Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwi!kwi!
Fuatilia uzi wa Nguruvi3 utamjua tu. Aliyeanzisha chama akabisha, Akajipachika nafasi ya juu ya chama bila kuchaguliwa.
Niendelee?
Mkuu hapa hatuongelei watu, bali matukio na watu. Tunaongelea utaifa na kutaka uwepo wa mtazamo mpya wa demokrasia na siasa za nchi.You mean Zitto !!!. I think Nguruvi3 and other CDM Jihadists or crusaders are obsessed with the guy. They should learn to leave without him and to tie Zitto with CCM is pure cr@p.
Mkuu hapa hatuongelei watu, bali matukio na watu. Tunaongelea utaifa na kutaka uwepo wa mtazamo mpya wa demokrasia na siasa za nchi.
Tunachokifanya ni kuonyesha ulaghai na udanganyifu wa wanasiasa wetu wakiwatumia wananchi wenye uelewa finyu(exploitation)
Kukaa kimya wakati mbegu mbaya zinapandwa hakulisaidii taifa.
Hivi unaweza kuamini kuwa matatizo ya Tanzania yanatokana na ukanda au mikoa?
Well, wale wale waliolaani ukanda ndio hao hao wanaohubiri ukanda. Hilo hulioni kama tatizo !!
Yaani wananchi wa Shinyanga wanaaminishwa kuwa matatizo yao yanasababishwa na wakazi wa Arusha na Kilimanjaro.
Hilo hulioni kama tatizo kweli. Kesho litaibuka jingine na mwisho wa siku tutavurugana
Mkuu, kuunganisha CCM na ACT inaweza kuwa wajinga kama ulivyosema. Hata hivyo, mantiki haikubaliani na hoja yako
Mfano, mbegu ya vyama vya siasa vya ukanda imepaliliwa na CCM.
Leo tunafahamu kuwa kumbe mwanzilishi wa hoja hizo ni ACT wakati wakaiwa Chadema.
Supreme leader kayasema Shinyanga bila aibu
Mkuu tuna matatizo ya rushwa na ufisadi kwasababu tu 'we learn to live without thinking about corruptions'
leo unaona klila mwananchi anavyolipa gharama kubwa kuhudumia wala corruption.
Huwezi kukaa kimya mbegu ikipanda, ukawa vocal mbegu ikichanua!
Mkuu, hapo nyuma tumesema supreme leader na genge ni walaghai, tukaambiwa wazushi.
Sasa tunathibitisha point moja baada ya nyingine na tutaendelea tu hata kama tunajua inaudhi watu wengine.
Tulisema hivi, kuna makundi matatu yanayomkabili supreme leader.
Wanaomwamini tu kwasababu wapo hypnotized na mesmerized
Wasiomwamini kwasababu hawana imani naye
Wenye mashaka kuhusu supreme leader na hawamwelewi
Tumeongelea makundi 2 na 3 huko nyuma.
Tulisema kundi la kwanza lina matatizo sana.
Litakapomuona supreme amebeba uchafu wa mwanadamu litasema ni mbole ya samadi na mboji
Leo tunashuhudia kundi hilo likisema supreme yupo sahihi kuongelea Ukanda na Ukabila kwasababu si taboo.
Ni kundi hilo hilo lilisema supreme anaandamwa kwa ukanda na ukabila.
Mkuu unapokuwa na watu waliochanganyikiwa kiasi fulani, hupaswi kukaa kimya, unatakiwa uwatafutie dawa.
Hapa tunatoa matibabu ya kisaikolojia. Tunaelewa hakuna dawa tamu, ni lazima tutumie dozi hata kama ni chungu
Ndiyo maana ya mjadala, sasa wewe tueleze kasema nini, wapi tumekosea au kumuoneaHow do you say you offer psychological cure when you don't talk directly to Zitto's audience in Shinyanga and dispute his claims? Do you think if Zitto had talked to JF audience, would he have said what he said in Shinyanga?
Believe me or not? Politics is all about controlling the narrative whether you are talking to a very educated population or not.
Ndicho kinafanyika hapa, kwamba si Shinyanga tu bali nchi nzima na popote duniani mtandao unaposomekaHow do you say you offer psychological cure when you don't talk directly to Zitto's audience in Shinyanga and dispute his claims? Do you think if Zitto had talked to JF audience, would he have said what he said in Shinyanga?
Ndicho kinafanyika hapa, kwamba si Shinyanga tu bali nchi nzima na popote duniani mtandao unaposomeka
Hakuna sababu za ku dispute madai yake. Kufanya hivyo ni kuyapa madai yake uhalali na hivyo kushiriki uovu
Kinachotakiwa ni kumkemea, karipia na kumuonya kuhusu siasa chafu za kuligawa taifa
Kinachotakiwa ni kumonyesha anavyofakamia 'matapishi' yake
Kinachotakiwa ni kuueleza umma kuhusu utapeli, matapeli na walaghai
Siyo supreme leader au wapambe wake waliosimama popote na kusema si hivyo, kurekebisha au kukanusha
Ukweli upo wazi, siasa za kujenga chuki miongoni mwa wananchi ni dhaifu, muflisi na za hovyo.
Lini supreme atakua kisiasa? 15 yrs ni muda mzuri kuongelea taifa kwa upana wake na si ukanda na ukabila. Pathetic!
Ndiyo maana ya mjadala, sasa wewe tueleze kasema nini, wapi tumekosea au kumuonea
Zakumi,How do you say you offer psychological cure when you don't talk directly to Zitto's audience in Shinyanga and dispute his claims? Do you think if Zitto had talked to JF audience, would he have said what he said in Shinyanga?
Believe me or not? Politics is all about controlling the narrative whether you are talking to a very educated population or not.
You see sir. In one of your previous posts you said that Zitto is exploiting the uneducated mass. If I read that correctly, I don't think the uneducated mass you have referred to will be able to log into this forum and decipher what you have written.
You talk constructive ideas to the group of bourgeois here: Mkandara, Jasusi, Mchambuzi; whereas Zitto preaches to the mass. Who's having a real impact?
What kind of impact are you referring to? Positive? Negative?
You have mentioned a few individuals arguing that they don't have real impact to the masses (because they only exist in JF), compared to Zitto who in your view has huge impact to the masses because hes directly speaking to them. This is major flaw in your argument and analysis - you tend to ignore of the relative importance of 'content' and 'context'.
Zakumi, In this forum, most of us, if not all of us "tumesoma" na "kuelimika". And many of us tumeelimika kwa gharama za wengine ambao they did not get that opportunity (wakulima, wafugaji, etc). Kwa maana hii, kama wasomi na waelewa, we have a very important role to play in the society (Tanzania) in terms of evolving and crystallizing JF as a body of intellectual thought through which the society can reflect upon itself beyond the "obvious" and the "existing". Thats what Nguruvi3, Mag3, Jasusi, to mention a few have been trying to achieve, tirelessly. However, you see these individuals as a hurdle to your mission. What mission? Time will tell.
Zakumi, in any society, an intellectual body is like a mirror in the sense that it gives the society its own "image". Intellectuals coming from diverse background have a duty of telling us 'how we look as a society'. They have an important role of articulating our hopes and fears; intellectuals are supposed to warn us of all impending dangers and persuade us into action for the 'good'. They help the society give meaning to and read meaning into, what may look like the obvious, harmless (safe, non-poisonous), and normal. What Zitto is attempting currently is not obvious, its not safe, its not normal, its not non-poisonous. It will be a grave mistake to let continue. Our role is to warn the society of the impending danger before its too late.
Initially, many viewed Zitto as an intellectual in politics. Today, we can confidently argue that Zitto has separated himself from intellectuals. Zakumi, you bluntly argued that earlier when you were on defense of Zitto where you argued that "politics is all about controlling the narrative".
Whereas politicians (like Zitto and crew) tend to think for us, intellectuals have a duty to help the society think for itself. It is for this reason, Zakumi, Zitto and team cannot like intellectuals who deliver for the later. Zakumi, Zitto and team will always look at Nguruvi3, Mag3 et al as as destructive agents towards their mission. Our criticisms are viewed as destructive criticisms. That's why in his thinking (Zakumi), What Zitto is doing to the "masses", that's constructive. But in reality - your distinction between destructive and constructive criticism is lifeless because what you zitto and team really mean is - "What we don't like the society to hear is destructive and what is in our favor is constructive".
ACT Wazalendo is Self Deception in Politics.
Mchambuzi hapo juu, sina la kuongezea nadhani Zakumi ameelewa vema tu. Hoja zimesimama zenyewe kwa vituo.ahsante sana
King Suleiman umeeleza kila jambo hadi nasikia raha.
Nilihisi ni matatizo pengine naona vitu upside down. Sasa wasi wasi umenitoka kabisa.
1. Mkuu, mabandiko ya nyuma tumeeleza makundi 3 yanayokabiliana na Zitto
a) Linalo mwamini tu hata iweje. Hili likisikia kahamia CCM litafuta, kahamia CUF litafuta.
Tulisema kundi hilo lipo mesmerized and hypnorized. Kwa kiswahili lina usigingizi wa pono japo linatembea.
Ndio lile tulilosema akishika ule uchafu, litatetea ni mbole ya samadi.
Ndio mfano wa Mkandara anayelaani Lukuvi kwenda kanisani kuhubiri katiba, anatoa pass kwa Zitto kuhubiri mgawanyiko kwa kisingizo cha '' kuongelea makabili si taboo''
b)Kundi lislomwamini Zitto. Hili ni lile lililochoshwa na bla bla. Kundi linazidi kuongezeka kwasababu Zitto ana prove right dahana yao.
Jasusi kasema, Zitto alikana hana chama akiwa Mahakamani.
Baada ya wiki akasema ni mwanzilishi wa ACT Kundi hili likasema 'si manona?.
Na hoja ya kushambulia kanda inazidi kulipa nguvu zaidi. Alikataa ukanda anahubiri ukanda
c)Kundi la tatu ndilo anahangaika nalo. Lina wenye mashaka juu yake.
Hili anajitahidi kuli win, lakini kujichanganya kunakoendelea ni tatizo kubwa kwa Zitto
Hoja ya kusimamia nidhamu, nashukuru ulinisoma mwaka 2011.
Tuliwaeleza CDM kuwa jipu halitibiwi kwa bandage, linapasuliwa. Tukawapa mfano wa madiwani, Kaborou, Kafulila n.k. kwamba waliondoka wakaiacha taasisi. Tulisema CDM ijengwe kama taasisi kuepuka ya CUF na NCCR
Hoja ya kujenga nidhamu, umesema vema. Hatupo hapa kutetea vyama.
Wengine tunasema kila anayekosea bila haya. Tunawalaani CCM kwa kutovua gamba.
Tunasema CCM imetengeneza jamii ya kutowajibika au kuwajibishana.
Hilo ni tatizo kubwa sana nchini. Utamaduni uliopo sasa, bofoa na piga kunako,mwisho wa siku unakula kiinua mgongo kama akina Luhanjo, Jairo, Werema n.k.
Utamaduni wa CCM umejengekea kwa miaka 50. Hatuwezi kuuvunja leo, isipokuwa, tunaweza kujenga utamaduni mwingine utakaovunja huu wa CCM.
Utamaduni mpya ni kuwajibika kwa kauli na matendo. CDM walichokifanya ni kuanza kujenga mbegu za taasisi na watu na si mtu. Tukisema ni utamaduni mzuri tunaambia hapana, umemgusa supreme leader mwenye immunity
Hoja ya Zitto kushauriwa vibaya na kushangiliwa, nayo inahitaji fikra kwa kundi la 1.
Tuliwahi kumshauri Zitto akae na wenzake, awe mtulivu kwani ni suala la muda tu. Kapuuzia.
Washauri wake wakamwandikia waraka wakimpamba kwa kila nonjera.
Hawa ni wale wa kundi la kwanza, ambao hata sasa hivi hawaoni makosa anayofanya.
Walichotakiwa ni kumshauri Zitto ajenge chama chake kwa busara na weledi.
Kinyume chake wanamshangilia anaposhambulia mikoa ya kaskazini.
Kimkakati hilo ni kosa kubwa sana. Ni tangazo la ACT kufa Kilimanjaro na Arusha kabla haijakwenda.
Ni mikoa yenye ushawishi sana katika siasa. Wafuasi wa supreme hawaoni tatizo, wao wanachokiona ni kivuli cha supreme tu.
Hoja ya Chadema, wiki mbili zilizopita niliandika hivi 'kama kuondoka kwa Zitto kutaiua CDM basi ni jambo jema sana'
Tutakuwa na uelewa kuwa hiki ni chama cha briefcase siyo taasisi. Tukasema pia, CDM ya leo ikishindwa kuhimili misuko suko kama ya nyuma itakuwa ni makosa yao.
Kwa muda huu, walitakiwa waongeze nguvu za kampeni za wabunge, madiwani wao.
Kama wataendelea kuduwaa basi watajikuta pabaya. Tunakumbuka ushawishi wa Amani Walidi.
Alioondoka wakaibuka akina Zitto. Leo CDM ina potential people, wakishindwa kuwatumia ni tatizo lao.
Naunga mkono 100% kwamba huu si muda wa siasa za vyama. Ni muda wa kuiangalia nchi.
Kama tutaendelea na utaratibu wa kufuata mkumbo tutalipoteza taifa.
Wanafiki na walaghai waambiwe bila haya au soni. Hawa ndio kama wale walioachwa miaka 40 iliyopita leo wanalitesa taifa. Tuna chaguo, kuacha kizazi chetu na watu wema, au kuwavumilia wanafiki na walaghai turithishe matatizo kama tuliyorithi
What kind of impact are you referring to? Positive? Negative?
You have mentioned a few individuals arguing that they don't have real impact to the masses (because they only exist in JF), compared to Zitto who in your view has huge impact to the masses because hes directly speaking to them. This is major flaw in your argument and analysis - you tend to ignore of the relative importance of 'content' and 'context'.
Zakumi, In this forum, most of us, if not all of us "tumesoma" na "kuelimika". And many of us tumeelimika kwa gharama za wengine ambao they did not get that opportunity (wakulima, wafugaji, etc). Kwa maana hii, kama wasomi na waelewa, we have a very important role to play in the society (Tanzania) in terms of evolving and crystallizing JF as a body of intellectual thought through which the society can reflect upon itself beyond the "obvious" and the "existing". Thats what Nguruvi3, Mag3, Jasusi, to mention a few have been trying to achieve, tirelessly. However, you see these individuals as a hurdle to your mission. What mission? Time will tell.
Zakumi, in any society, an intellectual body is like a mirror in the sense that it gives the society its own "image". Intellectuals coming from diverse background have a duty of telling us 'how we look as a society'. They have an important role of articulating our hopes and fears; intellectuals are supposed to warn us of all impending dangers and persuade us into action for the 'good'. They help the society give meaning to and read meaning into, what may look like the obvious, harmless (safe, non-poisonous), and normal. What Zitto is attempting currently is not obvious, its not safe, its not normal, its not non-poisonous. It will be a grave mistake to let continue. Our role is to warn the society of the impending danger before its too late.
Initially, many viewed Zitto as an intellectual in politics. Today, we can confidently argue that Zitto has separated himself from intellectuals. Zakumi, you bluntly argued that earlier when you were on defense of Zitto where you argued that "politics is all about controlling the narrative".
Whereas politicians (like Zitto and crew) tend to think for us, intellectuals have a duty to help the society think for itself. It is for this reason, Zakumi, Zitto and team cannot like intellectuals who deliver for the later. Zakumi, Zitto and team will always look at Nguruvi3, Mag3 et al as as destructive agents towards their mission. Our criticisms are viewed as destructive criticisms. That's why in his thinking (Zakumi), What Zitto is doing to the "masses", that's constructive. But in reality - your distinction between destructive and constructive criticism is lifeless because what you zitto and team really mean is - "What we don't like the society to hear is destructive and what is in our favor is constructive".
ACT Wazalendo is Self Deception in Politics.
Mchambuzi hapo juu, sina la kuongezea nadhani Zakumi ameelewa vema tu. Hoja zimesimama zenyewe kwa vituo.ahsante sana
King Suleiman umeeleza kila jambo hadi nasikia raha.
Nilihisi ni matatizo pengine naona vitu upside down. Sasa wasi wasi umenitoka kabisa.
1. Mkuu, mabandiko ya nyuma tumeeleza makundi 3 yanayokabiliana na Zitto
a) Linalo mwamini tu hata iweje. Hili likisikia kahamia CCM litafuta, kahamia CUF litafuta.
Tulisema kundi hilo lipo mesmerized and hypnorized. Kwa kiswahili lina usigingizi wa pono japo linatembea.
Ndio lile tulilosema akishika ule uchafu, litatetea ni mbole ya samadi.
Ndio mfano wa Mkandara anayelaani Lukuvi kwenda kanisani kuhubiri katiba, anatoa pass kwa Zitto kuhubiri mgawanyiko kwa kisingizo cha '' kuongelea makabili si taboo''
b)Kundi lislomwamini Zitto. Hili ni lile lililochoshwa na bla bla. Kundi linazidi kuongezeka kwasababu Zitto ana prove right dahana yao.
Jasusi kasema, Zitto alikana hana chama akiwa Mahakamani.
Baada ya wiki akasema ni mwanzilishi wa ACT Kundi hili likasema 'si manona?.
Na hoja ya kushambulia kanda inazidi kulipa nguvu zaidi. Alikataa ukanda anahubiri ukanda
c)Kundi la tatu ndilo anahangaika nalo. Lina wenye mashaka juu yake.
Hili anajitahidi kuli win, lakini kujichanganya kunakoendelea ni tatizo kubwa kwa Zitto
Hoja ya kusimamia nidhamu, nashukuru ulinisoma mwaka 2011.
Tuliwaeleza CDM kuwa jipu halitibiwi kwa bandage, linapasuliwa. Tukawapa mfano wa madiwani, Kaborou, Kafulila n.k. kwamba waliondoka wakaiacha taasisi. Tulisema CDM ijengwe kama taasisi kuepuka ya CUF na NCCR
Hoja ya kujenga nidhamu, umesema vema. Hatupo hapa kutetea vyama.
Wengine tunasema kila anayekosea bila haya. Tunawalaani CCM kwa kutovua gamba.
Tunasema CCM imetengeneza jamii ya kutowajibika au kuwajibishana.
Hilo ni tatizo kubwa sana nchini. Utamaduni uliopo sasa, bofoa na piga kunako,mwisho wa siku unakula kiinua mgongo kama akina Luhanjo, Jairo, Werema n.k.
Utamaduni wa CCM umejengekea kwa miaka 50. Hatuwezi kuuvunja leo, isipokuwa, tunaweza kujenga utamaduni mwingine utakaovunja huu wa CCM.
Utamaduni mpya ni kuwajibika kwa kauli na matendo. CDM walichokifanya ni kuanza kujenga mbegu za taasisi na watu na si mtu. Tukisema ni utamaduni mzuri tunaambia hapana, umemgusa supreme leader mwenye immunity
Hoja ya Zitto kushauriwa vibaya na kushangiliwa, nayo inahitaji fikra kwa kundi la 1.
Tuliwahi kumshauri Zitto akae na wenzake, awe mtulivu kwani ni suala la muda tu. Kapuuzia.
Washauri wake wakamwandikia waraka wakimpamba kwa kila nonjera.
Hawa ni wale wa kundi la kwanza, ambao hata sasa hivi hawaoni makosa anayofanya.
Walichotakiwa ni kumshauri Zitto ajenge chama chake kwa busara na weledi.
Kinyume chake wanamshangilia anaposhambulia mikoa ya kaskazini.
Kimkakati hilo ni kosa kubwa sana. Ni tangazo la ACT kufa Kilimanjaro na Arusha kabla haijakwenda.
Ni mikoa yenye ushawishi sana katika siasa. Wafuasi wa supreme hawaoni tatizo, wao wanachokiona ni kivuli cha supreme tu.
Hoja ya Chadema, wiki mbili zilizopita niliandika hivi 'kama kuondoka kwa Zitto kutaiua CDM basi ni jambo jema sana'
Tutakuwa na uelewa kuwa hiki ni chama cha briefcase siyo taasisi. Tukasema pia, CDM ya leo ikishindwa kuhimili misuko suko kama ya nyuma itakuwa ni makosa yao.
Kwa muda huu, walitakiwa waongeze nguvu za kampeni za wabunge, madiwani wao.
Kama wataendelea kuduwaa basi watajikuta pabaya. Tunakumbuka ushawishi wa Amani Walidi.
Alioondoka wakaibuka akina Zitto. Leo CDM ina potential people, wakishindwa kuwatumia ni tatizo lao.
Naunga mkono 100% kwamba huu si muda wa siasa za vyama. Ni muda wa kuiangalia nchi.
Kama tutaendelea na utaratibu wa kufuata mkumbo tutalipoteza taifa.
Wanafiki na walaghai waambiwe bila haya au soni. Hawa ndio kama wale walioachwa miaka 40 iliyopita leo wanalitesa taifa. Tuna chaguo, kuacha kizazi chetu na watu wema, au kuwavumilia wanafiki na walaghai turithishe matatizo kama tuliyorithi
Zakumi,If you don't directly talk to people, your impact is insignificant. Yes arguing in this forum at its own social and psychological values. However, changing society isn't one of them. You are here to engage in usual endless political discourses with no desire to take any actions. That's what many Tanzanians and I expect from our intellectuals and educated elites.
Tanzania isn't a homogenous society and many Tanzanian can't relate to the intellectual body your referring too. So why an ordinary Tanzanians should listen to you? Just because you are educated and just because we live in the same geographic area called Tanzania doesn't mean you entitled to tell me what I should do without any connection.
I don't live in a monastery. I live in a real world where good and evil mix together. If Zitto can connect to my world, I will follow him even if isn't speaking the truth. For example, in 1995 I followed Mrema. I followed him not because he was the best or because intellectually able person, but because I could connect to him and he was the enemy of my enemy.
Now with regard to Zitto, I don't have a connection with the guy. But at the same time I can't stop the guy doing what he has been doing. I think you should do the same. As an intellectual, you have lived with uneducated Tanzanians since you were born, but you haven't connected to their lives. Now Zitto is tapping the energy of uneducated, you are spooked. Where were you these years?
Ukiangalia mambo kwa mtazamo mfupi na mwembamba, siku zote utaona vitu kwa wembamba na ufupi ule ule."wasukuma Mungu amewapa bahati sana,amewapa Ng'ombe,Madini,lakini nyie ni maskini sana kuliko kabila lolote Tanzania kwa zaidi ya miaka 50"-Mbowe,amesema haya maneno katika mkutano huko Simiyu(itirima),_ na amepewa uchifu.
haya maneno kwa Nguruvi3 ni yenye afya kwa Taifa lakini Zitto kasema shinyanga ni mkoa unachangia vizuri pato la Taifa,ila ni mkoa maskini kuliko inayochangia kidogo pato la Taifa, Nguruvi3 Kasema Zitto analigawa Taifa,kwanini hakui kisiasa,Mbowe anazaidi ya miaka 20 Katika siasa anataja Kabila kuwa ni maskini kisa kura.. Zitto kazungumzia mkoa(ndani yake kuna makabila yote),kuwa ni maskini,kuna shida ya maji,elimu,afya ,barabara nk.tabu hizi wanapata wananchi wote wa mkoa wa shinyanga,tabora,Mwanza ndio mana akaongea katika mikoa hiyo, Nguruvi3 anamlisha Zitto maneno kuwa analeta siasa za makabila,hakuna halipotaja kabila,maana hizo shida wanapata mpaka wachaga wanaoishi shinyanga nk .Ila MBOWE kataja kabisa wasukuma source ITV taarifa ya habari SAA mbili
Mwaka 2009 nilikua kikazi kigoma ,wakati nafika kulikua na shida ya umeme sana,barabara mbovu,kwa ufupi huduma za jamii ziko chini,Mimi ni mmakonde mmraba wa Lindi,je sababu Mimi ni MTU wa Lindi je siathiriki na hali ambayo hipo hapo kigoma
Tusemezane