Duru: Hatima ya Muungano na dalili za kuvunjika mapema

Duru: Hatima ya Muungano na dalili za kuvunjika mapema

Mchambuzi King Suleiman

Katiba ya nchi ni mwongozo unaotegengeneza sheria mama. Hili suala la kusema katiba imewajadli vijana na akina mama ni kuwatapeli.

Ni kauli zile zile za maisha bora kwa Watanzania.
Leo ni mwaka wa 9, inflation inapanda, maisha yanazidi kuwa magumu kuliko miaka 10 iliyopita.

Vijana waliuliza, maisha bora yapo wapi? Ajira milioni 2 zipo wapi?
Jibu walilopewa ni zuri tu, maisha bora ni kwa jitihada za kila mmoja.
Wakati wa kutafuta kura kilichoelezwa tutawaletea maendeleo, wakati wa utekelezaji wanaambiwa ni jukumu la kila mmoja kujikwamua.

Hii katiba ya Chenge/MwanDiwani haina kitu ambacho katiba ya mwaka 1977 haikueleza.
Haki za wananchi zimezingatiwa katika katiba ya 1977.

Tatizo ni sheria na namna haki hiyo inavyotumika, lindwa na kutolewa.

Kwa mfano, katiba ya 1977 inazungumzia kwa rushwa, maadili ya viongozi kwa uchache.
Imeacha loophole ambazo sheria zilizotungwa zimefanyiwa hila na viongozi kwa manufaa yao na si taifa.

Fikiria kuwa, kulikuwa na tume ya maadili ambayo ipo kisheria.
Akina Mkapa walipoingia madarakani walitaja mali zao.
Sheria hiyo hiyo haikueleza lini wataje mali zao baada ya kuondoka madarakani.

Hivyo, vijana wanaweza kutajwa mara 100 katika katiba, ukweli ni kuwa kama hakuna utashi ni udanganyifu tu.

Prof Palamagamba kasema katiba zetu za awali zilikuwa 'instrumental'' na huko tumeondoka sasa tunaelekea katika katiba ambayo ni 'pragmatic''.

Hii ya Chenge/Sitta na MwanaDiwani haielezeki kama ni instrumental au pragmatic. Haina def.

Kuongelea vijana ni kutaka watu wasahau kuwa katibu wa bunge hadi sasa anarekebisha kura.

Kuna wajumbe hawakupiga lakini wamepiga kura.

Ni kutaka kuwasahaulisha wananchi kuwa katiba ni nyaraka ya maridhiano na kwamba sehemu kubwa ya Watanzania kwa uwakilishi wao haikuwepo. Huwezi kuondoa wapinzani ukabaki na uhalali wa katiba.

Kuwataja akina mama ni kutaka kura za uongo, kuwasahaulisha uhuni wa highschool wa Sitta, na pia kufunika udhaifu wa JK katika mchakato. Kila siku wametajwa na kila siku akina mama wanaumia na ndoo zamaji na mizigo ya kuni. Wakati wa kutafuta kuungwa mkono akina mama wanatajwa kwa mbwembwe. Katiba kumtaja mama inasaidiaje ikiwa analazimika kwenda na kiwembe hospitali kukata kitovu. Taifa halina pesa za viwembe vya kukata vitovu vya watoto, leo wanadanganywa katiba imewataja

Ndio maana akina mwanadwiani wamekazania eneo hilo ili kuficha haya
1. Strength and weakness za Chenge Vs Warioba ni zipi?
2. Suala la gharama lililokuwa at the centre ya mjadala lipoje. Je, hao vijana na akina mama wamepata unafuu wa gharama
3. Je, rasimu ya Chenge/Sitta imejibu matatizo ya pande mbili kuhusiana na hoja zao(Tanganyika na znz)
4. Chanzo cha uhakika cha mapato cha serikali kuu isiyoelea ni kipi tukizingatia kuwa ilikuwa ni sehemu ya hoja za CCM
5. Muungano wanaoongelea ni baina ya pande zipi (ni nani na nani)

Haya ni maswali yanahotaji majibu kwasababu yanatoa dira ya suala zima.

Hatuhitaji kujua walimu na madaktari wameahaidiwa nini.
Hatuandiki katiba ya makundi, tunaandika mwongozo wa nchi.

Leo mwalimu akibadili kazi na kuwa mkulima au mfanya biashara katiba imlinde, siyo suala la wafugaji wa gairo wametengewa eka ngapi. Ni katiba ya nchi gani inaeleza maeneo ya wafugaji.

Wanataka kutuondoa katika masuala muhimu, na ndio maana MwanDiwani, Kobello na wapambe wengine hawajibu maswali muhimu.

Wanachotaka watu wasahau uhuni uliofanyika ambao Mwigulu Nchemba aslisema 2/3 haipatikani. Leo Sitta kaipata wapi?

Wasituondoe katika mada na tutakomaa nao hadi watupe majibu.

Hakuna kujadili haramu, kufanya hivyo ni kuanza kujenga uhalali wa haramu.

Haramu ni haramu tu hakuna haram kidogo.

Najisi ni najisi tu hakuna najisi nafuu.

Dhambi ni dhambi tu hakuna dhambi ndogo. Ndio uhuni wanaotaka kuuficha.
 
Mchambuzi why should a Katiba mention vijana to begin with? Why katiba ijengwe kwa misingi ya ugawaji watu katika ma group? Kwa nini vijana wao wapewe nafasi za upendeleo? Kwa nini tunatengeneza katiba za magroup?
Very intriguing question na tunategemea utupe majibu ukiwa sehemu ya katiba ya Chenge.
 
Nikiendelea kuyasoma mabandiko yenu yanapata picha kama ya bondia ambaye amepata heavy punches zilizomdodosha na kukosa fahamu. Kupatikana kwa Katiba Inayopendekezwa ilikuwa ni heavy punch kwa vile hamkutegemea.

Mohamed ali once said, "You cannot fight if you can't throw the jab right."

Hamziwezi siasa za Tanzania kwa sababu hamfahamu mazingira yake.

Kwa sasa mmebaki kugusa kila mahali kwa sababu mmekosa nguzo za kisiasa kwa vile hamna msingi imara wa hoja zenu kwa wananchi.

Ninyi watu wa UKAWA hamfahamu hata mnachokitaka kwa sasa zaidi ya kusubiri movements za CCM ili mpate hoja za kupigia kelele. Siasa za reactive hazina nafasi katika Taifa la Tanzania.

Siyo muda mrefu mlikuwa eti mnawashauri viongozi wa UKAWA wakae kimya na waache kuichambua Katiba Inayopendekezwa.

Cha kushangaza ninyi ndiyo mmekuwa mbele kuichambua Katiba Inayopendekezwa kama mnavyofanya kwa sasa.

Siyo muda mrefu mlikuja hapa Jamiiforums na thread hii,
Mkisena hivi,
Bunge la Sitta limemaliza mazingaombwe. Ni mazingaombwe kwasababu wapowaliokaa nyumbani,wakapewa nafasi ya kupiga kura wala hatudhani kulikuwa nahaja ya kuwa na bunge la katiba.

Jitihada za Sitta zilikuwa kupata2/3. Pamoja na kukosa uhalali, ushawishi na msisimko ,Sitta aliamini katika2/3. Imani ikampeleka kuchakachua, kununua kura na kila aina ya upuuziusiolingana na umri. Ni udanganyifu wa kitoto sana

Mkakati uliopo ni kujenga uhalalikatika haramu ili igeuke kuwa halali. Sitta na CCM wanaona rasimu yao isivyojadilikakwa watu wenye akili zao.

Tumeona katika mitandao washabiki waliopewa ‘kazi'' wakihubiri katiba ya Sitta hali ya kudorora kama si kususiwa kabisa.

Wananchi wanachotakiwa kufanya nikukaa kimya ili Chenge,Sitta na wenzao wajadili rasimu, wakimaliza tuanze kujadili namna ya kuendelea na rasimu husika.
Sasa hapa sijui nani apuuzwe!.

Guys, where's your consistency?.

Kazi ya watetezi wa Katiba Inayopendekezwa ni kuweka sawa pale upotoshaji inapofanyika lakini siyo kazi yetu kufanya comparisons ya Katiba na Rasimu,

Katiba Inayopendekezwa na Rasimu ni vitu viwili tofauti katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83.

Rasimu ya pili ya Katiba, kisheria kwa sasa ni andiko mfu kama ilivyo Rasimu ya Kwanza ya Katiba.

Rasimu ya Jaji Warioba ambayo imekuwa dissected kwenye Bunge Maalum tumewaachia ninyi UKAWA muendelee kuijadili.

Tukiwa kama taifa, we can't standstill.

We are moving on!

Kwa sasa tuko kwenye mchakato wa kura ya maoni.
 
KUNDI LA VIONGOZI WA DINI
Sehemu ya I
Hapo bandiko 21 tueongelea makundi 3 yatakayopewa kazi yapromotion ya rasimu ya CCM.
Waandishi wa habari, kutisha viongozi na viongoziwa dini.

King Suleiman kaeleza vizuri sana. Uwepo wa viongozi wa diniulikuwa na sababu kuu zifuatazo;
Kuhakikisha KUNDI LA VIONGOZI WA DINI
Sehemu ya I
Hapo bandiko 21 tueongelea makundi 3 yatakayopewa kazi yapromotion ya rasimu ya CCM.
Waandishi wa habari, kutisha viongozi na viongoziwa dini.

King Suleiman kaeleza vizuri sana. Uwepo wa viongozi wa diniulikuwa na sababu kuu zifuatazo; (1)Kuhakikisha kuwa wao kama sehemu ya taasisina jamii yenye wafuasi wengine inashiriki katika mchakato
(2)Kuhakikisha masilahi ya waumini katika yanalindwa ili katibaisiingilie au kuacha wazi uhuru wa kuabudu
(3) Kuwa wapatinishi kati yawabunge wenyewe au bunge na wananchi
(4) Kuwasikio la wananchi katika kuona haki inatendeka kwa dhamana ya kiroho waliyonayo

Viongozi wa dini wamekuwa wahanga wa wanasiasa. Kilawanapomaliza kutumika, wanasiasa huwasimanga hata kuwatia matatani. Juzi turais alisikika akikemea kuchanganya siasa na dini na dini na siasa.

Huwezi kutenganisha siasa na dini. Chimbuko la siasa niuwepo wa dini na maadili ya kiroho hayatengi jambo la siasa au nje ya siasa.

Hivyo kuwaambia wasichanganye dini na siasa kuna maana pale tu siasaitakapoachwa kuchanganywa na dini.

Inashangaza Rais aliyesema wasichanganye dini na siasa,hakukemea viongozi wa siasa kama waziri wake Lukuvi aliyepeleka siasa ya katibakanisani.

Kwa maneno mengine Rais anaruhusu siasa kuchanganywa na dini na sikinyume chake.
Inashangaza wakati wa maadhimisho ya kidini, viongozi wa kisiasa tunawaona wakihudhuria, iwe Krismas au baraza la Idd. Wakitoka hapo wanakemea kuchanganya dini na siasa.

Yanapotokea matatizo yaliyosababishwa na wanasiasa,utawasikia viongozi wa siasa wakiwaomba viongozi wa dini waombee taifa.

Inakuwaje wanasiasa wanaruhusiwa kushiriki shughuli za dini wakiwa na majoho yao ya kisiasa lakini ni marufuku viongozi wa dini kushiriki siasa?

Viongozi wa dini nao wanasehemu yao ya kulaumiwa. Hivi wanasiasa wanaingiaje katika shughuli za maadhinmisho yanayohusu Imani. Kwanini wanawakaribisha.

Hata wziri Lukuvi naye alikaribishwa kuongea kanisani.
Kwaniniviongozi wa dini wasialike viongozi wenzao kama wanataka mbadala katikashughuli zao?

Kwanini, kwa mfano tu, mwadhama Pengo asimwalike kadinalimwingine kutoka nje katika sherehe za Wakristo?
Kwanini shehe mkuu asimwalike mufti wa taifa jingine katika shughuli za waislam?

Maana hao wageni wana lakusema kuhusu Imani, ukimwalika Sitta atakwambia namna wananvyojipanga kwa kura za facebook, Tango na Whatsup na ataomba umuombee mipango yake inyoke.

Kiongozi wa dini utakataa vipi ili hali umwemwalika katika nyumba yako na unajua hajui wala hana mamlaka ya kiroho (moral authority) kuzinyoosha roho zawaumini akiwayeye I muovu namba moja?

Unamkaribisha tumbili shambani utegemee nini kama si kuvuna mabua?
Hebu turudi katika mchakato tuone ushiriki wao
Inaendelea…. (1)Kuhakikisha kuwa wao kama sehemu ya taasisina jamii yenye wafuasi wengine inashiriki katika mchakato
(2)Kuhakikisha masilahi ya waumini katika yanalindwa ili katibaisiingilie au kuacha wazi uhuru wa kuabudu
(3) Kuwa wapatinishi kati yawabunge wenyewe au bunge na wananchi
(4) Kuwasikio la wananchi katika kuona haki inatendeka kwa dhamana ya kiroho waliyonayo

Viongozi wa dini wamekuwa wahanga wa wanasiasa. Kilawanapomaliza kutumika, wanasiasa huwasimanga hata kuwatia matatani. Juzi turais alisikika akikemea kuchanganya siasa na dini na dini na siasa.

Huwezi kutenganisha siasa na dini. Chimbuko la siasa niuwepo wa dini na maadili ya kiroho hayatengi jambo la siasa au nje ya siasa.

Hivyo kuwaambia wasichanganye dini na siasa kuna maana pale tu siasaitakapoachwa kuchanganywa na dini.

Inashangaza Rais aliyesema wasichanganye dini na siasa,hakukemea viongozi wa siasa kama waziri wake Lukuvi aliyepeleka siasa ya katibakanisani.

Kwa maneno mengine Rais anaruhusu siasa kuchanganywa na dini na sikinyume chake.
Inashangaza wakati wa maadhimisho ya kidini, viongozi wa kisiasa tunawaona wakihudhuria, iwe Krismas au baraza la Idd. Wakitoka hapo wanakemea kuchanganya dini na siasa.

Yanapotokea matatizo yaliyosababishwa na wanasiasa,utawasikia viongozi wa siasa wakiwaomba viongozi wa dini waombee taifa.

Inakuwaje wanasiasa wanaruhusiwa kushiriki shughuli za dini wakiwa na majoho yao ya kisiasa lakini ni marufuku viongozi wa dini kushiriki siasa?

Viongozi wa dini nao wanasehemu yao ya kulaumiwa. Hivi wanasiasa wanaingiaje katika shughuli za maadhinmisho yanayohusu Imani. Kwanini wanawakaribisha.

Hata wziri Lukuvi naye alikaribishwa kuongea kanisani.
Kwaniniviongozi wa dini wasialike viongozi wenzao kama wanataka mbadala katikashughuli zao?

Kwanini, kwa mfano tu, mwadhama Pengo asimwalike kadinalimwingine kutoka nje katika sherehe za Wakristo?
Kwanini shehe mkuu asimwalike mufti wa taifa jingine katika shughuli za waislam?

Maana hao wageni wana lakusema kuhusu Imani, ukimwalika Sitta atakwambia namna wananvyojipanga kwa kura za facebook, Tango na Whatsup na ataomba umuombee mipango yake inyoke.

Kiongozi wa dini utakataa vipi ili hali umwemwalika katika nyumba yako na unajua hajui wala hana mamlaka ya kiroho (moral authority) kuzinyoosha roho zawaumini akiwayeye I muovu namba moja?

Unamkaribisha tumbili shambani utegemee nini kama si kuvuna mabua?
Hebu turudi katika mchakato tuone ushiriki wao
Inaendelea….

VIONGOZI WA DINI NA MISIMAMO YAO YENYE UTATA
JAMII INAWAANGALIA KWA JICHO LA HADHARI NA MASHAKA
WANATUMIKA, HAWAJIELEWI.

Bandiko hapo juu tumejaribu kuonyesha ni kwanini viongozi wa dini walihitajika katika mchakato.

1.Kuhakikisha wanakuwa sehemu ya mchakato.Hakika wamekuwemo ndani ya bunge la katiba kama ilivyotarajiwa
2.Wanalinda masilahi ya waumi wao. Hilo limejitokeza dhahiri3.Wapatanishi, hilo limetokea wakiwa wamegemea upande bila kuangalia haki
4.Kuwa sikio la wananchi. Hapa wame feli kiasi cha kusikitisha

Kwanini wamefeli katika hoja namba 3 na 4

Kwanza, walichotakiwa ni kuzungumza na pande mbili, CCM na UKAWA kwa kuangalia haki sio za wingi bali haki za kila mmoja.
Tofauti ya idadi haitoi au kupunguza haki kwa kundi husika.
Viongozi hao walitafuta suluhu wakielewa kuwa haki haitatendeka.
Kimaadili walipaswa kujua hili mapema sana.

Pili, hoja ya sikio la wananchi, hapa ndipo rangi zao halisi zilipoonekana.
Walijitokeza na kuandika tamko likizungumzia uhalali wa BMK, akidi n.k.

Mambo yote hayo walifahamu yalikuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki na makubaliano.

Wakajipambanua kuwa wasemaji wa Bunge kwa maagizo.
Wakaacha msingi mkubwa wa kiimani wa kusimamia haki,badala yake wakazingatia allowance zao pengine na ziada.

Viongozi wa dini wakashuhudia uchakachuaji wa bunge la CCM kwa kukaa kimya pale facebook, TanGo, yahoo zilipotumika. Walifahamu kanuni zinabadilishwa ili kukidhi haja na si matakwa ya wananchi.

Viongozi wa dini hawakuthubutu kunyanyua midomo yao kukemea uovu uliokuwa unatendeka machoni mwao mchana kweupe. Suala zima likiwa masilahi yao na si ya taifa.

Hapa walipopoteza kile kiungo baina yao na wananchi, wameshindwa kiimani, wameshindwa kimaadili na hata kibinadamu.

SITTA AWAGEUZIA KIBAO, AWANANGA KISAWA SAWA

Mwenyekiti wa BMK-CCM aliwageuzia kibao baada ya matamko kutoka taasisi nje ya bunge.
Ilikuwa dhahiri taasisi wanazowakilisha ziliona tatizo miongoni mwa wawakilishi wao.
Zikatoa matamko ya kutoridhika na mwenendo, matamko yaliyotibua nyongo ya Sitta.

Sitta akawasema,matamako yao ni ya kipuuzi na wananchi wapuuzie.
Hili alilisema kwa kutoa mfano wa makanisani akiogopa kugusa imani nyingine ili masuala nyeti yasijeizuia uchakachuaji

Kimsingi aliwasema viongozi wote wa dini na imani zao baada ya kuwatumia.
Viongozi wakageuka kuwa karatasi za maliwato baada ya kutumika kupamba bunge la CCM.

Jambo la kushangaza, Sitta aliwahi kusimama katika mikutano akimtetea mwenzake aliyetoka India kutibiwa kwa kutumia majukwaa ya dini.Ghafla akawageuka na kuwaita wapuuzi. Hivi ndivyo wanavyotumika.

Baada ya kubaini hilo, Rais akakutana nao katika chakula cha jioni ikiwa ni jitihada za kuzima makali ya maneno ya Sitta. Nao kama kawaida wakahudhuria na kusikia walichotaka kusikia na si kile wanahokisimamia

Siku iliyofuata tukawaona wakiombea mchakato umalizike kwa amani. Ni wakati mh Rais anapokeaa rasimu ya CCM.

Jambo la kujiuliza, hivi wao wamejiridhisha vipi kuwa mchakato mzima ulizingatia uhalali wa makubaliano na sheria husika?

Hivi hawa viongozi hawakuona maajabu ya kura zilivyopatikana, kanuni zilivyopindwa kila uchao, sheria ikikiukwa kwa wingi n.k!

Viongozi hao hawakuthubutu kukemea uovu, wakabeba vitabu vitakatifu kuombea amani mchakato umalizike salama.
Mchakato uliogubikwa na uovu eti umalizike salama.

Kwamba, mwisho wa uovu ni maombezi ya salama hata kama wanajua haki ni tunu ya mwanadamu aliyopewa na mola wake. Wakasimama upande wa wanadamu wakimwacha mungu

Kwamba, uovu uliotendeka wakaupa uhalali wa dua. Hili limetokea si kwa bahati mbaya ni kutokana na ‘manunuzi' ya ghali.

Ni kwa hali hiyo, kwasasa hakuna mwenye imani na viongozi hao.
Wakati wanaambiwa wasichanganye dini na siasa, wao wametumika kuchanganya siasa na dini na mwisho wa siku wakitupwa chini''under the bus'' na wale wale wanaowatumia.

Kwasasa wananchi wamekosa sikio la haki, wamepoteza imani na viongozi wao na wengine wanahoji kama misingi ya imani imetumika kulileta taifa pamoja.

Haitatokea viongozi hao kuaminika tena katika mizani ya kisiasa.
Wamepoteza uhalali wa kimaadili kwa kile walichoagizwa kusimamia kutokana na mienendo ya dini.

Wapo wanaowaangalia kwa kutumia ‘aya za wanafiki'' wapo wanaowaangalia kama ''Yuda Iscariote''
Haya yote wameyatengeneza wao kwa kuacha msingi mkubwa wa imani wa dini zote ambao ni ukweli na haki.

Ni kwa mtazamo huo, tunazidi kuona tatizo katika kundi hili tofauti na makundi mengine tuliyoyadili.

Bei ya kundi la wasomi inaweza kukokotolewa, bei ya wana habari inaweza kupigiwa hesabu, bei ya viongozi wa dini haijulikani ingawa wapo sokoni.

Na hilo ndilo linatulazimu tuseme, kundi la viongozi wa dini ni kwa mfano wa ‘wanayama waishio mwituni, kila mmoja hula kwa nguvu zake''

Swali, je, ushiriki wao una maana yoyote katika hali tuliyoishuhudia?

Tusemezane
 
MwanaDiwani;10873618]Nikiendelea kuyasoma mabandiko yenu yanapata picha kama ya bondia ambaye amepata heavy punches zilizomdodosha na kukosa fahamu. Kupatikana kwa Katiba Inayopendekezwa ilikuwa ni heavy punch kwa vile hamkutegemea.
Suala la katiba linakuhusu wewe, mkeo, watoto na pengine wajukuu. Miaka 50 tupo hapa tulipo. Hatuwezi kukaa kimya wakati ulaghai unafanyika. Ulaghai ni pamoja na upotoshaji. Hoja kubwa mliokuwa nayo ni gharama kubwa. Weel, tuelezeni za sasa zipoje na kama wajukuu zetu watakuwa na nafuu kuliko sasa. Hakuna heavy punch maana siku ikitokea hakuna takayekuwa salama. Uliyoana Rwanda, umeyaona Kenya.
Mohamed ali once said, "You cannot fight if you can't throw the jab right."
Hamziwezi siasa za Tanzania kwa sababu hamfahamu mazingira yake
Nakubaliana nawe kabisa, mazingira ni kama yale ya mahujaji kupiga kura kwa smz, yahoo na facebook. hakika ni mambo yanayohitaji uzoefu. Mazingira ni yale ya watu 2 waliokaa nyumbani kupiga kura bila kushiriki mjadala. Mazingira ni yale ya katibu wa bunge kuendelea kuweka kura sawa baada ya matokeo. Hapo nakubaliana nawe kabisa. Unahitaji kuwa na kitu extra ili kuziweza siasa za Tanzania. Walisema hivyo wakati wanazuia vyama vingi leo vipo. Wakasema hivyo wakizuia azimio la Arusha leo lipo karibuni. Nao pia hawakujua mazingira ya siku zijazo kama ambavyo hatujui mazingira ya leo.
Kusema katiba imepatikana ni self abuse. Katika mazingira yaliyotokea kwa Rais kusema hili kesho lile inasikitisha.

Kumbuka akihutubia bunge Rais alisema'S3 zisubiri aondoke'' hivyo kinachoendelea sasa hivi hakishangazi. Si alisema ? kuna kipi kipya hapo cha kuonyesha kuwa kuna katiba mpya au punch.

Kwa sasa mmebaki kugusa kila mahali kwa sababu mmekosa nguzo za kisiasa kwa vile hamna msingi imara wa hoja zenu kwa wananchi.
]Wananchi walisema kupitia Warioba, sijui unazungumzia wananchi wapi

Siyo muda mrefu mlikuwa eti mnawashauri viongozi wa UKAWA wakae kimya na waache kuichambua Katiba Inayopendekezwa.Cha kushangaza ninyi ndiyo mmekuwa mbele kuichambua Katiba Inayopendekezwa kama mnavyofanya kwa sasa.
Warioba alipotoa rasimu uliona reaction iliyokuwepo.
Nikuulize hapa jamvini kwa mfano, wangapi wameona rasimu ya Chenge., na reaction ipoje

Tumesema hatutajadili wafugaji wamepata ekari ngapi ndani ya katiba.
Tutauliza, katiba mliyoandika ya CCM ni ya wananchi au makundi?
Tutahoji uhuni wa kanuni kuanzia get go!

Kama ni makundi, leo haumuwezi kuwapa haki yao ya msingi ya mikopo ya elimu.
Wapo wanahangaika mitaani, hawajui watasomaje, katiba yenu imewataja ili iwe nini.

Hatuzungumzii wakulima wamepewa mbole kiasi gani ndani ya katiba ya Chenge.
Hatuamini katiba inaweza kuongelea mambo kama hayo. Katiba!!!
Kazi ya watetezi wa Katiba Inayopendekezwa ni kuweka sawa pale upotoshaji inapofanyika lakini siyo kazi yetu kufanya comparisons ya Katiba na Rasimu,
Well, weka sawa haya. Rasimu ya Warioba ilikuwa na S3 ambazo ni ''mzigo'' kwa walipa kodi.
Huu ni upotoshaji au ni ukweli. Tafadhali weka sawa hili
Katiba Inayopendekezwa na Rasimu ni vitu viwili tofauti katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83.

Rasimu ya pili ya Katiba, kisheria kwa sasa ni andiko mfu kama ilivyo Rasimu ya Kwanza ya Katiba.
Tukiwa kama taifa, we can't standstill.We are moving on!Rasimu ya Jaji Warioba tumewaachia ninyi UKAWA
Hapa ni vema sana umesema. Kwamba, rasimu ya Warioba imeachwa.
Hivyo unathibitisha kauli zetu kuwa ile ya CCM ya mafichoni ndo iliyopo.

Pamoja na ukweli huo, maswali yetu yanabaki pale pale
1. Gharama za kuendesha serikali zimepungua? Tuonyeshwe
2. Muungano unaosemwa wa JMT na Zanzibar ni wa mataifa yapi?
4. Chanzo cha uhakika cha mapato ya serikali kwa mujibu wa Chenge/MwanDiwani ni kipi
5. Katiba imejibu hoja za wananchi?

Haya ni maswali general wala hayajadili katiba.
Yanataka tu kujua kutoka kwenu watetezi.

Ndiyo ilikuwa kauli mbiu ya kumnanga Warioba baada ya kudhalilishwa na Kikwete pale Dodoma mbele ya TV na dunia kwa ujumla.

Halafu, Nape alisema katiba si muhimu. Kinana akasema wananchi hawahitaji katiba. Wewe unapata wapi utetezi ikiwa wenye chama walishakataa? teh teh teh

Mnaweza kuendelea na uhuni, tusichokitaka ni kutufanya sote wajinga. Hapana! tutaeleza kila mnachokusudia na wala hatukuanza leo. Mwaka 2012 tulisema haya yanayotokea.
 
Nikiendelea kuyasoma mabandiko yenu yanapata picha kama ya bondia ambaye amepata heavy punches zilizomdodosha na kukosa fahamu. Kupatikana kwa Katiba Inayopendekezwa ilikuwa ni heavy punch kwa vile hamkutegemea.

Mohamed ali once said, “You cannot fight if you can’t throw the jab right.”

Hamziwezi siasa za Tanzania kwa sababu hamfahamu mazingira yake.

Kwa sasa mmebaki kugusa kila mahali kwa sababu mmekosa nguzo za kisiasa kwa vile hamna msingi imara wa hoja zenu kwa wananchi.

Ninyi watu wa UKAWA hamfahamu hata mnachokitaka kwa sasa zaidi ya kusubiri movements za CCM ili mpate hoja za kupigia kelele. Siasa za reactive hazina nafasi katika Taifa la Tanzania.

Siyo muda mrefu mlikuwa eti mnawashauri viongozi wa UKAWA wakae kimya na waache kuichambua Katiba Inayopendekezwa.

Cha kushangaza ninyi ndiyo mmekuwa mbele kuichambua Katiba Inayopendekezwa kama mnavyofanya kwa sasa.

Siyo muda mrefu mlikuja hapa Jamiiforums na thread hii,

Mkisena hivi,

Sasa hapa sijui nani apuuzwe!.

Guys, where's your consistency?.

Kazi ya watetezi wa Katiba Inayopendekezwa ni kuweka sawa pale upotoshaji inapofanyika lakini siyo kazi yetu kufanya comparisons ya Katiba na Rasimu,

Katiba Inayopendekezwa na Rasimu ni vitu viwili tofauti katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83.

Rasimu ya pili ya Katiba, kisheria kwa sasa ni andiko mfu kama ilivyo Rasimu ya Kwanza ya Katiba.

Tukiwa kama taifa, we can't standstill.

We are moving on!

Rasimu ya Jaji Warioba tumewaachia ninyi UKAWA.

That was your best come back? Katiba with an iron fist? No wonder Sitta is your role model. It was great to have you in the debate.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
That was your best come back? Katiba with an iron fist? No wonder Sitta is your role model. It was great to have you in the debate.
Nguvu kubwa wanayotumia ni kutaka wananchi wasifuatilie uhuni uliofanyika. Ndio maana wanakuja na habari za ''move on''. Kwamba, wamezoe kufanya mambo kihuni wakijua wananchi ni wale wale. Hapana! tunasema kuwa tunahitaji majibu
1. Uhuni uliofanyika Dodoma tena ukisimamiwa na wazee na viongozi wa dini, ni sehemu gani ya demokrasia
2. Je, wameweza kujibu hoja zao za gharama, ''Tanzania na Zanzibar'' kama nchi mbili huru
3. Ile serikali waliyosema inaelea, hii iliyosimama, imesimama kwa miguu gani. Nini chanzo cha mapato
4. Tanganyika imevua koti la muungano
5. Zanzibar wamewajibika katika muungano
6. Mtanganyika amepunguza zigo au ametwishwa lingine likiwa na marais 5 wa znz
7. Tanzania na znz ni nchi mbili, pande ngapi wanaongelea hapo
8. Wamejibu hoja za Watanganyika?
9. Katiba iliyoandikwa ni kwa ajili ya binadamu wa Tanzania au watu wa Tanzania(kuna tofauti hapo, nawasubiri waje)

Haya ndiyo maswali wasiyotaka kuyasikia hata kidogo. Wanataka ''move on' kwasababu taifa haliwezi kuwa katika standstill. Wasichoelewa ni kuwa tayari taifa ni stand still. Leo kamuulize Rais na mwenyekiti wa CCM anasimamia nini kuhusu katiba. Utapata majibu 10 tofauti kutegemea ni lini swali lako umeuliza.

Ukisema mchakato, Rais alikuwa na ufahamu wa muundo wa rasimu ya Warioba. Akaacha uendelee hata kama hataki
Ukisema maoni, Rais alisema yaheshimiwe, sijui Sitta na genge lake wameheshimu
Ukisema ufunguzi wa BMK, Rais alisema jeshi litapindua nchi kwasababu hakuna vyanzo. Leo tunauliza vyanzo, kimyaa!
Ukisema CCM, Rais alisema CCM wajiandae kwa manbadiliko ya muundo wa serikali. Sijui ni haya ya Tanganyika hewa
Ukisema maridhiano, Rais alisema mchakato uahirishwe ili kupata muafaka
Ukisema bunge la Sitta, Rais alisema kazi yao nzuri sana
Ukisema mikutanoni Rais alisema katiba iliyopendekezwa na Chenge ni bora sana. Sijui interpol nao wana maoni gani

Hapa tu, taifa lipo standstill, bado tunaambiwa move on. Haloo! yaani twende tu hata kama ni pori lenye nyoka.
Wametusema wamechoka, sasa wamegeukia viongozi wa dini, wanawaita wapuuzi. Bado tunaambiwa move on! ebo!
 
Tukiwa kama taifa, we can't standstill.

We are moving on!

Kwa sasa tuko kwenye mchakato wa kura ya maoni.
Serous from your Heart,do you believe kwa hiki mlichokifanya,unaamini kabisa hii katiba yenu itadumu even for ten 10 years to come?

Mnajua fika hata kupata tu hiyo akidi ndani ya Bunge mkiwa wenyewe tu CCM mmepiga sarakasi za kutosha na kutia aibu.If you believe in this Katiba kuwa ni "nzuri sana,why nguvu kubwa sana inatumiwa na Mh.Rais kuwalazimisha watu waikubali katiba hii (Ref hotuba yake Mwanza na Tabora jana)

Tuombeane uzima na utakuja kushuhudia mageuzi makubwa sana katika Nchi hii. Usidhani watu wa leo ni wale wale mliozoea kuwadanganya kama watoto wadogo. Time will tell.
 
KIPIMO CHA UZURI NI UBAYA

ULAGHAI, UONGO UNA MWISHO

RASIMU YA MAFICHONI YADODA, IMEKOSA MASHIKO HAINA MAJIBU

MBINU NI KUISOKOMEZA KWA WANANCHI, KUWASHAULISHA DHAMBI KUU ILIYOTENDWA DODOMA

Sehemu ya I

Baada ya sehemu muhimu ya muafaka kutoka bungeni, BMK-CCM limemalizika bila majibu ya agenda ya taifa.

Maswali muhimu yalikuwa,dira ya taifa kwa miaka ijayo, kuondoa matatizo ya mfumo na matatizo ya muungano.

Kudorora na kukosa hamasa ya katiba pendekezi ya CCM ni ushahidi wa kumwagiwa maji baridi.
Haya yanatokea si kwasababu UKAWA hawakupepo uhuni wa katiba uKIfanyika, bali wananchi kudharauliwa

Tunasema uhuni kwasababu ya maswali yasiyo na majibu. Kwa mfano, inakuwaje CCM wabaki wenyewe wakijinasibu wana akidi ya kutosha, wakati huo huo yakitokea mambo ya aibu?

1.Inasemwa 2/3 ya wajumbe ilipatikana kutokana na wajumbe 2 kutoka upinzani.
Ingawa haielezwi ni wapi hao, uongo wa kwamba wapo tayari kufukuzwa ndani ya vyama vyao
unaelezeka kwa Sitta kushindWa kuueleza ulimwengu ni akina nani hao.
2. Yupo mjumbe aamehesabiwa bunge la CCM na imedhihirika hakupiga kura ya ''NDIYO''

3.Kuna madai ambayo yameshindwa kukanushwa na ofisi ya bunge la CCM la Sitta kuhusu mjumbe Zakhia Meghji ambaye ni mteuliwa kutoka bara kwa kundi maalumu, lakini kapiga kura upande wa znz.

Hii maana yake ni uwepo wa wajumbe zaidi ya 3 wasiopiga kura na hivyo 2/3 ya CCM wenyewe kubaki kitendawili. Kwa bahati mbaya, vyombo vya habari nchini kama tunavyosema kila mara tayari vimeshapata ‘sehemu yao'' na kushindwa kufuatilia kwa undani.

Laiti ingalikuwa nchi za wenzetu, majina ya CCM yangewekwa wazi na uhakiki wa vyombo vya habari ungefanyika kwa kina. Huu ndio uhuni uliotendeka,wananachi wanaambiwa kuhusu kura ya maoni.

Kura ya maoni maana yake wamekubali uhuni,waubariki kwa ‘ndiyo au hapana''.
Tunarudia, wamekubali uhuni na si katiba na kinachofanyika ni kuwadanyganya wakubaliane na uhuni huo.

Pamoja na uhuni huo, lipo tatizo ambalo . Madai ya wznz ni kupata nafasi ya kujitawala.
Madai ya Wataganyika ni mzigo wa gharama inaoubeba kwa jina la Tanzania.
Hapa ndipo hoja zinapozuka tena za kufikirisha.

Wazanzibar wamejikaanga kwa mafuta yao. Hii ilikuwa ni fursa ya kupata walichokisimamia kwa miaka mingi. Wameamua kuacha uzanzibar wao wakiamini CCM ndiyo uzanzibar.

Hata hivyo kwa hulka yao, hili ni jambo la muda tu. Tutasikia matatizo makubwa znz muda si mrefu.

CCM wanawajua, katika kamati zao, wamewapa nafasi ya kuamua mambo katika nyadhifa za ueneyeviti n.k. Hiyo ilikuwa kamba ya kujinyonga. Tunasema kujinyonga kwasababu hizi.

Wznz wamepewa madaraka makubwa nndani ya muungano. Mfano, kutakuwa na makamu wa Rais wa JMT ambaye ni Rais wa znz, makamu wa Rais wa JMT mgombea mwenza, na kwa hali ilivyo huyo atatoka znz daima dawamu.
Kutakuwa na makamu wa kwanza na wa pili wa Rais wa SMZ.

Wote watakuwa na nafasi ya kukaimu Urais pale Rais wa JMT atakpokuwa hawezi kutekeleza majukumu yake Hii maana yake ni kuwa znz watatoa Marais 4 ikibidi kama Rais wa JMT hatakuwepo.
Na upo uwezekano Rais wa JMT akawa mzanzibar(uwezekano mdogo sana) na hivyo kuwafanya wawe 5.

Kwa znz hiki ni kitanzi. Haiwezekani znz kuwa na madaraka kamili viongozi wakiwa wamefungwa na katiba ya JMT.
Kwa maneno mengine viongozi hao watumikie katiba ya JMT kwa kuilnda na kuitetea kabla ya kutetea katiba ya Zanzibar.

Swali linakuja, hayo mamlaka kamili yanapatikanaje katika hali hiyo?
Je, si kweli kuwa wazanzibar wamejitia kitanzi.

Unapowashirikisha marais wa znz katika JMT ambayo ni kubwa juu ya znz unawaondolea uwezo wa kuwa independent kwa znz kwasababu kila jambo lazima walitazame kwa jicho la muungano.
Hakuna mamlaka kamili, na wamejikaanga wenyewe.

TANGANYIKA
Kwa upande wa anganyika nako kuna hoja kubwa mbili

Kwanza, uwezekano wa kuongozwa na watu wasiowapigia kura ni asilimia 80. Kwanini? Kuna watu 5 kutoka znz wanaoweza kuongoza Tanganyika. Ukimwacha makamu wa Rais anayehcguliwa

kama mgombea mwenza, wengine 4 wanachaguliwa na znz lakini katiba ya CCM inawapendekeza waweze kukaimu madaraka ya kuiongoza Tanganyika Rais kama hawezi kutekeleza majukumu yake.

Hiyo ni 4/5 ya 100 ambayo ni asilimia 80. Je, Watanganyika hili wanaliona ni suala muafaka?
Kuongozwa na watu kutoka nje ya nchi ni jambo wanaliolipenda au linalowafaa?
Marais 5 kutoka znz watakuwa na hadhi kikatiba, na gharama zao ni jukumu la Tanganyika.

Ni Tanganyika kwasababu ndiyo Tanzania. Ule mzigo wa gharama ambao sasa ni mzito umeongezewa magunia zaidi. Kwamba, Watanganyika watalazimika kuwahudumia viongozi wasiojua wamepatikana kwa utaratibu gani, wamechaguliwa na nani na kwa masilahi ya nini.

Inaendelea......
 
Sehemu ya II

Pamoja na hayo, zile agenda za kitaifa hazijajibiwa. Agenda kubwa kama tulivyosema zilikuwa ni kuweka dira.
Hatuna uhakika kama katiba ya CCM inayotaka kusokomezwa na kufanywa ya taifa ina dira ya taifa.
Hatuna uhakika kama mfumo uliopendekezwa utaondoa matatizo
Na hakuna uhakika kama muundo wa muungano utamaliza matatiz au ndiyo muendelezo wa miaka 50 mingine.

Katika jitihada za kuhakikisha Watanganyika hawaulizi maswali magumu yasiyo na majibu, CCM wana haha kutaka taifa lijadili vipengele vya rasimu yao ili automatic iwe katiba ya nchi.

Kudorora na kukosa msisimko kunaambatana na jitihada za kuhamasisha wananchi wasahau dhambi walizotenda Dodoma.

Tatizo si wapinzani wanaoshawishi wananchi. Tatizo ni kupuuzwa kwa maoni ya wananchi.
Leo CCM wanajinasibu kuwa rasimu ya Warioba wamewaachia UKAWA.

Well, kumbe hii iliyopo ni ya nani? Na, je si kweli kuwa ile rasimu yao ya mafichoni ndiyo inapigiwa debe la kura ya maoni ili watu wasahau dhambi kuu waliyotenda.

Ni dhambi kuu kwasababu Sitta anaposhindwa kusema Zakhia Meghji kapiga kura upande gani, ni kiashirio kuwa madudu waliyofanya hata wendawazimu wangeng'amua.

Lakini wanajua Watanzania ni wepesi wa kudandia mada na kusahau.
Ndio maana wanasisitiza katiba ya CCM ijadiliwe, hilo linaonekana kuwaelemea.
Wananchi hawawezi kujadili rasimu iliyoandikwa na Chenge.

Leo wanapozungumzia kura ya maoni, wanataka uhuni na madudu waliyofanya wakiwa wenyewe yasijulikane.

Katika zama hizi, si Tanzania tu, hata mataifa yanajua kuwa ndani ya CCM wenyewe bado uhuni, wizi, ufujaji na kila dhambi imetendwa na Samwel Sitta kukidhi haja ya watu wachache na si taifa. Hapa watakwama tu.

Lakini kukwama zaidi ni pale wazanzibar watakapong'amua kuwa rasimu ya CCM inaondoa hata kidogo walichokipata.

Mwaka 2010 ni hao hao CCM waliokaa na kupitisha katiba ya SMZ, leo wanatenda kinyume, kesho wakirudi znz watabaini mengine na hapo sijui kitatokea nini.

Pengine rai yetu kwa wananchi ni kuwaasa wayangaalie madudu ya Dodoma halafu wajiulize, hivi hawa CCM wakiwa wenyewe chumbani wanaweza kufanya uhuni usio na elimu kama ule wa Dodoma, wana nia njema na taifa hili hadi waongelee kura ya maoni achilia mbali katiba?

Wananchi watapotoka sana kama wataanza kujadili rasimu ya CCM iliyoandikwa kwa kutumia tume ya maoni ya Sitta iliyozungumza na watu 30 katika milioni 45.

Na hapo tume ya Warioba inaonekana kama lulu, kwasababu wana agenda, walijibu maswali na sasa ubaya wao unapimwa na ''uzuri'' wa katiba ya CCM.

Kwavile kipimo cha ubaya ni uzuri, hebu CCM wawaambie wananchi, yale tuliyosema ni agenda ya kitaifa yameshughulikiwa kama wananchi walivyotaka?

Agenda ya kitaifa si haya ya ekari za wakulima au maeneno ya wafugaji.
Hayo hayapaswi kuwa katika katiba
Ni katiba za wahuni tu ndizo zinaweza kuanisha uhuni huo kama ambavyo wameanisha uhuni wa makundi ya vijana.

Katiba ni ya kulinda na kutetea haki za binadamu.
Hivi wanaposema vijana wameangaliwa katika katiba yao, wazee, vikongwe, walemavu na watoto wapo kundi gani?

Tatizo lao ni kuandika katiba ya watu, tukimaanisha makundi na si ya binadamu tukimaanisha Watanzania wote.

Hapo ndipo utabaini kipimo cha uzuri ni ubaya

Tusemezane
 
Wanafiki wa kwanza ni CCM bara. Kama Watanzania bara kuna mambo hawaridhiki nayo, kwa nini tunapozungumzia kupatikana kwa 2/3 shida inakuwa kwa Wanzanzibar tu, lakini hakuna hofu yoyote kwa Tanzania bara. Mnaposema kuna kundi kubwa linalomuunga mkono Kessy, kundi hilo lina muungia mkono wapi mbona kwenye vikao vya maamuzi hatulioni? Kama kweli wapo kwa nni hawapasi sauti wakasema tukawasikia? Basi hao ni wabaya kuliko wazanzibar. Akumulikae mchana, usiku anakuchoma.
Huu ni Muungano Wa CCM bara na CCM Zanzibar. Lakini kama utapigiwa kura, nadhani sio Watanganyika wala Wanzinzibar Wanao taka Muungano.
 
Wanafiki wa kwanza ni CCM bara. Kama Watanzania bara kuna mambo hawaridhiki nayo, kwa nini tunapozungumzia kupatikana kwa 2/3 shida inakuwa kwa Wanzanzibar tu, lakini hakuna hofu yoyote kwa Tanzania bara. Mnaposema kuna kundi kubwa linalomuunga mkono Kessy, kundi hilo lina muungia mkono wapi mbona kwenye vikao vya maamuzi hatulioni? Kama kweli wapo kwa nni hawapasi sauti wakasema tukawasikia? Basi hao ni wabaya kuliko wazanzibar. Akumulikae mchana, usiku anakuchoma.
Kuna concept moja ambayo huielewi nadhani.
Hawa CCM bara wana masilahi yao kisiasa hasa katika uchaguzi. Watafanya kila linalowezekana kuendelea kuidhibiti znz.

Pili, wabunge wa CCM wanaozibwa midomo ni wengi.
Tatizo,unapokuwa CCM unapaswa uuze uhuru, fikra na akili ili uendelee.
Nadhani unaona jinsi mwanasheria mkuu wa znz alivyotendewa.Vikao vya akina Nape vina mambo mengi.

Tatu, malalamiko ya wznz kuhusu muungano ni ya muda mrefu. Wamedai kuonewa kunyanyaswa na kila aina ya uovu.

Madai hayo yamethibitika ni uongo, kinyume chake Tanganyika imebeba muungano.
Bado madai yao yanabaki na uhalali pasipo mshirika mwenza, na jina la Tanzania linatumika.

Wznz ni chimbuko la Watanganyika kujitambua. Watanganyika wameona waliyokuwa hawayajui
Hivyo tofautisha kati ya Watanganyika na Watanganyika kundi la CCM

Wznz wanadai kuwa koloni, wakimlaani Nyerere kwa dua na mitusi.
Ndio waliokimbia kuondoa mambo ya muungano wakidai hauna faida.
Tena wanasema kama ungelikuwa na faida nchi nyingine zingeshajiunga.

Ni kwa muktadha huo, muundo wa muungano unawahusu sana kwa kile wanachokiita kero.
Harakati zao ni kujiondoa katika makucha ya Tanzania ili wawe huru kiuchumi na kisiasa.

Unafiki ni sehemu ya utamaduni wa wznz. Wale akina Kificho, Nahodha, Salimini n.k. walikaa na kubadili katiba ya znz bila heshima ya katiba ya JMT na ndio wanarudi Dodoma kurudisha kile walichokikataa 2010.

Wakati hayo yakitokea wapo wanaosema muungano huu hauna maana kwao.Unaweza kuona tabia za manafiki

Ni kwa sababu hizo, unafiki mkubwa wa znz unashindwa kutoa majibu, tunabaki kuwajdili kila siku.

Ima wangekubaliana na S2 siku za nyuma huenda mjadala usingekuwepo, ingawaje Watanganyika walishaamka nyakati za G55.

Madai yasiyoisha ya wznz yameibua Watanganyika waliyokuwa hawajui na madai yao ni makubwa kuliko ya wnz kwa mashiko, namba na kila aina ya mizani.

Wznz wale wale wanaodai ni koloni la mtu mweusi ndio wanaozuia uwepo wa Tanganyika waliyoidai muda mrefu
Wameungana na CCM kukana madai yao. Ni kitu hiki kama si unafiki?

Tena kuungana kwao ni kwa unafiki mkubwa. Walichokataa huko nyuma sasa wanakikubali.

Hapo ndipo mzigo unapowaelemea kuwa 2/3 ni yao kwasehemu kubwa kwa kuzingatia unafiki miyoni mwao

Ni yao kwasababu hawaeleweki hasa wanataka nini, lakini ni tatizo kubwa katika taifa.
Nauliza wewe unajua wanataka nini?

Hoja kubwa ni kuwa Watanganyika wanadai Tanganyika yao kwa dhati ingawa unadhani si kweli.
Siku watakapotoa yao ya moyoni wznz watatambua tena kwa gharama zao.

Wznz hawajui hasa wanataka nini,unafiki unatawala sana fikra zao

Wakiwa znz wanasema hili, wakivuka bahari utadhani sio wao.
 
Ndani ya CCM bara kuna wanaotaka Tanganika yao, wanadai wanalemewa na mzigo wa kuhudumia wazanzibara kwa mambo yasiyo ya Muungano. Kwa kifupi madai yote aliyoyatoa mheshimiwa Kessy Watanganyika wanayaunga mkono. Hata kama tutasema hawako huru, wamefungwa midomo na CCM, CCM ipi inayowafunga mdomo ikiwa wao ni CCM pia. Labda uniambie viongozi wa CCM. Sasa ikiwa wabunge wote wasiokuwa viongozi wa juu wa CCM wakiukataa Muungano, hawa viongozi watamtisha nani?
Kuna taarifa kuwa hata Kikwete alitaka rasimu ya katiba iliyowasilishwa na Jaji Joseph Sinde Warioba iliyopendekezwa uwepo wa serikali tatu aliiafiki, lakini akatishwa na CCM. CCM ipi inayoweza kumtisha hata mwenyekiti wao?
Mimi hapa naona tatizo ni unafiki na uwoga wa wanasiasa. Unafiki uko wazi hata wewe umeugusia, lakini uwoga unatokana na hofu ya kutojua litakalotokea baada ya kuvunjika kwa Muungano. Viongozi waoga hawajui nini kiitatokea. Lakini huwezi kujua matokeo ya jambo lolote liwe zuri au baya, ni lazima uthubutu kutenda. Kama huwezi kuthubutu sahau kuyaona mabadiliko yawe mazuri au mabaya.
Viongozi wanabakia kukariri mazuri ya Nyerere na Karume, wao hawana mawazo bunifu hata pale wanapoona matatizo yanawazonga. Hakuna mzazi anayefundisha mwanawe mapenzi, watu wote hujifunza kwa kuthubutu tu, lakini wakionja hawawezi kuyacha. CCM hawa aminiani na hawajiamini. Ushahidi upo wazi. Kwa nini wabunge wanakuwa hawalipendi jambo lakini hawako huru kwa dhati ya mioyo yao kulisema bayana? Kwa nini wanasemea kwapani? Jibu ni rahisi kila mtu anaogopa kugeukwa na mwenziwe. Wanajuana wao wote kwa umoja wao, ni vigeu geu. Pili nasema hawajiamini kama wataweza kuchaguliwa wakiwa nje ya Muungano. Kura za Zanzibar zimekuwa kama kura za maruhani, kura za mizengwe kwa nchi inayoeleka na kujenga utamaduni wa kupata uongozi kwa njia za kimizengwemizengwe, lakini pia hawajiamini na ndyo msingi wa kuitaa Tume Huru ya Uchaguzi. Uliona wapi muamzi anayechaguliwa na upande mmoja wa timu shindani. No fair play. Lakini ni utamaduni wa kijinga uliojengeka mungoni mwa mwana CCM. Mwanafunzi mahiri, aliyejiandaa kikamilifu hawezi fikra za kushinda mtihani kwa kudanganya, timu bora ya mpira wa miguu haiwezi kutegemea kushinda mchezo kwa kupendelewa na refa au kwa kutegemea jukwaa la ufundi-(uchawi)
Kuna concept moja ambayo huielewi nadhani.
Hawa CCM bara wana masilahi yao kisiasa hasa katika uchaguzi. Watafanya kila linalowezekana kuendelea kuidhibiti znz.

Pili, wabunge wa CCM wanaozibwa midomo ni wengi.
Tatizo,unapokuwa CCM unapaswa uuze uhuru, fikra na akili ili uendelee.
Nadhani unaona jinsi mwanasheria mkuu wa znz alivyotendewa.Vikao vya akina Nape vina mambo mengi.

Tatu, malalamiko ya wznz kuhusu muungano ni ya muda mrefu. Wamedai kuonewa kunyanyaswa na kila aina ya uovu.

Madai hayo yamethibitika ni uongo, kinyume chake Tanganyika imebeba muungano.
Bado madai yao yanabaki na uhalali pasipo mshirika mwenza, na jina la Tanzania linatumika.

Wznz ni chimbuko la Watanganyika kujitambua. Watanganyika wameona waliyokuwa hawayajui
Hivyo tofautisha kati ya Watanganyika na Watanganyika kundi la CCM

Wznz wanadai kuwa koloni, wakimlaani Nyerere kwa dua na mitusi.
Ndio waliokimbia kuondoa mambo ya muungano wakidai hauna faida.
Tena wanasema kama ungelikuwa na faida nchi nyingine zingeshajiunga.

Ni kwa muktadha huo, muundo wa muungano unawahusu sana kwa kile wanachokiita kero.
Harakati zao ni kujiondoa katika makucha ya Tanzania ili wawe huru kiuchumi na kisiasa.

Unafiki ni sehemu ya utamaduni wa wznz. Wale akina Kificho, Nahodha, Salimini n.k. walikaa na kubadili katiba ya znz bila heshima ya katiba ya JMT na ndio wanarudi Dodoma kurudisha kile walichokikataa 2010.

Wakati hayo yakitokea wapo wanaosema muungano huu hauna maana kwao.Unaweza kuona tabia za manafiki

Ni kwa sababu hizo, unafiki mkubwa wa znz unashindwa kutoa majibu, tunabaki kuwajdili kila siku.

Ima wangekubaliana na S2 siku za nyuma huenda mjadala usingekuwepo, ingawaje Watanganyika walishaamka nyakati za G55.

Madai yasiyoisha ya wznz yameibua Watanganyika waliyokuwa hawajui na madai yao ni makubwa kuliko ya wnz kwa mashiko, namba na kila aina ya mizani.

Wznz wale wale wanaodai ni koloni la mtu mweusi ndio wanaozuia uwepo wa Tanganyika waliyoidai muda mrefu
Wameungana na CCM kukana madai yao. Ni kitu hiki kama si unafiki?

Tena kuungana kwao ni kwa unafiki mkubwa. Walichokataa huko nyuma sasa wanakikubali.

Hapo ndipo mzigo unapowaelemea kuwa 2/3 ni yao kwasehemu kubwa kwa kuzingatia unafiki miyoni mwao

Ni yao kwasababu hawaeleweki hasa wanataka nini, lakini ni tatizo kubwa katika taifa.
Nauliza wewe unajua wanataka nini?

Hoja kubwa ni kuwa Watanganyika wanadai Tanganyika yao kwa dhati ingawa unadhani si kweli.
Siku watakapotoa yao ya moyoni wznz watatambua tena kwa gharama zao.

Wznz hawajui hasa wanataka nini,unafiki unatawala sana fikra zao

Wakiwa znz wanasema hili, wakivuka bahari utadhani sio wao.
 
Ndani ya CCM bara kuna wanaotaka Tanganika yao, wanadai wanalemewa na mzigo wa kuhudumia wazanzibara kwa mambo yasiyo ya Muungano. Kwa kifupi madai yote aliyoyatoa mheshimiwa Kessy Watanganyika wanayaunga mkono. Hata kama tutasema hawako huru, wamefungwa midomo na CCM, CCM ipi inayowafunga mdomo ikiwa wao ni CCM pia. Labda uniambie viongozi wa CCM. Sasa ikiwa wabunge wote wasiokuwa viongozi wa juu wa CCM wakiukataa Muungano, hawa viongozi watamtisha nani?
Kuna taarifa kuwa hata Kikwete alitaka rasimu ya katiba iliyowasilishwa na Jaji Joseph Snde Warioba iliyopendeka uwepo wa serikali tatu aliiafiki, lakini akatishwa na CCM. CCM ipi inayoweza kumtisha hata mwenyekiti wao?
Mimi hapa naona tatizo ni unafiki na uwoga wa wanasiasa. Unafiki uko wazi hata wewe umeugusia, lakini uwoga unatokana na hofu ya kutojua litakalotokea baada ya kuvunjika kwa Muungano. Viongozi waoga hawajui nini kiitatokea. Lakini huwezi kujua matoke ya jambo lolote liwe zuri au baya, ni lazima uthubutu kutenda. Kama huwezi kuthubutu sahau kuyaona mabadiliko yawe mazuri au mabaya.
Viongozi wanabakia kukariri mazuri ya Nyerere na Karume, wao hawana mawazo bunifu hata pale wanapoona matatizo. Hakuna mzazi anayefundisha mapenzi, watu wote hujifunza kwa kuthubutu tu, lakini wakionja hawawezi kuyacha. CCM hawa aminiani na hawajiamini. Ushahidi upo wazi. Kwa nini wabunge wanakuwa hawalipendi jambo lakini hawako huru kwa dhati ya mioyo yao? Jibu ni rahisi kila mtu anaogopa kugeukwa na mwenziwe. Pili nasema hawajiamini kama wataweza kuchaguliwa wakiwa nje ya Muungano. Kura za Zanzibar zimekuwa kama kura za maruhani, likini pia hawajiamini na msingi wa kuitaa Tume Huru ya Uchaguzi. Uliona wapi muamzi anayechaguliwa na upande mmoja wa timu shindani. No fair play
Lakini pia tusisahau kuwa sisi wananchi tuna sehemu yetu. Endapo tungewaambia wabunge kile tunachoamini wasingeweza kutuchezea hovyo.
Tungekomaa na maoni yetu katika tume, wasingetuchezea. Tungekomaa na udanganyifu wa kiongozi wa nchi, wasingetuchezea. Tumewapa nafasi watuchezee

Katiba ni suala letu na sisi tunapaswa kuwawajibisha wabunge na Serikali.

Njia rahisi ni kuanza kugomea yale wanayosema, kukataa udanganyifu kama wa Kashilila na Sitta ambao hadi leo wanahesabu kura ingawa matokeo yameshatoka.

Tuna sehemu yetu kwa kuwapa nafasi ya kutuchezea.

Tuna nafasi ya kusahihisasha makosa kwa kuwawajivisha. Wamekataa kifungu cha kuwajibishwa, bado tuna uwezo huo. Ni kukataa upuuzi wa aina yoyote, kuwaeleza wazi kuhusu uhuni na upuuzi kama walioufanya Dodoma.
 
Very intriguing question na tunategemea utupe majibu ukiwa sehemu ya katiba ya Chenge.

Nguruvi nadhani unakosea sana unaposema mimi ni sehemu ya Katiba ya Chenge, kusema kweli mimi si sehemu ya katiba ya Warioba wala Chenge. Nimeipinga katiba ya Warioba sababu ilijaa ego na makorokoro ambayo wengi mlikuwa mnafumbia macho sababu tuu ilikuwa na serikali tatu, mambo kama haki za vijana, mambo kama ukomo wa ubunge (ubaguzi wa hali ya juu), sijui watu kufanya referendum kama hawamtaki kiongozi, matokeo ya ile katiba hata na hiyo serikali tatu ingeleta political gridlock. Nasema hivyo sio kusema katiba ya Sitta is better, nasema uozo wa mwenge na uozo wa Oysterbay wote ni uwozo tuu so am not a favor of either.

Tofauti yangu mimi na wewe kama nilivyosema mwanzo nawake maono yangu bayana, nilishasema tangu awali kwamba kama mnataka muungano wa serikali zaidi ya moja( mimi ni mmoja ya wanaosema serikali moja au VUNJA muungano/gawa mbao) basi hakuna budi kuwabeba Zanzibar, sababu hawana uwezo wa kifedha, hawako katika jeografia nzuri na mengine. Nyinyi mpo nyuma ya pazia, hamuutaki muungano lakini mnaona fedhea kuja mbele na kusema Muungano na ukome. Mimi huko sipo naaita sinia sinia na sio sahani kubwa.

Mwisho mnachoshindwa wengi ni kuelewa CCM political machine, kama walivyo UKAWA nao wali undermine political strength ya CCM, as much as hate CCM nawapa credit kwamba wapo very organize, wako very tactical na wanajua execution. Now you either like or don't those credits belong to them. Lakini why am even surprise na UKAWA wakati uongozi wao unatoka kwa mini dictators wao.

Problem ya Tanzania sio katiba, problem ya Tanzania ni post Nyerere generation ambayo ni walafi, waroho na wana uwezo mdogo wa kufikiria. Hii include walio tengeneza Katiba Warioba na hii ya Sitta wote ni same people, wapo katika misingi ya kukomoana, chuki na uzandiki. Kama mnataka maendeleo tunaitaji what January Makamba called "social reengineering" and this doesn't endorse him kwamba he is the best lakini at least he sees the problem. Our problem is not Katiba, but people who THINK. We have full of empty suit viongozi, both CCM and Upinzani, ambao wapo busy kushinda political news cycle, matokeo yake masikini wanazidi kuwa masikini.
 
Wanafiki wa kwanza ni CCM bara. Kama Watanzania bara kuna mambo hawaridhiki nayo, kwa nini tunapozungumzia kupatikana kwa 2/3 shida inakuwa kwa Wanzanzibar tu, lakini hakuna hofu yoyote kwa Tanzania bara. Mnaposema kuna kundi kubwa linalomuunga mkono Kessy, kundi hilo lina muungia mkono wapi mbona kwenye vikao vya maamuzi hatulioni? Kama kweli wapo kwa nni hawapasi sauti wakasema tukawasikia? Basi hao ni wabaya kuliko wazanzibar. Akumulikae mchana, usiku anakuchoma.

This is what you call bald truth. Kwa nini 2/3 is only in Zanzibar? Sababu Zanzibar knows what they want and they stand with it, and Bara historical hajui anachokitaka. Ndio maana ana dhahabu hebind Ghana but poor, ana Gas nyingi but dar watu wananua mitungi ya Orxy, ana mbuga nyingi lakini bado watu wake midabwada, because Bara is just BIG Head with small brain.
 
Nguruvi nadhani unakosea sana unaposema mimi ni sehemu ya Katiba ya Chenge, kusema kweli mimi si sehemu ya katiba ya Warioba wala Chenge. Nimeipinga katiba ya Warioba sababu ilijaa ego na makorokoro ambayo wengi mlikuwa mnafumbia macho sababu tuu ilikuwa na serikali tatu, mambo kama haki za vijana, mambo kama ukomo wa ubunge (ubaguzi wa hali ya juu), sijui watu kufanya referendum kama hawamtaki kiongozi, matokeo ya ile katiba hata na hiyo serikali tatu ingeleta political gridlock. Nasema hivyo sio kusema katiba ya Sitta is better, nasema uozo wa mwenge na uozo wa Oysterbay wote ni uwozo tuu so am not a favor of either.

Tofauti yangu mimi na wewe kama nilivyosema mwanzo nawake maono yangu bayana, nilishasema tangu awali kwamba kama mnataka muungano wa serikali zaidi ya moja( mimi ni mmoja ya wanaosema serikali moja au VUNJA muungano/gawa mbao) basi hakuna budi kuwabeba Zanzibar, sababu hawana uwezo wa kifedha, hawako katika jeografia nzuri na mengine. Nyinyi mpo nyuma ya pazia, hamuutaki muungano lakini mnaona fedhea kuja mbele na kusema Muungano na ukome. Mimi huko sipo naaita sinia sinia na sio sahani kubwa.

Mwisho mnachoshindwa wengi ni kuelewa CCM political machine, kama walivyo UKAWA nao wali undermine political strength ya CCM, as much as hate CCM nawapa credit kwamba wapo very organize, wako very tactical na wanajua execution. Now you either like or don't those credits belong to them. Lakini why am even surprise na UKAWA wakati uongozi wao unatoka kwa mini dictators wao.

Problem ya Tanzania sio katiba, problem ya Tanzania ni post Nyerere generation ambayo ni walafi, waroho na wana uwezo mdogo wa kufikiria. Hii include walio tengeneza Katiba Warioba na hii ya Sitta wote ni same people, wapo katika misingi ya kukomoana, chuki na uzandiki. Kama mnataka maendeleo tunaitaji what January Makamba called "social reengineering" and this doesn't endorse him kwamba he is the best lakini at least he sees the problem. Our problem is not Katiba, but people who THINK. We have full of empty suit viongozi, both CCM and Upinzani, ambao wapo busy kushinda political news cycle, matokeo yake masikini wanazidi kuwa masikini.

Kwahiyo Jamaa yako he's a social engineer?










Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mchambuzi I think you missed the point. I said in a big quotation kwamba the problem is people thinking capability and social behavior. Now I didn't endorse anyone.

Lakini I pinpoint where is a bleeding. You guys are working harder to cure symptoms badala ya disease. Labda tujiulize how does CCM still winning while Tanzania is one of the poorest country in the world despite having all natural resources. And don't even think it is because of daftari la kura no, sababu sisi reflection ya CCM. We all hate rushwa only kwa Lowassa but wote on outside tunakula. We all hate Ridhiwani but wote tunaweka ndugu zetu on any position sababu tuu ndugu zetu. Tuna act like them, tunafanya mambo yetu ya kila siku kama wao, definitely sisi ni wao. So stop this madness Kwamba CCM is a small group of people No. We are all CCM on different costume.
 
Mkuu Mtanganyika , umeongea hoja nyingi naomba nizirejee bila mpangilio.
Hoja ya I (Tatizo la Tanzania si katiba)
Kwanza, tatizo la Tanzania ni katiba.

Huwezi kwenda au kutenda jambo ukiwa huna muongozo.
Hiyosocial engineering unayosema lazima ijengwe katika taratibu za nchi,ihakikishwe ipo katika taratibu na sheria na inakidhi haja na matamanio ya ummakutokana na dira yao.


Rushwa, ubadhirifu na mengine ni matokeo ya kuwa na mfumombaya wa utawala na uendeshaji wan chi.
Mfumo hujengwa kwa taratibu na sheria watuwaliojiwekea, ambao ni Katiba ya nchi inayozaa sheria zote zinazotumika nchini


Tazama mataifa kama India, Marekani, Canada, Australia auJapan kwa uchache, utaona miongozo yao inawalinda bila viongozi. Kwa mfano,katika miaka 7 iliyopita Japan imekuwa na mawaziri wakuu Zaidi ya 5.
Nchi ipo imara kwasababu ina mwongozo na si mtu.


India iliwahi kuwepo kwa miezi 3 bila waziri mkuu, haikuyumba kwasaabu ina mwongozo na viongozi.

Sisi tuna viongozi hatuna mwongozo. Ndio maana Rais anawezakuficha madhambi chini ya kapeti, akakumbatia wahalifu na sasa ndio wanamfanyiakazi ya kuandika mwongozo na maadili ya taifa.

Hivi kweli mhalifu anaweza kuandika sharia itakyomzuia yeye kufanya uhalifu?

Hoja ya pili....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom