Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #261
jitegemee Ahsante sana kwa umakini wako na ulivyolitendea haki jamvi na bandiko. Ahsante
Mwanasheria Najma alikuwa anaongea na watu. Alichokisema wengine wamebeba. Kusema eti nikutane naye ni kunitaka nikutane na wote tunaojadiliana jamvini. Hilo haliwezekani katika maeneo ya vyombo vya habari vya kijamii
Pili, Najma ana nafasi ya kuja kujibu au kutoa maelezo kama ulivyonena,kama hawezi hilo halizuii jamii kzungumzia kauli zake.
Tuna watu tunaowajadili kila uchao, nashangaa hatujaambiwa waje hapa tuongee nao ili kutenda haki.
Tatu, Najma alipokuwa anaongea Camera na video zilikuwa zina roll, na alijua ananukuliwa.
Aliongea kama mwanasheria na kiongozi wa jamii. You tube wamepandisha video, Barubaru hajakemea,anakemea tunaotumia video.
Hizi ni jitihada za kutunyamazisha tuiseleze kilicho na ukweli. Miaka mingi umekuwepo uongo kuhusu znz dhidi ya Tanganyika.
Leo hakuna anayesimamia kuonewa. Wanaongea kuhusu kero. Kero ni 'naomba' au nipe kwa lugha ya kizanzibar na wala siyo madai.
Mkandara anasema wapewe haki yao. Tumemuuuliza haki gani walionyimwa, hana jibu.
Anasema mgao wa keki kwao ni mdogo. Tumemuuliza ushiriki wa znz katika kutengeneza keki ya taifa ni upi, hana jibu.
Huu ni mfano tu wa wale wanaoamini na kuficha ukweli na ndiyo chanzo cha sisi kusemwa tuna chuki.
Wakisema tunachuki wanamaanisha tusieleze udhaifu wa znz au ugoi goi wa Tanganyika.
Udhaifu wa zn ni kama ule wa kudai mambo 11 kuongezwa kinyemelA, Halafu wanadai haki katika hayo ya kinyemela.
Kwamba elimu ya juu si suala la muungano! wameligeuza kuwa haki tena kubwa kuliko ya wahusika
Mfano, znz ina watu 1.2 Milioni, nusu wakiishi Tanganyika bila kubaguliwa. Nafasi za elimu ya juu kwa wanafunzi wake ni 1024. Tanganyika ina watu milioni 42, nafasi za elimu ya juu kwa mikopo kwa kuangalia asilimia ni kidogo sana.
Lakini pia, hao 1024 baba zao na mama zao hawana mchango wowote katika kapu la hazina.
Na wala hawarudishi mikopo kama wale wa Tanganyika. Wa tanganyika familia zao zinalipa kodi, na inasikitisha wanarudisha mikopo.
Hii ina maana kodi ya Mtanganyika inakwenda kumsomesha mzanzibar buree, na Mtanganyika analipa mkopo au anakosa
Tukiuliza mkoa gani wenye nafasi za upendeleo kama znz, hakuna jibu.
Tukiuliza kwanini znz wana bodi yao siyochukua wabara, hakuna jibu.
Hiki hakitakiwi kusikika ndicho wanachoita chuki.
Ukisikia wanasema chuki, maana yake 'Nguruvi' kaa! kimya usiseme siri za watu.
Hoja ya misaada na mikopo iliyotumika kudanganya umma imekufa. Mungu ameonyesha wazi kuwa katika bajeti ya Tanzania ambayo ni Tanganyika inachangia peke yake kupitia mapato na misaada, asilimi 40 ni misaada kwa data zao, na asilimia 60 ni mapato.
Wafadhili wamezuia asilimia 60 ambayo ni mikopo na misaada. Hivyo nchi ya Tanzania inaendeshwa kwa asilimia 60 ambayo ni mapato ya jasho la Watanganyika.
Pamoja na hayo, Zanzibar inapata 4.5% kama kawaida kutoka BoT ambAzo hazina maelezo.
Mwanasheria Njama katika video amesema, kutenganisha bank kutaathiri znz kimapato.
Maana yake kukiwa na central bank moja, na bank zingine za washirika, znz haitakuwa na loophole ya kujizolea 4.5 ya pato la Mtanganyika.
Na katika hoja hiyo, kuna suala la 1.75Bilioni za watumishi wa taasisi za muungano.
Utashangaa wizara ya afya, ujenzi, nishati n.k. si za muungano, ni za Tanganyika, bado tunalipa pesa kwa znz kwa kuleta watu wake, jambo la hisani.
SMZ haikusanyi hata milioni 100 kwa mwezi, uhalali wa kupata 1.75 kama alivyosema Najma wanaupata wapi?
Wafanyakazi wa muungano wanalipwa mishara na kodi za Watanganyika.
Halafu znz wasio na mchango au gharama za ajira hizo wanazoa 1.75 Bilioni za Watanganyika.
Tukisema hayo wanasema chuki, hawakatai kwamba ni uongo. Wanachotaka tusiseme ili kuendelea na zile kelele za kizanzibar za inaonewa. Hivi inaonewaje katika hesabu za Bilioni 400 kwa mwaka na Bilioni 300 za Tanganyika ili kufidia Bilioni 700.
Wanasema hatujui uchumi, lakini hawaelezi kiuchumi uhalali wa znz kuchota 1.7 Bilioni na 4.5% unatoka wapi.
Kazi yetu ni kuwaonyesha Watanganyika ,dunia ya leo muungano ni uchumi na siasa.
Muungano wetu ambapo Tanganyika imetuhumiwa, hakuna chochote cha maana inapata ukiwepo au itakosa usipokuwepo.
Kilihchopo sas a ni ile spirit ya Pan Africanism tu lakini hakuna manufaa ya kiusalama, kiuchumi au kijamii kwa Mtanganyika.
Ndipo linakuja swali,. Kama ni hivyo kwanini znz inapewa kipaumbele kuliko wenye muungano!
Mchango wa znz katika muungano ni herufi mbili ZN. Kwanini Watanganyika wakamuliwe kodi na masialhi mengine kwenda sehemu isiyo wahusu?
Haiwagusu kwasababu ukisoma bandiko moja hapo juu, wznz wanaita Tanganyika nchi jirani.
Sasa kwanini Bilioni zaidi ya 300 na huduma za ulinzi, mambo ya ndani hadi umeme ziende kuhudumia nchi jirani ya znz?
Kwanini pesa hizo zisitolewe mikopo kwa wanafunzi waliodhulumiwa nafasi zao na wale wa znz?
Kwanini pesa hizo zisiendeleze bonde la mpunga la Ruvu, au Kilombero au Kyela?
Kwanini Watanganyika wachangishwe pesa za maabara, ili hali wznz wanchukua tu bila kuwa na impact ya aina yoyote katika maisha yao? Na kwanini Watanganyika wadhani kutenda wema ni wajibu wao, na kibaguliwana wznz ni haki yao
Hawa waliokimbiza gesi na mafuta debe mbili, watamjali Mtanganyika kwa lipi wakifanikiwa?
Hii investment wanayofanya Watanganyika return yake ukiacha matusi ni ipi hasa
Tusemezane
Mwanasheria Najma alikuwa anaongea na watu. Alichokisema wengine wamebeba. Kusema eti nikutane naye ni kunitaka nikutane na wote tunaojadiliana jamvini. Hilo haliwezekani katika maeneo ya vyombo vya habari vya kijamii
Pili, Najma ana nafasi ya kuja kujibu au kutoa maelezo kama ulivyonena,kama hawezi hilo halizuii jamii kzungumzia kauli zake.
Tuna watu tunaowajadili kila uchao, nashangaa hatujaambiwa waje hapa tuongee nao ili kutenda haki.
Tatu, Najma alipokuwa anaongea Camera na video zilikuwa zina roll, na alijua ananukuliwa.
Aliongea kama mwanasheria na kiongozi wa jamii. You tube wamepandisha video, Barubaru hajakemea,anakemea tunaotumia video.
Hizi ni jitihada za kutunyamazisha tuiseleze kilicho na ukweli. Miaka mingi umekuwepo uongo kuhusu znz dhidi ya Tanganyika.
Leo hakuna anayesimamia kuonewa. Wanaongea kuhusu kero. Kero ni 'naomba' au nipe kwa lugha ya kizanzibar na wala siyo madai.
Mkandara anasema wapewe haki yao. Tumemuuuliza haki gani walionyimwa, hana jibu.
Anasema mgao wa keki kwao ni mdogo. Tumemuuliza ushiriki wa znz katika kutengeneza keki ya taifa ni upi, hana jibu.
Huu ni mfano tu wa wale wanaoamini na kuficha ukweli na ndiyo chanzo cha sisi kusemwa tuna chuki.
Wakisema tunachuki wanamaanisha tusieleze udhaifu wa znz au ugoi goi wa Tanganyika.
Udhaifu wa zn ni kama ule wa kudai mambo 11 kuongezwa kinyemelA, Halafu wanadai haki katika hayo ya kinyemela.
Kwamba elimu ya juu si suala la muungano! wameligeuza kuwa haki tena kubwa kuliko ya wahusika
Mfano, znz ina watu 1.2 Milioni, nusu wakiishi Tanganyika bila kubaguliwa. Nafasi za elimu ya juu kwa wanafunzi wake ni 1024. Tanganyika ina watu milioni 42, nafasi za elimu ya juu kwa mikopo kwa kuangalia asilimia ni kidogo sana.
Lakini pia, hao 1024 baba zao na mama zao hawana mchango wowote katika kapu la hazina.
Na wala hawarudishi mikopo kama wale wa Tanganyika. Wa tanganyika familia zao zinalipa kodi, na inasikitisha wanarudisha mikopo.
Hii ina maana kodi ya Mtanganyika inakwenda kumsomesha mzanzibar buree, na Mtanganyika analipa mkopo au anakosa
Tukiuliza mkoa gani wenye nafasi za upendeleo kama znz, hakuna jibu.
Tukiuliza kwanini znz wana bodi yao siyochukua wabara, hakuna jibu.
Hiki hakitakiwi kusikika ndicho wanachoita chuki.
Ukisikia wanasema chuki, maana yake 'Nguruvi' kaa! kimya usiseme siri za watu.
Hoja ya misaada na mikopo iliyotumika kudanganya umma imekufa. Mungu ameonyesha wazi kuwa katika bajeti ya Tanzania ambayo ni Tanganyika inachangia peke yake kupitia mapato na misaada, asilimi 40 ni misaada kwa data zao, na asilimia 60 ni mapato.
Wafadhili wamezuia asilimia 60 ambayo ni mikopo na misaada. Hivyo nchi ya Tanzania inaendeshwa kwa asilimia 60 ambayo ni mapato ya jasho la Watanganyika.
Pamoja na hayo, Zanzibar inapata 4.5% kama kawaida kutoka BoT ambAzo hazina maelezo.
Mwanasheria Njama katika video amesema, kutenganisha bank kutaathiri znz kimapato.
Maana yake kukiwa na central bank moja, na bank zingine za washirika, znz haitakuwa na loophole ya kujizolea 4.5 ya pato la Mtanganyika.
Na katika hoja hiyo, kuna suala la 1.75Bilioni za watumishi wa taasisi za muungano.
Utashangaa wizara ya afya, ujenzi, nishati n.k. si za muungano, ni za Tanganyika, bado tunalipa pesa kwa znz kwa kuleta watu wake, jambo la hisani.
SMZ haikusanyi hata milioni 100 kwa mwezi, uhalali wa kupata 1.75 kama alivyosema Najma wanaupata wapi?
Wafanyakazi wa muungano wanalipwa mishara na kodi za Watanganyika.
Halafu znz wasio na mchango au gharama za ajira hizo wanazoa 1.75 Bilioni za Watanganyika.
Tukisema hayo wanasema chuki, hawakatai kwamba ni uongo. Wanachotaka tusiseme ili kuendelea na zile kelele za kizanzibar za inaonewa. Hivi inaonewaje katika hesabu za Bilioni 400 kwa mwaka na Bilioni 300 za Tanganyika ili kufidia Bilioni 700.
Wanasema hatujui uchumi, lakini hawaelezi kiuchumi uhalali wa znz kuchota 1.7 Bilioni na 4.5% unatoka wapi.
Kazi yetu ni kuwaonyesha Watanganyika ,dunia ya leo muungano ni uchumi na siasa.
Muungano wetu ambapo Tanganyika imetuhumiwa, hakuna chochote cha maana inapata ukiwepo au itakosa usipokuwepo.
Kilihchopo sas a ni ile spirit ya Pan Africanism tu lakini hakuna manufaa ya kiusalama, kiuchumi au kijamii kwa Mtanganyika.
Ndipo linakuja swali,. Kama ni hivyo kwanini znz inapewa kipaumbele kuliko wenye muungano!
Mchango wa znz katika muungano ni herufi mbili ZN. Kwanini Watanganyika wakamuliwe kodi na masialhi mengine kwenda sehemu isiyo wahusu?
Haiwagusu kwasababu ukisoma bandiko moja hapo juu, wznz wanaita Tanganyika nchi jirani.
Sasa kwanini Bilioni zaidi ya 300 na huduma za ulinzi, mambo ya ndani hadi umeme ziende kuhudumia nchi jirani ya znz?
Kwanini pesa hizo zisitolewe mikopo kwa wanafunzi waliodhulumiwa nafasi zao na wale wa znz?
Kwanini pesa hizo zisiendeleze bonde la mpunga la Ruvu, au Kilombero au Kyela?
Kwanini Watanganyika wachangishwe pesa za maabara, ili hali wznz wanchukua tu bila kuwa na impact ya aina yoyote katika maisha yao? Na kwanini Watanganyika wadhani kutenda wema ni wajibu wao, na kibaguliwana wznz ni haki yao
Hawa waliokimbiza gesi na mafuta debe mbili, watamjali Mtanganyika kwa lipi wakifanikiwa?
Hii investment wanayofanya Watanganyika return yake ukiacha matusi ni ipi hasa
Tusemezane
Last edited by a moderator: