Duru: Hatima ya Muungano na dalili za kuvunjika mapema

Duru: Hatima ya Muungano na dalili za kuvunjika mapema

Mag3, nitakupa majibu kutokana na maono yangu ambayo kwa kukupa ufafanuzi hayaambatani na CCM wala hayafungamani na chama chochote bali ni maono huru.
Hapana Mtanganyika, sisi wote ni watu wazima hivyo ni vizuri tujiepushe kudanganyana iwe kwa makusudi ama bahati mbaya. Wanaounga mkono mapendekezo ya Tume ya Merekebisho ya Katiba ndio kidogo wanaweza kuwa na utetezi unao make sense kwamba maoni yao hayafungamani na chama chochote na sio vinginevyo. Kwa nini nasema hivyo? Ni kwa sababu wengi wao ndio pekee hawakuiamini tume toka mwanzo kwamba ingeweza kuendesha zoezi kwa weledi kama ilivyokuja kutokea. Sababu ya kutoiamini tume ni kwamba kundi kubwa la wajumbe waliteuliwa na kiongozi mkuu wa chama tawala chenye sera ya muundo wa serikali mbili na awali waliunga mkono sera hiyo.
1. Nadhani utakubaliana na mimi haingii akilini kwamba Jaji Warioba apewe kiti kuzungumza baada ya Raisi, ukiangalia leadership protocol boss ndio anakuwa mzungumzaji wa mwisho. So, hili likuwa na more logical lakini wana siasa wame spin kuonyesha kwamba intention ilikuwa kuvunjavunja katiba ya jaji warioba.
Really? Mtanganyika unajua mantiki ya Raisi wa nchi kutakiwa kuzindua kikao muhimu kama cha Bunge Maalum La Katiba kabla ya kuanza shughuli zake? Hilo ni jukumu lake kama Raisi...kufungua rasmi shughuli za Bunge hilo. Labda nikuulize swali dogo tu, je wakati Mwenyekiti wa Tume, Mh. Jaji Warioba Tume anawakilisha mapendekezo ya rasimu, kikao hicho cha Bunge Maalum la Katiba kiliishaanza rasmi?
2. Jakaya kama sehemu ya jamii alikuwa na haki ya kusema yake ya moyoni. Kwani Azimo la Arusha si lilikanwa mwalimu akiwa hai?
Jakaya Mrisho Kikwete kama sehemu ya jamii alikuwa na haki zote za kusema yake ya moyoni lakini kwa wakati muafaka; huo ni wakati tume inakusanya, kuchambua na kuratibu maoni ya wananchi, kwa nini asubiri hadi rasimu inawakilishwa BMLK? Je wakati Tume inaendesha zoezi lake alikuwa hapewi ripoti na kama kuna maeneo ya mapendekezo yalimkera kwa nini hakuishauri tume aliyoiteua yeye mwenyewe mapema?
3. Tatizo la namba za serikali limeigawa Tanzania katika makundi, nadhani Jaji Warioba na kundi lake walishindwa kutumia utashi kuangalia njia mbadala ya kuridhisha pande zote yaani serikali mbili, tatu na sisi wa serikali moja. Kama warioba angejua hilo leo tusinge kuwa hapa tulipo. Instead wao walichotumia ni kuja na statistics ambazo mungu ndio anajua walipo zitoa na kutaka kusokomeza mzigo wa serikali ambao ungejaa mabwanyenye. Nadhani cha muhimu ingekuwa kutengeneza reconciliation panel ambayo ingefanya maridhiano kati ya wanao taka tatu na wale wa mbili na sisi wa moja. Hii ingepunguza makali, instead wamekwenda kwenye Medieval age playbook na kurudi na yaleyale,
Huu utetezi unaoutoa hapa ndio kwanza unakuumbua na pili unaonesha ni wewe ndio umezama kwenye unachoita medieval age playbook ya CCM kwa kutetea yale yale. Tume ilipewa kazi ya kusikiliza, kukusanya na kuratibu maoni ya wananchi na kazi hiyo waliifanya bila kutanguliza itikadi ya vyama vyao wala matakwa yao binafsi kama wajumbe.

Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results - Albert Einstein.
4. CCM wanatumia political tactique sababu wao sera yao kichama ni serikali mbili, sasa kama vile Ukawa wavyotumia mchezo wa kwamba serikali tatu ndio suluhu. Tofauti ni kwamba CCM wapo more organized, wanajua nini wanataka na UKAWA ni genge tuu ambalo bado halijajua linataka nini. That is a difference, hawa wako more organized na hawa wengine wapo wapo tuu. Leo wanaitwa TCD wanakwenda behind doors wanakubaliana na mchakato uendelee wakija kwenye majukwaa wanasema tumegomea, wapo kama kuku aliyekatwa kichwa, focus less. So, CCM wanatumia old playbook ambayo ni dirty politics always works.
Sasa hapo ndipo mimi huwa nawapuuza watu kama wewe na awali sikutaka kabisa kujibu huu upuuzi uliouandika hapa; Mtanganyika tunaongelea rasimu ya katiba kama ilivyowasilishwa Bungeni na mwenyekiti wa Tume, rasimu haikutolewa na Chadema, CUF wala NCCR- Mageuzi. Wahafidhina ambao toka mwanzo hawakutaka mabadiliko na hata hiyo Katiba mpya hawakuona umuhimu wake wakala njama kwa kumtumia Raisi wao asiye na msimamo kuteka ajenda nzima ya Katiba mpya. Imedhihirika wazi kuwa wakati tume inazunguka ikikusanya maoni ya wananchi, hawa wahafidhina walijifungia wakaamua kuandika Katiba mafichoni.
5. Mkuu kampeni za nini tena? Katiba isambazwe wananchi wasome mwenye kuipenda aseme ndio ambae anaikataa aseme hapana. Unataka tena kampeni za nini?
Are you for real? Hebu nieleze niweze kuelewa maana ya kampeni, je kusambaza Katiba ya CCM siyo kampeni? Je wanayofanya viongozi wa CCM na redio TBCCM siyo kampeni? Kwa nini tunakuwa na kampeni wakati wa uchaguzi? Kwa nini watu wasiandike vipeperushi tu wakasambaza kwa wananchi? Kwa nini upande moja usambaze Katiba yao kwa wananchi lakini upande wa pili zitafutwe njia za kuwanyamazisha wasiwafikie wananchi?

Unazikumbuka kampeni za orange na banana kwa jirani zetu Kenya? CCM inaogopa nini wananchi kulezewa mabaya ya Katiba iliyoandikwa na wahafidhina/mafisadi waliokubuhu kulinda malahi yao?
6. Tatizo kubwa ni moja mkuu walio upande wa pili wa sarafu ambao wana tetea serikali tatu wapo very disorganized, hawafamiki nini wanataka, mara wanagomea mara wanakutana na JK, hawajitambui. Sidhani tatizo lipo kwa vyombo vya usalama.
Duh! UKAWA ni muungano wa watu wenye vyama tofauti itikadi tofauti, sera tofauti, mitizamo tofauti n.k. lakini kama wameweza kushirikiana pamoja na kukataa hongo ya laki tatu kwa siku wakipigania kuheshimiwa kwa maoni ya wananchi wanastahili pongezi na si dhihaka. Wanapoamua kukutana na Raisi wanaonesha dhamira ya kutafuta maridhiano lakini mara zote na kwa bahati mbaya Raisi wetu hakuna alichoweza kuonesha zaidi ya udhaifu na mabadiliko ya msimamo mithili ya kinyonga.
nakataa kabisa kusema kwama kunaitajika ujasiri wakati unapiga kura ya siri. Hakuna ujasiri katika kusimama katika yale unayo amini. Mkubwa nadhani katika mikoa ya watu wenye uweleo na utashi Dar es Salaam iko juu sana, jee unaweza kuniambia kwa nini CCM wanashinda Dar es Salaam. Hawa watu wapo more inform labda kushinda mikoa yote ya Tanzania, lakini bado CCM wanaweka magoigoi na wanashinda. Unataka kuniambia kwamba hapa tusiseme kwamba sumu yetu ni sisi wenyewe.
Waliojiandikisha kupiga kura mwaka 2010 walikuwa 20,000,000. Kikwete alitangazwa mshindi kwa kura 5,000,000 sawa na asilimia 25%. Rasimu ya Katiba mpya kama ilivyowasilishwa na Tume ilikuwa izibe mianya kama hii inayotoa nafasi kwa matokeo ya kura kuchakachuliwa na kuruhusu kuhoji hali kama hiyo ikitokea. Waliozoea kuchakachua wameipiga teke rasimu yenye maoni ya wananchi na kuteua wezi na walaghai kutuandikia Katiba wakitanguliza maslahi kwa kulinda vya haramu walivyovichuma.
Wachache wenye kuhoji uhalisia walikuwepo tangu wakati wa Mwalimu Nyerere, watu kama Kambona na wengine. Tatizo lilopo ni moja mfumo wa elimu na maisha unajenga wananchi wasio jitambua. Labda tufanye mapinduzi ya kifikra ndio tunaweza kushinda, vinginevyo hizi ni sauti za mwangu hazimtishi mpiga mbiu.

Stuart Silverstein - To come up with a new approach to an old problem, we often need to look at the problem differently. If we do the same things, we will get the same results. If we use our same bag of tricks, we will end up with the same magic show. In my experience, when a new solution was required, the best thing I could do (whether I was stuck or not) was to change my perspective on the problem. This could mean looking at new visuals, asking different questions or simply refining my language. Once you have explored new angles of a problem, be they visual, functional or strategic, you will often see something new, which will set you off on the road to creativity and true innovation. When all you see is the ear and leg, you usually just need the trunk to complete your view of the elephant.

Please take note Mtanganyika...CCM have run out of tricks, they are bound to end up with the same magic show.
 


@Mkuu Mag3 , ahsante sana kwa majibu yako kwa kada Mtanganyika. Ningependa niongeze chumvi kidogo katika kile ulichokieleza bayana.


  1. Kwanza, Mtanganyika anajifanya ni mtu wa S1 akiwa amejificha. Huyu ni kada wa CCM ndio maana anasema katiba ichapishwe isambazwe. Well, hajazungumzia lolote kwa CCM kufunga tovuti ya tume ya Warioba. Halafu, huyu wa S1 amesharidhika na uhuni wa Dodoma hata walipobaki wenyewe.
  2. Jaji Warioba ba ‘leadership protocol'' Mtanganyika hatambui kuwa Rais alialikwa kwa heshima tu. Bungeni hakuna protocol kuna kanuni zilizosema wazi Rais atazindua bunge na kasha agenda kuwekwa mbele na Warioba. Halikuwa sauala la protocol kwasababu ingewezekana pia Rais asialikwe na kisharibike kitu.
    b) Kama ni protocol, inakuwaje mara 2 Kikwete amezindua bunge la JMT baada ya kuapishwa wabunge.
    c) Kwanini kanuni za bunge zima zilizoridhiwa zikiukwe na Samwel Sitta peke yake kwa amri yake tena akitumia usalama wa taifa na FFU. Hivi kama ni protocol hilo lilikuwa na heshima yoyote kwa JK, kwamba anaongea kwa kulazimisha na kutumia usalama wa taifa. Lini Nyerere/Mkapa/Mwinyi walifanya hivyo. Hilo tu linamuondolea heshima sana.
    d)Warioba alipoongea, aliongea kwa agenda gani maana bunge lilikuwa halijazinduliwa. Je, kulikuwa na umuhimu wa Rais kuzindua kwa mantiki hiyo


3.Jakaya Kiwete ni sehemu ya jamii, ana haki ya kutoa maoni. Lakini lazima aelewe wapi anatoa maoni yake na wapin anaongea kama Rais wa nchi.
Tume imethibitisha mawasiliano na JK kila mara hadi wajumbe wakamshuku Warioba.
Tume imeongea na ofisi zote ikiwemo Ikulu.

Huko kote Jakaya hakuona la kuzungumza, alichokiona ni kusema jeshi litapindua nchi. Hivi Mtanganyika unaona busara yoyote hapo kweli hata kama ni kada.


3. Mtanganyika , Mzee Warioba haktumwa kuandika mawazo yake, hivyo suala laku-balance ni yale yale ya kukosa hoja. Unapotuhumu takwimu za Warioba, labda utueleze za Chenge zimepatikanaje na zinafanyiwaje tathmini. Tunavyojua Sitta alikurana na watu 37.

Hili la kumtuhumu Warioba ni sehemu ya kukosa hoja kwa makada wa CCM kama Mtanganyika. Jumbe alipoteza kazi kwa S3. Malecela alipoteza kazi kwa S3. Kisanga alishauri S3, Nyalali akasema S3 na kila tume iliyoundwa ilikuja na jibu hilo. Vipi Warioba aonekane mbaya sana wakati kuna watu walipoteza kazi achilia mbali maisha

5. Kuhusu kampeni, haa! Mbona Kikwete, Wasira, Sitta wameshaanza kitambo! Unaposema katiba isambazwe, ndiyo na hapana zifanye kazi, wewe unaridhika na uhuni wa Dodoma kuanzia mwanzo hadi mwisho. Ndio maana trunasema usijifiche fiche bila sababu wewe ni kada wa chama.

Si tumekusoma ukimpigia debe January Makamba. Sasa umebakiza nini tena.



Tuna safari ndefu sana nchi hii, huyu bwana ni msomi tu, baadala ya kusimamia nchi anasimimia Sitta/Chenge .

Anaunga mkono upuuzi kwa kujitoa fahamu, Kazi za ukada ngumu sana zinahitaji moyo. Huwezi kuwa kada mzuri wa ccm kama unafahamu zako vema




Wasalaam
 


@Mkuu Mag3 , ahsante sana kwa majibu yako kwa kada Mtanganyika. Ningependa niongeze chumvi kidogo katika kile ulichokieleza bayana.


  1. Kwanza, Mtanganyika anajifanya ni mtu wa S1 akiwa amejificha. Huyu ni kada wa CCM ndio maana anasema katiba ichapishwe isambazwe. Well, hajazungumzia lolote kwa CCM kufunga tovuti ya tume ya Warioba. Halafu, huyu wa S1 amesharidhika na uhuni wa Dodoma hata walipobaki wenyewe.
  2. Jaji Warioba ba ‘leadership protocol'' Mtanganyika hatambui kuwa Rais alialikwa kwa heshima tu. Bungeni hakuna protocol kuna kanuni zilizosema wazi Rais atazindua bunge na kasha agenda kuwekwa mbele na Warioba. Halikuwa sauala la protocol kwasababu ingewezekana pia Rais asialikwe na kisharibike kitu.
    b) Kama ni protocol, inakuwaje mara 2 Kikwete amezindua bunge la JMT baada ya kuapishwa wabunge.
    c) Kwanini kanuni za bunge zima zilizoridhiwa zikiukwe na Samwel Sitta peke yake kwa amri yake tena akitumia usalama wa taifa na FFU. Hivi kama ni protocol hilo lilikuwa na heshima yoyote kwa JK, kwamba anaongea kwa kulazimisha na kutumia usalama wa taifa. Lini Nyerere/Mkapa/Mwinyi walifanya hivyo. Hilo tu linamuondolea heshima sana.
    d)Warioba alipoongea, aliongea kwa agenda gani maana bunge lilikuwa halijazinduliwa. Je, kulikuwa na umuhimu wa Rais kuzindua kwa mantiki hiyo


3.Jakaya Kiwete ni sehemu ya jamii, ana haki ya kutoa maoni. Lakini lazima aelewe wapi anatoa maoni yake na wapin anaongea kama Rais wa nchi.
Tume imethibitisha mawasiliano na JK kila mara hadi wajumbe wakamshuku Warioba.
Tume imeongea na ofisi zote ikiwemo Ikulu.

Huko kote Jakaya hakuona la kuzungumza, alichokiona ni kusema jeshi litapindua nchi. Hivi Mtanganyika unaona busara yoyote hapo kweli hata kama ni kada.


3. Mtanganyika , Mzee Warioba haktumwa kuandika mawazo yake, hivyo suala laku-balance ni yale yale ya kukosa hoja. Unapotuhumu takwimu za Warioba, labda utueleze za Chenge zimepatikanaje na zinafanyiwaje tathmini. Tunavyojua Sitta alikurana na watu 37.

Hili la kumtuhumu Warioba ni sehemu ya kukosa hoja kwa makada wa CCM kama Mtanganyika. Jumbe alipoteza kazi kwa S3. Malecela alipoteza kazi kwa S3. Kisanga alishauri S3, Nyalali akasema S3 na kila tume iliyoundwa ilikuja na jibu hilo. Vipi Warioba aonekane mbaya sana wakati kuna watu walipoteza kazi achilia mbali maisha

5. Kuhusu kampeni, haa! Mbona Kikwete, Wasira, Sitta wameshaanza kitambo! Unaposema katiba isambazwe, ndiyo na hapana zifanye kazi, wewe unaridhika na uhuni wa Dodoma kuanzia mwanzo hadi mwisho. Ndio maana trunasema usijifiche fiche bila sababu wewe ni kada wa chama.

Si tumekusoma ukimpigia debe January Makamba. Sasa umebakiza nini tena.



Tuna safari ndefu sana nchi hii, huyu bwana ni msomi tu, baadala ya kusimamia nchi anasimimia Sitta/Chenge .

Anaunga mkono upuuzi kwa kujitoa fahamu, Kazi za ukada ngumu sana zinahitaji moyo. Huwezi kuwa kada mzuri wa ccm kama unafahamu zako vema




Wasalaam
Nguruvi rafiki yangu, nadhani unafanya jitihada sana kunishabiisha na CCM, hakuna haja ya mimi kuficha kama ningekuwa CCM kusema kweli hata picha naogopa kupiga nao hao CCM, kweli nina marafiki wengi ndani ya ngazi mbalimbali za CCM, lakini msimamo wangu umekuwa thabiti kwamba CCM plan zao ndio zimeifikisha Tanzania hapa ilipo katika umasikini usio na kikomo na nimegoma kujiunga nao wala kukubali mfumo wao.

Lakini, kama nilivyosema mwanzo nipo upande wa uhalisia. Tangia mwanzo tulishasema kwamba hii timing ya katiba mpya ilikuwa imeshakosewa tangu mwanzo, sheria zote za mchezo zilishakosewa tangu mwanzo, mchakato uliotumika ulishakosewa tangu mwanzo. Hakuna ambacho kilikuwa sawa tangu mwanzo, sasa results lazima ziwe convoluted.

Huu mchezo wa kurudiarudia kwamba Jaji Nyalali, malecela au kisanga kushauri serikali 3 doesn't necessary make it best approach. Na issue kama hii sensitive nilikuwa na expect Warioba awe more maverick na kupendekeza kitu ambacho hakita hamsha hisia ama cha wale wapenda tatu au mbili. Instead amekwenda akaja na hadithi zilezile na kuacha maswali mengi na majibu machache. Just kutoa mfano, Warioba alikuwa na chance ya kutoa recommendation ambazo zingeleta serikali ya tatu katika mfumo wa Gradual. Au swala la serikali tungefanya referendum vote sio swala la watoa maoni 500 kuamua, angesema tunapendekeza kura ya maoni itishwe wananchi waamue.

Kampeni ninazo zungumza mimi ni wanasiasa kupanda majukwaani nchi nzima kupiga kelele kama kwamba mimi siwezi kusoma nikajua hii katiba hewa au laa.
 
Nguruvi rafiki yangu, nadhani unafanya jitihada sana kunishabiisha na CCM, hakuna haja ya mimi kuficha kama ningekuwa CCM kusema kweli hata picha naogopa kupiga nao hao CCM, kweli nina marafiki wengi ndani ya ngazi mbalimbali za CCM, lakini msimamo wangu umekuwa thabiti kwamba CCM plan zao ndio zimeifikisha Tanzania hapa ilipo katika umasikini usio na kikomo na nimegoma kujiunga nao wala kukubali mfumo wao.

Lakini, kama nilivyosema mwanzo nipo upande wa uhalisia. Tangia mwanzo tulishasema kwamba hii timing ya katiba mpya ilikuwa imeshakosewa tangu mwanzo, sheria zote za mchezo zilishakosewa tangu mwanzo, mchakato uliotumika ulishakosewa tangu mwanzo. Hakuna ambacho kilikuwa sawa tangu mwanzo, sasa results lazima ziwe convoluted.

Huu mchezo wa kurudiarudia kwamba Jaji Nyalali, malecela au kisanga kushauri serikali 3 doesn't necessary make it best approach. Na issue kama hii sensitive nilikuwa na expect Warioba awe more maverick na kupendekeza kitu ambacho hakita hamsha hisia ama cha wale wapenda tatu au mbili. Instead amekwenda akaja na hadithi zilezile na kuacha maswali mengi na majibu machache. Just kutoa mfano, Warioba alikuwa na chance ya kutoa recommendation ambazo zingeleta serikali ya tatu katika mfumo wa Gradual. Au swala la serikali tungefanya referendum vote sio swala la watoa maoni 500 kuamua, angesema tunapendekeza kura ya maoni itishwe wananchi waamue.

Kampeni ninazo zungumza mimi ni wanasiasa kupanda majukwaani nchi nzima kupiga kelele kama kwamba mimi siwezi kusoma nikajua hii katiba hewa au laa.
Mtanganyika, Bandiko #106 nilisema hivi na bado nasubiri majibu toka kwako:

Nashukuru angalau umekubali Kwamba suala la serikali Tatu linaligawa nchi nusu; maswali yetu kwako:

1. Je ni kwanini nusu yenu Ndio nusu yenye kupewa Haki kuliko nusu nyingine?

Matamshi yako ni Yale Yale ya Balozi Sefue, Katibu Kiongozi Kwamba ambae amenukuliwa akisema hivi:
"Ni sahihi kwa bunge maalum kuweka Kando mjadala wa muungano kwa vile umeligawa taifa". Sefue anaenda Mbali zaidi na kusema: " muundo wa sasa wa muungano utabaki Kama ulivyosasa kwa kuwa bunge maalum la katiba limeshindwa Kupata maridhiano juu ya Jambo Hilo."

Swali letu la pili kwako:

2. Ikiwa serikali Inasema Kwamba hakuna muafaka Katika muundo wa serikali Tatu:
•Muafaka wa muundo wa serikali Mbili upo wapi?
•Maridhiano yake yanatokana na nini?
•Maridhiano yalifanyika lini
•Maridhiano yalifanyika wapi?








Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi rafiki yangu, nadhani unafanya jitihada sana kunishabiisha na CCM, hakuna haja ya mimi kuficha kama ningekuwa CCM kusema kweli hata picha naogopa kupiga nao hao CCM, kweli nina marafiki wengi ndani ya ngazi mbalimbali za CCM, lakini msimamo wangu umekuwa thabiti kwamba CCM plan zao ndio zimeifikisha Tanzania hapa ilipo katika umasikini usio na kikomo na nimegoma kujiunga nao wala kukubali mfumo wao.

Lakini, kama nilivyosema mwanzo nipo upande wa uhalisia. Tangia mwanzo tulishasema kwamba hii timing ya katiba mpya ilikuwa imeshakosewa tangu mwanzo, sheria zote za mchezo zilishakosewa tangu mwanzo, mchakato uliotumika ulishakosewa tangu mwanzo. Hakuna ambacho kilikuwa sawa tangu mwanzo, sasa results lazima ziwe convoluted.

Huu mchezo wa kurudiarudia kwamba Jaji Nyalali, malecela au kisanga kushauri serikali 3 doesn't necessary make it best approach. Na issue kama hii sensitive nilikuwa na expect Warioba awe more maverick na kupendekeza kitu ambacho hakita hamsha hisia ama cha wale wapenda tatu au mbili. Instead amekwenda akaja na hadithi zilezile na kuacha maswali mengi na majibu machache. Just kutoa mfano, Warioba alikuwa na chance ya kutoa recommendation ambazo zingeleta serikali ya tatu katika mfumo wa Gradual. Au swala la serikali tungefanya referendum vote sio swala la watoa maoni 500 kuamua, angesema tunapendekeza kura ya maoni itishwe wananchi waamue.

Kampeni ninazo zungumza mimi ni wanasiasa kupanda majukwaani nchi nzima kupiga kelele kama kwamba mimi siwezi kusoma nikajua hii katiba hewa au laa.
Mtanganyika, Bandiko #106 nilisema hivi na bado nasubiri majibu toka kwako:

Nashukuru angalau umekubali Kwamba suala la serikali Tatu linaligawa nchi nusu; maswali yetu kwako:

1. Je ni kwanini nusu yenu Ndio nusu yenye kupewa Haki kuliko nusu nyingine?

Matamshi yako ni Yale Yale ya Balozi Sefue, Katibu Kiongozi Kwamba ambae amenukuliwa akisema hivi:
"Ni sahihi kwa bunge maalum kuweka Kando mjadala wa muungano kwa vile umeligawa taifa". Sefue anaenda Mbali zaidi na kusema: " muundo wa sasa wa muungano utabaki Kama ulivyosasa kwa kuwa bunge maalum la katiba limeshindwa Kupata maridhiano juu ya Jambo Hilo."

Swali letu la pili kwako:

2. Ikiwa serikali Inasema Kwamba hakuna muafaka Katika muundo wa serikali Tatu:
•Muafaka wa muundo wa serikali Mbili upo wapi?
•Maridhiano yake yanatokana na nini?
•Maridhiano yalifanyika lini
•Maridhiano yalifanyika wapi?

Swali la nyongeza:

Kwanini unajiita mtanganyika na Unatoa maoni yako juu ya muundo wa muungano kwa jina la mtanganyika? Is it by accident or by intentions?






Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mtanganyika, Bandiko #106 nilisema hivi na bado nasubiri majibu toka kwako:

Nashukuru angalau umekubali Kwamba suala la serikali Tatu linaligawa nchi nusu; maswali yetu kwako:

1. Je ni kwanini nusu yenu Ndio nusu yenye kupewa Haki kuliko nusu nyingine?

Matamshi yako ni Yale Yale ya Balozi Sefue, Katibu Kiongozi Kwamba ambae amenukuliwa akisema hivi:
"Ni sahihi kwa bunge maalum kuweka Kando mjadala wa muungano kwa vile umeligawa taifa". Sefue anaenda Mbali zaidi na kusema: " muundo wa sasa wa muungano utabaki Kama ulivyosasa kwa kuwa bunge maalum la katiba limeshindwa Kupata maridhiano juu ya Jambo Hilo."

Swali letu la pili kwako:

2. Ikiwa serikali Inasema Kwamba hakuna muafaka Katika muundo wa serikali Tatu:
•Muafaka wa muundo wa serikali Mbili upo wapi?
•Maridhiano yake yanatokana na nini?
•Maridhiano yalifanyika lini
•Maridhiano yalifanyika wapi?

Swali la nyongeza:

Kwanini unajiita mtanganyika na Unatoa maoni yako juu ya muundo wa muungano kwa jina la mtanganyika? Is it by accident or by intentions?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mchambuzi samahani hili lilinipita, nitajaribu kuelezea kutokana na maono yangu.

1. Sidhani approach iliyotumiwa na Sitta (CCM) au approach iliyotumiwa na Warioba inatatua tatizo. Njia yoyote ni kununua muda, kilichotakiwa ni kuangalia approach ambayo italeta muonekano mpya wa swala la muungano kama Mwalimu alivyoleta approach ya mbili kipindi hicho na watu wakamuona hayawani, same muda huu tungeachana na hizi old playbooks za kina Nyalali. Ilikuwa ni mategemeo yangu kwa vijana kama sisi (mimi, wewe, na Nape, January, Zitto, Nguruvi na Mnyika) kuja na njia ambayo itaunga taifa zaidi kuwa kitu kimoja, zaidi ya hizi approach zote mbili ambazo ni kuwagawa Watanzania zaidi.

Vijana hatukutakiwa kuwa kambi ya wazee ambao wengi wanalilia Tanganyika sababu tuu nchi yao ilipororwa kutoka kwao kuundwa Tanzanai. Lakini, tumejikuta vijana wote tupo kambi ya Tatu au Mbili nonsense. M

Mchambuzi mwisho wa siku hakuna nusu yenye kufaidika my friend, mwisho wa siku ni kunyoosheana vidole kwamba wao Wazanzibar na hao Watanganyika. Wao wanakula pesa zetu, na wao wanatunyonya. Hizi approach zote mbili ni za kinazi na haziwezi kuondoa Tatizo lolote.

Inasikitisha sana vijana wengi wamejikita kwenye hizi approach mbili. Tulichotakiwa ni kusaka njia mbadala, mfano kuanzisha serikali ya Tanzania Bara na Ya Zanzibar kwa lengo la 2025 kuwa na serikali moja na Tanzania Bara na Zanzibar kuwa majimbo makubwa mawili, ambayo yanajiongoza yenyewe yana magavana wao, na Raisi kubaki mmoja. Huu ni mfano tuu, maana msije kusema serikali 3 italeta hayo.

Solution ni approach ya kwenda gradual to one serikali hata kama ni 2050. Najua vijana wengi mnasema hili ni kusadikika, sababu ya kufanya hili ni kusadikika ni kwamba hakuja chorwa feasible strategy ambayo ikafanyiwa best implementation kuwashauri watu wafahamu serikali moja will be cheap and very stronger.

Swali la pili,
Serikali mbili bado ni kuzungu mkuti, haiko stable na hakuna justification ya yenyewe kuwa stable hasa upande wa Zanzibar. Bara huku I don't see any substantial political or economical problem sababu kwa bara Zanzibar is insignificant in either economical or political and that is a bitter facts.

Kinachofanyika sasa ni tia maji tia maji. Katika upande wa pili wa story, serikali tatu ni jini tusilolijua, who knows how will unfold kama tuki implement? Sababu imejaa assumptions and unknowns na Jaji Warioba mwenyewe amekili kwamba kuna mambo mengi hana majibu yake.So, hii habari ya tatu ni more kusadikika.

Nadhani wapenzi wa Serikali Tatu mngekuwa mnavutiwa zaidi na Serikali moja sababu Moja make more sense kwenu sababu haina matumizi mabovu, inaliunga taifa more, inaondoa uzazibar na utanganyika. Vilevile Serikali tatu is a spending haven, moja will eliminate mabwanyenye tatu will add more kutoka kwenye hizo mbili.

Make no mistakes nimekuwa nikutumia jina la Tanganyika tangu nipo shule, kwa wale waliokuwepo kwenye forum kama Young African hata kabla hatujaja hapa JF i used the same name. To me Tanganyika is a good history, lakini tumeshasogea now we have something even better Tanzania.
 
Jana nilikuwa nimelala fo fo fo...ghafla nikazinduka! Baada ya kuamka nilijikuta nikilitafakari hili jina la nchi yetu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Nikaanza kujiuliza kwa nini hata katika orodha ya nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa jina rasmi la nchi yetu ni United Republic of Tanzania! Sote tunajua kuwa kabla ya Muungano wa mwaka 1964, kulikuwepo na nchi mbili; Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Baada tu ya Muungano, ikazaliwa nchi iliyoitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, United Republic of Tanganyika and Zanzibar. Baadaye likatafutwa jina fupi litakalotumika likiwakilisha Tanganyika na Zanzibar na baada ya mapendekezo kutoka kwa watu mbali mbali jina Tanzania likakubalika.

Nimepitia orodha ya majina rasmi ya nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa nikakuta ni nchi tano tu zinazotumia neno United nazo ni;

  1. United Arab Emirates - a federation of seven emirates
  2. United Kingdom of Great Britain and North Ireland - jina lenyewe lajieleza.
  3. United Mexican States - a federation of 31 free and sovereign states
  4. United States of America - a federal republic consisting of 50 states and a federal district.
  5. United Republic of Tanzania - ............????
Nchi nyingine iliyowahi kuwa na neno united ilikuwa ni United Soviet Socialist Republics, USSR, kabla ya kusambaratika na kugawana fito.

Kuna maswali yananisumbua hapa;


  • Kwa nini tukajiita United Republic of Tanzania badala ya Republic of Tanzania au hata United Republics of Tanzania?
  • Imekuwakuwaje tukawa na serikali mbili; serikali ya Tanzania na serikali ya Zanzibar? Je hawa watu wa Zanzibar si Watanzania?

Kwa kweli hatuna Muungano na bila kukiri kwanza kwamba kwa hiyo hali hatuendi na hatufiki popote. Hii katiba ndiyo imezika kabisa tumaini lolote lile kwa huu Muungano feki kuokolewa na kudumu. Tulipata fursa nzuri sana ya kurekebisha mambo kupitia Katiba mpya lakini kwa kuwapa hilo jukumu hawa wezi, walaghai na wauaji, there is no hope...it is just a matter of time.
 
Jana nilikuwa nimelala fo fo fo...ghafla nikazinduka! Baada ya kuamka nilijikuta nikilitafakari hili jina la nchi yetu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!.........

  1. United Kingdom of Great Britain and North Ireland - jina lenyewe lajieleza.


  1. United Republic of Tanzania - ............????


Kuna maswali yananisumbua hapa;


  • Kwa nini tukajiita United Republic of Tanzania badala ya Republic of Tanzania au hata United Republics of Tanzania?
  • Imekuwakuwaje tukawa na serikali mbili; serikali ya Tanzania na serikali ya Zanzibar? Je hawa watu wa Zanzibar si Watanzania?

Kwa kweli hatuna Muungano na bila kukiri kwanza kwamba kwa hiyo hali hatuendi na hatufiki popote. Hii katiba ndiyo imezika kabisa tumaini lolote lile kwa huu Muungano feki kuokolewa na kudumu. Tulipata fursa nzuri sana ya kurekebisha mambo kupitia Katiba mpya lakini kwa kuwapa hilo jukumu hawa wezi, walaghai na wauaji, there is no hope...it is just a matter of time.
Ungejitendea haki hapo kwenye United KINGDOM = uNITED republic. Kote hamna "s"

Na ungejitendea haki kwa kufananisha serikali ya Wales na Scotland, Northern Ireland kama sawa na serikali ya Zanzibar.

Serikali ya Tanganyika, ni kama serikali ya England ..... haipo.

Just live with it! ... Yu have to , I guess.
 
Jana nilikuwa nimelala fo fo fo...ghafla nikazinduka! Baada ya kuamka nilijikuta nikilitafakari hili jina la nchi yetu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Nikaanza kujiuliza kwa nini hata katika orodha ya nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa jina rasmi la nchi yetu ni United Republic of Tanzania! Sote tunajua kuwa kabla ya Muungano wa mwaka 1964, kulikuwepo na nchi mbili; Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Baada tu ya Muungano, ikazaliwa nchi iliyoitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, United Republic of Tanganyika and Zanzibar. Baadaye likatafutwa jina fupi litakalotumika likiwakilisha Tanganyika na Zanzibar na baada ya mapendekezo kutoka kwa watu mbali mbali jina Tanzania likakubalika.

Nimepitia orodha ya majina rasmi ya nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa nikakuta ni nchi tano tu zinazotumia neno United nazo ni;

  1. United Arab Emirates - a federation of seven emirates
  2. United Kingdom of Great Britain and North Ireland - jina lenyewe lajieleza.
  3. United Mexican States - a federation of 31 free and sovereign states
  4. United States of America - a federal republic consisting of 50 states and a federal district.
  5. United Republic of Tanzania - ............????
Nchi nyingine iliyowahi kuwa na neno united ilikuwa ni United Soviet Socialist Republics, USSR, kabla ya kusambaratika na kugawana fito.

Kuna maswali yananisumbua hapa;


  • Kwa nini tukajiita United Republic of Tanzania badala ya Republic of Tanzania au hata United Republics of Tanzania?
  • Imekuwakuwaje tukawa na serikali mbili; serikali ya Tanzania na serikali ya Zanzibar? Je hawa watu wa Zanzibar si Watanzania?

Kwa kweli hatuna Muungano na bila kukiri kwanza kwamba kwa hiyo hali hatuendi na hatufiki popote. Hii katiba ndiyo imezika kabisa tumaini lolote lile kwa huu Muungano feki kuokolewa na kudumu. Tulipata fursa nzuri sana ya kurekebisha mambo kupitia Katiba mpya lakini kwa kuwapa hilo jukumu hawa wezi, walaghai na wauaji, there is no hope...it is just a matter of time.

Now this is a very weak argument. I have to be very honest with you, who cares about UN. It is a house of puppets and behind kisser. The last thing i was expecting from great thinker nikuja with this kind of A=B and B=C then A=C analysis.

The people who bring this kind of argument fail to understand that just because everyone is doing it, it's not a reason for Tanzania to jump into a bandwagon. 1964 no one could even think kwamba two weak countries can unite, we tried something that great nations fails to do. Unajua bwana sometime you must give the credit when credit are due.

Lather than kuja na argument za UN, who cares about UN. The place were people's moral and life standard are dehumanized leo mnataka kufanya ni guideline. PLZ
 
Ungejitendea haki hapo kwenye United KINGDOM = uNITED republic. Kote hamna "s"
Na ungejitendea haki kwa kufananisha serikali ya Wales na Scotland, Northern Ireland kama sawa na serikali ya Zanzibar.
Serikali ya Tanganyika, ni kama serikali ya England ..... haipo.
Just live with it! ... Yu have to , I guess.
Idiocy at its best...kwa hiyo jina England limepotezwa kama Tanganyika ilivyopotezwa! What is wrong with you people? Halafu jina lenyewe ni United Kingdom of Great Britain and North Ireland and am sure you do know what hiyo Great Britain stands for! No wonder watu wakishashabikia CCM wanapoteza reason, completely.
 
Now this is a very weak argument. I have to be very honest with you, who cares about UN. It is a house of puppets and behind kisser. The last thing i was expecting from great thinker nikuja with this kind of A=B and B=C then A=C analysis.

The people who bring this kind of argument fail to understand that just because everyone is doing it, it's not a reason for Tanzania to jump into a bandwagon. 1964 no one could even think kwamba two weak countries can unite, we tried something that great nations fails to do. Unajua bwana sometime you must give the credit when credit are due. Lather than kuja na argument za UN, who cares about UN. The place were people's moral and life standard are dehumanized leo mnataka kufanya ni guideline. PLZ
I doubt if you have even an iota of idea why I mentioned UN! Je jina la nchi yetu with or without UN linabadilika? Mtanganyika, have you ever wondered why we are where we are and they are where they are? Okay granted, while you Mtanganyika...you dont care about UN but for your information the rest of the civilised society the world over does and that's whether you like it or not.
 
Last edited by a moderator:
SEHEMU YA II

HAMKANI SI SHWARI
Wazanzibar walijisahau na kudhani ni wadau muhimu sana katika muungano.
Walidhani uwepo wao ndani ya muungano ni haki yao peke yao.
Walichokijua ni ukweli kuwa wao wana muda, mwenye saa ni Tanganyika.

Hasira za Watanganyika zinazofichwa chini ya kapeti la CCM zinazidi kupanda.
Lipo kundi kubwa linaloona muungano ni kumbebesha Mtanganyika mzigo na ipo haja ya kubadili muundo.

Lipo kundi linaloamini Zanzibr imeachiwa na sasa kutaka kutawala.
Lipo kundi linaloamini katika muungano wa uchumi na jinsi znz ilivyo tatizo

Mbunge wa Nkasi Mh Keissy anawakilisha sehemu kubwa ya wabunge na Watanganyika na jamii ya Watanganyika.

Alichokisema kama mwakilishi wa wananchi kinabeba sehemu kubwa ya jamii yetu na ni ujinga kumpuuza.
Mh Keissy alichosema kwa kujitoa mhanga ndani ya chama na kutolewa ngeu na wznz si cha kubeza.

Mh Keissy amejenga hoja zake kwa mantiki akisaidiwa na ushahidi.

Katika kamati yake, walimwita Gavana wa benki kuu ya Tanzania, katibu mkuu wa fedha muungano, na katibu mkuu wa wizara ya fedha Zanzibar.Hivyo mh Keissy alishapata ukweli na uhalali wa madai yake, ambayo bila shaka yanaungwa mkono na wabunge wengi.

Kilichoshangaza ulimwengu ni jinsi wajumbe kutoka Zanzibar walivyokosa ustaarabu, ustahamilivu na uvumilivu wa kumsikiliza mh Keissy.

Hawa wznz wakati wanatoa madai, matusi, kejeli na kama kero, hata pale watu walipofahamu hayana ukweli, hakuna aliyetishiwa kupigwa, si mtaani wala si bungeni.

Walipewa fursa ya kuutukana muungano kadri walivyoweza.
Leo wanapokosa uvumilivu wa kusikiliza hoja kinzani, ni ustaarabu wa hali ya chini sana, ulioonyesha kiwango duni, hafifu na dhalili cha ufahamu kwa wznz.

Walichopaswa kufanya ni kujibu hoja za Mh Keissy kwa hoja za maana.
Kwa bahati mbaya tulichosikia, si tu ni udhalili, bali moral decay ya hali ya juu ya wazanzibar.

Kumwita Keissy ni Mwarabu, hilo si tusi kwake, ni tusi kwa jamii nzima ya wazanzibar inayoundwa na sehemu kubwa sana ya Waarabu. Ni kiashirio kuwa wznz wana tatizo ingawa linafichwa kwa mwamvuli wa Tanzania.

Kwani kuwa Mwarabu kuna tatizo gani?
Nyerere na wenzake waliingia LEGCO katika jengo la mhindi.
Akahutubia bunge la kwanza la Tanganyika huru Karimjee.

Mjenzi wa wodi ya Sewa Haji ni Mwarabu.
Aliyeanzisha kitongoji cha Sinza ni mzungu Derek Bryson.

Waziri wetu wa fedha mwenye heshima kubwa Amir Jamal ni Mhindi.
Waziri wetu wa afya wa Tanganyika huru baada ya mkoloni kuondoka ni Leader Sterling

Hatuwezi kupima michango wa watu wenye unasaba au rangi nyingine katika taifa la Tanganyika.
Wote ni Watanganyika wala hatuwatambui kwa rangi au nywele zao. Hili la wazanzibar ni la kulaaniwa sana.

Na hapo kuna hoja kubwa, kwamba ubaguzi waliouanza dhidi ya Watanganyika kama kuwachoma moto hautaishia hapo.

Ubaguzi wa kudai vyeo kwa uzanzibar na si sifa hautaishia hapo.
Dhambi ya kuwatukana Waarabu kwa jina la Keissy ni kubwa, na sijui wale wznz wenye unasaba na waarabu leo damu zao zinachemkaje.

WAZANZIBAR WASHINDWA KUJITETEA

Hoja za Mheshimiwa Keissy zilijengwa katika mukatadha huu.
1. Kwavile kuna mambo wznz wameyaondoa katika muungano, uwepo wao Dodoma ni kitu gani kama si utalii
2. Gavana na makatibu wakuu wa fedha wamethibitisha znz kutochangia muungano, muungano upi wanajadili?
3. Kwanini watumie rasilimali za Tanganyika nyingi kwenda kutibiwa na mishahara kwa mambo yasiyowahusu?
4. Wazn wanachukua mishara ya SMZ kutoka Dar, je huo si unonyaji na wizi kwa Tanganyika?

MAJIBU YA WZANZIBAR

1. Wewe Mwarabu nenda kwenu
2. Zanzibar inachangia muungano kwa kupoteza kiti UN na kutojulikana Duniani
3. Toka nje tukuonyeshe ''***nzi we!
4. Matusi ya nguoni.

Katika majibu hayo ya kipuuz yaliyokosa stara, elimu na ustaarabu, ni moja tu tutalijibu hapa.

Zanzibar imepoeteza kiti chake UN na Kutojulikana duniani kama Tanganyika ilivyopteza kiti UN na kutoweka kabisa

Leo hakuna anayejua Tanganyika, ingawa znz ipo katika ramani.
Jibu hili ni la kitoto kutolewa na mtalii T. Kombo. Haya ndiyo maoke ya kubeba watoto wa wazee, na gharama za mtalii anazobeba Mtanganyika. Huyu ni mmoja wa wale wanaokula mishahara ya bilioni 126, watu 84 tu. Tunabeba gharama

Katika zama za leo muungano ni uchumi na si maneno au jina.
Hatuwezi kusema tumeungana kwa kiti cha UN tulichopoteza wote.

Kwa mantiki na hoja , mh Keissy ameongelea mambo ya maana kuliko watalii 84 waliojizatiti kutukana ndugu zao Waarabu huko pemba na Unguja.

Katika bandiko la I tumeeleza unafiki wa wazanzibar, na hili ni ushahidi.

Huwezi kujiita mtalii wa znz pale Dodoma ukiwa na inda kuhusu Waarabu unaopanga nao mipango ya kukabliana na muungano. Unafiki mkubwa.Leo wanasema wznz wanaonewa, swali ni kuwa wznz ni wapi kama kuna turufu ya Uarabu imeingia?

Inaendelea...

Siku zoooote njia ya muongo ni fupi sana. Na kwa watafiti au wataalamu wa duru zenye kujua mambo huwa wanajitahidi sana kusema na SIO KUANDIKA. Kwani naona sasa maandiko yako Nguruvi3 yanakuhukumu na umeweza kujuwa kuwa ;

1. Znz ndio mdau mkuu wa muungano, umeona matokea ya kura ya kupitisha katiba mpya katika Bunge la Mh Sitta
2. Umedhihirisha kuwa wa Tanganyika waoga wa kuanzisha kwa Serikali yao ya Tanganyika.

3. Mh Keissy uliyemtaja kuwa ni mtetezi wa Tanganyika katika kura yake aliikubali vifungu vyote va rasimu hiyo bila kukataa hata kimoja kinachopinga kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika.
Mwisho watabiri wa mambo MACHO YETU KWENYE KURA ZA WANANCHI KUHUSU KUIPITISHA/KUIKATAA KATIBA HIYO KWA WANANCHI.

Utabiri wangu kwa hilo ni watapata kura nyingi saaaana za ndio kwa upande wa Tanganyika lakin kwa Znz itakuwa kitendawili kama au kuzidi kile cha Bungeni dodoma.

Tuvute subra.
 
Siku zoooote njia ya muongo ni fupi sana. Na kwa watafiti au wataalamu wa duru zenye kujua mambo huwa wanajitahidi sana kusema na SIO KUANDIKA. Kwani naona sasa maandiko yako Nguruvi3 yanakuhukumu na umeweza kujuwa kuwa ;
1. Znz ndio mdau mkuu wa muungano, umeona matokea ya kura ya kupitisha katiba mpya katika Bunge la Mh Sitta
2. Umedhihirisha kuwa wa Tanganyika waoga wa kuanzisha kwa Serikali yao ya Tanganyika.
3. Mh Keissy uliyemtaja kuwa ni mtetezi wa Tanganyika katika kura yake aliikubali vifungu vyote va rasimu hiyo bila kukataa hata kimoja kinachopinga kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika.
Mwisho watabiri wa mambo MACHO YETU KWENYE KURA ZA WANANCHI KUHUSU KUIPITISHA/KUIKATAA KATIBA HIYO KWA WANANCHI.

Utabiri wangu kwa hilo ni watapata kura nyingi saaaana za ndio kwa upande wa Tanganyika lakin kwa Znz itakuwa kitendawili kama au kuzidi kile cha Bungeni dodoma.

Tuvute subra.


Mkuu Barubaru,

Unazungumziaje uamuzi wa watanganyika wa kufuta utaifa wao kwa maslahi ya utaifa wa Tanzania na kuishia kusalitiwa na wazanzibari ambao kwa miaka 50, utaifa wao muhimu zaidi ni Uzanzibari, huku utanzania ukiwa na maana kwa ajili ya uchumi, ulinzi na usalama?

Unazungumziaje uamuzi wa watanganyika wa kuhamishia Mapato Yao kuwa ni ya watanzania mwaka 1964 kwa sababu wenzao wazanzibari hawakuwa na Mapato ya maana ya kuchangia muungano zaidi ya excise duty ya karafuu?

Haya Ndio yamejenga utanzania, ni gharama kubwa sana watanganyika wameingia, lakini sasa wanasema, "basi imetosha."






Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Barubaru,

Unazungumziaje uamuzi wa watanganyika wa kufuta utaifa wao kwa maslahi ya utaifa wa Tanzania na kuishia kusalitiwa na wazanzibari ambao kwa miaka 50, utaifa wao muhimu zaidi ni Uzanzibari, huku utanzania ukiwa na maana kwa ajili ya uchumi, ulinzi na usalama?

Unazungumziaje uamuzi wa watanganyika wa kuhamishia Mapato Yao kuwa ni ya watanzania mwaka 1964 kwa sababu wenzao wazanzibari hawakuwa na Mapato ya maana ya kuchangia muungano zaidi ya excise duty ya karafuu?

Haya Ndio yamejenga utanzania, ni gharama kubwa sana watanganyika wameingia, lakini sasa wanasema, "basi imetosha."






Sent from my iPhone using JamiiForums
Watanganyika wengi bado wanataka muungano uendelee bila uwepo wa serikali ya Tanganyika. Huu ndiyo ukweli uliopo.

WATANGANYIKA wengi hawajali uwepo wa Tanganyika, labda kwa siku zijazo na msitukane watu wakisema hivyo. It's just a fact!!!
 
Watanganyika wengi bado wanataka muungano uendelee bila uwepo wa serikali ya Tanganyika. Huu ndiyo ukweli uliopo.
WATANGANYIKA wengi hawajali uwepo wa Tanganyika, labda kwa siku zijazo na msitukane watu wakisema hivyo. It's just a fact!!!

UnaweZa kutusaidia Katika haya mkuu:

Lini watanganyika Walisema hayo.

Watanganyika wangapi kwa takwimu Zipi.

Na Walisema hayo kwa hoja zipi.

Kumbuka matumizi ya Neno "fact" Katika majibu yako, be consistent na Neno hii;

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Watanganyika wengi bado wanataka muungano uendelee bila uwepo wa serikali ya Tanganyika. Huu ndiyo ukweli uliopo.
WATANGANYIKA wengi hawajali uwepo wa Tanganyika, labda kwa siku zijazo na msitukane watu wakisema hivyo. It's just a fact!!!
Hakuna Mtanzania bila Mtanganyika. Tunasema Watanganyika wengi walikuwa hawajui jinsi Tanzania inavyotumika kuwaibia, kuwapora na kuwasaliti.

Tulikuuliza 21% ya znz inapataikanaje? Ulikimbia kwasababu jibu lilikulazimisha utamke Tanganyika.
Hamkani si shwari hata kidogo bila Tanganyika. Tanganyika ni taifa la Watanganyika.
Tanzania si Tanganyika,. Unanikumbusha Mkandara anayeamini kuna nchi inaitwa Tanzania bara !phwee! kwa kwa kwa kwa
 
UnaweZa kutusaidia Katika haya mkuu:

Lini watanganyika Walisema hayo.

Watanganyika wangapi kwa takwimu Zipi.

Na Walisema hayo kwa hoja zipi.

Kumbuka matumizi ya Neno "fact" Katika majibu yako, be consistent na Neno hii;

Sent from my iPhone using JamiiForums
Hawezi kusema kwasababu hana takwimu. Ni hawa hawa waliosema Sitta kafanya takwimu za watu 37 zinazokubalika kuliko Warioba.
Hawana majibu, ni basi tu!
 
Siku zoooote njia ya muongo ni fupi sana. Na kwa watafiti au wataalamu wa duru zenye kujua mambo huwa wanajitahidi sana kusema na SIO KUANDIKA. Kwani naona sasa maandiko yako Nguruvi3 yanakuhukumu na umeweza kujuwa kuwa ;
1. Znz ndio mdau mkuu wa muungano, umeona matokea ya kura ya kupitisha katiba mpya katika Bunge la Mh Sitta
2. Umedhihirisha kuwa wa Tanganyika waoga wa kuanzisha kwa Serikali yao ya Tanganyika.
3. Mh Keissy uliyemtaja kuwa ni mtetezi wa Tanganyika katika kura yake aliikubali vifungu vyote va rasimu hiyo bila kukataa hata kimoja kinachopinga kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika.
Mwisho watabiri wa mambo MACHO YETU KWENYE KURA ZA WANANCHI KUHUSU KUIPITISHA/KUIKATAA KATIBA HIYO KWA WANANCHI.

Utabiri wangu kwa hilo ni watapata kura nyingi saaaana za ndio kwa upande wa Tanganyika lakin kwa Znz itakuwa kitendawili kama au kuzidi kile cha Bungeni dodoma.

Tuvute subra.

Mimi nimeshakuupuza, naomba wenzangu wakupuuze. Jasusi zlishasema hakuna mjadala unaoingia ukwa na mchango wa maana.

Ahsante tumekusoma, tunaomba upunzike tukikuhitaji tutakualika.
 
I doubt if you have even an iota of idea why I mentioned UN! Je jina la nchi yetu with or without UN linabadilika? Mtanganyika, have you ever wondered why we are where we are and they are where they are? Okay granted, while you Mtanganyika...you dont care about UN but for your information the rest of the civilised society the world over does and that's whether you like it or not.

You either missing the point or you drink a Koolaid about UN. Neither our success nor our failure have anything to do with UN. I will spare for the other day the argument about how we shouldn't even have a permanent member on that nonsense union. Half of my life i leaved on "civilized society" that you mentioned, and no one cares about UN. So, go back and check your facts.
 
You either missing the point or you drink a Koolaid about UN. Neither our success nor our failure have anything to do with UN. I will spare for the other day the argument about how we shouldn't even have a permanent member on that nonsense union. Half of my life i leaved on "civilized society" that you mentioned, and no one cares about UN. So, go back and check your facts.
With your kind of argument, I give up. It is the same type of boring argument we witnessed from members of the CCM controlled Bunge Maalum La Katiba in Dodoma.

We don't have to follow what everyone else considers sensible (remember common sense ain't that common!)...we can cast our votes whichever way we like whether by secret ballot or open, by fax or email, from the sick and the dying, from the dead and the living, from paradise or hell...so there Mtanganyika, are you happy now that you won? Okay now let's all get back to the issue at hand; the fate of the union structure and system of government.
 
Back
Top Bottom