Duru: Hatima ya Muungano na dalili za kuvunjika mapema

Duru: Hatima ya Muungano na dalili za kuvunjika mapema

Barubaru,
Kama ulivyosema hapo nyuma ni kwamba unaongea na watu wasiojua kabisa kuhusu maswala ya fedha na mifuko yake na jinsi gani fedha hizo hutumika. Ndugu yetu Nguruvi3 anachanganyikiwa na kudhani kwamba kodi yake ndiyo hutumika kwa manedeleo wakati hiyo kodi yake haitoshi hata kulipia matumizi ya kawaida ya bara.

Na mara zote kodi za wananchi zinatembea mle mle ndani kulipia vmatumizi ya idara zake na nasema hivi sii kwa kudhania kwani nilifanya kazi ya uhasibu wizara na idara za serikali kwa miaka 8. Umemuonyesha breakdown ya bajeti yetu lkn bado hakubali, sasa hiyo 4.5% kama fedha ni za misaada kutoka nje kwa JMT, yeye alitaka Zanzibar kama sehemu ya Jamhuri ipewe asilimia ngapi? na kwa nini anatumia neno walipewa? nani alompa nani ikiwa anaamini Znz ni ktk muungano wa JMT?.

Mkandara.

mara nyingi najitoa ili kusahihisha kila mwenzetu nguruvi3 anachoandika. Kwani mara zote amekuwa mvivu wa kutafuta data sahihi na anapenda maneno ya wanasiasa na ya vijiweni na kuyaweka hapa.

Tukimwacha aendelee hivyo basi anaweza kuupotosha umma vibaya sana kwani uongo ukiachwa ukae muda mrefu basi unageuka kuwa ukweli. Mara nyingi namjuza kuwa UCHUMI NI TAALUMA na inaongozwa na DATA na sio bla bla.

Na kama ilivyo ADA JF ni sehemu ya KUILIMISHANA na SIO KUFUNDISHANA. najitahidi kila ninaponafasika kumuilimisha ili aelewa na kuachana na mambo ya mitaani au ya wanasiasa hususan unaojadili uchumi.

Tuzidi tu kumpa darsa na insh'Allah ataelewa japo kidigo kidogo lakin tutafika tu.



 
Nguruvi3,

Naona umeishupalia saaaaana hiyo hoja ya 4.5% inayokwenda kwenda Znz. Nimeshabainisha tena kwa kukupa data kamili kabisa kutoka katika Bajeti ya JMTz ya 2014/15 na hata ile ya Znz.

Nimekubainishia Bajeti za nchi zote mbili zinategemea mikopo na misaada katika kukamilisha na kutekeleza bajeti zake kwa zaidi ya 60%. wahisani au wafadhwili wakigoma basi hata MSD haiwezi sambaza dawa na wananchi wanaata taabu na kufa kwa maradhwi na magonjwa.

Nitakupa mfano kidogo hapa kigezo kinachotumiwa na wachumi katika kupanga maendeleo na bajeti mbalimbali.
TGK ina ukubwa wa Eneo 885,800 Sq Km. na ina watu zaidi ya 45 milion
Znz ina ukubwa wa eneo 2,000 Sq Km na ina watu wasiozidi 1.5 milion.


Mfano: tujadili kuhusu suala la ulinzi kidogo.
labda tuweke kigezo tunataka kuajili Polisi wa nchi hizi mbili. Tuweke kigezo kuwa polisi mmoja anatakiwa kulinda raia 300. Kwa maana hiyo utaona TGK itahitaji Askari polisi 150,000 na Znz watahitajika askari polisi 4,000 tu.

Tuendelee tunataka tujenge nyumba za polisi hawa ili waweze kukaa kambini. Na tujaalie kuwa nyumba moja ya polisi mmoja Dola za Kimarekani elfu tatu. utaona tgk watahitaji Dola za kimarekani 450,000,000. na Znz watahitaji kiasi cha 12,000,000.

Kumbuka kuwa katika Bajeti ya JMTz ya 2014/15 utekelezaji wake hakuna pasa za maendeleo zilizopo hivyo itabidi waende kwa wafhadhwili kuomba msaada au kukopa.

Huo ni mtazamo mdogo sana katika nchi sasa endeleo kwa kila kitu cha muungano kwa kuangalia stahiki za kila mfanyakazi wa muungano utaweza kujua mahitaji sahihi.

Kwa kigezo hicho na vingine tena ndio wataalamu wenu wa fedhwa na uchumi kutoka nchi hizo mbili waliamua kutengeneza formula hiyo. Hiyo inakhusu mikopo na misaada kwa mambo yote ya muungano.

NOTE.
Kufikia 30 April 2014. JMTz ilikuwa inadaiwa zaidi ya 38.5 Trilion kama deni la taifa.
Na katika fedhwa hizo about 38.6% zimetumiwa na wizara za miundombinu na wizara ya uchukuzi TGK (ambazo si wizara za muungano.

12.8% zimetumiwa na wizara ya Afya Tgk (ambayo si wizara ya Muungano )

Kumbuka kuwa deni hilo ni la TZ ambayo ni muungano wa TGK na Znz. Je Znz kulipa % hizo zilizotumiwa na wizara zisizi za muungano ni khaki?

Hapa umechapiaa weee ukafika mahali ukakwama.

Kwa mfano umeonyesha kwa ubabaishaji 4.5, ghafla kabla hujamaliza ukarukia ajira na pato la kodi za muungano.

Ukisoma maelezo yako inatisha maana kama wewe uliyekuwa mkurugenzi ndiye huyu, basi lipo tatizo sana.

Na nadhani ulikuwa mkurugenzi BoT kwasababu ya nafasi maalumu za wazaznibar, na haya ndiyo madhara ya nafasi za upendeleo. Anyways

Kwanza, hujaonyesha 4.5 unaipata wapi, katika pato la Tanganyika, bajeti ya Tanganyika au kutoka kwa fedha za wafadhili.

Pili, endapo ni wafadhili, je mwaka huu ambao Tanzania imenyimwa, znz imepata pungufu ya 4.5, na kwanini.
Ndicho watu wanataka kujua, na kama hakuna pungufu,ielewekeje.

Tatu,kodi za watumishi wa muungano. Well. kama unasema deni la taifa ni trilioni 38 na limo deni la wizara ya uchukuzi ambayo si ya muungano, ni kwa msingi huo huo tunasema hakuna sababu za wazaznibar kuajiriwa wizara ya uchukuzi kwasababu si ya muungano, na hakuna sababu za wznz kupewa kodi za wafanyakazi wa muungano kutoka wizara ya uchukuzi ambayo si ya muungano.

Hivyo mwenyewe umejifunga kamba, kwamba unapopiga hesabu za idadi ya wafanyakazi, znz haipaswi kupewa 21% kwasababu kuu mbili

1. Kodi za wizara na taasisi nyingine hazihusu znz na hivyo hawana haki ya kudai kodi
2. Pale znz inpotaka kodi ya wafanyazi wa muungano, haiwezi kudai zaidi ya kodi ya wafanyakazi wa SMZ

Hapa ninachokuambia ni kuwa SMZ haikusanyi milioni 50 za kodi, ni upuuzi na ujinga kudhani kodi za Tanganyika zinafiiia bilioni 1.75Bilioni. Hesabu zako hata kwa njia ya upuuzi hazitoi jibu, mkurugenzi mstaafu!

Kumbuka wafanyakazi wanaotakiwa kulipiwa kodi ni wizara kama tatu tu ambazo ajira zake kwa 21% ni zaidi ya SMZ kidogo.
Hiwezekani SMZ ikusanye milioni chini ya 100, halafu muungano uwape bilioni 1.75
Tena hii inaeleza kuwa znz haina cha kudai, kwasababu katika muungano huo huo haina cha kuchangia, kasema gavana na waziri

Lakini pia, hutakiwi kuonyesha znz inapaswa kupata nini, unatakiwa uonyeshe inachangia nini.
Definite hakuna, waziri wa fedha wa znz kasema gavana wa BoT kasema, sasa nani amebaki

Nawe kama walivyo wznz wengine na Mkandara ni wepesi sana wa kuangalia mgao na wazito sana wa kuangalia nini mchango wa znz katika huu muungano. Huduma za muungano kazibeba Mtanganyika halafu mtu aje kudai kisicho chake
Hao wafanyakazi wa znz ndani ya muungano hawalipwi mafafu au chuchunge, wanalipwa fedha! Onyesheni zinatoka wapi

Mkoa masikini kabisa Tanganyika una mchango wa maana kuliko znz.

Tumeona hawana mchango, lakini wanachukua zaidi ya mikoa 10 ya Tanganyika.
Ofisi ya waziri mkuu mwaka huu imetengewa pesa chache za halamashuri za miji kuliko znz.

Chukua mfano tu, kuwa wilaya ya Ilala ni zaidi ya znz katika kila kitu.

Hapa ndipo tunauliza. Mtanganyika anafadika na nini. Tumeshaona mzanzibar yupo mgongoni kwa kila kitu, sasa Watanganyika wajiulize, investment hii ni ili iweje

Uwepo wa znz katika muungano hauna impact yoyote kwa Mtanganyika.
Pengine muungano una adha kwasababu ya kuchota bila kuweka na hapo ndipo Watanganyika wanapaswa kufikiri zaidi.

Hakuna hesababu narudia hakuna hesababu itakayokaa katika mizani kati ya Tanganyika na znz.

Nasikitika, maana wewe ni wa ku-ignore, niwie radhi kwa kuvunja kanuni
 
UTATA ULIOPO UNATUMIKA VIBAYA KATIKA MUUNGANO
MISAADA NA MIKOPO, HOJA IMEKUFA, SASA INALAZIMISHWA

Hoja ya znz kupunjwa misaada na mikopo haina mashiko. Hata hivyo, wasio na hoja wanaitumia wakijichanganya na pengine kuuchanganya umma. Hawana uhakika na wanachozungumza, na hapa tunaonyesha

1. Kwanza, wznz wanaolalamika kuhusu mikopo na misaada, walipaswa kuunga mkono rasimu ya Warioba iliyotenga mambo ya muungano kwa washirika. Hili lingeondoa utata kabisa kwasababu Tanganyika ingesimama kivyake na znz kivyake.
Kwamba, kila mshirika angekwenda kuomba omba au kukopa kwa nguvu yake na wala si mgongo wa mwingine

Kinyume chake wazanzibar wanadai suala la znz kuwa huru kukopa na misaada lisiwe katika mambo ya muungano.
Halafu wznz hao hao wanataka suala la kudhaminiwa katika mikopo liwe kikataiba kama walivyounga mkono rasimu ya Chenge

Hii ni baada ya kubaini kuwa znz haikopesheki kirahisi kutokana na limitations za wakopeshaji kwa kuangali kauchumi ka znz.

Kama hawataki mambo hayo yawe ya muungano, hawana sababu za kuomba udhamini.
Kuomba udhamini bado watakuwa katika koTi la Tanganyika itakyoamua znz idhaminiwe au la. Lazima ripoti iende Dodoma

Kwa upande wa Tanganyika, hilo ni tatizo kubwa. Kudhamini m ni kuchukua dhamana ya mzigo wa znz na kuwatiwsha Watanganyika.

Ndivyo ilivyotokea siku za karibuni znz walipokopa mchele na kushindwa kulipa kule Kenya.

Mzigo huo ameubeba Mtanganyika wa Mtimbira, Katoma kashenge, Ikwiriri , Naliendele na Kadewele bila kula punje ya mchele.

Kama wtaakubali hilo la udhamini liwe katika katiba,Watanganyika watawabebesha watoto wao zigo la madeni ya znz yasiyowahusu.

Ndivyo wanavyobeba zigo la kusomesha wazanzibar ambao kwa maandishi yao wanawaita Watanganyika nchi jirani(rudi nyuma soma nukuu zaZHESLB)

2. Wapo wanaosema 4.5% ni misaada. Hapa kuna hoja mbili kubwa

a)Je wadhamini walipositisha misaada, znz ilipata mgao wa mwezi chini ya asilimia 4.5? Wapotoshaji hawana jibu bali wamekariri tu
b) Je, 4.5% ni misaada au ni gawio la BoT? Hawana jibu kawasababu hawana bali wanasikia na kukariri kariri tu

Twende katika 4.5% kwa undani tukiichukulia kama mgao wa misaada kama wanavyodai

1. Znz ikipewa 4.5% ya misaada ina maana misaada. Je, 4.5% ni misaada tu, ni pato la Tanganyika au ni kutoka bajeti ya Tanganyika? Wanaozungumzia misaada hawana jibu, wamekariri na hivyo wanataka umma ukariri kama wao.

Endapo znz inapata 4.5% ya misaaada, hii maana yake kiasi kilichobaki ni cha Tanganyika kwasababu ndani ya JMT tayari znz imeshachukua 4.5.

Maswali wapotoshaji wasiyotaka kuyajibu ni haya

Wizara ya ulinzi, mambo ya nje, ndani na fedha zinahudumiwa na fungu gani?

Kama tunasema ni misaada na mikopo basi tukubaliane, huduma za wizara hizo amezibeba Mtanganyika peke yake kwasababu znz keshachukua 4.5%

Hapa napo tunauliza, kama ulinzi na usalama, mambo ya ndani na nje, fedha n.k. yanaendeshwa kwa 94.5% ya misaada na mikopo, wapi basi znz imechangia kutoka katika 4.5% yake? Jibu ni hakuna na wala wapotoshaji hawathubutu kuzungumzia hili.

Ukiangalia bajeti ya znz, siku zote inahusu biashara na ujenzi na huduma za afya na elimu
Hii ni kwasababu suala la znz kulindwa, ndani na nje wamemwachia Mtanganyika

Hivyo ni haki kusema, wakati wamechukua 4.5 ya mikopo na misaada kama wanavyodai wapotoshaji, gharama za kuendesha muungano na vyombo vyake ni kutoka pesa za Mtanganyika, kodi au misaada au mikopo.
Hapa ndipo unyonyaji wa kiwango cha juu ulipo.

Hoja ya misaada na mikopo ni mfu.
Na wala znz haihitaji kuwa ndani ya muungano ili ipate mgao wake

Znz inahitaji kuwa huru kwenda kukopa au misaada kwa nguvu zao na kulipa wao na si kutegemea Mtanganyika awalipie.
Haya ndiyo yanawasumbua hadi kushangilia katiba ya Chenge

Kwa mtanganyika hii ni hasara kubwa sana. Si kuwa kodi yako inaelekezwa sehemu isiyohusika, lakini pia unalazimika kulipa deni la mkopo usiokuhusu.

Znz wakikopa mchele na maandazi kazi kubwa watakayoifanya ni kupitisha deni hilo kwa Mtanganyika aliyewadhamini.
Ni kwa hoja hii, bajeti ya znz haionyeshi deni la nje na ndani jinsi gani watalipa

Wababaishaji wanaongelea deni la Tanganyika lisilowahusu wazn kwasababu hawalipi na hawajalipa( Gavana wa BoT na waziri wa fedha wa znz).

Watu wanachotaka kusikia ni kuwa bajeti ya znz inaonyeshaje madeni yao yanavyolipwaje?

Kisha wapotoshaji wanasema znz ina bajeti kutokana na misaada na mikopo.
Hilo halijatokea ni uongo baada ya hoja ya misaada kufa.
Kama tutakubaliana hivyo, basi watuonyeshe mikopo hiyo wanayochukua znz inalipwa kutoka bajeti gani.

Tuhitimishe kwa kusema, znz haihitaji kuwa katika mhgongo wa Tanganyika wakati wa kuomba au kukopa.

Ni wajibu wa wzn kwenda kukopa au kupata misaada kwa jasho lao.
Kinyume chake, lazima wake kimya wakisubiri watakachopewa

Wakae kimya kwasababu hizi
1. Hawana mchango katika muungano
2. Hawana huduma katika muungano(ulinzi, mambo ya ndani, nje na hata taasisi zao zinalipiwa na JMT)
3.Uwepo wao katika muungano hauna athari chanya kwa Mtanganyika

Ndio maana tunasema, kama hawatakubali kurudi kwa Warioba mbele ya safari watakuwa na wakati mgumu sana.

Watanganyika hawatakuwa ATM wala wadhamini na ikifika hapo watatoa ya moyoni aliyosema Prof Palamagamba, znz itajikuta katika wakati mgumu sana sana. Kuzuia ni bora kuliko kuponya! Watanganyika wamezinduka na ni suala muda tu sasa

Tusemezane
 
TUNAMWALIKA Humphrey Polepole

Mkuu, tunatambua kuwa uwepo wako katika tume ya Warioba umekupa nafasi ya kupitia nyaraka nyingi na kusikia maoni ya wananchi kutoka vinywani mwao moja kwa moja

Katika spirit ya kutafuta mwafaka wa muungano, kjambo ambalo sasa ni tatizo kubwa yapo maswali na maoni yanayohitaji mchango wa kila mmoja wetu.

Ukiwa mdau muhimu wa jamvi na nchi hii, tungependa kukualika uje hapa tupate maoni ya upande wa pili wa shilingi kama si kusikia mtazamo tofauti

Tafadhali tunakuomba tusikie maoni na mtazamo wako kuhusu suala la muungano.
Tunakualika kama Haumphrey wa JF na wala si vingevyo. Ustaarabu utakuwepo wa kiwango cha juu na tutahakikisha vuruga mada hawana nafasi.

Mkuu karibu hapa
 
Nguruvi3,
Mkuu wewe msomi mzuri sana na kama kweli muelewa barubaru hakutakiwa kuendelea kuelezea swala la 4.5% baaa ya kukuonyesha jinsi population ilivyo na tutaweza vii kukabili mahitaji ya pande hizo mbili.

Sasa kama tumekopa fedha kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za askari ulitaka Zanzibar wasipewe kabisa? Na kwa nini uziite fedha za bara wakati tunakopa tuliomba msaada huo kama ni JMT. Mtu akueleze vipi mkuu wangu hadi upate kuelewa? sema kweli kuna kmkanganyiko kwa watu kuelewa nini Tanzania bara na nini JMT, maana serikali ya JMT ni sawa na serikali ya Tanzania bara!

Ndio maana kule nyuma nikakuuliza wewe kama wewe una mke na mshahara wako ni millioni 10 wa mkeo ni Tsh laki 3, Ukitoa Tsh mil 1 kwa ajili ya matumizi ya nyumbani utataka na yeyey atoe ngapi? Na je yeye asipotoa atakuwa tegemezi? nakama tegemezi il awe independent woman ulitaka ajiwezeshe vipi, ajitenge vipi na kwa kiasi gani? maanake inaonekana wewe ndiye mpimaji!..
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3,
Mkuu wewe msomi mzuri sana na kama kweli muelewa barubaru hakutakiwa kuendelea kuelezea swala la 4.5% baaa ya kukuonyesha jinsi population ilivyo na tutaweza vii kukabili mahitaji ya pande hizo mbili.

Sasa kama tumekopa fedha kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za askari ulitaka Zanzibar wasipewe kabisa? Na kwa nini uziite fedha za bara wakati tunakopa tuliomba msaada huo kama ni JMT. Mtu akueleze vipi mkuu wangu hadi upate kuelewa? sema kweli kuna kmkanganyiko kwa watu kuelewa nini Tanzania bara na nini JMT, maana serikali ya JMT ni sawa na serikali ya Tanzania bara!

Ndio maana kule nyuma nikakuuliza wewe kama wewe una mke na mshahara wako ni millioni 10 wa mkeo ni Tsh laki 3, Ukitoa Tsh mil 1 kwa ajili ya matumizi ya nyumbani utataka na yeyey atoe ngapi? Na je yeye asipotoa atakuwa tegemezi? nakama tegemezi il awe independent woman ulitaka ajiwezeshe vipi, ajitenge vipi na kwa kiasi gani? maanake inaonekana wewe ndiye mpimaji!..
Mkuu mbona mnakwepa hoja na kuingilia mambo mengine


  1. Wahisani wamezuai misaada, je znz inapata pungufu ya 4.5% kwa mwezi?
  2. Kama ni mikopo, tuonyeshe wapi znz katika bajeti yake imeonyesha kulipa
  3. Kama znz inapata 4.5% kwa kuzingatia population,Dar inapata kiasi gani
  4. Na ni % gani znz inachangia katika muungano, kulipa madeni.

Hint: wakati unajibu hayo,kumbuka gavana na waziri wa fedha wamethibitisha kuwa znz haina mchango katikamuungano. Si maneno yangu hayo!

Pili, kwanini kama znz inataka kukopa na misaada tusiungane ili wapewe nafasi ya kukopa wenyewe, kulipa bilakuingiliwa.

Kwani ni lazima wakope kupitiaJMT. Na kwanini Tanganyika isiwe na uwezo huo.
Msikimbie hoja muhimu, jibuni hoja.
 
Nguruvi3 Ndio maana kule nyuma nikakuuliza wewe kama wewe una mke na mshahara wako ni millioni 10 wa mkeo ni Tsh laki 3, Ukitoa Tsh mil 1 kwa ajili ya matumizi ya nyumbani utataka na yeyey atoe ngapi? Na je yeye asipotoa atakuwa tegemezi? nakama tegemezi il awe independent woman ulitaka ajiwezeshe vipi, ajitenge vipi na kwa kiasi gani? maanake inaonekana wewe ndiye mpimaji!..
Jibu la swali lako analo mh Raza Mohamed, Mbunge wa Uzini
katika dk ya 8.01 hadi dakika ya 9
https://www.youtube.com/watch?v=s_2s26_wPTk



 
UTATA ULIOPO UNATUMIKA VIBAYA KATIKA MUUNGANO
MISAADA NA MIKOPO, HOJA IMEKUFA, SASA INALAZIMISHWA

Hoja ya znz kupunjwa misaada na mikopo haina mashiko. Hata hivyo, wasio na hoja wanaitumia wakijichanganya na pengine kuuchanganya umma. Hawana uhakika na wanachozungumza, na hapa tunaonyesha

1. Kwanza, wznz wanaolalamika kuhusu mikopo na misaada, walipaswa kuunga mkono rasimu ya Warioba iliyotenga mambo ya muungano kwa washirika. Hili lingeondoa utata kabisa kwasababu Tanganyika ingesimama kivyake na znz kivyake.
Kwamba, kila mshirika angekwenda kuomba omba au kukopa kwa nguvu yake na wala si mgongo wa mwingine

Kinyume chake wazanzibar wanadai suala la znz kuwa huru kukopa na misaada lisiwe katika mambo ya muungano.
Halafu wznz hao hao wanataka suala la kudhaminiwa katika mikopo liwe kikataiba kama walivyounga mkono rasimu ya Chenge

Hii ni baada ya kubaini kuwa znz haikopesheki kirahisi kutokana na limitations za wakopeshaji kwa kuangali kauchumi ka znz.

Kama hawataki mambo hayo yawe ya muungano, hawana sababu za kuomba udhamini.
Kuomba udhamini bado watakuwa katika koTi la Tanganyika itakyoamua znz idhaminiwe au la. Lazima ripoti iende Dodoma

Kwa upande wa Tanganyika, hilo ni tatizo kubwa. Kudhamini m ni kuchukua dhamana ya mzigo wa znz na kuwatiwsha Watanganyika.

Ndivyo ilivyotokea siku za karibuni znz walipokopa mchele na kushindwa kulipa kule Kenya.

Mzigo huo ameubeba Mtanganyika wa Mtimbira, Katoma kashenge, Ikwiriri , Naliendele na Kadewele bila kula punje ya mchele.

Kama wtaakubali hilo la udhamini liwe katika katiba,Watanganyika watawabebesha watoto wao zigo la madeni ya znz yasiyowahusu.

Ndivyo wanavyobeba zigo la kusomesha wazanzibar ambao kwa maandishi yao wanawaita Watanganyika nchi jirani(rudi nyuma soma nukuu zaZHESLB)

2. Wapo wanaosema 4.5% ni misaada. Hapa kuna hoja mbili kubwa

a)Je wadhamini walipositisha misaada, znz ilipata mgao wa mwezi chini ya asilimia 4.5? Wapotoshaji hawana jibu bali wamekariri tu
b) Je, 4.5% ni misaada au ni gawio la BoT? Hawana jibu kawasababu hawana bali wanasikia na kukariri kariri tu

Twende katika 4.5% kwa undani tukiichukulia kama mgao wa misaada kama wanavyodai

1. Znz ikipewa 4.5% ya misaada ina maana misaada. Je, 4.5% ni misaada tu, ni pato la Tanganyika au ni kutoka bajeti ya Tanganyika? Wanaozungumzia misaada hawana jibu, wamekariri na hivyo wanataka umma ukariri kama wao.

Endapo znz inapata 4.5% ya misaaada, hii maana yake kiasi kilichobaki ni cha Tanganyika kwasababu ndani ya JMT tayari znz imeshachukua 4.5.

Maswali wapotoshaji wasiyotaka kuyajibu ni haya

Wizara ya ulinzi, mambo ya nje, ndani na fedha zinahudumiwa na fungu gani?

Kama tunasema ni misaada na mikopo basi tukubaliane, huduma za wizara hizo amezibeba Mtanganyika peke yake kwasababu znz keshachukua 4.5%

Hapa napo tunauliza, kama ulinzi na usalama, mambo ya ndani na nje, fedha n.k. yanaendeshwa kwa 94.5% ya misaada na mikopo, wapi basi znz imechangia kutoka katika 4.5% yake? Jibu ni hakuna na wala wapotoshaji hawathubutu kuzungumzia hili.

Ukiangalia bajeti ya znz, siku zote inahusu biashara na ujenzi na huduma za afya na elimu
Hii ni kwasababu suala la znz kulindwa, ndani na nje wamemwachia Mtanganyika

Hivyo ni haki kusema, wakati wamechukua 4.5 ya mikopo na misaada kama wanavyodai wapotoshaji, gharama za kuendesha muungano na vyombo vyake ni kutoka pesa za Mtanganyika, kodi au misaada au mikopo.
Hapa ndipo unyonyaji wa kiwango cha juu ulipo.

Hoja ya misaada na mikopo ni mfu.
Na wala znz haihitaji kuwa ndani ya muungano ili ipate mgao wake

Znz inahitaji kuwa huru kwenda kukopa au misaada kwa nguvu zao na kulipa wao na si kutegemea Mtanganyika awalipie.
Haya ndiyo yanawasumbua hadi kushangilia katiba ya Chenge

Kwa mtanganyika hii ni hasara kubwa sana. Si kuwa kodi yako inaelekezwa sehemu isiyohusika, lakini pia unalazimika kulipa deni la mkopo usiokuhusu.

Znz wakikopa mchele na maandazi kazi kubwa watakayoifanya ni kupitisha deni hilo kwa Mtanganyika aliyewadhamini.
Ni kwa hoja hii, bajeti ya znz haionyeshi deni la nje na ndani jinsi gani watalipa

Wababaishaji wanaongelea deni la Tanganyika lisilowahusu wazn kwasababu hawalipi na hawajalipa( Gavana wa BoT na waziri wa fedha wa znz).

Watu wanachotaka kusikia ni kuwa bajeti ya znz inaonyeshaje madeni yao yanavyolipwaje?

Kisha wapotoshaji wanasema znz ina bajeti kutokana na misaada na mikopo.
Hilo halijatokea ni uongo baada ya hoja ya misaada kufa.
Kama tutakubaliana hivyo, basi watuonyeshe mikopo hiyo wanayochukua znz inalipwa kutoka bajeti gani.

Tuhitimishe kwa kusema, znz haihitaji kuwa katika mhgongo wa Tanganyika wakati wa kuomba au kukopa.

Ni wajibu wa wzn kwenda kukopa au kupata misaada kwa jasho lao.
Kinyume chake, lazima wake kimya wakisubiri watakachopewa

Wakae kimya kwasababu hizi
1. Hawana mchango katika muungano
2. Hawana huduma katika muungano(ulinzi, mambo ya ndani, nje na hata taasisi zao zinalipiwa na JMT)
3.Uwepo wao katika muungano hauna athari chanya kwa Mtanganyika

Ndio maana tunasema, kama hawatakubali kurudi kwa Warioba mbele ya safari watakuwa na wakati mgumu sana.

Watanganyika hawatakuwa ATM wala wadhamini na ikifika hapo watatoa ya moyoni aliyosema Prof Palamagamba, znz itajikuta katika wakati mgumu sana sana. Kuzuia ni bora kuliko kuponya! Watanganyika wamezinduka na ni suala muda tu sasa

Tusemezane

Nguruvi3,
Nakushukuru sana kwa darsa hili kwani linawafikia wengi. Kwa Faida ya wale walionio ni PM na kunitumia whatsApp napenda kutoa ufafanuzi wa kina kwa kupitia Bajeti ya JMTz ya mwaka 2014/2015.


Ngoja tujaribu kuangalia Utekelezaji wa bajeti 2014/15. Hususan kwa kuangalia vyanzo vya mapato vya JMTz kwa mujibu wa utekelezaji wa bajeti 2014/15

Tsh (Trillion)
1 MAPATO YA NDANI
i.Mapato ya kodi TRA11,318,222/=
iiMapato yasiyo ya kodi859,812/=
Jumla ya mapato ya ndani12,178,034
iiiMapato ya halmashauri
458,471/=
ivMapato ya misaada ya nje
2,941,599/=
vMikopo ya ndani
2,955,227/=
viMikopo ya masharti ya kibiashara1,320,000/

Na kwa pale niliposema matumizi ya kawaida ya Serikali ni zaidi ya Tril 13.

Hapa kwa ufafanuzi zaidi kwa mujibu wa Bajeti ya JMTz ya 2014/2015.

  1. Mfuko mkuu wa SERIKALI YA JMTz ni 4,354,731/= Trillion
  2. Mishahara ya watumishi wa Serikali ya JMTz 5,317,551/= Trillion
  3. Matumizi mengineyo ikijumauishwa posho, mafuta ya magari na mengineyo ya uendeshaji 3,708,048/= Tril
Kama utajumlisha UTAPATA MATUMIZI YA KAWAIDA YA SERIKALI YA JMTz NI 13,380,330/ Trillion

Kwa msingu huo hapo juu. NDIA MAANA NIKASEMA SERIKALI YA JMTz NI TEGEMEZI NA INATEGEMEA uFADHWILI NA MIKOPO MPAKA KATIKA MATUMIZI YAKE YA KAWAIDA. ( mATUMIZI YA KAWAIDA NI 13 TRIL NA JUMLA YA MAPATO YAKE YA NDANI NI 12 TRIL)

AHALI ZANGU NAFIKIRI NIMEFAFANUA KILE NILICHOANDIKA kwa mujibu wa bajeti yenu ya 2014/2015.

Akhasantum


cc TUJITEMEE, takashi, Kibunango, Ritz, GHIBUU
 
TUNAMWALIKA Humphrey Polepole

Mkuu, tunatambua kuwa uwepo wako katika tume ya Warioba umekupa nafasi ya kupitia nyaraka nyingi na kusikia maoni ya wananchi kutoka vinywani mwao moja kwa moja

Katika spirit ya kutafuta mwafaka wa muungano, kjambo ambalo sasa ni tatizo kubwa yapo maswali na maoni yanayohitaji mchango wa kila mmoja wetu.

Ukiwa mdau muhimu wa jamvi na nchi hii, tungependa kukualika uje hapa tupate maoni ya upande wa pili wa shilingi kama si kusikia mtazamo tofauti

Tafadhali tunakuomba tusikie maoni na mtazamo wako kuhusu suala la muungano.
Tunakualika kama Haumphrey wa JF na wala si vingevyo. Ustaarabu utakuwepo wa kiwango cha juu na tutahakikisha vuruga mada hawana nafasi.

Mkuu karibu hapa

Mimi sidhani kama Humphrey Polepole ataweza hata kwa sentensi moja kupingana na USHAURI WA TUME YA PAMOJA YA UCHUMI NA FEDHWA (JOINT FINANCE COMMISSION (JFC)).

Kwani kilichoandikwa kwenye Rasimu ya TUME ya WARIOBA ya kutenganisha mambo ya muungano na mambo ya nchi husika yaani kuwe kuna account maalum ya Pamoja kwa ajili ya mambo ya muungano, alafu kila nchi iwe na account yake ya mambo ya kiuchumi na maendeleo kama nchi.

Hili sifikiri kama lina mjadala kwani nimeipitia kwa kina sana Rasimu ya WARIOBA.

Ok tumpe nafasi Humphrey Polepole akudadavulie zaidi labda utamsikiliza na kumkubali.

Ahlan wa sahalan ( nyegera waitu ) Humphrey Polepole
 
UTATA ULIOPO UNATUMIKA VIBAYA KATIKA MUUNGANO
MISAADA NA MIKOPO, HOJA IMEKUFA, SASA INALAZIMISHWA

Hoja ya znz kupunjwa misaada na mikopo haina mashiko. Hata hivyo, wasio na hoja wanaitumia wakijichanganya na pengine kuuchanganya umma. Hawana uhakika na wanachozungumza, na hapa tunaonyesha

1. Kwanza, wznz wanaolalamika kuhusu mikopo na misaada, walipaswa kuunga mkono rasimu ya Warioba iliyotenga mambo ya muungano kwa washirika. Hili lingeondoa utata kabisa kwasababu Tanganyika ingesimama kivyake na znz kivyake.
Kwamba, kila mshirika angekwenda kuomba omba au kukopa kwa nguvu yake na wala si mgongo wa mwingine

Kinyume chake wazanzibar wanadai suala la znz kuwa huru kukopa na misaada lisiwe katika mambo ya muungano.
Halafu wznz hao hao wanataka suala la kudhaminiwa katika mikopo liwe kikataiba kama walivyounga mkono rasimu ya Chenge

Hii ni baada ya kubaini kuwa znz haikopesheki kirahisi kutokana na limitations za wakopeshaji kwa kuangali kauchumi ka znz.

Kama hawataki mambo hayo yawe ya muungano, hawana sababu za kuomba udhamini.
Kuomba udhamini bado watakuwa katika koTi la Tanganyika itakyoamua znz idhaminiwe au la. Lazima ripoti iende Dodoma

Kwa upande wa Tanganyika, hilo ni tatizo kubwa. Kudhamini m ni kuchukua dhamana ya mzigo wa znz na kuwatiwsha Watanganyika.

Ndivyo ilivyotokea siku za karibuni znz walipokopa mchele na kushindwa kulipa kule Kenya.

Mzigo huo ameubeba Mtanganyika wa Mtimbira, Katoma kashenge, Ikwiriri , Naliendele na Kadewele bila kula punje ya mchele.

Kama wtaakubali hilo la udhamini liwe katika katiba,Watanganyika watawabebesha watoto wao zigo la madeni ya znz yasiyowahusu.

Ndivyo wanavyobeba zigo la kusomesha wazanzibar ambao kwa maandishi yao wanawaita Watanganyika nchi jirani(rudi nyuma soma nukuu zaZHESLB)

2. Wapo wanaosema 4.5% ni misaada. Hapa kuna hoja mbili kubwa

a)Je wadhamini walipositisha misaada, znz ilipata mgao wa mwezi chini ya asilimia 4.5? Wapotoshaji hawana jibu bali wamekariri tu
b) Je, 4.5% ni misaada au ni gawio la BoT? Hawana jibu kawasababu hawana bali wanasikia na kukariri kariri tu

Twende katika 4.5% kwa undani tukiichukulia kama mgao wa misaada kama wanavyodai

1. Znz ikipewa 4.5% ya misaada ina maana misaada. Je, 4.5% ni misaada tu, ni pato la Tanganyika au ni kutoka bajeti ya Tanganyika? Wanaozungumzia misaada hawana jibu, wamekariri na hivyo wanataka umma ukariri kama wao.

Endapo znz inapata 4.5% ya misaaada, hii maana yake kiasi kilichobaki ni cha Tanganyika kwasababu ndani ya JMT tayari znz imeshachukua 4.5.

Maswali wapotoshaji wasiyotaka kuyajibu ni haya

Wizara ya ulinzi, mambo ya nje, ndani na fedha zinahudumiwa na fungu gani?

Kama tunasema ni misaada na mikopo basi tukubaliane, huduma za wizara hizo amezibeba Mtanganyika peke yake kwasababu znz keshachukua 4.5%

Hapa napo tunauliza, kama ulinzi na usalama, mambo ya ndani na nje, fedha n.k. yanaendeshwa kwa 94.5% ya misaada na mikopo, wapi basi znz imechangia kutoka katika 4.5% yake? Jibu ni hakuna na wala wapotoshaji hawathubutu kuzungumzia hili.

Ukiangalia bajeti ya znz, siku zote inahusu biashara na ujenzi na huduma za afya na elimu
Hii ni kwasababu suala la znz kulindwa, ndani na nje wamemwachia Mtanganyika

Hivyo ni haki kusema, wakati wamechukua 4.5 ya mikopo na misaada kama wanavyodai wapotoshaji, gharama za kuendesha muungano na vyombo vyake ni kutoka pesa za Mtanganyika, kodi au misaada au mikopo.
Hapa ndipo unyonyaji wa kiwango cha juu ulipo.

Hoja ya misaada na mikopo ni mfu.
Na wala znz haihitaji kuwa ndani ya muungano ili ipate mgao wake

Znz inahitaji kuwa huru kwenda kukopa au misaada kwa nguvu zao na kulipa wao na si kutegemea Mtanganyika awalipie.
Haya ndiyo yanawasumbua hadi kushangilia katiba ya Chenge

Kwa mtanganyika hii ni hasara kubwa sana. Si kuwa kodi yako inaelekezwa sehemu isiyohusika, lakini pia unalazimika kulipa deni la mkopo usiokuhusu.

Znz wakikopa mchele na maandazi kazi kubwa watakayoifanya ni kupitisha deni hilo kwa Mtanganyika aliyewadhamini.
Ni kwa hoja hii, bajeti ya znz haionyeshi deni la nje na ndani jinsi gani watalipa

Wababaishaji wanaongelea deni la Tanganyika lisilowahusu wazn kwasababu hawalipi na hawajalipa( Gavana wa BoT na waziri wa fedha wa znz).

Watu wanachotaka kusikia ni kuwa bajeti ya znz inaonyeshaje madeni yao yanavyolipwaje?

Kisha wapotoshaji wanasema znz ina bajeti kutokana na misaada na mikopo.
Hilo halijatokea ni uongo baada ya hoja ya misaada kufa.
Kama tutakubaliana hivyo, basi watuonyeshe mikopo hiyo wanayochukua znz inalipwa kutoka bajeti gani.

Tuhitimishe kwa kusema, znz haihitaji kuwa katika mhgongo wa Tanganyika wakati wa kuomba au kukopa.

Ni wajibu wa wzn kwenda kukopa au kupata misaada kwa jasho lao.
Kinyume chake, lazima wake kimya wakisubiri watakachopewa

Wakae kimya kwasababu hizi
1. Hawana mchango katika muungano
2. Hawana huduma katika muungano(ulinzi, mambo ya ndani, nje na hata taasisi zao zinalipiwa na JMT)
3.Uwepo wao katika muungano hauna athari chanya kwa Mtanganyika

Ndio maana tunasema, kama hawatakubali kurudi kwa Warioba mbele ya safari watakuwa na wakati mgumu sana.

Watanganyika hawatakuwa ATM wala wadhamini na ikifika hapo watatoa ya moyoni aliyosema Prof Palamagamba, znz itajikuta katika wakati mgumu sana sana. Kuzuia ni bora kuliko kuponya! Watanganyika wamezinduka na ni suala muda tu sasa

Tusemezane

Nguruvi3,

Unalalamika na kunung'unika saaana . Hebu lets cut the story na UTUWEKE WAZI NA BAYANA UKIWA KAMA WEWE na kwa maoni yako UNGEFURAHI
1. ZNZ WACHANGIE MUUNGANO KIASI GANI?
2. wACHANGIE WAPI HUO MCHANGO WAO?
3. WAPEWE KIASI GANI CHA MIKOPO NA MISAADA YA NJE IINAYOLETWA KWA JINA LA JMTz?

Mimi nafikiri ukijibu hayo utakuwa umetuweka vizuri katika kujadili.



cc TUJITEMEE, takashi, Kibunango, Ritz, GHIBUU
 
Hapa umechapiaa weee ukafika mahali ukakwama.

Kwa mfano umeonyesha kwa ubabaishaji 4.5, ghafla kabla hujamaliza ukarukia ajira na pato la kodi za muungano.

Ukisoma maelezo yako inatisha maana kama wewe uliyekuwa mkurugenzi ndiye huyu, basi lipo tatizo sana.

Na nadhani ulikuwa mkurugenzi BoT kwasababu ya nafasi maalumu za wazaznibar, na haya ndiyo madhara ya nafasi za upendeleo. Anyways

Kwanza, hujaonyesha 4.5 unaipata wapi, katika pato la Tanganyika, bajeti ya Tanganyika au kutoka kwa fedha za wafadhili.

Pili, endapo ni wafadhili, je mwaka huu ambao Tanzania imenyimwa, znz imepata pungufu ya 4.5, na kwanini.
Ndicho watu wanataka kujua, na kama hakuna pungufu,ielewekeje.

Tatu,kodi za watumishi wa muungano. Well. kama unasema deni la taifa ni trilioni 38 na limo deni la wizara ya uchukuzi ambayo si ya muungano, ni kwa msingi huo huo tunasema hakuna sababu za wazaznibar kuajiriwa wizara ya uchukuzi kwasababu si ya muungano, na hakuna sababu za wznz kupewa kodi za wafanyakazi wa muungano kutoka wizara ya uchukuzi ambayo si ya muungano.

Hivyo mwenyewe umejifunga kamba, kwamba unapopiga hesabu za idadi ya wafanyakazi, znz haipaswi kupewa 21% kwasababu kuu mbili

1. Kodi za wizara na taasisi nyingine hazihusu znz na hivyo hawana haki ya kudai kodi
2. Pale znz inpotaka kodi ya wafanyazi wa muungano, haiwezi kudai zaidi ya kodi ya wafanyakazi wa SMZ

Hapa ninachokuambia ni kuwa SMZ haikusanyi milioni 50 za kodi, ni upuuzi na ujinga kudhani kodi za Tanganyika zinafiiia bilioni 1.75Bilioni. Hesabu zako hata kwa njia ya upuuzi hazitoi jibu, mkurugenzi mstaafu!

Kumbuka wafanyakazi wanaotakiwa kulipiwa kodi ni wizara kama tatu tu ambazo ajira zake kwa 21% ni zaidi ya SMZ kidogo.
Hiwezekani SMZ ikusanye milioni chini ya 100, halafu muungano uwape bilioni 1.75
Tena hii inaeleza kuwa znz haina cha kudai, kwasababu katika muungano huo huo haina cha kuchangia, kasema gavana na waziri

Lakini pia, hutakiwi kuonyesha znz inapaswa kupata nini, unatakiwa uonyeshe inachangia nini.
Definite hakuna, waziri wa fedha wa znz kasema gavana wa BoT kasema, sasa nani amebaki

Nawe kama walivyo wznz wengine na Mkandara ni wepesi sana wa kuangalia mgao na wazito sana wa kuangalia nini mchango wa znz katika huu muungano. Huduma za muungano kazibeba Mtanganyika halafu mtu aje kudai kisicho chake
Hao wafanyakazi wa znz ndani ya muungano hawalipwi mafafu au chuchunge, wanalipwa fedha! Onyesheni zinatoka wapi

Mkoa masikini kabisa Tanganyika una mchango wa maana kuliko znz.

Tumeona hawana mchango, lakini wanachukua zaidi ya mikoa 10 ya Tanganyika.
Ofisi ya waziri mkuu mwaka huu imetengewa pesa chache za halamashuri za miji kuliko znz.

Chukua mfano tu, kuwa wilaya ya Ilala ni zaidi ya znz katika kila kitu.

Hapa ndipo tunauliza. Mtanganyika anafadika na nini. Tumeshaona mzanzibar yupo mgongoni kwa kila kitu, sasa Watanganyika wajiulize, investment hii ni ili iweje

Uwepo wa znz katika muungano hauna impact yoyote kwa Mtanganyika.
Pengine muungano una adha kwasababu ya kuchota bila kuweka na hapo ndipo Watanganyika wanapaswa kufikiri zaidi.

Hakuna hesababu narudia hakuna hesababu itakayokaa katika mizani kati ya Tanganyika na znz.

Nasikitika, maana wewe ni wa ku-ignore, niwie radhi kwa kuvunja kanuni

Nguruvi3,

Ahali yangu punguza Munkari na Jazba katika mujadala kwani kuna weeengi sana wanasoma kwa NIA YA KUFYONZ ILMU na kujua mustakabali na mwelekeo wa uchumi.

Nilipo RED.

Katika miaka yangu 8 niliyofanya kazi JMTz
1. Sijapatapo kuwa mfanyakazi au kuajiriwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) hata kwa sekunde moja ya maisha yangu.
2. Sijapatapo kuchaguliwa kufanyakazi katika JMTz kwa swifa ya UZnz wangu ZAIDI YA KISOMO CHANGU NA FANI YANGU.
Usahihi.
1. Nilipomaliza Udsm niliajiriwa moja kwa moja wizara ya Fedhwa Muungano na nilikuwa kitengo cha Bajeti kwa 5 Yrs.
2. Nilishika che cha RDD (Reginal development Director) Mkoa wa Mwanza kwa miaka 3. kabla kuondoka Tanzania.

Nilipo BLUE

Kwa ninavyojua na ndivyo ilivyo HAKUNA BAJETI YA TANGANYIKA INAYOANDALIWA AU KUTOLEWA Kama ipo basi naomba uniwekee maana inawezekana nimepitwa na wakti.

.
Nimefafanua kwa kina suala la 4.5% kuwa ni suala lililowekwa na wataalamu wa fedhwa na uchumi wa nchi hizo mbili wakti wakijadili manung'uniko na malalamiko kama hayo uliyonayo wewe na kujaribu kutafuta muafaka na makubaliano. Kwa hiyo hayo ni maamuzi ya wataalamu baada ya kuchambua mapato na vyanzo vya mapato na kuangalia matumizi.

Lakin kubwa kwa kuangalia nchi yenu ni nchi masikini INAYOTEGEMEA misaada na mikopo hata katika Pesa za matumizi ya kawaida ya kuendesha Serikali ndio maana wakaja na formula hiyo.

Nimekuwekea Utekelezaji wa bajeti 2014/2015 huko juu kukuonyesha michanganua ya mapato na matumizi kama yalivyoainishwa katika bajeti ili uone na kusadiki maneno yangu. Hiyo ni Ref ambazo siku zote wasomi wanazitumia.


Sasa kama wewe unaona wamekosea BASI HEBU TUSAIDIE WEWE ULITAKA ZNZ WAPEWE KIASI GANI CHA MISAADA NA MIKOPO KUTOKA NJE INAYOKUJA KWA JINA LA JMTz?

Ushauri kwako Nguruvi3.

1.Jaribu kupitia Bajeti za JMTz na hata ile ya Znz na kuzichambua kwa kina.
2. Pitia machapisho ya kitaalamu na utafiti kama ya REPOA, ESRF yanayozungumzia utafiti wa mas'ala ya uchumi wa Tanzania.
3. Pitia vijarida na makongamano ya wasomi mbali mbali yanayojadili uchumi hususan wa nchi yako.
4. Ripoti mbali mbali za uchumi na fedhwa zinazotolewa na Serikali na wizara zake mbalimbali zinazozungumzia utekelezaji wa miradi ya kiuchumi.


 
Nguruvi3,
Mkuu mbona mnakwepa hoja na kuingilia mambo mengine



  1. Wahisani wamezuai misaada, je znz inapata pungufu ya 4.5% kwa mwezi?
  2. Kama ni mikopo, tuonyeshe wapi znz katika bajeti yake imeonyesha kulipa
  3. Kama znz inapata 4.5% kwa kuzingatia population,Dar inapata kiasi gani
  4. Na ni % gani znz inachangia katika muungano, kulipa madeni.

1. Mkuu unajua unachekesha sana maana huelewi tunazungumza nini.. sasa kama wahisani wamezuia misaada hiyo Miundombinu yetu inajengwa kwa fedha gani? Barubaru kakuonyesha mapato yetu yote kuwa ni trillioni 12, lakini matumizi ya kawaida tu ni trillioni 13, ina maana hazitoshi hata kwa kula na kulalal.. jiulize wewe hizo fedha za ujenzi wa miundombinu yetu inatoka wapi kama wamezuia?

2. Kuhusu Ulipaji. Jina na nchi inayokopa ni JMT, iweje Zanzibar walipe kwa jina lao? umeona wapi imeandikwa Dar es salaam au Mbeya walichangia kulipa madeni kiasi kadhaa! Mnasema wenyewe zanzibar sio nchi halafu unauliza! Kinachokuchanganya ni hii kuwepo kwa Tanzania bara ndani ya JMT basi laa sivyo huna hoja ya msingi kabsa. Na ajabu ya Firaun mnakubali kabisa Zanzibar wasipewe mamlaka ya kujiamulia mambo yao kwa sababu Zanzibar sio nchi, sasa kama hawana mamlaka hayo kwa nini unauliza mchango wa malipo ya Zanzibar !badala ya kuitazama serikali ya JMT (mdaiwa) ambaye ndiye mkopaji.

3. Duh kama Zanzibar wanapewa 4.5, Dar wanapewa ngapi?
Labda nikujibu kihuni tu ni kwamba karibu fedha zote za maendeleo zinaitazama Dar kwanza kwa barabara zake, miradi yake iwe ujenzi wa bandari, uwanja wa ndege, na hata fedha za maendeleo kwa mashirika ya Umma yote yapo Dar ukiacha hizo Escrow, bomba la gas, vyanzo vya kufua umeme kina Richmond na ufisadi mwingine wa Chukua chako mapema. Yaani bora ungeuliza mikoani wanapewa ngapi maana bara hubakiwa na asilimia 95.5, hii hutumikaje? leo wende kuniulize mimi zinagawanywa vipi na hao CCM sidhani kama hoja yako ni Zanzbar tena. Mpango wa maendeleo hautazami wingi wa watu, mji au mkoa isipokuwa mahitaji yetu kama taifa ktk kuzalisha na kukuza uchumi wa nchi nzima, hii ndio kazi ya serikali kuu

4. Labda wewe nambie katika mambo ya muungano ni mapato yapi yaliorodheshwa kuwa ni ya muungano halafu waulize wakusanyaji huzitenganisha vipi. Nachokisoma mimi ni muundo wa Serikali 2 ambao mapato ya kodi yapo ktk mambo ya muungano, ni utaratibu gani unafanyika ktk kukusanya na kuzigawa hilo sii somo langu miye!
 
Nguruvi3,


1. Mkuu unajua unachekesha sana maana huelewi tunazungumza nini.. sasa kama wahisani wamezuia misaada hiyo Miundombinu yetu inajengwa kwa fedha gani? Barubaru kakuonyesha mapato yetu yote kuwa ni trillioni 12, lakini matumizi ya kawaida tu ni trillioni 13, ina maana hazitoshi hata kwa kula na kulalal.. jiulize wewe hizo fedha za ujenzi wa miundombinu yetu inatoka wapi kama wamezuia?

2. Kuhusu Ulipaji. Jina na nchi inayokopa ni JMT, iweje Zanzibar walipe kwa jina lao? umeona wapi imeandikwa Dar es salaam au Mbeya walichangia kulipa madeni kiasi kadhaa! Mnasema wenyewe zanzibar sio nchi halafu unauliza! Kinachokuchanganya ni hii kuwepo kwa Tanzania bara ndani ya JMT basi laa sivyo huna hoja ya msingi kabsa. Na ajabu ya Firaun mnakubali kabisa Zanzibar wasipewe mamlaka ya kujiamulia mambo yao kwa sababu Zanzibar sio nchi, sasa kama hawana mamlaka hayo kwa nini unauliza mchango wa malipo ya Zanzibar !badala ya kuitazama serikali ya JMT (mdaiwa) ambaye ndiye mkopaji.

3. Duh kama Zanzibar wanapewa 4.5, Dar wanapewa ngapi?
Labda nikujibu kihuni tu ni kwamba karibu fedha zote za maendeleo zinaitazama Dar kwanza kwa barabara zake, miradi yake iwe ujenzi wa bandari, uwanja wa ndege, na hata fedha za maendeleo kwa mashirika ya Umma yote yapo Dar ukiacha hizo Escrow, bomba la gas, vyanzo vya kufua umeme kina Richmond na ufisadi mwingine wa Chukua chako mapema. Yaani bora ungeuliza mikoani wanapewa ngapi maana bara hubakiwa na asilimia 95.5, hii hutumikaje? leo wende kuniulize mimi zinagawanywa vipi na hao CCM sidhani kama hoja yako ni Zanzbar tena. Mpango wa maendeleo hautazami wingi wa watu, mji au mkoa isipokuwa mahitaji yetu kama taifa ktk kuzalisha na kukuza uchumi wa nchi nzima, hii ndio kazi ya serikali kuu

4. Labda wewe nambie katika mambo ya muungano ni mapato yapi yaliorodheshwa kuwa ni ya muungano halafu waulize wakusanyaji huzitenganisha vipi. Nachokisoma mimi ni muundo wa Serikali 2 ambao mapato ya kodi yapo ktk mambo ya muungano, ni utaratibu gani unafanyika ktk kukusanya na kuzigawa hilo sii somo langu miye!
Hamjaweza kusema 4.5% inatoka wapi.
Ndiyo maana niliwauliza, kwanza wekeni sawa, je, ni kutoka bajeti ya JMT, ni kutoka mapato ya Trilioni 12 ya Tanganyika au ni kutoka katika misaada na mikopo?

Hapa ndipo pa kuanzia na si kukimbilia deficit kati ya trilioni 13 na trilioni 12.

Pili, elezeni, je kama ni mikopo na misaada mnayosema, wadhamini wamezuia kwa kipindi sasa.

Znz inapata 4.5 kwa utaratibu wa kila mwezi na kwa jumla ya mwaka.
Je, katika kipindi ambacho misaada imezuia, znz imepata pungufu ya 4.5%? Simple!

Hoja kwamba miundo mbinu inajengwa na pesa zipi, ni nyanya na isiyo na mashiko.

Kama ni msomaji utaelewa miradi mingi imesimamishwa kutokana na kukosa fedha za wafadhi walizozuia.

Lakini pia lazima uelewe, ile imayoendelea pesa zilitolewa mwaka uliotangulia.
Na baada ya kuisha ndiyo sasa tunaona miradi imezuiwa. Hilo halina mjadala tena kwa mwenye uelewa.

Kuhusu hoja ya znz kutolipa deni kwasasababu Dar na Mbeaya hawana mahali walipoonyeshwa kuwa wanalipa deni, hoja hii inafungua mambo mengi.

Kwanza,Dar es salaama na Mbeya hazina mgao wa 4.5% kama znz. Hazina 21% ya ajira kama znz, hazina advantage ya exclusive jurisdiction kama znz.

Hivyo, ikiwa znz inadai 4.5%, kulinganisha znz na Dar ni kujichanganya, hivyo ni vitu viwili tofauti kabisa.
Kwavile znz inadai kama nchi, ina wajibu wa kulipa kama nchi.

Sisi wengine tunasema znz ni nchi na ni dola kwasababu ina kila kitu tofauti na sehemu nyingine ya Tanzania.
Haina sababu za kuwa sehemu ya Tanzania wakati wa dhiki na kuwa znz wakati wa faraja. Kigoma na Singida ni Tazania, hazina hadhi ya nchi au dola kama znz. Huwezi kulinganisha vitu hivyo. Tanga na Arusha hazina katiba yao kama znz na wala hazina bunge kama znz. Hivyo, znz haiwezi kukwepa majukumu kwa kujificha katika kivuli cha Utanzania. Ni ima wawe mkoa kama Dodoma au wawe nchi wabebe majukumu. Hakuna 'half a glass''

Ni kwa msingi huo, ndiyo maana tunataka Tanganyika. Wewe hutaki Tanganyika(ushahidi upo).

Na umeeleza kuwa nje ya muungano znz watapa hasara(ushahidi upo ukihitaji).

Sisi wengine tunasema, Tunataka Tanganyika ili tuamue na kupanga namna ya kushughulika na umasikini, ufisadi na wizi bila kuzongwa na znz ambayo hakuna anAyeeleza katika muungano huu inafaida gani kwa Tanganyika zaidi ya kelele

Kama znz wanAona wanaonewa, wana hiari ya kuacha muungano ili waendele kukopa na misaada kama wao.

Na kwa taarifa yako, katika katiba ya Chenge, wznz wameshinikiza wapewe haki ya kikatiba ya kudhaminiwa wakitaka misaada na mikopo. Hili tu linaonyesha wazi kuwa hakuna uonevu, bali wanapata fadhila.

Ni fadhila kwasababu katika huu muungano hakuna mahali inaonyeshwa wanachangia nini.

Hoja yao ya kutochangia eti ni kwasababu hakuna account ya pamoja.
Well, account ya pamoja wanayochota pesa zao za bajeti ni ipi?
Account ya pamoja wanayochukua bilioni 1.75 kwa mwezi kama kodi ni ipi?
Account ya pamoja wanayopata 4.5% ni ipi?

Account ya pamoja wanayolipa mishahara ya wafanyakazi wa muungano ni ipi?
Account ya pamoja inayowapa ulinzi ni ipi?
Account ya pamoja ya taasisi na wizara za muungano wanayochangia ni ipi?
Account ya pamoja inayolipa wale watalii 84 wanaokuja kulala Dodoma kwa jina la wabunge ni ipi?

Huwezi kuwa na kikapu cha kujichotoea halafu udai huna kikapu cha kuweka. Insane.

Ni haya ndio Watanganyika wanayaona sasa na mbele ya safari kila mmoja atabeba mzigo wake.

Tanganyika inabeba sijui znz itakuwaje. Huoni mada ya kuvunjika kwa muungano inaleta mantiki zaidi kuliko njia za kuficha ukweli!

Hoja yako ya nne, nakubaliana nayo kabisa. Hakuna mapato ya muungano na yale ya Tanganyika.
Jiulize, znz katika pato la bilioni 400 kuna ni hapo. In other words, Tanganyika wana disadvantage, chao kinatumika kote na znz wanachukua chao na kutumia wao.

Hivyo basi unatakiwa uunge mkono uwepo wa Tanganyika ili kila mmoja aonekane wazi katika kuchangia, na si kuchota.
Hapa ndipo hoja ya Tanganyika inapokuwa na mantiki sana na ahsante kwa hoja yako.

Msikwepe hoja kwa maneno mengi, jibuni hoja kwa hoja,
 
DISADAVANTAGE YA TANGANYIKA KUFICHWA KWA JINA TANZANIA



Mkandara kaleta hoja moja nzuri sana. Anauliza kwamba, hakuna mahali mfuko wa pamoja wa muungano, mapato ya muungano hayawezi kutenganishwa kati ya Tanzania na Tanganyika.

Katika nyakati nadra sana, Mkandara amekiri umuhimu wa uwepo wa Tanganyika.
Huko nyuma alikataa kata kata uwepo wa Tanganyika kwasababu anazozijua yeye na zilizo wazi.


Hoja ya Mkandara ni nzuri kwa kuzingatia mambo kadhaa na hapa kuna mifano mziuri.

Kwanza, znz wameondoa gesi na mafuta katika mambo ya muungano.
Kama watabahati kuwa na vitu hivyo, hiyo ni mali ya znz peke yake na Mtanganyika hana haki nayo.


Gesi na mafuta ya Tanganyika yanaitwa Tanzania, yatakayotoa kodi na kuhudumia wafanyakazi wa muungano, ulinzi na usalama, mambo ya nje, mambo ya ndani na taasisi za kimataifa.

Mapato ya Tanganyika kwa jina la Tanzania, yanainyima Tanganyika fursa ile ile wanayoililia znz ya kutumia mapato yake kwa watu wake. Tanganyika ina hasara.


Mfano wa pili, kodi za wafanyakazi wa muungano.
Tunafahamu wazi kuwa wizara za muungano ni takribani tano, ya ulinzi na usalama, mambo ya ndani, mambo ya nje, fesha na muungano.

Hivyo wafanyakazi wa wizara hzio ndio wanaopaswa kutoa 21% ya watumishi wa muungano.

Kinyume chake, 21 inatoka katika wizara zisizo za muungano ambazo ni za Tanganyika.
Hapa Tanganyika ina disadvantage kwasababu hakuna Mtanganyika anayepata fursa kama za wznz kule znz.


Na zaidi ya hapo, kodi ya wafanyakazi wa muungano ambayo ni 1.75Bilioni intaoka kwa wafanyakazi wa Tanganyika katika wizara na idara zisizo za muungano.

Mfano, ni serikali za mitaa,. Hapa Tanganyika inakusanya kodi za Watanganyika na kuzipleka znz kwa jina la muungano au Tanzania.


Mfano wa tatu, kwavile Tanzania ndiyo Tanganyika, jukumu la kuhudumia wafanyakazi wa muungano ni la Tanzania ambayo znz ipo.

Gharama hizo anazibeba Mtanganyika kwa kubatizwa jina la Tanzania.
Hapa ni disadvantage kwa Mtanganyika kwasababu penye gharama znz inatumia Tanzania, penye mafao zanz inatumia znz kama znz.


Mfano wa nne, na huu naurudia sana. Wznz wanasema elimu ya juu imeingizwa kinyemela si muungano.

Wanapotaka kuleta vijana wao kupata mikopo na nafasi za masomo hutumia jina la Tanzania.

Ndiyo maana tunawafunzi 1024 kwa mwaka mmoja tu wanaodhaminiwa na Tanzania.

Lakini hiyo Tanzania ni Tanganyika, ambayo imewanyima nafasi vijana wake kwa kujitoa kwa jina la Tanzania.
Wenye hasara hapa ni Watanganyika, si wznz.


Umuhimu wa kutenga hizi nchi ni mkubwa sana. Kinyume chake, ipo siku Watanganyika watachoka, na wameanza kuchoka, na huo ndio utakuwa mwisho wa muungano.

Haiwezekani, changu kiwe chetu, chako kiwe chako.

Kwanini mafuta na Gesi zinazopatika nchi mmoja zisihudumie nchi hiyo bali nchi moja itoe kwa ajili ya nyingine?
 
Nguruvi3,
Mkuu wangu wewe sijui una tatizo la kuelewa maana unanishtua usije kuwa ktk yale maneno ya Nyerere kuhusu - Ujinga na Upumbavu. samahani sina maana ya kutukana ila unanitia wasiwasi sana isije kuwa tunazungumza na mtu ignorant!.

Kuna vitu viwili hapa unachanganya - kuna 1. Nchi, na kuna 2. Serikali = 1. Katika muungano wetu zipo nchi mbili ya Tanganyika na Zanzibar na 2. Muungano huu una serikali mbili, serikali ya Zanzibar na serikali ya JMT. Hivyo unapozungumzia nchi hakuna mahala mtu amekataa kwamba hakuna Tanganyika ktk muungano wetu, laa sivyo tusingekuwa na muungano wa nchi mbili.
Lakini tuna serikali 2 hapo hakuna serikali ya Tanganyika isipokuwa tunayo ya JMT ambayo inashughullikia mambo ya Muungano na yasokuwa ya Muungano! na nikasisitiza ikiwa wewe unataka Tanzania bara iitwe Tanganyika hujakatazwa anza hata kesho kujitambulisha hivyo! sii jina tu mbona Congo iligeuzwa jina na kuitwa Zaire ikarudi tena kuitwa Congo DR. Imewabadikisha wananchi wakazi wake sura na maumbile yao ama kipi? Jina ni jina tu halibadilishi kitu.

Hoja yetu ipo katika serikali na sababu ya kuundwa serikali hizi ni muundo wa kurahisisha utekelezaji wa huduma zake kuwafikia wananchi, hapo nchi imeshakuwepo tayari. Hivyo zimeundwa serikali nyingi hadi za mitaa na yawezekana mtu akadai kwa nini tuna serikali za mtaa nyingi mijini kuliko vijijini ambako ndiko kwenye asilimia kubwa ya wananchi. Je muundo huu hauwalazimishi wananchi kuhamia mijini wenye huduma bora kuliko kukaa vijijini?. Je, ni serikali ngapi haswa zinafaa, tuongeze zipi na tuache zipi haya yote ni maswala yatokanayo na kutazama huduma zitawafikiaje wananchi. Pamoja na maswali yote haya haibadilishi ukweli kwamba tuna nchi mbili zilizoungana kuunda taifa moja la Tanzania.

Kwa hiyo naomba unielewe vema na sii kukurupuka na kujijaza ujinga zaidi pale unapoelimishwa. Na nimekueleza vizuri zaidi ya kwamba hata ile kugawana mapato ya maendeleo, Zanzibar kupewa 4.5% pasipo kutanguliwa na mipango ya maendeleo kwa upande huo ni makosa kwa sababu kazi kubwa ya serikali kuu ni kuwekeza fedha pale zinapohitajika ili kuweka misingi bora ya uwekezaji katika kukuza uchumi. Ujenzi wa miundombinu hautazami idadi ya watu bali miradi gani inahitajika mahala fulani na gharama zake ni kiasi gani, hivyo unaweza kuwa na mradi mmoja tu Rukwa na ukagharimu nusu ya fedha zote za maendeleo, haina maana Rukwa hawakupaswa kupewa mradi huo kutokana na idadi ya wakazi wake ila Mradi huo utazalisha kiasi gani na kukuza uchumi wetu kwa kiasi gani ndio muhimu zaidi ya watu wake.

Hivyo tunaweza kutumia asilima 20 ya mfuko wa maendeleo kujenga vyanzo vya umeme Mtwara na Lindi kununua share ya uwekezaj mradi huo wakati mikoa mingine imepewa kidogo zaidi kutokana na miradi ilokusudiwa kuanzishwa huko japo pia ni muhimu ktk sehemu hizo. Mfuko wa Taifa yaani Federal haugawi fedha zake kwa kufuata asilimia ya watu bali uwekezaji wake ktk miradi ya Kitaifa hivyo ikiwa ni barabara ama uwanja wa ndege haina maana kila mkoa unastahili kujengewa uwanja kama wa mkoa fulani au kwa sababu Zanzibar hupewa asilimia 4.5 basi tutazame mikoa mingine hupewa kiasi gani.

Hii habari ya kugawanya kulingana na idadi ya watu hutokea tu kwenye fedha za matumizi ya ndani yaani recurrent expenditures ambazo hugawanywa kutokana na gharama za utumishi wa wizara, idara na mashirika yasokuwa ya muungano hivyo Mkoa wa Dar unaweza pata kiwango fulani japo mchango wa Dar ni asilimia 80 sio lazima wapewe kulingana na mchango wao bali kiasi gani kinahitajika ili kuendesha shughuli za serikali ktk mkoa huo. Hii haina maana ya kusema kwamba maadam Dar huchangia zaidi ya asilimia 80 basi tutazame Rukwa huchangia ngapi ili wapewe mgao wao isipokuwa mkoa Rukwa wanahitaji kiasi gani kuweza kugharamia matumizi ya utekelezaji wa shughuli za serikali mkoani hapo. Hivyo, hii habari ya kuna watu asilimia kadhaa hivyo lazima fedha zipelekwe huko asilimia kadhaa mnaitoa wapi?

Hivyo basi tunapokuwa na serikali 2 tunaepuka serikali ya JMT kuwa na matumizi mara mbili, matumizi ya utumishi wa bara na JMT , badala yake serikali ile ile ya JMT ndiyo inashughulikia pia mambo ya bara kwa gharama zile zile. Waziri mmoja analipwa mshahara mmoja kuhudumia wizara mbili. Tunakuwa hatuna mawaziri wawili, wakurugenzi wawili, ofisi za serikali mbili mbili na watumishi wa aina mbili kila mkoa wa bara.



Serikali yetu haina huduma za welfare wala kugawa zaka iweje wapime asilimia kulingana na watu?.. kuna mikoa ina watu wengi lakini ina shule chache zaidi ya mkoa mwingine, Je wapeleke mishahara ya walimu kubwa kwenye mikoa yenye watu wengi ama mkoa wenye shule na walimu wengi?

Kuhusu swala la gas, upuuzi wa kutegemea gas na mafuta ndio ulotufikisha hapa, na sintopenda kuendelea na malumbano ya kijinga kwa sababu sisi ni MATEJA. tanzania haisafirishi gas nje ila watumiaji wake ni sisi wenyewe wananchi ambao tunalipa kodi.

Na maadam gas hiyo inauzwa Zanzibar ama kutumika ina maana mauzo yake ni pato la taifa. Kama Zanzibar wameondoa ama wataondoa gas na mafuta kutokuwa swala la muungano basi moja kwa moja sisi ambao tunayo tayari yatakuwa sii ya muungano. Hakuna mahala popote panaposema Zanzibar ikipata gas na mafuta basi mapato yake hatayatakuwa ya muungano isipokuwa ya bara yatabakia kuwa ni ya muungano!.
 
Nguruvi3,
Mkuu wangu wewe sijui una tatizo la kuelewa maana unanishtua usije kuwa ktk yale maneno ya Nyerere kuhusu - Ujinga na Upumbavu. samahani sina maana ya kutukana ila unanitia wasiwasi sana isije kuwa tunazungumza na mtu ignorant!.

Kuna vitu viwili hapa unachanganya - kuna 1. Nchi, na kuna 2. Serikali = 1. Katika muungano wetu zipo nchi mbili ya Tanganyika na Zanzibar na 2. Muungano huu una serikali mbili, serikali ya Zanzibar na serikali ya JMT. Hivyo unapozungumzia nchi hakuna mahala mtu amekataa kwamba hakuna Tanganyika ktk muungano wetu, laa sivyo tusingekuwa na muungano wa nchi mbili.
Lakini tuna serikali 2 hapo hakuna serikali ya Tanganyika isipokuwa tunayo ya JMT ambayo inashughullikia mambo ya Muungano na yasokuwa ya Muungano! na nikasisitiza ikiwa wewe unataka Tanzania bara iitwe Tanganyika hujakatazwa anza hata kesho kujitambulisha hivyo! sii jina tu mbona Congo iligeuzwa jina na kuitwa Zaire ikarudi tena kuitwa Congo DR. Imewabadikisha wananchi wakazi wake sura na maumbile yao ama kipi? Jina ni jina tu halibadilishi kitu.

Hoja yetu ipo katika serikali na sababu ya kuundwa serikali hizi ni muundo wa kurahisisha utekelezaji wa huduma zake kuwafikia wananchi, hapo nchi imeshakuwepo tayari. Hivyo zimeundwa serikali nyingi hadi za mitaa na yawezekana mtu akadai kwa nini tuna serikali za mtaa nyingi mijini kuliko vijijini ambako ndiko kwenye asilimia kubwa ya wananchi. Je muundo huu hauwalazimishi wananchi kuhamia mijini wenye huduma bora kuliko kukaa vijijini?. Je, ni serikali ngapi haswa zinafaa, tuongeze zipi na tuache zipi haya yote ni maswala yatokanayo na kutazama huduma zitawafikiaje wananchi. Pamoja na maswali yote haya haibadilishi ukweli kwamba tuna nchi mbili zilizoungana kuunda taifa moja la Tanzania.

Kwa hiyo naomba unielewe vema na sii kukurupuka na kujijaza ujinga zaidi pale unapoelimishwa. Na nimekueleza vizuri zaidi ya kwamba hata ile kugawana mapato ya maendeleo, Zanzibar kupewa 4.5% pasipo kutanguliwa na mipango ya maendeleo kwa upande huo ni makosa kwa sababu kazi kubwa ya serikali kuu ni kuwekeza fedha pale zinapohitajika ili kuweka misingi bora ya uwekezaji katika kukuza uchumi. Ujenzi wa miundombinu hautazami idadi ya watu bali miradi gani inahitajika mahala fulani na gharama zake ni kiasi gani, hivyo unaweza kuwa na mradi mmoja tu Rukwa na ukagharimu nusu ya fedha zote za maendeleo, haina maana Rukwa hawakupaswa kupewa mradi huo kutokana na idadi ya wakazi wake ila Mradi huo utazalisha kiasi gani na kukuza uchumi wetu kwa kiasi gani ndio muhimu zaidi ya watu wake.

Hivyo tunaweza kutumia asilima 20 ya mfuko wa maendeleo kujenga vyanzo vya umeme Mtwara na Lindi kununua share ya uwekezaj mradi huo wakati mikoa mingine imepewa kidogo zaidi kutokana na miradi ilokusudiwa kuanzishwa huko japo pia ni muhimu ktk sehemu hizo. Mfuko wa Taifa yaani Federal haugawi fedha zake kwa kufuata asilimia ya watu bali uwekezaji wake ktk miradi ya Kitaifa hivyo ikiwa ni barabara ama uwanja wa ndege haina maana kila mkoa unastahili kujengewa uwanja kama wa mkoa fulani au kwa sababu Zanzibar hupewa asilimia 4.5 basi tutazame mikoa mingine hupewa kiasi gani.

Hii habari ya kugawanya kulingana na idadi ya watu hutokea tu kwenye fedha za matumizi ya ndani yaani recurrent expenditures ambazo hugawanywa kutokana na gharama za utumishi wa wizara, idara na mashirika yasokuwa ya muungano hivyo Mkoa wa Dar unaweza pata kiwango fulani japo mchango wa Dar ni asilimia 80 sio lazima wapewe kulingana na mchango wao bali kiasi gani kinahitajika ili kuendesha shughuli za serikali ktk mkoa huo. Hii haina maana ya kusema kwamba maadam Dar huchangia zaidi ya asilimia 80 basi tutazame Rukwa huchangia ngapi ili wapewe mgao wao isipokuwa mkoa Rukwa wanahitaji kiasi gani kuweza kugharamia matumizi ya utekelezaji wa shughuli za serikali mkoani hapo. Hivyo, hii habari ya kuna watu asilimia kadhaa hivyo lazima fedha zipelekwe huko asilimia kadhaa mnaitoa wapi?

Hivyo basi tunapokuwa na serikali 2 tunaepuka serikali ya JMT kuwa na matumizi mara mbili, matumizi ya utumishi wa bara na JMT , badala yake serikali ile ile ya JMT ndiyo inashughulikia pia mambo ya bara kwa gharama zile zile. Waziri mmoja analipwa mshahara mmoja kuhudumia wizara mbili. Tunakuwa hatuna mawaziri wawili, wakurugenzi wawili, ofisi za serikali mbili mbili na watumishi wa aina mbili kila mkoa wa bara.



Serikali yetu haina huduma za welfare wala kugawa zaka iweje wapime asilimia kulingana na watu?.. kuna mikoa ina watu wengi lakini ina shule chache zaidi ya mkoa mwingine, Je wapeleke mishahara ya walimu kubwa kwenye mikoa yenye watu wengi ama mkoa wenye shule na walimu wengi?

Kuhusu swala la gas, upuuzi wa kutegemea gas na mafuta ndio ulotufikisha hapa, na sintopenda kuendelea na malumbano ya kijinga kwa sababu sisi ni MATEJA. tanzania haisafirishi gas nje ila watumiaji wake ni sisi wenyewe wananchi ambao tunalipa kodi.

Na maadam gas hiyo inauzwa Zanzibar ama kutumika ina maana mauzo yake ni pato la taifa. Kama Zanzibar wameondoa ama wataondoa gas na mafuta kutokuwa swala la muungano basi moja kwa moja sisi ambao tunayo tayari yatakuwa sii ya muungano. Hakuna mahala popote panaposema Zanzibar ikipata gas na mafuta basi mapato yake hatayatakuwa ya muungano isipokuwa ya bara yatabakia kuwa ni ya muungano!.
Anachronism at the best.

Hujajibu hoja hata moja unakimbilia habari zingine.Hapa hatuongelei mikoa, tunaongelea nchi mbili kama ulivyosema,period.

Tunaongelea Tanganyika na Zanzibar. Nina video za kuonyesha jjinsi wznz wanavyoplilia utaifa wao, si Utanzania ni uzanzibar. Hakuna msingida au mwarusha anayedai hivyo, wao ni Watanzania.

Hivyo basi mifano yako kuhusu kugawa pesa ni jitihada za kukimbia hoja. Mimi siendi huko narudi katika hoja,

1. Tuambie kwanini znz ipate 4.5% kama sote ni taifa moja.
Nipe mkoa mwingine wenye kupata asilimia hizo.

2. Tueleze 4.5% inayopata znz inatoka katika eneo gani? Bajeti ya Tanganyika, kipato cha Tanganyika au misaada na mikopo. Hapo lazima tuwe na jibu ili kupata uhalali wa 4.5. Kama hakuna jibu basi 4.5 ni zawadi kwa znz

3. Tueleze, katika muungano huu unaosema ni wa nchi mbili, znz inachangia nini? Kama hakuna mfuko wa kuchangia tueleze mfuko wa kuchota 1.76Bilioni, 4.5%, gharama za JMT ikiwa ni pamoja na malazi ya wabunge wanaokuja kusikiliza bunge analipia nani.

4. Kama 4.5% ni kutokana na misaada na mikopo, je baada ya wahisani kusitisha znz imepata pingufu ya 4.5%

5. Hapo nyuma umesema hakuna mfuko wa muungano na hivyo ni ngumu kugawanya mapato ya Tanganyika na znz.

Kama sisi ni taifa moja kama ulivyosema, vipi serikali ya mkoa wa Dar es Salaam isipewe kipaumbele tukizingatia kuwa uchumi wake na kila kitu ni zaidi ya znz?

6. Unaposema znz wanadai haki yao, ni haki gani waliodhulimiwa ukilinganisha na mkoa wa Tanga kwa mantiki ya hoja zako?

7. Kama tunaweza kupata mchango wa kila mkoa kwa pato la taifa, inapotokea znz inachangia sifuri hilo linaeleza nini kwa walipa kodi wa nchi hii? Na uhalali wa kudai upo wapi? Wajibu wa znz katika muungano ni nini? Nini faida yake kama mshirika wa muungano

8. Kama waziri mmoja anashugulikia wizara ya muungano na Tanganyika,ikiwa waziri mkuu hatambuliwi znz, huyo waziri unayesema anatambuliwa na nani?

9. Kama hoja ya gesi na mafuta niliyosema ni upuuzi, tunauliza kwanini gesi ya Tanganyika itumike kumhudumia mzanzibar na gesi ya znz iwe ya znz?

Hapa mpuuzi ni nani, yule anayeiba au yule anayeibiwa? Na unataka kuwaambia nini Watanganyika , kwamba ni wapuuzi kwa kuachia rasilimali zao zielekezwe nchi jirani ya znz

10. Znz inakosa kitu gani kuwa dola kamili kwa sasa, na uhalali wa znz kudai mafao ya muungano unatoka wapi.
(Kumbuka hawa hawana msaada wa aina yoyote katika muungano bali mzigo mzito)

11. Kama tuna serikali 2 kwa mujibu wako, kwanini serikali ya Tanganyika itoe bilioni 1.75 kwenda znz kama kodi ya wafanyakazi wa muungano ikiwa tuna wizara takribani 5-6 za muungano?

Nimalizie kwa kusema, aliyeleta hoja za mgao kwa znz kwa kutumia population ni ahali wako uliyemsifia, sasa hoja zimekuwa nzito unamruka na kusema ni upuuzi. Sisi hatukusema, tuliuliza formula inayotumika kupata 4.5% ambayo bado tunakuuliza ni ipi?

Ni formula gani imetumika kupata 21% ya ajira za watanganyika zisizowahusu wazanzibar?

Hizi ndioz hoja zinazokupandisha munkari hadi kuporomosha mitusi.

Tulia, haya mambo ukiyaelewa na kutoyaonea haya hayana hasira.

Kwa mfano, wzn wanakubali kuwa hawana mchango katika muungano.
Wanakubali kwasababuhakuna hata mmoja anyeeleza znz inamsaidiaje Mtanganyika inachangia nini.

Jibu hoja mkuu,nina hakika watanganyika wanatuelewa sana jata kama unatutukana. Watanganyika wanaelewa na wameamka

Ni suala la muda watatoa yao ya moyoni, hapo ndipo utatambua kuwa dawa ya hoja ni hoja si matusi.

Mkuu usikimbie na kuruka huku na kule, kabiliana na hoja kwa mantiki, utulivu na uzito wake. Tuliza mawazo, kipigo cha hoja kinauma lakini ni dawa inayosadia!

Coming up, video za Baraza la wawakilishi. Jinsi hoja zinavyojengwa! usikose
 
HUU NDIO ULIOKUWA MSIMAMO WA WAZANZIBAR KUELEKEA BUNGE LA KATIBA

NI WWAKILISHI HAO HAO WALIPOFIKA DODOA WAKAPIGA 'U-TURN'

MJADALA NA VIDEO


Sehemuya kwanza, marejesho
Aawali tukumbushe kuwa hojazinazotokana na malalamiko ya wznz hazina majibu.

Zanzibar ni nchi yenye vyombo vilivyokamilika kama dola.
Nisehemu ya nchi mbili zilizoungana kuunda muungano wa Tanzania.
Hivyo,jinaTanzania ni matokeo ya muungano. Hakuna Tanzania bara wala Tanzania visiwani.



Znz ina madai ya kupata 4.5% na sasa wanataka ifike asilimia7.
Haielezwi ni nini hasa 4.5% inawakilisha. Ni mtajiwa bank kuu au ni mikopo na misaada.?



Hakuna anyejua formula ya 4.5% imepatikana kwa kigezo gani. Hakuna anyejua ni 4.5 ya pato la Tanganyika?Pato la bajeti ya Tanzania? Au ni kutoka misaada na mikopo. Kwa hiliWatanganyika wameandikiwa ''blank cheque'' kutoka znz.


Orodha ya mambo yanayotatiza ni mengi sana.Kuna formula gani imetumika znz kupewa 21% ya ajiraza muungano?


Je, ni ajira za wizara 6 tu au ni ajira za kila eneo laTanganyika? Na 21% imepatikana kwa kuangalia nini hasa.
Kuna suala la kodi ya wafanyakazi hao 21%. Je, kodi hiyo niya wizara zile zisizozidi 6 au ni ya wizara zote? SMZ yenyewe ina wafanyakazichini ya 10,000. JMT inawafanyakazi wasiopungua au takribani 100,000.


Kwa minajili ya mjadala, wznz wakipewa 21% ya 100,000 hiyo nisawa na wafanyakazi 21,000 .
SMZ haiwezi kuajiri kiaisi hicho, kwaniniTanganyika inaadhibiwa kwa msaada wa ajira na kupigwa faini ya kodi za muunganokwa kuajiri wznz?

Ni kigezo gani kimetuika kufikia hitimisho la znz kupewa1.75Bilioni za kodi za wafanyakazi wa muungano.


Hoja zote hizi na nyingine nyngi hazina majibu, si kwawanajamvi, wabunge, au wawakilishi kule Zanzibar.
Ni mambo yanayofanyika kwamazoea tu.


Mwanasheria nguli visiwa aliwasilisha mada yake wakati wakuweka mkakati wa kaiba mpya mwaka 2012 katika BLW. https://www.youtube.com/watch?v=DpoyNKkVyFg


Mwanasheria Abdallah katika muda was aa 1.03, anasema
'' fedhaza muungano zitumike kwa pamoja, na rasilimali zake zifaidishe Tanganyika''



Hoja zetu: Endapo ni hivyo, kwanini znz imekimbia kuondoagesi na mafuta ikiwa railimali za taifa zinatakiwa zitumike pamoja? Nirasilimali gani za muungano ambazo ni tofauti na zile za znz.


Abdallah: Dakika ya 35 anasema '' JMT haikuonyesha interestza kujenga bandari znz'
Hoja zetu: Wznz waliondoa bandari ili wawe na bandarihuru, je , JMT kuingilia kati hilo halikuwa kuingilia mamlaka ya znz jambowasilotaka?

Na kama JMT haina interest znz, iweje JMT ilitoa bilioni 11 kwaajili ya umeme wa Pemba ambao Mtanganyika hana manufaa nao?



Abdallah:
Saa 1.03 anasema ''makao makuu yote ya taasisi zamuungano yapo Tanganyika na hilo linawanyima fursa wznz''


Hoja zetu: Hivi znz ikipewa wizara ya mambo ya ndani itawezakuhudumia gharama zake?
Nani atawajibika kwa gharama za kuendesha ofisi hiyoikiwa kwasasa znz haichangii chochote kwa mujibu wa gavan wa BoT na waziri wafedha wa znz.


Je, Abdallah alifikiria hata kwa bahati mbaya kuhusujiografia ya nchi hii?

Kuna sababu gani za taasisi ambazo nyingi ni za bara(znzwana zao) kuweka huduma zao nchi jirani kama wanavyosema wao?


Tena anasema TRA ingeweka makao makuu znz,hivi TRA inapokea nini kutoka znz, na SMZ inaweza kuendesha huduma za TRA ikiwaumeme haiwezi kulipa?


inaendelea…..

 
https://www.youtube.com/watch?v=DpoyNKkVyFg
Mwanasheria Abdallah:
Anasema, mambo ya muungano yalikuwa 11yakifikia 22 na kwa mujibu wake sasa ni 37.
Katika dakika 40 anasema, kunakumega Zanzibar ili kuimarisha Tanganyika.



Hoja zetu: Katika hayo 37,mwanasheria hakueleza ni yapi yanayomnufaisha Mtanganyika kiasi cha kuongeza nakufikia 37.


Na hii ni hoja isiyo na majibu kamazilivyo zingine. Mfano, elimu ya juu, Mtanganyika anafaidika na nini Zaidi yakupoteza nafasi za vijana wao?

Na je kusomesha wznz kwa gharama zaWatanganyika, ndiko kumega znz.
Na kipi ambacho Tanganyika imemega kutoka znz.


Mohamed Raza:
Katika muda was aa 1.16anasema ‘Wapeni Tanganyika, kila mtu akae nan chi yake.
Anaendelea kusema znzitangaze mgogoro wa kikatiba.


Hoja zetu: Raza, Kificho, Vuai wotewalikuwa Dodoma wakipigia debe mfumo wa S2 kinyume na hoja zao.
Kwa taarifa yaRaza na wenzake, Watanganyika wanataka Tanganyika yao na kama alivyosema kamaupo uwezekano kila mtu akae na nchi yake


Jusa Ismaili:
Muda was aa 1.38anasema, Watanganyika wanachukiwa kuitwa Tanganyika.
Akamnukuu Prof Mazruiakisema '' znz ipo katika harakati za kujitoa katika ukoni wa Mtanganyika''


Hoja zetu: Tunapenda Tanganyika nandio msingi mkubwa wa kuwaambia Watangayika wznz hawana maenzi nao. Hakunaanayechukia kuitwa Mtanganyika.

Kama Jusa anadhani znz ni koloni la Tanganyika,ni bora awashawishi wenzake wajiondoe katika ukoloni huu. Hata Watanganyikawasingependa kuwa wakoloni.


Jusa angewauliza akina Nahodha Vuai, Razana wale wengine waliobaki Dodoma, ilikuwaje wakae meza moja na mkolonikujadiliana naye kuhusu muungano?

Itaendelea

 
https://www.youtube.com/watch?v=s_2s26_wPTk
Jusa 12.00 Maeneo znz waisofadika nayo. Wzn wamewekezaTanganyika wanalipa kodi. Wamezalisha ajira, kujenga majumba makubwa?
Hoja zetu: Wzn hawalazimishwi kuwekeza Tanganyika au kuishiTanganyika.
Kinachowaleta ni kutafuta. Jusa anapaswa awashawishi wawekeze Zanzibarna si kusingizia suala la muungano.


Zantel waliwekeza znz na sasa wamehamia Tanganyika.Kinachowavuta Wawekezaji ni nguvu ya soko na wala si muungano. Hivyo hoja yakeimekosa chembe ya weledi akiwa msomi.

Jusa: Katika dakika 16.40 anasema Watanganyika wamechukuanafasi za wazanzibar katika sekta binafsi znz. Hili linashangaza, sektabinafsi inatawaliwa na nguvu ya soko.

Lakini ajiulize wale Wakenya na watalianonao wana muungano na znz?
Jusa atueleze ile 21% ya wznz katika Tanganyikainamfaidisha nani! Je hii siyo choyo tunayoongelea kila siku


https://www.youtube.com/watch?v=kzDUiXBvFro
Mansour: Dakika ya 22 anadai utaifa wa znz. Anauliza utaifawake wa znz upo wapi?
Anashauri muungano wa mkataba na kusema znz haina fursaza kiuchumi na hivyo muungano hauna maana


Hoja zetu: Utaifa wa znz utakuwepo pale tu znz itakapoamuakuachana na muungano usio na maana. N

a huu ni ushahidi kuwa wznzhujisikia dhalili kuitwa Watazania.
Muungano wa mkataba hauna manufaa kwaMtanganyika kama huu uliopo sasa
Jambo jema ni wznz kupima kama wanasababu zakuendelea na muungano huu.


Wznz ajiulize, kwanin wanadhani wao wana nguvu ya kuamuaaina ya muungano.
Ni kwa uwezo upi ndani ya muungano, ambao unawapa nafasi yakumua hivyo.


Lakini pia wznz wajiulize, ni nani amewapa nguvu ya kusemajambo hili liwe la muungano lile hapana!
Kwa kuangalia uwajibikaji katikamuungano, pengine wangekuwa na busara, wasingezungumzia haki na usawa


Haki inakuja pamoja na uwajibikaji. Je, znz inawajibika vipikuuhudumia huu muungano?
Na kwanini znz wadhani wana haki ya kudai usawa ,lakini hawana haki ya kulinda heshima ya usawa huo.


Katika mfululizo wa video za wznz, hakuna anyesimama kuzungumzia jinsi gani znz inawajibika katika muungano.

Kila mmoja anataka hiki au kile kutoka katika muungano
Huo ndio msingi wa kuwa na asilimia na mafunguyanayokwenda znz bila kuwa na formula au utaratabu.

Tanganyika inajukumu kubwa. Inapofika mahala znzinataka kuamua aina ya muungano, hilo ni la kufikirisha.

Ni kwa faida gani watanganyika wanadhani ni muhimu kutumiamuda na resource zao ili kuendele kuwafariji wazanzibar?
Hatari wasiyo iona ni hii ya znz kutumia jina la Tanzaniakila wanapotaka mafao.

Bila uwepo wa Tanganyika, haki na usawa wa muunganohaupo.

Mtanganyika ataendelea kubeba mzigo mzito alio nao kwa ujira wa kashfana matusi.


Ni lazima Watanganyika wajiulize, uwekezaji wanaoufanya znzuna tija gani mbele ya safari?

Inaendelea....


 
DISADAVANTAGE YA TANGANYIKA KUFICHWA KWA JINA TANZANIA



Mkandara kaleta hoja moja nzuri sana. Anauliza kwamba, hakuna mahali mfuko wa pamoja wa muungano, mapato ya muungano hayawezi kutenganishwa kati ya Tanzania na Tanganyika.

Katika nyakati nadra sana, Mkandara amekiri umuhimu wa uwepo wa Tanganyika.
Huko nyuma alikataa kata kata uwepo wa Tanganyika kwasababu anazozijua yeye na zilizo wazi.


Hoja ya Mkandara ni nzuri kwa kuzingatia mambo kadhaa na hapa kuna mifano mziuri.

Kwanza, znz wameondoa gesi na mafuta katika mambo ya muungano.
Kama watabahati kuwa na vitu hivyo, hiyo ni mali ya znz peke yake na Mtanganyika hana haki nayo.


Gesi na mafuta ya Tanganyika yanaitwa Tanzania, yatakayotoa kodi na kuhudumia wafanyakazi wa muungano, ulinzi na usalama, mambo ya nje, mambo ya ndani na taasisi za kimataifa.

Mapato ya Tanganyika kwa jina la Tanzania, yanainyima Tanganyika fursa ile ile wanayoililia znz ya kutumia mapato yake kwa watu wake. Tanganyika ina hasara.


Mfano wa pili, kodi za wafanyakazi wa muungano.
Tunafahamu wazi kuwa wizara za muungano ni takribani tano, ya ulinzi na usalama, mambo ya ndani, mambo ya nje, fesha na muungano.

Hivyo wafanyakazi wa wizara hzio ndio wanaopaswa kutoa 21% ya watumishi wa muungano.

Kinyume chake, 21 inatoka katika wizara zisizo za muungano ambazo ni za Tanganyika.
Hapa Tanganyika ina disadvantage kwasababu hakuna Mtanganyika anayepata fursa kama za wznz kule znz.


Na zaidi ya hapo, kodi ya wafanyakazi wa muungano ambayo ni 1.75Bilioni intaoka kwa wafanyakazi wa Tanganyika katika wizara na idara zisizo za muungano.

Mfano, ni serikali za mitaa,. Hapa Tanganyika inakusanya kodi za Watanganyika na kuzipleka znz kwa jina la muungano au Tanzania.


Mfano wa tatu, kwavile Tanzania ndiyo Tanganyika, jukumu la kuhudumia wafanyakazi wa muungano ni la Tanzania ambayo znz ipo.

Gharama hizo anazibeba Mtanganyika kwa kubatizwa jina la Tanzania.
Hapa ni disadvantage kwa Mtanganyika kwasababu penye gharama znz inatumia Tanzania, penye mafao zanz inatumia znz kama znz.


Mfano wa nne, na huu naurudia sana. Wznz wanasema elimu ya juu imeingizwa kinyemela si muungano.

Wanapotaka kuleta vijana wao kupata mikopo na nafasi za masomo hutumia jina la Tanzania.

Ndiyo maana tunawafunzi 1024 kwa mwaka mmoja tu wanaodhaminiwa na Tanzania.

Lakini hiyo Tanzania ni Tanganyika, ambayo imewanyima nafasi vijana wake kwa kujitoa kwa jina la Tanzania.
Wenye hasara hapa ni Watanganyika, si wznz.


Umuhimu wa kutenga hizi nchi ni mkubwa sana. Kinyume chake, ipo siku Watanganyika watachoka, na wameanza kuchoka, na huo ndio utakuwa mwisho wa muungano.

Haiwezekani, changu kiwe chetu, chako kiwe chako.

Kwanini mafuta na Gesi zinazopatika nchi mmoja zisihudumie nchi hiyo bali nchi moja itoe kwa ajili ya nyingine?

Nguruvi3,

Nilipo RED.

Nilitaka nikukumbushe kuwa Wizara ya FEDHA SI YA MUUNGANO. kwani hata Znz wana waziri wa fedhwa.

Wizara ya Fedhwa JMTz si ya muungani ISIPOKUWA ina Taasisi zake ni za Muungano nazo ni TRA, BoT na JFC hizo ndio za muungano.


Wizara za muungano ni
1. Ulinzi na JKT. Ingawa JKT si ya Muungano kwani Znz kuna JKU.
2. Mambo ya ndani. Ingawa idara zake za magereza na Zimamoto si za muungano. kwani Znz kuna mafunzo na Zimamoto.
3. mambo ya Nje.
4. Afrika mashariki
5. Muungano.

Mengine uliyoandika ni manung'uniko yako ya kawaida nafikiri wasomaji wengi wa maandiko yako tumetayazoea.

Ahsantum.

 
Back
Top Bottom