Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #81
CCM NA WASHIRIKA WAOWAWEWESEKA, WAHAMISHA UTETEZI KUTOKA GHARAMA ZA SERIKALI SASA WAJIFANYA KULINDAMUUNGANO,
Back to the topic,
wakati mchakato wa katiba kwa hatua ya bunge maalumu la katiba, makada wa CCMwaliipinga sana rasimu ya tume kwa kisingizo cha muundo una gharama nyingi bilajustification kwakua tu walijua wanaongea na wajinga wanao kubali kila upuuzi unaosemwa.
Mchumi kama Mwigulu, Prof. Tibaijuka, Mwandosya, Dr. mwayembe, Migiro na wasomiwengi wa chama hicho wakijadili bila justification wala proof za kitaalam walaukidogo kuhusiana na gharama. Cha kusitisha sana watu wenye vyeo ndani ya chamakama mwenezi wao wakawa wanongea very cheap things " ukiongeza mke mwingineni gharama"
King, si hao tu uliowataja, hapajamvini wapo akina@MwanaDiwani, Kobello, Happy Feet Mkandara, waliosimama kidete kwanza kwa njia nyingi za kidanganyifu.Kwa nini walifanya hayo yote kudanganya kuhusu gharama??Jibu ni rahisi wanawajua watanzania ni wajinga na watadanganyika kirahisi kwaniwao ndio wana maisha duni, sasa ukiwaambia unawaongezea mzigo inakua ni shidakwao na kwa hapo wakajua wataungwa mkono( na hasa watanganyika maana ndio wanoumia zaidi)
Mungu hamfichi Mnafiki, nini kimetokea baadae? Kama alivyoainisha mchambuzikwenye bandiko lake # 23 na Nguruvi3 kwenye mada zake za gharama za muungano,CCM wameumbuka ghafla, rasimu yao ya mafichoni inaoneka ni ya gharama kubwamara dufu ya ile rasimu ya tume ya warioba na wale wooote waliokua wanapigakelele kwamba serikali tatu ni gharama wapo kimya juu ya hili
Kiukweli hamuwezi kujibu maswali haya zaidi ya blah blah,maana kwa kuangalia tu kwenye presidential status kutoka watu watatu sasa nikama saba ( refer; Mchambuzi, bandiko # 23), bunge lenye watu karibu 400compare na Bunge la watu 75 ( hata ukichukua na bunge la tanganyka na zanzibahawawezi kuzidi 300). Na gharama kubwa zaidi za kuwabenbeleza wazanzibar
Kila nikiwaza sipati jibu juu ya mtazamo wa hawa watu naninalilia nchi yangu sana kupata viongozi wenye maono haya.
"Even the magicians can run out of tricks". Wote hawazungumzi tenamambo ya gharama za serikali sasa wanapiga kelele tu kwamba tuulinde muunganokwa gharama yoyote.
utawala wa Rumi ulipokaribia kuanguka walilazimisha mambo kwa kujiona wao niruler na wengine watawafuata kwa kila wasemacho, lakini muda uliwalazimishakukubali ukweli. Ninatamani viongozi na wanchi wasome alama za nyakati nakujiadjust accodingly, maana hata huu muungano tunaosema tunaulinda kama ni kwavisions za nmana hii ya kuwadanganya wanachi kwamba katiba sio muhimu kwao,basi Naliona anguko kubwa sana na ninafadhaika sana hatutaki kuukubali ukweli.
Niishie hapa, maana ninajisikia uchungu sana kwa namna mambo yanavyokwenda kwenyenchi yangu, i feel cryng for my country,kwa nini watu hawafunguki na kuonazaidi ya upeo wa kawaida, zaidi ya wanasiasa wetu zaidi ya wapiga ramli waongina wapotoshaji??
1. Walisema Warioba hakutumwa kupendekeza S3.
Tuliwawekeahadidu za rejea alizopewa na Kikwete, tume zilizoundwa na matokeo yake na watuwaliopoteza kazi kama Jumbe, wabunge waliopoteza nafasi zao kwama Njelu Kasakan.k. Tukawaonyesha kuwa Warioba hana hatia.
Wakaja na hoja ya S3 ni gharama. Tuliwauliza ni gharamakwa nani? Ukiwa na S3 ni nafuu kwa Tanganyika kwasababu haitabeba mzigo woote kwa jina la Tanzania. Wanafiki wanashindwa kusema ni mzigo kwa Zanzibar.
Tumewauliza, znz ilikuwa nchi huru, na madai ya S3 ni yao, iweje wao wawaoneehuruma? Hawakuwa na jibu
Rasimu ya CCM ya mafichoni, ambayo tuliitaja kwa majinahata kabla ya kuchomolewa tukaeleza ililenga kutoa pipi na peremende kwa wazaznibar. Ndicho hasa kilichotokea. Badala ya kupunguza gharama sasa ni mzigomzito sana wa gharama.
Kwa mfano, Rais wa znz anayechagyuliwa na wznz kwa ajiliya wznz, sasa atakuwa makamu wa Rais wa JMT.
Hii maana yake ataliipwa mshahara na JMT ambayo inasimama kwa kodi za Mtanganyika.
Hata akistaafu kama akinaMaalim Seif, Karume , Jumbe, Salimin mafao yao yanatoka hazina Dar kama kodi zaMtanganyika.
Katika wale makamu wa Rais wa znz, mishahara yao inatoka hazina.
Ni mwaka zaidi ya 10 mishahara ya SMZ ni jukumu la hazina Dar esSalaam.
Tunajua 4.5 inayotegemea makusanyo ya Tanganyika ndiyo inaendesha SMZ .
Nikupe mfano, TRA ukikamua kodi za Watanganyika ndivyo wznz wanavyopata 4.5 nene hata bila kufanya kazi.
Kibaya zaidi gharama kama za hilo bunge ni kubwa, atazibeba Mtanganyika.
Kila unachokiona ni ongezeko la gharama basi hilo ni ingezeko kwa Mtanganyika.
Ushahidi usio na shakaumeonyesha znz haina lolote au chochote inachotia zaidi ya kubembea mgongoni.
Hawa CCM na kama unavyomsoma MwanaDiwani, wameficha uovu walioutenda na sasa wanasema twende mbele ili Watanganyika wasahau hoja zao za gharama, na jinsi wanavyomtwisha Mtanganyika mzigo.
Wanataka, kuficha uhuniwalioutenda hata pale walipobaki wenyewe.
Hadi leo katibu wa bunge anahesabu kura za bunge lao tuliloambiwa limekamilika.
Ujanja unaotumika ni kuwasahaulisha Watanganyika.
Well,kwa kizazi cha sasa hilo litafanya kazi kwa muda mfupi.
In long run ni tatizokubwa sana. Huu muungano utavunjika mapema kuliko wanavyoona wao.
Hawa akinaMwanaDiwani wanashindwa kuelewa kuwa kuongelea muungano ilikuwa taboo, sasahivi siyo tena.
Hasira zilizojengeka kwa Watanganyika kuhusu jinsi wanavyoibebaznz kwa gharama kubwa ni bomu la hatari sana.