Comrade,
Inabidi uwavumilie hawa ndugu zetu kwa sababu wao wakikosa hoja wanaanza kejelina kuita majina kana kwamba kujua majina, maisha ya mleta hoja na kazi yakendiyo njia ya kujenga hoja mbadala.
Niliwaambia kitambo, kutumia nguvu nyingi za hoja za nguvu na nguvu za hojabila uhalisia wa siasa zetu ni kupoteza muda.
Tanzania iliyopo siyo hiyo wanayoidhani katika fikra na mitazamo yao, lakinikilicho cha muhimu zaidi, ni Watanzania hao hao kwa uwingi wao wanaoamua maishayao kitaifa.
Kwa sasa hoja waliyobaki nayo eti Tanganyika itadaiwa kwa nguvu. My left foot.
Kila mara nilikuwa ninawaambia, badala ya kujenga hoja za kujiaminisha nyuma yakeyboard/keypad, ingekuwa ni vizuri wakazijongea siasa zetu kwenye politicalepicenter.
Bila kuufahamu ukweli, wataendelea kuwa na msongo wa jambo ambalo hawawezikulibadilisha leo au kesho. Watanzania wengi kupitia wajumbe wa Bunge Maalumhawajawa tayari na jambo lao kama ilivyoonekana kwenye Bunge Maalum la Katiba.Hata kama kesho au kesho kutwa tukienda kwenye Kura za Maoni, jibu litakuwakama lilivyotolewa na Bunge Maalum.
Hii ndiyo hali halisi ya Tanzania katika kioo cha siasa.
Rais Kikwete amewashauri na kuwaambia, wasipoteze muda, wasubiri hayo ya kwaokatika muda wake kwa sababu kwa sasa hayakubaliwi pamoja na kwamba labdayanaweza yakawa mazuri. Haisadii kwa sasa kushupaa kwa jambo ambalolimekataliwa na Wajumbe wa Bunge Maalum kwa sababu huu siyo muda wake.
Well,nadhani hukufuatilia mjadala.
Huyo bwana alisema aulizwe kwasababu anaishiMarekani, ndicho chanzo cha kuanza kumuuliza. Lakini pia, tumemuuliza kwasbabutulizosema. Baada ya suala la Scotland, magazetui mengi ya Marekaniyamezungumzia sana hatima ya Uingereza yakigusia Bernett Formula inayotumika najinsi ahadi za Cameron na wenzake zitakavyokumbana na hoja ya England. Hivyo,huyo bwana wa Marekani iweje asiyaone hayo?
Hata ya Tanzania hayajui. Leo 2014 kama kuna mtu anaaminiTanzania ina mikoa 25 na formula ya kupata 21% ya ajira na 4.5% ya pato laTanganyika kwenda znz inategemea mgawanyo wa mikoa 25, ni out of touch na mamboya nyumbani na huko ughaibuni. Ni fact hata kama ina maumivu
Mfano wako kuhusu kauli ya Kikwete kuwa wenye kutaka S3wasubiri ni mbovu sana na una mu-expose Kikwete katika mambo haya.
1. Kwanzaalianzisha mchakato nje ya chama, halafu chama kikateka mchakato.
Katikaleadership hiyo ni kukosa vision. Hakujua mambo yataendaje au yataishaje. Kosala kwanza.
2. JK alitakiwa tafute suluhu ya tatizo la muungano kwa njiamuafaka. Kukubali znz ibadili katiba na kuwa juu ya katiba ya JMT ni kosa laRais aliyeko madarakani.
3. JK alipaswa kuanza na kura ya maoni baada ya mswadakuchanwa mbele ya John Smawel Sitta
4. JK alifanya makosa kuteua makada wa CCMna kujaza wanasiasa wengi badala ya wananchi
5. JK alikuwa kigeugeu kilaalipokutana na wapinzani dalili ya kukosa msimamo na udhaifu.
6. JK alikuwa nahabari zote kuhusu S3. Angeweza kuzuia mchakato. Wajumbe wa tume wamesemaalijua kila hatua.
7. JK alikwenda kuongea na wana CCM na kuwaambia wajiandaena S3.
7. JK akaongea na TCD na kuwaambia maoni ya wananchi yaheshimiwe.
8. JKakaenda kuvuruga bunge kwa madai jeshi litapindua nchi
9. JK akautana naWapinzani, aahidi kuahirishwa mchakato.
10. JK aenda Dodoma kupkea rasimu yafacebook n.k.
Unapotolea mfano wa kauli ya JK kama kauli za viongoziwengine unatukosea heshima.
JK hana msimamo, anayumba, dhaifu, ana unafiki nawala hana ufahamu wa kile anachosimamia.
Ni kiongozi anayeongoza kuwapendezawatu na wala si kuongoza.
Pengine ndio maana majirani wameamaua kutetenga maanamtu anayebadilika kama kinyonga huyo ni wa kuangalia sana. Hivyo kama ni rolemodel ni kwako, nina uhakika taifa hili halitamkumbuka baada ya muda wakeisipokuwa pale tu utakapotajwa uovu au mambo ya hovyo.
Kuhusu Tanganyika, hilo wala lisikutie shaka.Watanganyika wanaona na wanaelewa yanayoendelea hadi sasa.
Kwa ufupi, hakunamznz mwenye heshima tena baada ya kugundua kuwa hawana msaada, walahatuwahitaji na hatuwategemei.
Unakumbuka bungeni wameambiwa live kuwa wao ni tatizo.Hilo litaendelea kwasababu Watanganyika wamebaini yote kuhusu kunyonywa, niuongo, Wao ni kupe wakubwa sana mgongoni.
Na sheria za mitaani zitakapoanzakutumika, wewe na CCM wenzako mtaelewa tulionya kitu gani.
Prof Kabudi kasemaWatanganyika wana yao vifuani, siku yakiioka. Kuhusu hoja, mbona tuna hoja nyingi hambazo wewe nawenzako hamzijibu?
1. Hebu tuambie je, mumuweza kujibu hoja za Tanganyika kuvaakoti
2. Mumeweza kujibu hoja za Watanganyika kubeba muungano.
3. Mumewezakujibu hoja za Tanganyika kulipia gharama za SMZ na watu wake?
Na hapa nakuja kwako specific
1. Hebu tueleze, kama ardhini ya muungano na mafuta na gesi ya znz si ya muungano, hayo mafuata na gesiyapo katika ardhi ya nchi gani?
2. Kwanini mafuta na gesi ya Tanganyika yawe yamuungano yale ya znz yawe ya znz
3. Gharama za Tanganyika kwa 4.5 zipo katikaformula gani? Rejea swali la mchambuzi hapo juu
4. Je, suala la ajira hiyo 21%ya ajira za Tanganyika kwa znz inapatikana kwa utaratibu gani na formula gani.Na je 79 ni ya Tanganyika au ni ya Tanzania. Kama ni ya Tanzania mznaznbiaranaruhusiwa pia.
5. Kuna uhalali gani mwanafunzi wa Tanganyika asome kwamkopo katika nchi yake, yule wa nchi jirani ya znz asome bure
6. Tuambie gharama za S2 na zile za S3 ya warioba zipi kubwakwa rasimu ya Chenge na Sitta
Hebu tuanza hapa kwanza, Kumbuka hatutajadili rasimu ya Chenge bila kurejea ubovu na uozo wa facebook kule Dodoma. Hivyo jiandae kwa hilo.Hatutajadili haramu tunajadili mambo yaki taifa.