Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #221
Mkandara ,unakosea ukisema ACT imetokana na kufukuzwa kwa watu Chadema.
Kwa taarifa yako ACT imekuwepo ni jina tu halikuwa wazi.
Ule waraka wa matusi wa akina Kitila, Zitto na Mwigamba ndiyo ACT yenyewe.
Chama kilikuwa kina operate underground kwa malengo husika, ni kwa sasa tu umeweza kuwaona kwa uwepo wa supreme leader. Jina hilo llilitumika katika waraka wa ACT(ndani ya CDM) kama MM ikimaanisha mhusika mkuu
Pili, hoja hapa si kuvunjika kwa upinzani, ni ile tunayosema kila siku. Haiwezekani turudi miaka 20 nyuma kila siku.
Ndivyo NCCR walivyokuwa, CUF walivyokuwa. Matatizo yote yalitokana na watu kuaminini ni kazi ya 'mungu'
Mchambuzi kaeleza, Mag3 kadadavua. Hii ilikuwa kazi ya watu kwa malengo maalumu(mission)
Jukumu ni kuufahamisha umma yanayozungumzwa ni ulaghai, ipo mission. Ilishtukiwa sasa inafanyika wazi.
Hilo tu, wala si kuiandama ACT au kuilamu ni kuupa umma habari zinazojiri
Tunaeleza kwa kina kile kilichotokea ili kuchuja kati ya pumba na mchele. ACT kuwa chama na kugombea nafasi ni haki yao
Hata hivyo haki hiyo inakuja na maswali na ndiyo tunadadavua.
Mfano, kitendo cha Zitto kusema anachukua mkoa wa Kigoma au majimbo ya upinzani, halina tabu.
Tunajiuliza hivi miaka 50 nani adui wa mtanzania? Na kwamba majimbo ya upinzani yakichukuliwa hilo litaondoa jinamizi la CCM linaloitesa taifa? Zitto lishindwa na sasa anawezaje? Tunahoji tu.
Tatu, katika kuufahamisha umma, hatutakwepa hoja za wahusika. Hatuwezi kukaa kimya utapeli ukitamalaki.
Ni Zitto huyo aliyesema yaliyopita si ndele tugange yajayo. Akasema lengo lao ni kupambana na CCM.
Katibu mkuu ACT anasema lengo ni CUF, Supreme leader anasema ni NCCR, huku kukiwa na tambo za majimbo ya kahama, Kawe na ubungo kuwalenga CDM. Unaweza kuona nguvu za ACT ni dhidi ya nani. Je hilo ndilo unalitaka liwe?Hawa watu wanasimamia wapi?
Unawezaje kuwa UKAWA ukapambana na ukawa ukiacha Ilala, Temeke, na Kindondoni salama salimini? Hivi hili halielezi jambo kweli!! Tunapohoji haya tunaambiwa tunatetea vyama au tuna chuki.
Tunachotakiwa ni kuserebuka kwa hoi hoi nderemo na vifijo tukimpokea supreme leader.
Hatutakiwi kueleza tatizo lililopo. Leo tunaambiwa Zitto kafukuzwa CDM, basi inaishia hapo
Hatuelezwi mazonge zonge yaliyosababisha kuondoka kwake. Huyo mke unayeongelea anapotoka nje na kusema kapewa talaka, ni mwendawazimu tu atakayekubali bila kuhoji, kulikoni? Hatutakiwi kueleza kulikoni, kufanya hivyo ni chuki!.
Tunatakiwa kulia na mama aliyechepuka kama Mwalimu alivyosema.
Leo wanahubiri kufukuza wanachama kwa kushabikia UKAWA.
Ni hao hao walisema suluhu ya matatizo ni vikao na si kufukuzana. Wanatenda walichokikataa.
Wamebadili katiba kwa saa 24 kumpata supreme leader, wanaeneza habari kuna udikteta walikotoka. wanahubiri wasichokitenda.
Ni hao hao walisema demokrasia ya sanduku la kura ni muhimu. Leo wanampata supreme leader kiaina
Wakaaminisha umma chama kinajengwa kwa misingi ya katiba na kuvumiliana.
Ni hao hao wamegeuza katiba 24 hr kwa maoni ya mtu, wakabandika kipengele cha supreme leader.
Wakiwa majukwaani wanasema kipengele cha muda wa uongozi walikotoka kilinyofolewa kinyemela.
Hawawelezi kipengenele cha supreme leader kiliingizwa kinyemela.
Tupo hapa kueleza utapeli wa kisiasa. Tumekaa kimya miaka 50 kwa maumivu, siku hizi CCM wanaiba kisha wanastaafu.
Tusiposimama na kukemea matapeli,tutakluwa tunazalisha matapeli.
Tuanze lini kama si leo na kwa matapeli gani kisiasa waliojidhihiri zaidi ya hawa?
Kwa taarifa yako ACT imekuwepo ni jina tu halikuwa wazi.
Ule waraka wa matusi wa akina Kitila, Zitto na Mwigamba ndiyo ACT yenyewe.
Chama kilikuwa kina operate underground kwa malengo husika, ni kwa sasa tu umeweza kuwaona kwa uwepo wa supreme leader. Jina hilo llilitumika katika waraka wa ACT(ndani ya CDM) kama MM ikimaanisha mhusika mkuu
Pili, hoja hapa si kuvunjika kwa upinzani, ni ile tunayosema kila siku. Haiwezekani turudi miaka 20 nyuma kila siku.
Ndivyo NCCR walivyokuwa, CUF walivyokuwa. Matatizo yote yalitokana na watu kuaminini ni kazi ya 'mungu'
Mchambuzi kaeleza, Mag3 kadadavua. Hii ilikuwa kazi ya watu kwa malengo maalumu(mission)
Jukumu ni kuufahamisha umma yanayozungumzwa ni ulaghai, ipo mission. Ilishtukiwa sasa inafanyika wazi.
Hilo tu, wala si kuiandama ACT au kuilamu ni kuupa umma habari zinazojiri
Tunaeleza kwa kina kile kilichotokea ili kuchuja kati ya pumba na mchele. ACT kuwa chama na kugombea nafasi ni haki yao
Hata hivyo haki hiyo inakuja na maswali na ndiyo tunadadavua.
Mfano, kitendo cha Zitto kusema anachukua mkoa wa Kigoma au majimbo ya upinzani, halina tabu.
Tunajiuliza hivi miaka 50 nani adui wa mtanzania? Na kwamba majimbo ya upinzani yakichukuliwa hilo litaondoa jinamizi la CCM linaloitesa taifa? Zitto lishindwa na sasa anawezaje? Tunahoji tu.
Tatu, katika kuufahamisha umma, hatutakwepa hoja za wahusika. Hatuwezi kukaa kimya utapeli ukitamalaki.
Ni Zitto huyo aliyesema yaliyopita si ndele tugange yajayo. Akasema lengo lao ni kupambana na CCM.
Katibu mkuu ACT anasema lengo ni CUF, Supreme leader anasema ni NCCR, huku kukiwa na tambo za majimbo ya kahama, Kawe na ubungo kuwalenga CDM. Unaweza kuona nguvu za ACT ni dhidi ya nani. Je hilo ndilo unalitaka liwe?Hawa watu wanasimamia wapi?
Unawezaje kuwa UKAWA ukapambana na ukawa ukiacha Ilala, Temeke, na Kindondoni salama salimini? Hivi hili halielezi jambo kweli!! Tunapohoji haya tunaambiwa tunatetea vyama au tuna chuki.
Tunachotakiwa ni kuserebuka kwa hoi hoi nderemo na vifijo tukimpokea supreme leader.
Hatutakiwi kueleza tatizo lililopo. Leo tunaambiwa Zitto kafukuzwa CDM, basi inaishia hapo
Hatuelezwi mazonge zonge yaliyosababisha kuondoka kwake. Huyo mke unayeongelea anapotoka nje na kusema kapewa talaka, ni mwendawazimu tu atakayekubali bila kuhoji, kulikoni? Hatutakiwi kueleza kulikoni, kufanya hivyo ni chuki!.
Tunatakiwa kulia na mama aliyechepuka kama Mwalimu alivyosema.
Leo wanahubiri kufukuza wanachama kwa kushabikia UKAWA.
Ni hao hao walisema suluhu ya matatizo ni vikao na si kufukuzana. Wanatenda walichokikataa.
Wamebadili katiba kwa saa 24 kumpata supreme leader, wanaeneza habari kuna udikteta walikotoka. wanahubiri wasichokitenda.
Ni hao hao walisema demokrasia ya sanduku la kura ni muhimu. Leo wanampata supreme leader kiaina
Wakaaminisha umma chama kinajengwa kwa misingi ya katiba na kuvumiliana.
Ni hao hao wamegeuza katiba 24 hr kwa maoni ya mtu, wakabandika kipengele cha supreme leader.
Wakiwa majukwaani wanasema kipengele cha muda wa uongozi walikotoka kilinyofolewa kinyemela.
Hawawelezi kipengenele cha supreme leader kiliingizwa kinyemela.
Tupo hapa kueleza utapeli wa kisiasa. Tumekaa kimya miaka 50 kwa maumivu, siku hizi CCM wanaiba kisha wanastaafu.
Tusiposimama na kukemea matapeli,tutakluwa tunazalisha matapeli.
Tuanze lini kama si leo na kwa matapeli gani kisiasa waliojidhihiri zaidi ya hawa?
Last edited by a moderator: