na taasisi zake.
Watanganyika wanafanya makosa sana kukaa kimya bila kcuhukua hatua. Na wasipoangalia mambo haya ya kubeba na kutoa sadaka yataandikwa katika katiba na watakaolipia gharama ni Watangnyika. Tayari Zzn wamefanikiwa kujenga hoja kuwa wakienda kukopa michele, mbatat na kashata, deni hilo alipe adhamini na kulipa Mtanganyika ikibidi.
Tatizo kubwa la Watanganyika n kukosa uzalendo na nchi yao. Ni wao kutokuwa tayari kusimamia masilahi yao wakidhani wana haki ya kutendewa lolote. Hakuna hata siku moja, waziri au mtumishi wa SMZ atakuwa Mtanganyika.
Lakini waziri wa fedha za Tanganyika ni mzanzibar, waziri wa afya na watendaji wengine wengi tu ni wznz.
Hawa hawana uchungu na Tanganyika mnatarajia watasimamia Tanganyika kwa lipi?
Matokeo ya mambo haya ni wznz kuamua tu ni kiasi gani wanachota kutoka Tanganyika wakiwa wameshika bendera ya Tanzania. Ndio maana tumeuliza hoja nyingi na hakuna mwenye majibu. Hakuna anayetuambia 4.5 inatoka wapi! Inatoka kwatika misaada na mikopo? Inatoka katika bajeti ya JMT? Inatoka katika pato la Tanganyika?
Waliojipangia kiwango hicho ambacho kuna habari kuwa sasa ni asilimi 7 ni waznz kupitia watumishi wao walioajiriwa kama Watanzania. Hapa ndipo Watanganyika wanatakliwa waamke, bila kuwa na Tanganyika mtaendelea kulipa bili za watu waliolala majumbani wakioana.
Hadi sasa hivi, pamoja na gharama za muungano kuzibeba wenyewe, Watanganyika mnalipa bili zisizowahusu kwa gharama za wary wenu. Tatizo si wznz, ni Watanganyika walioridhika kuwa wana haki ya kumenyeka!
Ndio msingi wa wzn kusema ''tunataka aina kadha ya muungano''
Tunataka mambo kadhaa yawe ya muungano.
Yaani haki ya kuhudumia muungano ipo mgongoni mwa Mtanganyika, haki ya kuamua muungano na nini kiwemo ipo kwa wazanzibar
Haki hizo zimetoka wapi kwa znz, ikiwa katika muungano ni ubua?
Tusemezane
Katika video zilizopita na zitazaokuja, tumeona maswali yasiyo na majibu. Wazanzibar hawawezi kueleza kwa kina kwanini wana haki juu ya muungano dhidi ya mshirika mwenza Tanganyika.
Watanganyika watambue kuwa wao ndio muungano. Ndio wamebeba muungano kwa kila kitu. Znz haina uzito na wala haikubeba uzito wa aina yoyote. Hivyo, inapotokea znz kusema wanataka hiki au kile ni dharau. Na dharau hiyo inatokana na ukweli kuwa Tanganyika haipo. Hivyo znz ipo na Tanzania ambapo imo ndani yake.
Haiwezekani kukawa na znz na Tanzania zikaa meza moja kuamua hatima ya Tanzania. Kwa mfano, katika tume zilizoundwa kushughulikia muungano yupo makamu wa Rais wa pili wa znz na timu yake. Kwa upande wa Tanzania yupo makamu wa pili wa JMT. Hlafu humo ndani ya kamati wapo mawaziri wa fedha. Waziri wa fedha ni mzanzibar lakini ndiye anasimamia fedha za nchi wanayoita jirani ya Tanganyika.
Vikao hivyo huishia znz kujipangia kile wanachotaka. Wao ndiio Tanzania na wao ni znz.
Mwisho wa siku Mtanganyika anasukumiwa bili zisizomhusu. Mtanganyika analipa asilimia zisizo na hesabu kama 4.5, Bilioni 1.75, gharama za muungano na taasisi zake.
Watanganyika wanafanya makosa sana kukaa kimya bila kcuhukua hatua. Na wasipoangalia mambo haya ya kubeba na kutoa sadaka yataandikwa katika katiba na watakaolipia gharama ni Watangnyika. Tayari Zzn wamefanikiwa kujenga hoja kuwa wakienda kukopa michele, mbatat na kashata, deni hilo alipe adhamini na kulipa Mtanganyika ikibidi.
Tatizo kubwa la Watanganyika n kukosa uzalendo na nchi yao. Ni wao kutokuwa tayari kusimamia masilahi yao wakidhani wana haki ya kutendewa lolote. Hakuna hata siku moja, waziri au mtumishi wa SMZ atakuwa Mtanganyika.
Lakini waziri wa fedha za Tanganyika ni mzanzibar, waziri wa afya na watendaji wengine wengi tu ni wznz.
Hawa hawana uchungu na Tanganyika mnatarajia watasimamia Tanganyika kwa lipi?
Matokeo ya mambo haya ni wznz kuamua tu ni kiasi gani wanachota kutoka Tanganyika wakiwa wameshika bendera ya Tanzania. Ndio maana tumeuliza hoja nyingi na hakuna mwenye majibu. Hakuna anayetuambia 4.5 inatoka wapi! Inatoka kwatika misaada na mikopo? Inatoka katika bajeti ya JMT? Inatoka katika pato la Tanganyika?
Waliojipangia kiwango hicho ambacho kuna habari kuwa sasa ni asilimi 7 ni waznz kupitia watumishi wao walioajiriwa kama Watanzania. Hapa ndipo Watanganyika wanatakliwa waamke, bila kuwa na Tanganyika mtaendelea kulipa bili za watu waliolala majumbani wakioana.
Hadi sasa hivi, pamoja na gharama za muungano kuzibeba wenyewe, Watanganyika mnalipa bili zisizowahusu kwa gharama za wary wenu. Tatizo si wznz, ni Watanganyika walioridhika kuwa wana haki ya kumenyeka!
Ndio msingi wa wzn kusema ''tunataka aina kadha ya muungano''
Tunataka mambo kadhaa yawe ya muungano.
Yaani haki ya kuhudumia muungano ipo mgongoni mwa Mtanganyika, haki ya kuamua muungano na nini kiwemo ipo kwa wazanzibar
Haki hizo zimetoka wapi kwa znz, ikiwa katika muungano ni ubua?
Tusemezane