Duru: Hatima ya Muungano na dalili za kuvunjika mapema

Duru: Hatima ya Muungano na dalili za kuvunjika mapema

Mkuu Mag3 , katika bandiko 194 umeuliza maswali wasiyotakakuyasikia. Nakuhaikishia Mtanganyika na wenzake hawataweza kuyagusa. Hili lakusema Tanzania bara ni sawa na lile swali la King Suleiman

Hawataki Tanganyika itajwe kwasababu kutajwa tukunairudishia hadhi.
Hivyo inaundwa nchi ya Tanzania bara ambayo historia yakeinaanzia mwaka 1977.
Ni aibu kwamba watu wanadai Tanzania Vs Zanzibar


Ulisema tatizo lote lipo katika mfumo wa serikali mbili. Nakwamba, znz haitaweza kubadili katiba yao ya uhaini ya 2010 kuwiana na JMT. Hilo ni kweli kabisa ukizingatia unafiki wa wazanzibar

Ingawa wao hupenda kuitwa waungwana, sifa ya unafiki ni sehemu ya utamaduni wao.
Naomba nifafanunue


Mwaka 2010 aliyekuwa Spika wa Bunge ni Pandu Kificho. Woteakina Idd Seif, Nahodha, Seif Khatibu, Mohamed Aboud walikuwa ndani ya BLW wakati znz inakamilisha udhalilishaji wa katiba ya JMT.

Aliyesaini uhuni huo ni Karume. Wale watalii 84 wanaokujaDodoma waliunga mkono uhuni huo wa kuvunjwa katiba ya JMT inayowalaza na kuwapaposho bila kazi pale Dodoma.

Wote hao ndio tumewaona Dodoma wakishirikiana na Chenge/Sitta kuhalalisha katiba ya mafichoni kwa kutetea muundo wa S2 naMuungano. Hoja yao kubwa ni kuwa S2 zinaimarisha muungano.

Tayari wamegeuga nakusahau kuwa ile katiba ya znz 2010 ilivunja muungano wala si kudhoofisha.
Nikatiba hiyo ya znz ndiyo imezaa mengi tunayoyaona leo.


Hapa kuna unafiki, yaani manafiki wa kizanzibar wakiwa znz wanasema jambo moja, wakivuka bahari wanasema jingine. Hawataki muungano wakiwaUnguja, wakija Dodoma wanataka uimarishwe.

Jamani huu kama si unafiki wa daraja jema ni kitu gani?

Hivyo, kwasasa wanaunga mkono katiba ya mafichoni ya Chenge/Sitta iliyoandikwa kwa maoni ya wafugaji 23 na wakulima 14. Wakirudi znz, hawawezi kubadili hiyo katiba iwiane nay a JMT?

Si hao hao walivunjakatiba ya JMT mwaka 2010 na ndio wamekuja kuandika katiba ya JMT nyingine.
Hivi wataachaje unafiki ikiwa ni utamaduni wao.

Na hapa ndipo hoja kubwa inapokuja kuwa Watanganyika, hivikwanini watu 1.2M ambao kichumi, kisiasa na kijamii hawana impact yoyote waendelee kuwa superior kwa taratibu zetu tena wakiwa mgongoni wananyonya madole?
Is it not a wake up call to act !





Nguruvi3,

Ni vibaya sana kumtupia mtu lawama kwa uzembe na ujinga wako. Siku zooote utetetezi wako unaanzia kwako na wengine wanafuata kinyume cha hapa kwa kutegemea utetetewe tu wakti mwenyewe huwezi kujitetea huo ni UJINGA, UZUZU NA UZEZETA ambao mimi naona wa TGK wanao.

Tanganyika na waTGK weeeengi wamekuwa watu wa KUNUNG'UNIKA NUNG'UNIKA TU bila kuchukua hatua sahihi na wengi wamekuwa wajinga na waoga sana katika kutaka kudai maslahi yao BALI WAMEKUWA MAFUNDI WA KUILAUMU ZNZ.

Kumbuka kuwa Znz ni nchi kamili kabisa na ina swifa zooote za kuitwa nchi huru kimamlaka WALICHOKOSA ZNZ MPAKA SASA NI UHURU WA KIUCHUMI TU na hilo ndilo linalopiganiwa kwa sasa na Insh'Allah watashinda kwani dalili zoooote zimeanza kujionyesha sio tu kwa Rasimu ya Warioba bali hata RASIMU ya Sitta. Jpo uhuru huo wa kiuchumi katika RASIMU ya Sitta una mashaka lakin japo mwanga umetoa.

Chuki zako na dharau zako dhidi ya Znz na waZnz hazitaweza kusimama kama wenyewe mumekuwa vinara wakubwa wa kubaniana na kudhulumiana ikiwa pamoja na kuwa waongo na wanafiki katika kudai haki zenu katika muungano wenu.

MIMI NAFIKIRI UNGEFANYA UTAFITI KIDOGO TU kutokana na madai yako kuwa Znz wanawanyonya wa TGK kiasi nachodai, basi wataalamu tungetegemea katika KURA za kupitisha Rasimu ya Sitta pale dodoma BASI KATIBA HIYO INGEPATA UPINZANI MKALI KUTOKA KWA WAJUMBE KUTOKA BARA. Labda nikuulize kwanini Rasimu hiyo IMEPATA WAKATI MGUMU SANA KUIPITISHA KWA UPANDE WA ZNZ NA SIO TANGANYIKA?

Narudia tea malalamiko na manung'uniko yako yatakuwa hayana maana kama ukipewa nafasi ya kuweka bayana UNAUFYATA.

Mimi narudia tena kusema hata UNGEKUWA WEWE NGURUVI3 PALE MJENGONI UNGEPIGA KURA YA NDIO KWA IBARA ZOTE ZA RASIMU A SITTA kama alivyofanya Mh keissy.

Pole sana

 
Mkuu Mag3 , katika bandiko 194 umeuliza maswali wasiyotakakuyasikia. Nakuhaikishia Mtanganyika na wenzake hawataweza kuyagusa. Hili lakusema Tanzania bara ni sawa na lile swali la King Suleiman

Hawataki Tanganyika itajwe kwasababu kutajwa tukunairudishia hadhi.
Hivyo inaundwa nchi ya Tanzania bara ambayo historia yakeinaanzia mwaka 1977.
Ni aibu kwamba watu wanadai Tanzania Vs Zanzibar


Ulisema tatizo lote lipo katika mfumo wa serikali mbili. Nakwamba, znz haitaweza kubadili katiba yao ya uhaini ya 2010 kuwiana na JMT. Hilo ni kweli kabisa ukizingatia unafiki wa wazanzibar

Ingawa wao hupenda kuitwa waungwana, sifa ya unafiki ni sehemu ya utamaduni wao.
Naomba nifafanunue


Mwaka 2010 aliyekuwa Spika wa Bunge ni Pandu Kificho. Woteakina Idd Seif, Nahodha, Seif Khatibu, Mohamed Aboud walikuwa ndani ya BLW wakati znz inakamilisha udhalilishaji wa katiba ya JMT.

Aliyesaini uhuni huo ni Karume. Wale watalii 84 wanaokujaDodoma waliunga mkono uhuni huo wa kuvunjwa katiba ya JMT inayowalaza na kuwapaposho bila kazi pale Dodoma.

Wote hao ndio tumewaona Dodoma wakishirikiana na Chenge/Sitta kuhalalisha katiba ya mafichoni kwa kutetea muundo wa S2 naMuungano. Hoja yao kubwa ni kuwa S2 zinaimarisha muungano.

Tayari wamegeuga nakusahau kuwa ile katiba ya znz 2010 ilivunja muungano wala si kudhoofisha.
Nikatiba hiyo ya znz ndiyo imezaa mengi tunayoyaona leo.


Hapa kuna unafiki, yaani manafiki wa kizanzibar wakiwa znz wanasema jambo moja, wakivuka bahari wanasema jingine. Hawataki muungano wakiwaUnguja, wakija Dodoma wanataka uimarishwe.

Jamani huu kama si unafiki wa daraja jema ni kitu gani?

Hivyo, kwasasa wanaunga mkono katiba ya mafichoni ya Chenge/Sitta iliyoandikwa kwa maoni ya wafugaji 23 na wakulima 14. Wakirudi znz, hawawezi kubadili hiyo katiba iwiane nay a JMT?

Si hao hao walivunjakatiba ya JMT mwaka 2010 na ndio wamekuja kuandika katiba ya JMT nyingine. Hivi wataachaje unafiki ikiwa ni utamaduni wao.

Na hapa ndipo hoja kubwa inapokuja kuwa Watanganyika, hivikwanini watu 1.2M ambao kichumi, kisiasa na kijamii hawana impact yoyote waendelee kuwa superior kwa taratibu zetu tena wakiwa mgongoni wananyonya madole?
Is it not a wake up call to act !








Nguruvi3,

Ni vibaya sana kumtupia mtu lawama kwa uzembe na ujinga wako. Siku zooote utetetezi wako unaanzia kwako na wengine wanafuata kinyume cha hapa kwa kutegemea utetetewe tu wakti mwenyewe huwezi kujitetea huo ni UJINGA, UZUZU NA UZEZETA ambao mimi naona wa TGK wanao.

Tanganyika na waTGK weeeengi wamekuwa watu wa KUNUNG'UNIKA NUNG'UNIKA TU bila kuchukua hatua sahihi na wengi wamekuwa wajinga na waoga sana katika kutaka kudai maslahi yao BALI WAMEKUWA MAFUNDI WA KUILAUMU ZNZ.

Kumbuka kuwa Znz ni nchi kamili kabisa na ina swifa zooote za kuitwa nchi huru kimamlaka WALICHOKOSA ZNZ MPAKA SASA NI UHURU WA KIUCHUMI TU na hilo ndilo linalopiganiwa kwa sasa na Insh'Allah watashinda kwani dalili zoooote zimeanza kujionyesha sio tu kwa Rasimu ya Warioba bali hata RASIMU ya Sitta. Jpo uhuru huo wa kiuchumi katika RASIMU ya Sitta una mashaka lakin japo mwanga umetoa.

Chuki zako na dharau zako dhidi ya Znz na waZnz hazitaweza kusimama kama wenyewe mumekuwa vinara wakubwa wa kubaniana na kudhulumiana ikiwa pamoja na kuwa waongo na wanafiki katika kudai haki zenu katika muungano wenu.

MIMI NAFIKIRI UNGEFANYA UTAFITI KIDOGO TU kutokana na madai yako kuwa Znz wanawanyonya wa TGK kiasi nachodai, basi wataalamu tungetegemea katika KURA za kupitisha Rasimu ya Sitta pale dodoma BASI KATIBA HIYO INGEPATA UPINZANI MKALI KUTOKA KWA WAJUMBE KUTOKA BARA. Labda nikuulize kwanini Rasimu hiyo IMEPATA WAKATI MGUMU SANA KUIPITISHA KWA UPANDE WA ZNZ NA SIO TANGANYIKA?

Narudia tea malalamiko na manung'uniko yako yatakuwa hayana maana kama ukipewa nafasi ya kuweka bayana UNAUFYATA.

Mimi narudia tena kusema hata UNGEKUWA WEWE NGURUVI3 PALE MJENGONI UNGEPIGA KURA YA NDIO KWA IBARA ZOTE ZA RASIMU A SITTA kama alivyofanya Mh keissy.

Pole sana
 
Ndugu Nguruvi3

Upotoshaji wangu uko wapi?

Nimekuwekea mpaka Sura ya Katiba Inayopendekezwa, ambayo utalipata andiko lakini cha kushangaza bado unasema ninapotosha.

Huwezi kuanza kupingana na ukweli au kuanzisha ubishi kwa matakwa yako ya kisiasa.

Kama utapata muda nenda ukaisome Katiba Inayopendekezwa lakini kama unadhani Proposed Constitution is still not worth reading, basi ni bora ukanyamaza tu kuliko kuanza kupiga kelele bila back up!.

Ubishi usio na msingi ni kupoteza muda!

‘’You are better that this’’!

MwanaDiwani,

tatizo moja kuuubwa la Nguruvi3 ni kuwa amepoteza weledi na mwelekeo hasa baada ya kuruhusu akili zake ziendeshwe KWA KUTUMIA HISIA, JAZBA NA USHABIKI.

Kutokana na hayo juu amekuwa si mtu mwenye kuweza kusoma bandiko line by line na kutafakur kabla ya kujenga hoja na kuzipanga katika mtiririko mzuri NA HIVYO AMEKUWA MTU WA KUNUNG'UNIKA KILA WAKTI.

Kumbuka kuwa kuna TOFAUTI KUBWA SANA YA KUNUNG'UNIKA NA KULALAMIKA. Wazanzibar wamekuwa watu wanaolalamikia sana muungano na hayo wanayasema wazi kabisa katika sehemu husika kama bungeni, BLW na hata katika kura zao za maamuzi kuhusu katiba au muungano.

Mtu anayenung'unika ni yule anayejisemeza tu mwenyewe mwenyewe bila kupaza sauti watu wasikie au kuzungumzia katika sehemu husika na kuchukua hatua ya kupinga kama anapata nafasi ya kupiga kura ya maamuzi.

Nafikiri ni vizuri kumjua kwa tarbia hiyo aliyonayo na kumchukulia lakin tusiache hata siku moja kumsaidia na inshallah ipo siku ataongoka.

WAARABU TUNA USEMI MMOJA " ITS BETTER TO HAVE THEM IN PISSING OUT LATHER THAN HAVING THEM OUT PISSING IN''

Shukran

 
MwanaDiwani;10867722]Ndugu Nguruvi3
Wakati mwingine nikisoma hoja zako huwa ninadhani unachokifanya hapa ni sarcasmand whimsical!
Well, ni wewe uliyewahi kusema natumia probability. Sasainapotokea jambo likawa na probability 10x, Hiyo si probability. Upo msemo, oneis an incident, two is a coincidence. Sitegemei kama kuna mwana CCM anayewezakuongea jema juu yangu.
Tutaendelea kuutanabaisha umma tu !
Kwanza, CCM tulikuwa specific kwenye hoja zetu kuhusuMuungano na hii inatokana na majibu yaliyokuwa yanatolewa na Jaji Warioba.Majibu kuhusu msingi uliopelekea kwa Tume ya Jaji Warioba kuhusu Muungano ndiyoyaliyowafanya siyo CCM peke yake bali hata wananchi wengine kuzihoji takwimuzilizokuwa zinajengewa hoja na Tume ya Jaji Warioba. Jaji Warioba kwenye andikolake alidai sababu za kupendekeza Serikali tatu ni idadi ya watu ''wengi''waliopendekeza mfumo wa Serikali tatu. Wananchi wakataka kufahamu, wananchi ''wengi''katika mantiki ipi na katika msingi gani.
Again, tovuti ya tume ya Warioba imefungwa na CCM. Haya maswali yako ynagekuwa na majibu.

CCM walichosema, akinamama Anna Tibaijuka, Wasira na Lukuvi, idadi ya sample ilikuwa ndogo.
Warioba alitakiwa awe na sample ya 1/3 ya population.

Hizo ni kwa mujibu wa takwimu zaCCM, kitaalam sample ina namna inavyopatikana.
Wasikilize CCM wenyewe wanaoingia NEC na si wapiga debe.

Pili, tume ya Warioba kama ilikuwa na takwimu za utata,basi tuelezwe hizi za Samwel Sitta zilizotumiwa na CCM zikiwa na watu 37kitaalamu zinazosomekaje? Nani alimpa Sitta uwezo wa kukusanya maoni?
Hayondiyo yanapaswa kuandamana na hoja dhidi ya Warioba. Kipimo cha uzuri ni ubaya.
CCM haikuwahi kusema takwimu zote zilizopelekea kuandikwa kwa Rasimu ya Pili yaKatiba zilikuwa ni chache. Usiilishe CCM maneno yako
. Muulize mama AnnaTiaiujuka alipoongea kama mbunge na waziri. Huyu alikuwa anatetea serikali tenaakiwa msomi aliyebobea. Kumbuka si mpiga debe anayeishi kwa propaganda, mamaAnna ni mtu wa imataifa.
Pili, Hakukuwepo na CCM kwenye Bunge Maalum bali kulikuwepo na Wajumbe wa BungeMaalum ambao walikuwa wanawakilisha wananchi kupitia makundi mbali mbali kamayalivyokuwa yameainishwa katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sehemu ya Tano,Ibara ya 22(1).
Hao walichaguliwa namwenyekiti wa CCM kwa kuzingatia sheria iliyompa uwezo wa kuchuja majina na sikuyathibitisha kama alivyopewa. Ndani ya bunge la CCM hakukuwa na hoja zawananchi. Kwani hukuwasikia akina Komba?
Kuanza kujenga hoja za kichama katika mtazamo wako hakuwezi kuifanya hoja yakokuwa valid katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura 83
. Sheria hiyo nayoilipitrishwa kichama, umesahahu mkuu. Bunge la Katiba la CCM ni la CCM, kwanimkuu kuna ubaya gani kwa hilo? Hata wewe umethibitisha kwa maneno yako! Mkuu tukunuu!
Kwa sasa unaendelea kuonyesha kuwa kila siku hoja zenu zinabadilika kutokana naupepo wa hoja. Ni ninyi mliokuwa mnadai CCM walienda na Rasimu mliyokuwa mnaitaya mfukoni, lakini kwa sasa unataka tena kutuaminisha Samwel Sitta alichukuamaoni ya watu 30. Guys, where's your consistency?. Awe na Rasimu ya Mfukonihalafu tena achukue maoni ya wananchi!. Gimme a break!
Ukweli ni kuwa CCM ilikuwa na rasimu ya mfukoni.

tulisema na tuliwataja wahusika hata kabla yaUKAWA. Sitta alikuwa anakamilisha uhalali wa rasimu hiyo kutoka. Ndipo akaja nawatu 37 akiwa na tume binafsi.

Mwanasheriawa znz alishangaa kuona katiba imekamilika wakati watu wanajadiliana.
Akashangaa maoni ya CCM wenyewe hayasilikilizwi akina Andrea wapo busy wanachomoa na kuweka sawa vifungu.
Ukiwa insider utajua, ukiwa mwenzangu mimiitakupa shida sana.

Mkuu nafashamu ugumuwa kazi yako, naomba tuvumiliane maana hapa ni masilahi ya taifa
Hakuna kanuni iliyosema wabunge waliopiga kura ya siri basi watatangazwa hadharani.Zinazotangazwa ni kura zao. ndivyo ilivyofanyika. Zakhia Meghji katajwa kundila 201 Bara, kapiga kura znz
.

Mkuu kuna kanuni na sheria zilizotumika bunge laCCM kweli. Hata katika kupoteza fahamu, sidhani unaweza kuandika hayo.

Halafu jiulize, hao UKAWA wa siri walishiriki vipi katikakamati bila kujadili. Kama hilo liliwezekana ilikuwa na haja gani ya kuwa nabunge. Na mwisho jiulize, kanuni gani zinarhusu upigaji wa kura kwa instoframna SMS.

Ukishughulisha kichwa utaona neno, ukimeza kama maagizo lazima utanionamwendawazimu!
Kikundi inachojiita UKAWA ndiyo kilishupaa kutaka wabunge waruhusiwe kupigakura ya siri ambapo maridhiano yalifanyika na kukubaliwa kuwa, kama kuna mjumbeanataka kupiga kura ya siri, basi atapiga kura ya siri. Kama kuna mjumbeanataka kupiga kuwa ya wazi basi atapiga kura ya waz

Nani alikuambia Mhe. Sitta alikataa uwakilishi kwenye kuhesabu kura wakatiKanuni zinaeleza wazi?Kwa taarifa yako, wajumbe sitta walichaguliwa kwendakusimamia zoezi la kuhesabu kura kama ilivyobainishwa kwenye Kanuni 38(6)kinachosema,
The tehe the! Wajumbe Sita wa CCM walikwenda kuhseababu kura zaCCM! Yarabi
Nimeisha sema, hakukuwepo na CCM kwenye Bunge Maalum bali kulikuwepo na Wajumbewa Bunge Maalum.
2/3 ilipatikana kwa njia ya upigaji wa kura kama ilivyoainishwa katika Kanuniya 38 na 39 ya Bunge Maalum
. Zisome hizo kanuni hapo juu! Hebu tueleze ZahiaMeghji ilikuwaje. Ule mjumbe wa NCCR ikuwaje. Kama kanuni zilizkuwepo vipiMeghji asijulikane anasimama wapi. Heu tueleze ya Meghji kwanza na mjumbe waNCCR. Kwanini alisingiziwa kura.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Sheinamepewa madaraka kikatiba na kisheria ya kumfukuza Kazi Mwanasheria Mkuu waZanzibar bila kuhojiwa sababu ya kufanya hivyo
. Well, ni kweli unachosema.Katika nchi ya wajinga hilo linawezekana. Kwingine duniani ni kituko. Miaka 50chini ya CCM inauletea watetezi wa uzembe. Hivi kwanini moloni asirudi? Sionimantiki ikiwa hawa ndio vuongozi wetu, wanaamini kabisa unaweza kumtimua mtukwa ushauri wa mkeo
Rais Kikwete hajawahi/hakuwahi kusema Serikali Tatu zisubiri mpaka aondoke balialisema, hataruhusu vulugu za kijeshi nchini zinazosababishwa na ulegevu waserikali ya Jamhuri ya Muungano wakati akiwa Madarakani labda wanaotaka kufanyahivyo na kuvunja Muungano inabidi wasubiri mpaka atoke.
Kasikilize houba kwanzahalafu uje hapa! Kasema S3 zisubiri mwakani akiondoka. Kwa hili sitajadiliananawe kwasababu hata Kikwete hajui anasimama wapi.

Juzi kasema kura ya maoni ya CCM isubiri, wiki mbili kasema itafanyika.

Huko nyuma rasimu nzuri sana, sasa hivikatiba ya Chenge nzuri sana.

Huko nyuma majeshi yaapindua sasa hivi wakulima nawafugaji wametengewa ekari za mashamba.

Wewe anayekuagiza unaweza kumwelewa,wanaotumia vichwa, Kikwete ni tatizo, kwa staha tu niishie hapo


 
KWANINI UKWELI UITWE CHUKI?
Ukweli utasemwa hata kama ni mchungu

Tofauti na siku za nyuma, siku hizi muungano unaongelewa kwa uwazi bila kificho. Jambo hilo limesaidia sana kwa watu kuelewa hasa tatizo ni nini, na matatizo haya yataendelea kuwepo hadi lini.
Hii ni baada ya miaka 50 na tume lukuki zisizo na majibu na hali ya muungano.

Ukweli ni kuwa muungano upo katika hali mbaya kuliko wakati mwingine.
Na ugumu ni pale Watanganyika walipoona yale waliyokuwa hawajui au wanayadharau tu.

Tulizoe kuwasikia wznz wakilalamika kuonewa, kupunjwa, kuminywa na kunyimwa fursa za kiuchumi.
Hayo yamejirudia hadi kuonekana kuwa ni ukweli.

Si kwamba yamejirudia tu, bali pia yamendeka kama tulivyowahi kushudia Watanganyika wakichomwa moto na kufukuzwa znz.
Kauli za wznz kuhusu mkoloni mweusi na kuwaalani waasisi wa muungano zimesema hadharani tena mchana kweupe bia kukemewa na viongozi wawe wa CUF au CCM.

Ilionekana kuwa ni kweli znz wanapata matatizo. Na walifikia mahali pa kusema muungano huu hauna faida kwao vinginevyo nchi nyingine zingeshajiunga.
Hayo yali[posemwa ilikuwa ni haki kwasababu wameyasema wznz.

Kwa bahati nzuri Watanganyika, wameamua kujibu tuhuma hizo kwa kutumia logic na takwimu.
Katika kufanya hivyo, baadhi wanasemwa wanachuki na uzanzibar. Hata wengine tumetajwa bila sababu za kuonyesha chuki ipo wapi. Pengine chuki ni kusema wznz ni mzigo, wanafiki na vigeuge.

Tunaweza kudhitibisha maneno hayo kwa maelezo bila kumung'unya maneno au kupindisha kauli.

1. ZNZ ni mzigo mzito kwa Tanganyika
Takwimu zinaonyesha znz haina mchango katika muungano na wala haina impact yoyote kwa maisha ya Watanganyika.
Kwamba, uwepo wa muungano unaobebwa na Tanganyika peke yake ni mzigo alioubeba Mtanganyika bila kujua faida zake

2. ZNZ inaongeza mzigo wa gharama.
Pamoja na ukweli wa namba moja hapo juu, ni dhahiri znz inaongeza gharama kwa Mtanganyika katika deni la ndani na nje

3.Unafiki
Hawa wznz ndio walikuwa vinara wa kukataa muungano, kuukata Utanzania na kufanya uhuni wa kihaini kwa vile hawana heshima na Utanzania.

Mwaka 2010 akina Pandu Kificho, Seif Khatibu, Nahodha, Mohamed Aboud na wengine walikuwemo ndani ya BLW kuhalalisha katiba yao kwa kuondoa mammbo ya muungano, kudharau katiba tena bila kujadiliana na Watanganyika.

Ni hao hao wamerudi Dodoma na kutenda kinyume ya kile walichotenda siku za nyuma.
Huu ni unafiki na haujibiwi bali kusemwa watu wana chuki na wznz.

Hapa wenye chuki na znz ni wanz wenyewe kwa koti la unafiki.
Kama huo ni utamaduni wao hatutaupaka rangi, tutawaeleza ni wanafiki wakubwa.

4. Vigeuge
Ni hao wznz waliosema Tanganyika imevaa koti la muungano. Leo wanahalilisha uhuni kwa koti lile lile wanalosema ni la Muungano. Wakairudi znz wanakana yale yale waliyoyatenda Dodoma.

Huku ni kuwa vigeu, si chuki. Kama ni chuki tuonyeshwe wapi ni uongo umesemwa.
Ukweli unabaki kuwa ni vigeugeu na hatuna neno jingine zaidi ya hilo

5. Waongo
Tabia ya uongo nayo ni sehemu ya uzanzibar. Leo namba zinaonyesha bila kificho kuwa hakuna mahali znz inanyonywa.
Kinyume chake ipo mgongoni kwa raha zao kwa gharama za kodi za Mtanganyika.

Ule uongo wa kunyonywa, kuonewa sasa umekwisha.
Tukisema ni waongo wazuri sana tunaambiwa tuna chuki. Hebu tuelezwe neno gani litumike kwa mwongo kama mznz.

Hayo ni kwa uchache tu, lakini muhimu sana ni Watanganyika kubaini kuwa huu muungano unawaumiza.
Kodi zao ndizo zinatumika kuhudumia Rais, na makamu 2 wa visiwa vyenye uchumi kama znz.

Ndizo zinatumika katika ulinzi na usalama, mambo ya ndani, taasisi kama elimu na kufidia bajeti ya znz huku znz ikitoa misamaha ya kodi hovyo, ikiacha kukusanya kodi. Wote huo ni mzigo alioubeba Mtanganyika katika pay cheque yake kila mwezi. Ni mzigo anaoulipia Mtanganyika katika bidhaa anazonunua.

Haya lazima yasemwe, na anayedhani ni chuki aje aonyeshe chuki ipo wapi.
 
KWANINI UKWELI UITWE CHUKI?
Ukweli utasemwa hata kama ni mchungu

Tofauti na siku za nyuma, siku hizi muungano unaongelewa kwa uwazi bila kificho. Jambo hilo limesaidia sana kwa watu kuelewa hasa tatizo ni nini, na matatizo haya yataendelea kuwepo hadi lini.
Hii ni baada ya miaka 50 na tume lukuki zisizo na majibu na hali ya muungano.

Ukweli ni kuwa muungano upo katika hali mbaya kuliko wakati mwingine.
Na ugumu ni pale Watanganyika walipoona yale waliyokuwa hawajui au wanayadharau tu.

Tulizoe kuwasikia wznz wakilalamika kuonewa, kupunjwa, kuminywa na kunyimwa fursa za kiuchumi.
Hayo yamejirudia hadi kuonekana kuwa ni ukweli.

Si kwamba yamejirudia tu, bali pia yamendeka kama tulivyowahi kushudia Watanganyika wakichomwa moto na kufukuzwa znz.
Kauli za wznz kuhusu mkoloni mweusi na kuwaalani waasisi wa muungano zimesema hadharani tena mchana kweupe bia kukemewa na viongozi wawe wa CUF au CCM.

Ilionekana kuwa ni kweli znz wanapata matatizo. Na walifikia mahali pa kusema muungano huu hauna faida kwao vinginevyo nchi nyingine zingeshajiunga.
Hayo yali[posemwa ilikuwa ni haki kwasababu wameyasema wznz.

Kwa bahati nzuri Watanganyika, wameamua kujibu tuhuma hizo kwa kutumia logic na takwimu.
Katika kufanya hivyo, baadhi wanasemwa wanachuki na uzanzibar. Hata wengine tumetajwa bila sababu za kuonyesha chuki ipo wapi. Pengine chuki ni kusema wznz ni mzigo, wanafiki na vigeuge.

Tunaweza kudhitibisha maneno hayo kwa maelezo bila kumung'unya maneno au kupindisha kauli.

1. ZNZ ni mzigo mzito kwa Tanganyika
Takwimu zinaonyesha znz haina mchango katika muungano na wala haina impact yoyote kwa maisha ya Watanganyika.
Kwamba, uwepo wa muungano unaobebwa na Tanganyika peke yake ni mzigo alioubeba Mtanganyika bila kujua faida zake

2. ZNZ inaongeza mzigo wa gharama.
Pamoja na ukweli wa namba moja hapo juu, ni dhahiri znz inaongeza gharama kwa Mtanganyika katika deni la ndani na nje

3.Unafiki
Hawa wznz ndio walikuwa vinara wa kukataa muungano, kuukata Utanzania na kufanya uhuni wa kihaini kwa vile hawana heshima na Utanzania.

Mwaka 2010 akina Pandu Kificho, Seif Khatibu, Nahodha, Mohamed Aboud na wengine walikuwemo ndani ya BLW kuhalalisha katiba yao kwa kuondoa mammbo ya muungano, kudharau katiba tena bila kujadiliana na Watanganyika.

Ni hao hao wamerudi Dodoma na kutenda kinyume ya kile walichotenda siku za nyuma.
Huu ni unafiki na haujibiwi bali kusemwa watu wana chuki na wznz.

Hapa wenye chuki na znz ni wanz wenyewe kwa koti la unafiki.
Kama huo ni utamaduni wao hatutaupaka rangi, tutawaeleza ni wanafiki wakubwa.

4. Vigeuge
Ni hao wznz waliosema Tanganyika imevaa koti la muungano. Leo wanahalilisha uhuni kwa koti lile lile wanalosema ni la Muungano. Wakairudi znz wanakana yale yale waliyoyatenda Dodoma.

Huku ni kuwa vigeu, si chuki. Kama ni chuki tuonyeshwe wapi ni uongo umesemwa.
Ukweli unabaki kuwa ni vigeugeu na hatuna neno jingine zaidi ya hilo

5. Waongo
Tabia ya uongo nayo ni sehemu ya uzanzibar. Leo namba zinaonyesha bila kificho kuwa hakuna mahali znz inanyonywa.
Kinyume chake ipo mgongoni kwa raha zao kwa gharama za kodi za Mtanganyika.

Ule uongo wa kunyonywa, kuonewa sasa umekwisha.
Tukisema ni waongo wazuri sana tunaambiwa tuna chuki. Hebu tuelezwe neno gani litumike kwa mwongo kama mznz.

Hayo ni kwa uchache tu, lakini muhimu sana ni Watanganyika kubaini kuwa huu muungano unawaumiza.
Kodi zao ndizo zinatumika kuhudumia Rais, na makamu 2 wa visiwa vyenye uchumi kama znz.

Ndizo zinatumika katika ulinzi na usalama, mambo ya ndani, taasisi kama elimu na kufidia bajeti ya znz huku znz ikitoa misamaha ya kodi hovyo, ikiacha kukusanya kodi. Wote huo ni mzigo alioubeba Mtanganyika katika pay cheque yake kila mwezi. Ni mzigo anaoulipia Mtanganyika katika bidhaa anazonunua.

Haya lazima yasemwe, na anayedhani ni chuki aje aonyeshe chuki ipo wapi.

Nguruvi3,

Hayo manung'uniko yako dhidi ya Znz na waZnz tumeyazowea lakin unapogusia kuwa UNAZO DATA NA LOGIC kama nilivyo RED katika andiko lako. Sisi kama wasomaji wa uzi wako huu nakuomba UTUWEKEE HIZO LOGIC NA DATA ZAKO na vizuri kama ukitueleza na source ya hizo DATA.

Lakin lingine kubwa KUTUBAINISHIA TANGANYIKA INACHANGIA WAPI KATIKA MUUNGANO (kwa maana katika account gani ya muungano, nani msimamizi wa hiyo account, na Znz alipaswa kuchangia kiasi gani katika hiyo account ambazo hajachangia.

Je una takwimu zozote zinazoonyesha waTanganyika hawautaki muungano kama walicyochoka Znz na uonevu katika Muungano? Mwaga data hapa.

Pole sana


 
Nguruvi3

Hapo bandiko la juu (namba 206) sihitaji LIKE yako ninachotaka hapo ni bayana zako KAMA ULIVYOAINISHA KATIKA ANDIKO LAKO KUWA WATGK WANA DATA NA LOGIC kukhusu muungano ili kubainisha machungu yenu.


Kumbuka kuwa niliwahi kukubainishia toka awali kuwa wanaokusoma ni wengi sana na mara nyingi sana natumiwa sms na ujumbe katika inbox yangu kuwa niweke ufafanuzi kutokana na kile unachobainisha hususan uchumi wa nchi hizo mbili.

Kumbuka kuwa uchumi unatawaliwa NA DATA zenye source maalum NA SIO POROJO ZA KISIASA zinazotawaliwa na chuki, jazba na ushabiki na kugubikwa na kulalamika na kunung'unika kama unavyofanya.


Pole sana Nguruvi3. Tunasubiri hizo DATA NA LOGICS zako.
 
SOMO KUTOKA ZAMBIA

KUCHEZEWA KWA KATIBA NI JAMBO LA HATARI
MUUNGANO UPO KWA MSINGI WA KATIBA NA SI UTASHI WA VIONGOZI

Rais wa Zambaia bwana Satta amerfariki dunia.
Wakati wote akiwa mgonjwa, waziri wa ulinzi bwana Lungu ndiye aliyekaimiu nafasi ya Rais huku makamu wa Rais akiwa bw. Scott.

Kikao cha baraza la mawaziri kimemuidhinisha Scott, mwenye asili ya Scotalnd kwa wazazi kuwa Rais wa Zambia.
Scott amezaliwa Zambia na wazazi ambao hawakuwa Wazambia.

Kwa mujibu wa katiba ya nchi ya Zambia, Rais lazima azaliwe na wazazi ambao ni wazambia kwa kuzaliwa.
Hivyo katika kipindi cha siku 90 kuelekea uchaguzi, bw Scott atakuwa Rais wa Zambia, na hataweza kugombe nafasi hiyo.

Zimekuwepo jitihada za muda mrefu za makundi ya watu wakitaka Scott aondolewe katika wadhifa wa makamu wa Rais kwa hofu kuwa Rais atakapokuwa hayupo kwa namna yoyote yeye, Scott ambaye ni mzungu atakuwa Rais. Hofu hiyo sasa ni kweli.

Hofu kubwa ni chuki tu ya kuona mzungu anatawala tena.
Hakuna sababu zingine zozote za msingi zinazoeleza kwanini makundi hayo yampinge.

Kwa bahati njema, katiba ya Zambia imeondoa utata kwa kuweka wazi kila kitu. Kwamba nani anaweza kukaimu, nani anagombea n.k.

Kwa msingi huo, katiba ni chombo muhimu sana katika nchi ambazo uimara wake ni tete kama hizi za Africa.

Inasikitisha kuona sisi tunafanya katiba kama mpira.
Akina Mwandosya wakitamba kupata ushindi na si kutengeneza mazingira ya kuliweka taifa pamoja.

Hatujui nini kinachoweza kutokea siku za usoni.
Kwa mfano wa haraka, rasimu ya CCM/Chenge inaweka viongozi zaidi ya 3 kuchukua nafasi ya Urais likitokea lisilotarajiwa.

Rais wa znz ni makamu wa kwanza wa Rais. Na kama hatakuwepo basi makamu wa kwanza wa Rais Znz anakuwa Rais wa JMT.
Naye kama hatakuwa na uwezo huo, makamu wa pili wa Rais wa znz anakuwa makamu wa JMT.
Wote hao ni watu waliopatikana kutokana na uzanzibar na si Utanzania.
Uchanguzi wao ni huko visiwani, lakini uwezekano wa kuja kutawala Tanganyika ni mkubwa sana.

Inaweza kutokea chuki tu kuwa kwanini mtu asiyechaguliwa na Watanganyika awe kiongozi wa Tanganyika.
Itakapofika wakati huo, kinachoweza kutokea si katiba tena ni power struggle kwasababu kutakuwa na mazingira nje ya utaratibu yakiongozwa na logic zaidi kuliko ukweli.

Hatuwezi kukataa ukweli kuwa logic na sheria ni vitu viwili tofauti, lakini pia hufanya kazi kwa kushirikiana.

Hoja kubwa hapa ni kusisitiza umuhimu wa katiba ambayo ina maridhiano na kukubalika
.
Yakitokea yasiyotarajiwa, huu muungano wa kutumia nguvu za dola unaweza kuhitimishwa katika mazingira magumu sana. Tunajifunza kitu kutoka Zambia?

Katiba ni chombo muhimu sana kwa maisha yetu, mzaha wa CCM ni janga tunalotengeneza siku za usoni.

Tusemezane
 
KWANINI TUNAONA HATARI MBELE YA SAFARI NA TAIFA KWA UJUMLA?

Hatari inayolikabili taifa ni hii ya kudanganya watu na si kutafuta suluhu.
Kwa muda kumekuwa na madai ya wazanzibar wakaitaka nafasi zaidi za kujiendeleza kiuchumi.

Hali imebadilika , yapo madai muhimu sana ya Watanganyika ambayo yameibuiliwa na mchakato mzima.
Watanganyika hawakujua mambo mazito yanayowakabili.

Swali linakuja, je, baada ya wapinzani kuondoka na kubaki CCM, maswali muhimu yamejibiwa na rasimu ya CCM?


  1. Tanganyika imevaa koti la muungano.
  2. Je, rasimu haramu ya CCM ime address tatizo hilo? Kama haikuwa na jibu nini kinafuata kama si jipu kuendelea kujaza usaha
  3. Mambo mengi yameingizwa kinyemela kautoka mkataba wa muungano. Je, CCM wenyewe wameweza kujibu swali hilo kwa kuongeza na si kupunguza?


  1. S3 itakuwa ni mzigo kwa mlipa kodi. Je, CCM yenyewe bungeni wameweza kueleza upungufu wa gharama kwa muundo wa rasimu yao?
  2. Tanganyika imebeba mzigo mzito wa muungano. Je, CCM wenyewe wameweza kujibu hoja hiyo kwa kutumia rasimu yao?
  3. Kuna mgongano wa katiba ya JMT na ile ya SMZ. Je, CCM wenyewe wameweza kujibu swali hilo leo na siku za baadaye?

Maswali hayo ni muhimu kwa mustakabali wa muungano.
Kama hayana majibu, na ndivyo ilivyo, basi mazingira ya kuvunjika kwa muungano hayana utata tena bali suala la muda.

Utaweza kuona jambo kuhusu rasimu ya CCM. Tangu imetolewa hakuna msisimmko wa kujiadili kinyume na ile ya Warioba.

Hili linaeleza jambo moja, kwamba wananchi hawakuridhishwa na mchakato uliotupa maoni yao porini na kuchukua maoni ya wahafidhina wengine wakiwa hawana uadilifu.

Mkakati wa CCM si kwenda vijijini, huko wanajua kama kawaida yao wataungwa mkono na wananchi wasio na weledi.

Huko vijijini hawana tatizo la kuiba kura. Endapo wameweza kuiba kura ndani ya bunge nje ya bunge ni jambo rahisi sana.
Ni wazoefu wa hilo.

Kwa sasa wanaelekeza nguvu zao katika maeneo mawili makuu

  1. Kupata kuungwa mkono na kundi la wasomi. Mkakati ni kujadili rasimu katika TV na midahalo ili kuupa uhalali wa kitaifa hata kama inajulikana ni rasimu ya chama cha mapinduzi.
  2. Kutisha viongozi watakaokinzana na maoni ya viongozi hao. Mkakati umeanza na mwanasheria mkuu wa znz.
  3. Kupata kuungwa mkono na viongozi wa makundi ya dini walionunuliwa.

Katika makundi hayo matatu, mawili ni ‘vulnerable’’

  1. a)Kutumia vyombo vya habari. Hapa watanunuliwa waandishi ili kuanza vipindi vya promotion ya rasimu ya CCM kama rasimu ya taifa. Kundi hili lina uteta sana kwasababu masilahi hukinzana sana na maadili ya kazi zzo. Bahasha zitafanya kazi
b)Wasomi, nao kama waandishi taratibu tutaanza kuwasikia wakizungumzia rasimu hii na wala si uharamu uliotokana na rasimu
yenyewe

2.Kutisha viongozi. Hili limeanza na litaendelea, ni katika harakati za kuchomeka matambara zaidi midomoni mwa CCM

3.Kuwanunu viongozi wa dini. Hili kundi lina matatizo sana. Ni kundi linalofanya kazi kama wanyama wa porini. Ni kundi lenye
utata, lisilo na mwelekeo na linalonunulika kirahisi sana.

Sehemu inayofuata tutaliangalia kundi la viongozi wa dini kwa undani ili kubainisha utata na matatizo yanayolikumba katika mchakato huu.

Itaendelea……

VIONGOZI WA DINI NA MISIMAMO YAO YENYE UTATA
JAMII INAWAANGALIA KWA JICHO LA HADHARI NA MASHAKA
WANATUMIKA, HAWAJIELEWI.

Bandiko hapo juu tumejaribu kuonyesha ni kwanini viongozi wa dini walihitajika katika mchakato.

1.Kuhakikisha wanakuwa sehemu ya mchakato.Hakika wamekuwemo ndani ya bunge la katiba kama ilivyotarajiwa
2.Wanalinda masilahi ya waumi wao. Hilo limejitokeza dhahiri3.Wapatanishi, hilo limetokea wakiwa wamegemea upande bila kuangalia haki
4.Kuwa sikio la wananchi. Hapa wame feli kiasi cha kusikitisha

Kwanini wamefeli katika hoja namba 3 na 4

Kwanza, walichotakiwa ni kuzungumza na pande mbili, CCM na UKAWA kwa kuangalia haki sio za wingi bali haki za kila mmoja.
Tofauti ya idadi haitoi au kupunguza haki kwa kundi husika.
Viongozi hao walitafuta suluhu wakielewa kuwa haki haitatendeka.
Kimaadili walipaswa kujua hili mapema sana.

Pili, hoja ya sikio la wananchi, hapa ndipo rangi zao halisi zilipoonekana.
Walijitokeza na kuandika tamko likizungumzia uhalali wa BMK, akidi n.k.

Mambo yote hayo walifahamu yalikuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki na makubaliano.

Wakajipambanua kuwa wasemaji wa Bunge kwa maagizo.
Wakaacha msingi mkubwa wa kiimani wa kusimamia haki,badala yake wakazingatia allowance zao pengine na ziada.

Viongozi wa dini wakashuhudia uchakachuaji wa bunge la CCM kwa kukaa kimya pale facebook, TanGo, yahoo zilipotumika. Walifahamu kanuni zinabadilishwa ili kukidhi haja na si matakwa ya wananchi.

Viongozi wa dini hawakuthubutu kunyanyua midomo yao kukemea uovu uliokuwa unatendeka machoni mwao mchana kweupe. Suala zima likiwa masilahi yao na si ya taifa.

Hapa walipopoteza kile kiungo baina yao na wananchi, wameshindwa kiimani, wameshindwa kimaadili na hata kibinadamu.

SITTA AWAGEUZIA KIBAO, AWANANGA KISAWA SAWA

Mwenyekiti wa BMK-CCM aliwageuzia kibao baada ya matamko kutoka taasisi nje ya bunge.
Ilikuwa dhahiri taasisi wanazowakilisha ziliona tatizo miongoni mwa wawakilishi wao.
Zikatoa matamko ya kutoridhika na mwenendo, matamko yaliyotibua nyongo ya Sitta.

Sitta akawasema,matamako yao ni ya kipuuzi na wananchi wapuuzie.
Hili alilisema kwa kutoa mfano wa makanisani akiogopa kugusa imani nyingine ili masuala nyeti yasijeizuia uchakachuaji

Kimsingi aliwasema viongozi wote wa dini na imani zao baada ya kuwatumia.
Viongozi wakageuka kuwa karatasi za maliwato baada ya kutumika kupamba bunge la CCM.

Jambo la kushangaza, Sitta aliwahi kusimama katika mikutano akimtetea mwenzake aliyetoka India kutibiwa kwa kutumia majukwaa ya dini.Ghafla akawageuka na kuwaita wapuuzi. Hivi ndivyo wanavyotumika.

Baada ya kubaini hilo, Rais akakutana nao katika chakula cha jioni ikiwa ni jitihada za kuzima makali ya maneno ya Sitta. Nao kama kawaida wakahudhuria na kusikia walichotaka kusikia na si kile wanahokisimamia

Siku iliyofuata tukawaona wakiombea mchakato umalizike kwa amani. Ni wakati mh Rais anapokeaa rasimu ya CCM.

Jambo la kujiuliza, hivi wao wamejiridhisha vipi kuwa mchakato mzima ulizingatia uhalali wa makubaliano na sheria husika?

Hivi hawa viongozi hawakuona maajabu ya kura zilivyopatikana, kanuni zilivyopindwa kila uchao, sheria ikikiukwa kwa wingi n.k!

Viongozi hao hawakuthubutu kukemea uovu, wakabeba vitabu vitakatifu kuombea amani mchakato umalizike salama.
Mchakato uliogubikwa na uovu eti umalizike salama.

Kwamba, mwisho wa uovu ni maombezi ya salama hata kama wanajua haki ni tunu ya mwanadamu aliyopewa na mola wake. Wakasimama upande wa wanadamu wakimwacha mungu

Kwamba, uovu uliotendeka wakaupa uhalali wa dua. Hili limetokea si kwa bahati mbaya ni kutokana na ‘manunuzi’ ya ghali.

Ni kwa hali hiyo, kwasasa hakuna mwenye imani na viongozi hao.
Wakati wanaambiwa wasichanganye dini na siasa, wao wametumika kuchanganya siasa na dini na mwisho wa siku wakitupwa chini’’under the bus’’ na wale wale wanaowatumia.

Kwasasa wananchi wamekosa sikio la haki, wamepoteza imani na viongozi wao na wengine wanahoji kama misingi ya imani imetumika kulileta taifa pamoja.

Haitatokea viongozi hao kuaminika tena katika mizani ya kisiasa.
Wamepoteza uhalali wa kimaadili kwa kile walichoagizwa kusimamia kutokana na mienendo ya dini.

Wapo wanaowaangalia kwa kutumia ‘aya za wanafiki’’ wapo wanaowaangalia kama ''Yuda Iscariote''
Haya yote wameyatengeneza wao kwa kuacha msingi mkubwa wa imani wa dini zote ambao ni ukweli na haki.

Ni kwa mtazamo huo, tunazidi kuona tatizo katika kundi hili tofauti na makundi mengine tuliyoyadili.

Bei ya kundi la wasomi inaweza kukokotolewa, bei ya wana habari inaweza kupigiwa hesabu, bei ya viongozi wa dini haijulikani ingawa wapo sokoni.

Na hilo ndilo linatulazimu tuseme, kundi la viongozi wa dini ni kwa mfano wa ‘wanayama waishio mwituni, kila mmoja hula kwa nguvu zake’’

Swali, je, ushiriki wao una maana yoyote katika hali tuliyoishuhudia?

Tusemezane
Naomba wana duru mpitie mabandiko hayo kwanza. Bandiko linafuata kufafanua nini kinatokea kwa kuzingatia Safari ya Lowassa na Makamba kanisani Mahenge.

Tutaendelea..
 
VIONGOZI WA DINI WAANZA KUTUMIKA

WANASIASA WAPEWA FURSA ZA ‘KUHUBIRI SIASA''

-WAOMBA RADHI KIAINA, WAJIIMARISHA KISIASA

Rejea bandiko 209 na habari ya gazeti la Mwananchi, Lowassa, Makamba ‘wagongana’ kanisani - Kitaifa - mwananchi.co.tz iliyozungumzia Lowassa na January Makamba kuhutubia waumini wa kanisa katoliki Mahenge.

Mabandiko ya awali tulieleza uwepo wa makundi 3 yatakayotumika kuhalalisha katiba ya CCM

1.Vyombo vya habari: Vimeshaanza kazi rasmi za kuita wapiga debe wa rasimu ya CCM.
Hakuna majadala wa maana kuhusiana na suala la katiba bali uwepo wa kura ya maoni.

Hakuna anayezungumzia uhuni uliofanyika hata CCM walipobaki wenyewe.
Hakuna anayezungumzia kukosa maridhiano ya kitaifa katika jambo la kitaifa.
Waandishi wapo busy kutoa nafasi kwa wafanya propaganda kama Benson kuendeleza propaganda zao.

2.Kundi la Wasomi: Nalo linatumika vema.
Akina Prof Mwandosya wakizungumzia ushindi wa CCM baada ya kuwadhalilisha akina Warioba.
Akina Prof Bana wakipigia debe katiba ya Chenge n.k.

3.Viongozi wa dini: Hawa tulisema ni kama mbuzi machungani.
Wakati wanatoa matamako wengine miongoni mwao wanajadiliana bei na CCM.

Kitendo cha Lowassa na Mkamba kupewa fursa ya kuomba radhi kauli alizotoa Samwel Sitta za kuwatusi viongozi wa dini kina maana kubwa.


  1. Kwanza wametumwa, CCM ikijua hilo ni kundi kubwa katika mchakato.
Ni kufuatia kuzorota na kudorora kwa katiba ya CCM kulikotokana na kususiwa na wananchi.

2.Viongozi hao wamwekwenda kujiimarisha kama wapatanishi ili kuungwa mkono na sehemu hiyo ya
jamii. Vyote viwili ni katika kujijenga kisiasa ndani ya chama na nje ya chama.

Hakukukuwa na sababu zozote za viongozi wa dini kuwaalika wanasiasa kwa ahadi za kompyuta 10 au pesa. Kitendo hicho kimefanywa na akina January na Lowassa ili kuwanunua viongozi wa dini ambao wameshanunulika tayari kwa kuwaalika.

Viongozi wa dini walipaswa kuidai serikali iombe radhi au Sitta aombe radhi kwa kauli zake za kashfa. Kwa bahati mbaya, kwavile bei zao zinajulikana tayari wanajikuta wakiita viongozi wa kisiasa kujisafisha.

Lowassa haijulikani aliongea katika capacity gani, wala January alitumwa na nani.
Kinachojulikana ni kuwa hawa ni viongozi walioshindwa kukemea matusi ya Smawel Sitta kwa viongozi wadini.

Iweje leo watoke nje ya bunge na kwenda kulaani kile kile walichokaa kimya wakati kinasemwa na hadi bunge la CCM lilipomalizika?

Baada ya kununua vyombo vya habari, kuwakamata wasomi, sasa ni zamu ya kuwakamata viongozi wa dini ili kuungwa mkono kwa katiba ya CCM na kuungwa mkono katika harakati za kisiasa.

Viongozi wa dini ni sehemu kubwa sana ya matatizo tuliyo nayo.
Imefika mahali katika mazingira yanayoonekana ni vigumu wao kama viongozi wa kiroho kuaminika.
Kila uchao wamekuwa wanayumba, wanabadilika kama vinyonga na wamekuwa vigeu geu.

Baada ya muda tutasikia waumini wakishauriwa wakubaliane na uhuni wa Dodoma ili kudumisha amani na utulivu kama sehemu ya upendo wa kidini.

Na tutasikia wakiombea katiba ya CCM ifanikiwe hata kama wanajua ni uovu tu uliofanyika Dodoma kuanzia mwanzo hadi mwisho.

Tusemezane
 
Badala ya kunung'nika na kullalamika ni vizuri sana KUTUMIA MUDA HUU MFUPI KUILIMISHA WATU HUSUSAN WATGK WAELEWE UMUHIMU WA TAIFA LAO na utaifa wao HIVYO afanye yaliyo muhimu katika kupitisha/kuikataa rasimu hiyo ya sitta.

Kulalamika na kunung'unika hakutasiaida BILA KUCHUKUA HATUA SAHIHI.

Poleni
 
TULISEMA
WAANDISHI WA HABARI NA WASOMI, BEI ZAO CCM INAZIJUA
VIONGOZI WA DINI NAO WANAJULIKANA UDHAIFU NA BEI ZAO

Mkurugrnzi wa masiliano ikulu amekubali mkakati wa bilioni 2.5 za kununua Wasomi na waandishi wa habari. Tulisema siku nyingi hili lipo mbioni.

Ni kwasaababu CCM inajua bei zao. Wasomi kutoka vyuo kama Sokoine wametajwa kwa majina. CCM inafahamu wazi bei zao. Waandishi wa habari wametajwa majina, CCM ina uhakika na bei iliyowapangia.

Waandishi wa habari wanaitwa mhimili wa 4 wa dola. Hii ni kwa mataifa mengine, kwa Tanzania ni mhimili wa pili wa rushwa baada ya mhimili mkuu ambao ni serikali.

Wasomi nao badala ya kutumia uwezo wao kitaaluma kulisaidia taifa, nao wamejikuta wakifungia vyeti vyao makabatini na kuwasilikiliza akina Nape! Naam, Nape ni msomi zaidi yao.

SALAVA ANATISHA ANAPOBARIKI RUSHWA
Ikulu inafahamu wazi kuwa pesa zilizotengwa ni kodi ya wananchi. Na kwamba pesa hizo za kununua wasomi na waandishi wa habari ni rushwa.

Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu anasema kama upo upande wa hapana, basi upo wa Yes. Kwa minajili ya mjadala, tufanye kuwa upo upande wa Yes.
Swali ni kuwa upande wa No utapata mgao wao kutoka wapi?
Na kwanini serikali itoe hongo kupitisha katiba ya wananchi.

Hapa kuna hoja zifuatazo

  1. Kwamba serikali inafanya promotion ya rushwa, huku ikikemea rushwa
  2. Kwamba kuna ufuajaji wa fedha za umma. Bilioni 2.5 zinatoka fungu gani la bajeti
  3. Kwanini serikali ina haha kuhonga, ikiwa serikali hiyo hiyo inasisitiza wananchi waachwe ili waamue.

Akiwa Dodoma, Rais JK alisema ‘kazi ya tume imekwisha’ wananchi waachwe kuamua hatima ya katiba yao. Kwanza, ni mkaosa kusema wananchi waamue katiba yao. Ni vema ingesemwa wanachama wa CCM waamue hatima ya katiba yao.

Rais huyo huyo anayesema muda wa kampeni bado, ndiye yule yule anayepiga kampeni kwa makundi ya wazee akiwalaghai kuhusu safari yake ya China. Mbona hajaongea kuhusu safari zake za Marekani ambako sasa ni sehemu ya ofisi yake?

Katika kuhakikisha wananchi hawapati elimu, Rais bila sababu amepunguza muda wa kampeni yao ya CCM kutoka siku 60 hadi 30.
Hii ina maana kuttotoa nafasi kwa wapinzania kuwafahamisha wananchi jinsi uhuni ulivyofanyika na jinsi maovu ya katiba ya change yanavyofichwa.

JK anafahamu Watanganyika wana mengi, na kwamba katiba ya Chenge haiuziki.
Licha ya kutumia fedha za umma kwa masilahi yao binafasi, bado hataki wananchi wafahamishwe uozo wa katiba ya CCM na Chenge.
Kipigo cha Warioba, ni maelezo mazuri kuhusu kufichwa kwa uovu uliotendeka Dodoma. Kuficha rushwa inayofanywa na ofisi kubwa nchini.
Ikulu inapotoa rushwa, sijui nani amebaki asiyepokea au kutoa.

Swali ni kuwa, CCM inawakataza vipi wanachama wake wasigawe fedha za kugombea Urais ikiwa yenyewe imejikita katika kugawa fedha za umma kwa wasomi na waandishi tena kwa kuwanunua kwa bei na majina yao?

Hili la rushwa inayofanywa na Ikulu ni kielelezo kwa wananchi kuwa tulipo sipo tulipotarajia. Tunakoelekea ni kubaya zaidi. Hatima ya nchi hii ipo kwa wananchi na si vyama vya siasa.


Tusemezane

Cc MwanaDiwani
 
Last edited by a moderator:
SHEIKH NA VIDEO

VIDEO:UBAYA WA DUBWANA MUUNGANO - UAMSHO 'ALABAMA' - Mzalendo.net

Katika video hii, sheikh amesema mambo mengi kuhusu muungano.
Kubwa ni kuhamasisha watu wakatae muungano, ameuita muungano dubwana linalowaumiza wazanzibar.

Sheikh amewataka wanasiasa kukaa pembeni,suala la muungano linashughulikiwa na masheikh

Hapa kuna hoja kubwa kwamba, suluhu ya muungano haitegemei matakwa ya kisiasa.
Kuna kundi la viongozi wa dini kule znz wanaouona muungano kama tatizo kubwa sana

Katika video hiyo sheikh anamlaani Nyerere kwa dubwana muungano.
Anasema, endapo znz ni mzigo basi waachwe wapumue,katika mwaka mmoja tu Zanzibar itabadilika na kuwa ile znz ya neema.

Sheikh anasema muungano ndio tatizo na kikwazo cha maendeleo ya znz.

Wakati akisema hayo, amelaani mfumo wa kodi ambao znz inatozwa kwa kuingiza Tanganyika bidhaa.

Sheikh anasema wafanyabiashara wengi wa znz wamehamia Tanganyika kwasababu mzunguko wa pesa ni mkubwa.

Gharama ya kutoa kontena anasema , kama ni milioni 7 basi yule aliyetremesha kontena Dar atauza haraka kuliko yule aliyeteremsha visiwani.

Hivyo Sheikh anahoji, kwanini usiwepo mfumo ambao znz itapunguziwa kodi hiyo na badala ya kontena kulipiwa milioni 7, ilipiwe milioni 3.

Ukimsikilza Sheikh, utashangaa kama anajua nini anaongelea hasa.
Wakati analaani muungano kama dubwana na dude bayaasana, ni sheikh huyo huyo anasema wafanyabiashra wa znz wanahamia Tanganyika.
Hapa anakubali kuwa uwepo wa Tanganyika ni neema kwao.

Lakini pia hataki muungano kama dubwana baya asana, na wakati huo huo anataka Tanganyika ipunguze kodi ili wznz waingize makontena Tanganyika.

Sheikh hafahamu kuwa Tanganyika kama znz inahitaji mapato na hivyo hakuna uwezekano wa kuruhusu uchochoro wakati wznz wenyewe hawataki muungano

Sheikh akaongelea suala la elimu ya juu kuwa la muungano kama kitendo kibaya sana.

Sheikh hafahamu kuwa ni wznz hao hao wanaosema muungano mbaya, wanasoma bure elimu ya juu Tanganyika.

Hivyo Sheikh alitakiwa apiganie elimu ya juu isiwe muungano.
Sijui kama hili ameliona au ameongea kwa vile ana kipaza sauati.

Sheikh akasema, mtu akiugua jino znz lazima akatibiwe Muhimbili.
Sheikh hafahamu kuwa matibabu ni suala la mtu na wala muungano haulazimisha wznz kutibiwa Muhimbili.

Asichokijua sheikh ni kuwa ongezeko la wznz muhimbili ni kwa gharama za Watanganyika.

Unapotazama video kama hii, ni lazima ujiulize kama kweli huu muungano una muda tena.

Harakati za kutengeneza na kukungumiza katiba ili wznz wafurahi haziwezi kuzaa matunda katika hali ya video ya Sheikh.

Sheikh ameonyesha kuwa mbali na ukweli. Hilo tu linaeleza kuwa Watanganyika lazima wasiamame kidete kutetea nchi yao.

Kuendelea kuwabebembeleza wznz katika hali ya ufahamu huo, kutazidisha matatizo na mbeba mzigo huo ni Mtanganyika


Tusemezane
 
SHEIKH NA VIDEO

VIDEO:UBAYA WA DUBWANA MUUNGANO - UAMSHO 'ALABAMA' - Mzalendo.net

Katika video hii, sheikh amesema mambo mengi kuhusu muungano.
Kubwa ni kuhamasisha watu wakatae muungano, ameuita muungano dubwana linalowaumiza wazanzibar.

Sheikh amewataka wanasiasa kukaa pembeni,suala la muungano linashughulikiwa na masheikh

Hapa kuna hoja kubwa kwamba, suluhu ya muungano haitegemei matakwa ya kisiasa.
Kuna kundi la viongozi wa dini kule znz wanaouona muungano kama tatizo kubwa sana

Katika video hiyo sheikh anamlaani Nyerere kwa dubwana muungano.
Anasema, endapo znz ni mzigo basi waachwe wapumue,katika mwaka mmoja tu Zanzibar itabadilika na kuwa ile znz ya neema.

Sheikh anasema muungano ndio tatizo na kikwazo cha maendeleo ya znz.

Wakati akisema hayo, amelaani mfumo wa kodi ambao znz inatozwa kwa kuingiza Tanganyika bidhaa.

Sheikh anasema wafanyabiashara wengi wa znz wamehamia Tanganyika kwasababu mzunguko wa pesa ni mkubwa.

Gharama ya kutoa kontena anasema , kama ni milioni 7 basi yule aliyetremesha kontena Dar atauza haraka kuliko yule aliyeteremsha visiwani.

Hivyo Sheikh anahoji, kwanini usiwepo mfumo ambao znz itapunguziwa kodi hiyo na badala ya kontena kulipiwa milioni 7, ilipiwe milioni 3.

Ukimsikilza Sheikh, utashangaa kama anajua nini anaongelea hasa.
Wakati analaani muungano kama dubwana na dude bayaasana, ni sheikh huyo huyo anasema wafanyabiashra wa znz wanahamia Tanganyika.
Hapa anakubali kuwa uwepo wa Tanganyika ni neema kwao.

Lakini pia hataki muungano kama dubwana baya asana, na wakati huo huo anataka Tanganyika ipunguze kodi ili wznz waingize makontena Tanganyika.

Sheikh hafahamu kuwa Tanganyika kama znz inahitaji mapato na hivyo hakuna uwezekano wa kuruhusu uchochoro wakati wznz wenyewe hawataki muungano

Sheikh akaongelea suala la elimu ya juu kuwa la muungano kama kitendo kibaya sana.

Sheikh hafahamu kuwa ni wznz hao hao wanaosema muungano mbaya, wanasoma bure elimu ya juu Tanganyika.

Hivyo Sheikh alitakiwa apiganie elimu ya juu isiwe muungano.
Sijui kama hili ameliona au ameongea kwa vile ana kipaza sauati.

Sheikh akasema, mtu akiugua jino znz lazima akatibiwe Muhimbili.
Sheikh hafahamu kuwa matibabu ni suala la mtu na wala muungano haulazimisha wznz kutibiwa Muhimbili.

Asichokijua sheikh ni kuwa ongezeko la wznz muhimbili ni kwa gharama za Watanganyika.

Unapotazama video kama hii, ni lazima ujiulize kama kweli huu muungano una muda tena.

Harakati za kutengeneza na kukungumiza katiba ili wznz wafurahi haziwezi kuzaa matunda katika hali ya video ya Sheikh.

Sheikh ameonyesha kuwa mbali na ukweli. Hilo tu linaeleza kuwa Watanganyika lazima wasiamame kidete kutetea nchi yao.

Kuendelea kuwabebembeleza wznz katika hali ya ufahamu huo, kutazidisha matatizo na mbeba mzigo huo ni Mtanganyika


Tusemezane

Nilipo RED

Nguruvi3.

Hao ndio wanaume khalil haswa wanazungumza mchana kweupeeeee bila kuongopa. Aichobainisha Sheikh ni mambo makubwa sana na darsa pana sana linalokhitaji mtu kwenda skuli na sio kushinda na kunung'unika katiba vilabu vya pombe.

Sheikh amepambanua nutfa kwa nutfa na kudadavua kwa kina KWANI SIKU ZOTE HAKI HAIOMBWI BALI INADAIWA.

Waznz wana haki zote za kufaidi chochote ndani ya Tanganyika au kwingine kokote duniani. Lakin kwa Tanganika ni haki yao kwani wanazitumia kodi zao zilizotumika kujenga au kuweka rasilimali hizo zikiwemo skuli, vyuo, hospitals na mengine.

Kumbuka kuwa Bajeti a TZ inategemea wafadhwili kwa zaidi ya 40% ambazo misaada na mikopo hiyo watalipa sawia kila upande na Znz kodi zao laazima wazifaidi.

Nguruvi3, Waache wa Znz wajinafasi na kupumua kwa mapana na marefu ndai ya muungano kwani NI HAKI YAO. Kwani hakuna anechangia muungano wenu kila alienacho anatoa akinafasika na sio laazima.

Waache Znz wapumue
 
Nilipo RED

Nguruvi3.

Hao ndio wanaume khalil haswa wanazungumza mchana kweupeeeee bila kuongopa. Aichobainisha Sheikh ni mambo makubwa sana na darsa pana sana linalokhitaji mtu kwenda skuli na sio kushinda na kunung'unika katiba vilabu vya pombe.

Sheikh amepambanua nutfa kwa nutfa na kudadavua kwa kina KWANI SIKU ZOTE HAKI HAIOMBWI BALI INADAIWA.

Waznz wana haki zote za kufaidi chochote ndani ya Tanganyika au kwingine kokote duniani. Lakin kwa Tanganika ni haki yao kwani wanazitumia kodi zao zilizotumika kujenga au kuweka rasilimali hizo zikiwemo skuli, vyuo, hospitals na mengine.

Kumbuka kuwa Bajeti a TZ inategemea wafadhwili kwa zaidi ya 40% ambazo misaada na mikopo hiyo watalipa sawia kila upande na Znz kodi zao laazima wazifaidi.

Nguruvi3, Waache wa Znz wajinafasi na kupumua kwa mapana na marefu ndai ya muungano kwani NI HAKI YAO. Kwani hakuna anechangia muungano wenu kila alienacho anatoa akinafasika na sio laazima.

Waache Znz wapumue

Nilitegemea usimame na kujibu hoja ima kuunga mkono nukta za sheikh au kuzikataa.
Nikisoma bandiko lako sioni wapi ambapo umebainisha ukweli aliosema sheikh.

Kwa mfano, Sheikh amelalamika kuhusu elimu ya juu kuwa jambo la muungano.

Milichosema ni kuwa, sheikh alitakiwa aeleze kuwa hilo si jambo la muungano na liondolewe. Period

Pili, sheikh amesema muungano ni mbaya kwasababu unawanyima wznz nafasi ya biashara.
Kwamba, kontena linaingizwa znz kwa milioni 3 likija bara linatozwa milioni 7.

Sheikh akasema kwa mzunguko mdogo wa pesa, ilipaswa serikali ya muungano iangalie znz kama nchi yenye mzunguko mdogo na hivyo watoe unafuu. Sasa huyu bwana kasema muungano mbaya, halafu anataka unafuu katika muungano ule ule asioutaka.

Niltarajia Sheikh aseme , suala la biashara kila mtu kivyake.
Hapo angekuwa amewakomboa wznz kwasababu wangeingiza makontena yao na kuyauza wanakota.
Hawalazimiki kuyauza Tanganyika.

Umeona hoja zinavyojichanganya?

Haya ndiyo mambo ya kuzungumzia kutoka katika video ya sheikh mwenyewe. Nilidhani ungejikita huko.

Sasa kama kuna misaada na mikopo, hakuna sababu za wznz kusema hawataki muungano wakati wanalalamika kuhusu misaada na mikopo. Walichotakiwa ni kuondokana na adha hiyo kwa kujiondoa katika muungano.

Hilo hawakufanya, bali waliunga mkono mfumo ule ule unaowakandamiza.
Wanaposema Tanganyika inawanynyonya, hakuna anayetarajia Tanganyika iwaonee huruma. Walipaswa wajionee huruma.

Kwa mshangao ndio hao hao walioungana na Chenge katika kuandika katiba ile ile ya 1977 ambayo inawaumiza wakitegemea kuwa na mamlaka kamili.

Ukiangalia katiba ya Chenge, kama wznz wataikubali basi wataendelea na maumivu waliyo nayo tena kwa kiwango cha juu zaidi.

Kwa mfano, wanapokubali Rais wa znz awe makamu wa Rais wa JMT, hiyo ni bigG wanayopewa.

Hapo wanamuondolea Rais wa znz mamlaka dhidi ya nchi yake, kwani aataitwa Dodoma na kuagizwa atende ya JMT na si ya wznz. Ndivyo Jumbe alivyotendwa.

Mkuu kwanini huwa huoni mambo mepesi kama haya?

Anyway, ni barabaru na nimejitahidi sana kukusaidia,vinginevyo nilipaswa kuacha kukujibu kwani ni njia muafaka sana ya kujadiliana nawe.

Ahsante
 
Nilitegemea usimame na kujibu hoja ima kuunga mkono nukta za sheikh au kuzikataa.
Nikisoma bandiko lako sioni wapi ambapo umebainisha ukweli aliosema sheikh.

Kwa mfano, Sheikh amelalamika kuhusu elimu ya juu kuwa jambo la muungano. KWANI ILMU YA JUU SI CHOMBO CHA MUUNGANO?

Milichosema ni kuwa, sheikh alitakiwa aeleze kuwa hilo si jambo la muungano na liondolewe. Period YEYE SIO BUNGE WA KUWEZA KUONDOA JAMBO HILO BALI TGK NDIO WENYE MAMLAKA ZAIDI KULIONDOSHA HILO. OTHERWISE WAACHWE ZNZ WAJINAFASI NYIE MNUNG'UNIKE

Pili, sheikh amesema muungano ni mbaya kwasababu unawanyima wznz nafasi ya biashara.
Kwamba, kontena linaingizwa znz kwa milioni 3 likija bara linatozwa milioni 7. HIYO NI KWELI KABISA NA NDIO MZIGO MKUBWA KWA ZNZ. NA HATA MZIGO KAMA UNAKWENDA ZNZ UKIPITIA BANDARI YA DAR UNATOZWA USHURU KANA KWAMBA UMEFIKA WAKTI ULITAKIWA UKATOZWE USHURU ZNZ KAMA WAFANYAVYO KWA MAZIGO YA ZAMBIA, MALAWI NA BURUNDI

Sheikh akasema kwa mzunguko mdogo wa pesa, ilipaswa serikali ya muungano iangalie znz kama nchi yenye mzunguko mdogo na hivyo watoe unafuu. Sasa huyu bwana kasema muungano mbaya, halafu anataka unafuu katika muungano ule ule asioutaka.ZNZ NI NCHI NA ILITAKIWA ITAZAMWE KAMA NCHI KATIKA KUWA HURU KATIKA KUENDESHA UCHUMI WAKE NA SIO KWA FADHWILA KUTOKA TGK YENYE JOHO LA MUUNGANO

Niltarajia Sheikh aseme , suala la biashara kila mtu kivyake. NDIO MAANA NIKAKWAMBIA DARSA ALILOTOA SHEHE LINAHITAJI MTU AENDE SKULI NA SIO BLA BLA ZA KWENYE VILABU VYA POMBE. HICHO CHA KILA MTU AWE HURU KIUCHUMI NDIO HASA ALICHOBAINISHA HAPO
Hapo angekuwa amewakomboa wznz kwasababu wangeingiza makontena yao na kuyauza wanakota.
Hawalazimiki kuyauza Tanganyika. SKULI JAMBO LA MSINGI SANA KWANI LINAKUWEZESHA SIO TU KUJITAMBUA LAKIN HATA KUWEZA KUPAMBANUA MAMBO KIUPEKEE KABISA NA SWIFA STAHIKI. NENDA SKULI MKUU.

Umeona hoja zinavyojichanganya?

Haya ndiyo mambo ya kuzungumzia kutoka katika video ya sheikh mwenyewe. Nilidhani ungejikita huko.

Sasa kama kuna misaada na mikopo, hakuna sababu za wznz kusema hawataki muungano wakati wanalalamika kuhusu misaada na mikopo. Walichotakiwa ni kuondokana na adha hiyo kwa kujiondoa katika muungano. KUMBUKA KUWA MISAADA HIYO NA MIKOPO YOTE INAOMBA NA KULETWA KWA JINA LA TANZANIA NA SIO TGK. HIVYO WA ZNZ WANA HAKI KAMILI SIO KUOMBA BALI KUDAI HAKI HIYO. LAKIN KUBWA KILA NCHI IWE HURU KIUCHUMI NA KUJINAFSI BILA KUINGILIWA NA MWINGINE.

Hilo hawakufanya, bali waliunga mkono mfumo ule ule unaowakandamiza.
Wanaposema Tanganyika inawanynyonya, hakuna anayetarajia Tanganyika iwaonee huruma. Walipaswa wajionee huruma.

Kwa mshangao ndio hao hao walioungana na Chenge katika kuandika katiba ile ile ya 1977 ambayo inawaumiza wakitegemea kuwa na mamlaka kamili.(CHENGE HAKUANDIKA KATIBA YA 1977. HIII ILIANDIKWA NA KUNDI LA AKINA MSEKWA) NAMKUMBUKA RAFIKI YANGU NA AHALI YANGU Mh CHOMBO WA JIMBO LA MAGOMENI KULE ZNZ. ALISEMA BUNGENI KUHUSU WATU WANAITWA ''ASHK MAJNUUN''. NAFIKIRI WEWE NI MMOJA WAO. JE NI WAPI KATIKA KUPITISHA KATIBA HIYO YA CHENGE/SITTA ILIPATA UGUMU? SOMA ALAMA ZA NYAKATI NA SIO KUWA ASHK MAJNUUN

Ukiangalia katiba ya Chenge, kama wznz wataikubali basi wataendelea na maumivu waliyo nayo tena kwa kiwango cha juu zaidi.

Kwa mfano, wanapokubali Rais wa znz awe makamu wa Rais wa JMT, hiyo ni bigG wanayopewa.

Hapo wanamuondolea Rais wa znz mamlaka dhidi ya nchi yake, kwani aataitwa Dodoma na kuagizwa atende ya JMT na si ya wznz. Ndivyo Jumbe alivyotendwa.

Mkuu kwanini huwa huoni mambo mepesi kama haya? HAYO NAFIKIRI UMEYAONA LEO LAKIN KWA ZNZ WALIYAONA ZAIDI YA MIAKA 20 ILIYOPITA NA NDIO MAANA WAKO NGANGARI KUDAI HAKI ZAO.

Anyway, ni barabaru na nimejitahidi sana kukusaidia,vinginevyo nilipaswa kuacha kukujibu kwani ni njia muafaka sana ya kujadiliana nawe.

Ahsante

Nguruvi3,

Naona na wewe unakuja na Stahili ile ile ya Mh Kinana kuungana na walalamikaji na kuwa sehemu ya walalamikaji badala ya kuwa sehemu ya kutoa majibu ya malalamiko. Pole sana

Naona unabadili mwelekeo na kuwasemea waZnz kana kwamba waTGK hamna cha kusema kuhusu Katiba pendekezwa ya mh Sitta na Chenge. Yaani maamuzi yoooote sasa wanayo Znz nawewe na kundi lako la TGK mumeufyata.

Sasa mimi nilikuuliza zaidi ya mara mia na narudia tena naomba jibu lako.
1. Je Tanganyika anachangia wapi pesa zake za kuendeleza huo muungano? kwa maana account ipi?
2. Je znz anatakiwa achangie kiasi gani katika huo muungano wenu.
3. Je Znz achangia huo mchango wake katika account gani?
4. Nani anaeiendesha hiyo account ya muungano wenu?
5. Unaponung'unika na kulalamika kuwa Znz inaidhulumu na kuinyonya Tgk , je una data zozote zinazoonyesha hivyo kupitia michango yao katika muungano?


Pole sana Mzee wa Kunung'unika

 
Nguruvi3,

Naona na wewe unakuja na Stahili ile ile ya Mh Kinana kuungana na walalamikaji na kuwa sehemu ya walalamikaji badala ya kuwa sehemu ya kutoa majibu ya malalamiko. Pole sana

Naona unabadili mwelekeo na kuwasemea waZnz kana kwamba waTGK hamna cha kusema kuhusu Katiba pendekezwa ya mh Sitta na Chenge. Yaani maamuzi yoooote sasa wanayo Znz nawewe na kundi lako la TGK mumeufyata.

Sasa mimi nilikuuliza zaidi ya mara mia na narudia tena naomba jibu lako.
1. Je Tanganyika anachangia wapi pesa zake za kuendeleza huo muungano? kwa maana account ipi?
2. Je znz anatakiwa achangie kiasi gani katika huo muungano wenu.
3. Je Znz achangia huo mchango wake katika account gani?
4. Nani anaeiendesha hiyo account ya muungano wenu?
5. Unaponung'unika na kulalamika kuwa Znz inaidhulumu na kuinyonya Tgk , je una data zozote zinazoonyesha hivyo kupitia michango yao katika muungano?


Pole sana Mzee wa Kunung'unika

!!!!!!!
 
YALIYOJIRI MKUTANO WA KAMATI YA MARIDHIANO, BWAWANI ZNZ 23 NOVEMBER

Yote yaliyojitokeza katika mkutano huo yapo katika uzi huu (video zitawekwa)

Waliokuwa wasemaji ni Mzee Hassan Moyo, Mzee Salim Rashid (Katibu wa kwanza wa baraza la mapinduzi), Mansour Himid, Jusa Ismail, Ali Salehe(Mjumbe wa iliyokuwa tume), Eddy Riyami na mshereheshaji Bimani.

Katika wazungumzaji wote, hakuna hata mmoja aliyesimama na kusema 'wazanzibar hawataki muungano''
Walichokuwa wanapigania ni kuwa na muungano wenye masilahi kwao.

Kuna sehemu moja Eddy Riyami alisema ''.... katiba ya Chenge ni kuendeleza ukoloni wa Watanganyika''

Nilimshangaa kama nilivyomshangaa Sheikh katika bandiko hapo juu.
Haiwezekani Wazanzibar watambue kuwa Tanganyika ni mkoloni, lakini waendelee kutafuta njia za kuishi na mkoloni huyo huyo.
Ingalikuwa vema kama wangeamua kuachana na mkoloni kuliko kubaki na duku duku mioyoni.

Mzee Salim Rashid,alifananisha ZNZ na ya Mauritius na Seychelles.
Akasema ZNZ inaweza kuwa na kipato cha mtu kikubwa kama nchi hizo mbili.

Alitaja idadi kama watu milioni 1.2.
Ninamshangaa Mzee Rashid kwasababu, hakuna sababu ya muungano na Tanganyika ikiwa znz inaweza kuendeleza watu wake.

Mzee Rashid hakueleza ukweli kuwa kati ya hao 1.2 nusu yao wamekimbilia Tanganyika wanakoishi bila tatizo.

Mzee Rashid aelewe mazingira ya Seychelles au Mauritius ni tofauti na ya znz.

Kijiografia znz inabaki kuwa katika kivuli cha Tanganyika kwa hiari au kwa lazima.
Si hiari au lazima ya mtu, bali mazingira yaliyotengenezwa na mwenyezi mungu.

Hata hivyo, badala ya kulalamika, alikuwa na wajibu wa kuhamasisha wznz wakatae muungano kabisa ili wawe kama Mauritius.

Mansour Himid, aliongelea sana kuhusu maridhiano. Alionyesha kuwa wapo watu wanaotaka znz kamili lakini hawawezi kusema kwa woga. Akasema, watu hao wakisikia jambo wanapanda ndege na kukimbia wakiacha msala kwa wenzao.

Hapa alikuwa anamsema Shemeji yake ambaye ni Karume kwa namna ya kiungwana sana.

Jusa alitumia muda mwingi kulinganisha katiba ya 1977, ya Chenge na ya ZNZ.
Alitumia taaluma yake kuonyesha jinsi katiba ya Chenge ilivyochukua nafasi ya ile ya 1977.

Na alionyesha ugumu uliopo hata pale katiba ya Chenge itakapolzimishwa. Ugumu huo unatokana na kubadili katiba ya znz ambayo ina masharti magumu.

Pamoja na umahiri wa kuelezea, Jusa aliacha ukweli na kuzungumzia mambo yasiyo na maana katika kuwapendeza wazanzibar.
Hapo ndipo tunasema, muungano upo katika matatizo makubwa.
Viongozi hawazungumzii ukweli, bali kupotosha watu wao pengine wakitaraji kupigiwa makofi.

Kwa mfano, badala ya kuongelea wingi wa viongozi wa katiba ya Chenge kwa kulinganisha na rasimu ya Warioba, Jusa aliongelea madaraka ya Rais wa znz katika katiba ya Chenge.

Tulidhani kuwa wananchi walitakiwa waelezwe, ile hoja ya gharama kubwa kwa S3 iimejibiwa vipi na rasimu ya Chenge.
Na hapa wznz walitakiwa waelewe zaidi kwani wao ndio wenye malalamiko na wao ndio hawaelewi hasa wanataka nini.

Kwanini hawawelewi!
Mansour kaonyesha picha ya wa kaskazini na kusini, waarabu na waswahili.
Kwasasa wanalaumiana, kwamba wale waliotengeneza katiba ya znz ya 2010 ndio wameenda kutengeneza katiba ya Chenge. Kwamba, kuna kusalitiana na kuisaliti znz.

Hoja hizo zimeungwa mkono na kauli za mzee Moyo, Eddy.

Lakini pamoja na kutojielewa na kutojua nafasi yao, wznz wanaficha ukweli kwa kumtuhumu Mtanganyika.
Mtanganyika wameshaelewa ni mkoloni, vipi wznz wamuunge mkono kama walivyofanya kwa Chenge?


Kuanzia leo tutakuwa na mjadala wa video za mkutano wa Bwawani kwa kila mzungumzaji.

Tutabainisha ukweli na kuonyesha upotoshaji.

Tusemezane
 
Back
Top Bottom