Duru za Siasa: Matokeo ya Uchaguzi Marekani

Duru za Siasa: Matokeo ya Uchaguzi Marekani

Baada ya uteuzi wa SoS Rex Tillerson, mjadala mzito umezuka kuhusiana naye
Sehemu kubwa ya mjadala ni mahusiano ya Rex na Putin/Russia

Kwani huo 'mjadala mzito' juu ya mahusiano ya Rex na Putin/Russia haukuwepo kabla ya Tillerson kuteuliwa kuwa SoS?
Habari hii imefunikwa na habari nyingine kuua mjadala wa Rex. Trump kamteua Gav wa Texas kuwa Sec of Energy.Wakati huo huo Trump ameonekana na Kanye West, mwanamuziki mweusi mwenye utata. Haitegemewi Kanye kuwa na nafasi yoyote katika serikali. Kinachotokea ni vitu viwili
Kwanza, kutangazwa kwa Perry na Kanye siku alipotangaza SoS , mtu muhimu sana ililenga kuua mjadala wa SoS Tillerson na utata unaomzunguka
Unamzungumzia Kanye West? Kwani Kanye West ni mtu muhimu?

Nilipomtaja Kanye West kwenye hii thread kwamba alitangaza publicly kuwa anajuta kutokumpigia kura Trump, haya ndio yalikuwa majibu yenu:

Yawezekana Kanye West hakuwa anawakilisha mtu weusi, alikuwa akijiwakilisha yeye na kutafuta namna ya kupata zile bilioni alizokuwa akizihitaji kufanikisha malengo yake na kulipa madeni.

Kanye West! naye iunamwingiza katika mjadala huu! Yaani Kanye ambaye kila wakati ni tatizo hata kwenye show zake. Hivi unamuona Kanye yupo sawa kweli! Na hili la kumuona Kanye kama mtu muhimu linatueleza mengi kuhusu wewe na si yeye. Please

Leo unasema hivi:
Pili, kuonekana na Kanye west ni kuonyesha Trump anajali weusi kuondoa tuhuma dhidi yake ikizingatiwa amezungukwa na wenye utata kama Bainnon, Seccessions na Gen Flynn
Hivi Trump ameonekana na watu weusi wangapi? kama kuonekana na mtu mweusi kunaondoa tuhuma za 'racism' basi Trump hana hizo tuhuma maana ameonekana na Ben Carson mara nyingi sana. Ameonekana na watu weusi wengi sana,huwezi kuwahesabu.

Mwenzako Mag3 alidai Kanye West hawakilishi watu weusi bali anatafuta namna ya kulipa madeni na uka-like hiyo comment. Mag3 aje atuambie kuwa Kanye alienda Trump Tower kutafuta namna ya kupata mabilioni anazohitaji kufanikisha malengo yake na kulipa madeni au kuna kingine.
Mbinu za kuhamisha mjadala ni nzuri zinampa nafasi ya kutokuwa na distractions. Tatizo, mbinu hizo ni za muda mfupi na hazitoi suluhu ya kudumu
Utasemaje kuwa ni mbinu za kuhamisha mjadala wakati mjadala kuhusu Rick Perry ulikuwa unaendelea hata kabla Tillerson kuanza kuonekana kama ndiye atakayeteuliwa kuwa SoS?

Pili, ulishasema Kanye West sio mtu muhimu, kwahiyo mtu ambaye sio muhimu hawezi kuhamisha mjadala.

Tatu, Trump hajazuia mijadala, watu wanaweza kujadili hadi siku ya confirmation, na siku hiyo kama unavyojua majority tu ndiyo inayohitajika sio lazima kila mtu aseme ndio. Kwahiyo hiyo idea kwamba Trump amehamisha mjadala as if watu hawawezi kuendelea kujadili leo, kesho, keshokutwa, wiki ijayo ni absurd.

Nne, mijadala sio negative tu kuna positive pia, maana sio kwamba kila mtu ana concern(s) na SoS, hapana, wapo wengi tu akina Bob Gates, Condoleezza Rice, Dick Cheney, James Baker, Donald Rumsfeld, Jeb Bush, Mitch McConnell na wengineo wanaomuunga mkono.

Kwa mfano, Tillerson atapitia senate kupata confirmations, mjadala utaibuka tena
Kwani kuna mtu kazuia watu wasijadili hadi siku ya Senate confirmation?. Nadhani kwa jinsi Trump alivyofanya teuzi zake kwa haraka ukilinganisha na watangulizi wake amewapa watu nafasi na mda mrefu wa kuwajadadili walioteuliwa.

Au, itakapotokea msigashano uwe unaohusu alt right au black live matters itabadi asimame kama Rais, na ni ngumu kuwa sehemu mbili kwa wakati mmoja.
Trump ni Rais anaeamini katika 'Law and order' , kwahiyo tegemea atasimama kwenye sheria na haki.
 
Mwenzako Mag3 alidai Kanye West hawakilishi watu weusi bali anatafuta namna ya kulipa madeni na uka-like hiyo comment. Mag3 aje atuambie kuwa Kanye alienda Trump Tower kutafuta namna ya kupata mabilioni anazohitaji kufanikisha malengo yake na kulipa madeni au kuna kingine...

...Trump ni Rais anaeamini katika 'Law and order' , kwahiyo tegemea atasimama kwenye sheria na haki.
Haya bwana...Trump tayari kampata pacha wake mweusi, duh!​

undefined

The sight of President-elect Donald Trump meeting rapper and artist Kanye West in the gaudy lobby of Trump Tower was absolutely jarring to see.

But in many ways, the two men are remarkably similar: They both tweet maniacally, inspiring media frenzies with the simple push of a button; they both obsessively value beautiful women as perhaps the only more attractive objects than themselves; and, for now at least, they both have blond hair.

 
PE Trump's Great and Historic Cabinet so far (cont...) :

(13) Interior: Ryan Zinke, 55

Congressman, R-Mont. and member of House Committee on Natural Resources

Former Navy SEAL commander.

He has built one of the strongest track records on championing regulatory relief, forest management, responsible energy development and public land issues

He supports the multiple-use management of federal lands for economic, recreational and conservational purposes.

He fits smoothly into an administration favoring more energy drilling and less regulation.
Key cabinet positions still outstanding:

Agriculture

Veterans Affairs​
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] huu ni Uchambuzi wa masuala?
Hapana huu si uchambuzi wa masuala, ni time out with a light touch! Iwe mchezoni au vitani huwa kuna muda maalum watu wanahitaji kupumzika kujipanga upya. Hata bungeni time out ipo ya watu kusahau tofauti zao kusalimiana na kutaniana na kusahau tofauti zao na majadiliano makali waliyokuwa nayo.
 
Hapana huu si uchambuzi wa masuala, ni time out with a light touch! Iwe mchezoni au vitani huwa kuna muda maalum watu wanahitaji kupumzika kujipanga upya. Hata bungeni time out ipo ya watu kusahau tofauti zao kusalimiana na kutaniana na kusahau tofauti zao na majadiliano makali waliyokuwa nayo.
Okay,General Mungi anaomba ufafanuzi
 
Wakuu habari iliyopo sasa ni Obama kulalamika kuwa Urusi ilihusika katika udukuzi.
Hatua hii imepelekea mpaka Obama kusema atachukua hatua dhidi ya Urusi.
Sasa Obama ana muda mfupi pale WH, na sijui anaweza chukua hatua gani!!

Embu tuwekane sawa hapa!!
Nguruvi3, Mag3, El Jefe
General Mangi, kwa kuanzia tu hebu tusikilize hii video;

Tukumbuke kwamba ni Senate itakayohusika zaidi hapa na Mwenyekiti wa kamati husika John MacCain tayari anaunga mkono kuchukuliwa kwa hatua dhidi ya Russia kama uchunguzi utadhihirisha ushiriki wake.​
 
Wakuu habari iliyopo sasa ni Obama kulalamika kuwa Urusi ilihusika katika udukuzi.
Hatua hii imepelekea mpaka Obama kusema atachukua hatua dhidi ya Urusi.
Sasa Obama ana muda mfupi pale WH, na sijui anaweza chukua hatua gani!!

Embu tuwekane sawa hapa!!
Kuna matukio kadhaa ya kisiasa wiki hii

1. Uchaguzi wa Gavana wa North Carolina ulimalizika takribani wiki mbili zilizopita
Mshindi ni Mr Cooper wa Democrat akimbwaga McCrory wa GOP

NC ni jimbo lililokuwa na ushindani na utata mkubwa wakati wa uchaguzi.
Yalikuwepo malalamiko ya voter suppression, gerrymandeing n.k

Majuzi bunge lilipitisha sheria za za kumzuia Gavana ajaye katika mambo kadhaa ikiwemo kupunguza teuzi na teuzi kuthibitishwa na Seneti ya NC

Haya Yanaeleza jambo kuhusu state hiyo na iliyokuwa na ushindani

2. Rais Obama ameongea katika press conference ya kufunga mwaka.
Katika utangulizi kabla ya maswali, Obama alitetea rekodi yake ya miaka 8.

Kwa mfano, alieleza kuhusu kupungua kwa umasikini, kuongezeka kwa kipato, Obama care na asilimia 90% ya watu wana bima, siasa za nje kama kuondoa majeshi kutoka hadi 15,000 na mashambulizi dhidi ya viongozi wa ugaidi

Ilionekana anajibu hoja za wanaosema miaka 8 uelekeo wa nMarekani si mzuri(70%)
Wakati huo huo approval rate yake imebaki 50%

Kwa mtazamo wetu, hoja ya nchi kuelekea pabaya inatazamwa kwa upeo mfinyu.
Ni kweli kwa Wamarekani huenda wanahisi hali hiyo na hoja inaweza kuwa na mantiki.

Tatizo, wengi wanadaki bila kufanya tathmini ya kwanini wanasema
Ikumbukwe, kura za maoni hazichagui na huenda zingegawanywa tungeona asilimia ngapi ya kundi gani inasema nini

Wapo wanaodaki 70% US inakwenda pabaya bila kueleza kwa takwimu au hoja.
Hii ni sawa na Wamarekani wanaodhani Obama si mzaliwa wa kwasababu tu wamesikia

Ni muhimu kuangalia, akiingia madarakani nchi ilikuwa na hali gani kiuchumi?
Tunajua recession iliyokuwepo na vita zilizokuwepo. Je hali ipoje?

Kwa takwimu, hali ya umasikini imepungua, kipato kimepanda, uchumi umetoka shimoni, kiwango cha ufaulu kimeongezeka,bei ya mafuta imefikia chini kuliko alpingia

Marekani imepunguza 2/3 ya utegemezi wa mafuta middle east, Inflation imepungua 10% hadi 4.9%, ajira milioni 11, US ime recovery haraka kuliko block nyingine

Haya hayawezi ku qualify hali ya mtu mmoja mmoja au Taifa kwa ujumla, yanaeleza hali ilivyo kuliko .Marekani inaelekea kubaya bila kutoa vigezo kuna tatizo

Ni sawa wasemao recovery ni slow ukilinganisha na Recession baada ya vita kuu ya II.
Huo ni ukweli, lakini hakuna recession kubwa nyingine kama ukiacha ya WWII.

Hivyo comparison ni ya miaka 60 wakati hali ya dunia, kiuchumi na kisiasa ni tofauti
Ni sawa na kulinganisha Airbus na ile ya Wright Brothers 1905 au Boeing na DC 10

3. Obama ameongelea hacking ya Russia. Nalo kama masuala mengine linaonekana kuchukua sura tofauti kutokana na tafsiri za pande mbali mbali.

Tunajadili bandiko linalofuata

Inaendelea
 
'Hacking'

Katika mkutano na waandishi Obama haukusema moja kwa moja Russia ilihusika
Alichokieleza ni jinsi maamuzi ya Russia yalivyo na mkono wa Putin

Kasema suala hilo aliongea na Putin mwezi September walipokutana na kumwambia aache
Alichokifanya OB ni kusahihisha kauli kuwa suala limeibuka baada ya uchaguzi kwisha

Taarifa za udokozi zinaeleza Intelligence community zote zilijua kuhusu hacking na kwa namna fulani 'ziliachia' hali hiyo kwa madhumuni. Hizi n habari za ndani za IC ambazo hazijakanushwa

Katika suala hili kuna sura mbili au tatu za kuangalia
1. Dem wanasema FBI walikomalia suala la emails na kuacha hacking ya DNC iendelee bila hatua
2. Wapo wanaosema hacking ililenga kuathiri uchaguzi wa US kwa kuingilia nguvu ya demokrasia yao
3. Trump kama pres elect anasema hili limezushwa ku 'delegitimize' ushindina Urais wake

Hoja za pande zote zinazohusika zikiwemo IC zinaeleza wazi, hakuna hacking katika uchaguzi na matokeo hayakuathiriwa kwa namna yoyote kwa maana kuwa Trump alipata EV za kutosha.

Kilichotokea ni hacking ku influence matokeo kwa kudukua siri za DNC .

Wanasema hilo kwa sehemu kubwa limeathiri mtazamo wa wapiga kura na ndiyo hoja ya hacking ilipo. Hapa si kuiba kura au kubadilishwa kura, bali influence inayotokana na kuweka siri wazi

IC zote , Rais Obama na maseneta wakiwemo wa GOP kama Lindsey Gram na Mcain wanaohoji kuhusu suala hilo na si matokeo.

Hoja ni Russia imeingilia demokrasia inafanya hivyo si kwa US bali zipo taarifa za nchi kama Bulgaria na Ujerumani

Kwa mtazamo huo, wao wanadhani Russia inataka kuweka ushawishi mpya katika siasa za dunia

Katika hili, si Dem, maseneta, wachambuzi au surrogates wa Trump wanaokataa.
Aliyebaki kukataa ni Trump akisema limelenga ku delegitimize urais wake.

Swali analokabiliana nalo ni,Je haoni hilo kama shambulio la nchi za nje dhidi ya Marekani?
Na tatizo lipo wapi kufanya uchunguzi ukaobaini ukweli?

Hakuna namna suala la hacking linaweza ku 'delegitimize' urais wa Trump.

Ikiwa wote wanakubaliana uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, isipokuwa ulikuwa influence na hacking za Russia tatizo lipo wapi?

Moja ya tweets za Trump ilisema hilo haliwezi kutokea ikiwa hakuna aliyekamatwa.
Kadri siku zinavyosonga mbele hali inazidi kutoa taswira tofauti

Lakini pia ni jambo la kushangaza kwamba Trump anasema wanataka ku delegitimize Urais wake
Ikiwa alishinda na kila mmoja anakubali hilo vipi basi urais wake uhojiwe?

Asichokumbuka Trump ni kuwa kwa miaka 5 mfululizo na bila kuomba radhi ali delegitimize Urais wa Obama kwa kutumia cheti cha kuzaliwa. Je hilo lilikuwa jema?

Kadri siku zinavyosonga suala hili linachukua sura mpya na mengi yanazidi kujitokeza
Kwa bahati mbaya Trump hataki kuliongelea kama Rais ajaye ikiwa liilikuwa jambo jema

Alichokifanya ni kwenda kombo kwa kusigishana na vyombo vya ulinzi na usalama kwa maana ya IC

Pengine angekuwa na mkutano na waandishi wa habari ingemsaidia, kumbukumbu zinaonyesha mkutano wake wa mwisho na waandishi ulikuwa siku 140+ zilizopita.

Je ni vema kuendelea na tweets au kujitokeza na kueleza msimamo wake?

Msimamo wake ni muhimu kama Rais ajaye wa Marekani. Ikiwa alizungumzia suala la China, vipi hili?

Tusemezane
 
'Hacking'

Katika mkutano na waandishi Obama haukusema moja kwa moja Russia ilihusika
Alichokieleza ni jinsi maamuzi ya Russia yalivyo na mkono wa Putin

Kasema suala hilo aliongea na Putin mwezi September walipokutana na kumwambia aache
Alichokifanya OB ni kusahihisha kauli kuwa suala limeibuka baada ya uchaguzi kwisha

Taarifa za udokozi zinaeleza Intelligence community zote zilijua kuhusu hacking na kwa namna fulani 'ziliachia' hali hiyo kwa madhumuni. Hizi n habari za ndani za IC ambazo hazijakanushwa

Katika suala hili kuna sura mbili au tatu za kuangalia
1. Dem wanasema FBI walikomalia suala la emails na kuacha hacking ya DNC iendelee bila hatua
2. Wapo wanaosema hacking ililenga kuathiri uchaguzi wa US kwa kuingilia nguvu ya demokrasia yao
3. Trump kama pres elect anasema hili limezushwa ku 'delegitimize' ushindina Urais wake

Hoja za pande zote zinazohusika zikiwemo IC zinaeleza wazi, hakuna hacking katika uchaguzi na matokeo hayakuathiriwa kwa namna yoyote kwa maana kuwa Trump alipata EV za kutosha.

Kilichotokea ni hacking ku influence matokeo kwa kudukua siri za DNC .

Wanasema hilo kwa sehemu kubwa limeathiri mtazamo wa wapiga kura na ndiyo hoja ya hacking ilipo. Hapa si kuiba kura au kubadilishwa kura, bali influence inayotokana na kuweka siri wazi

IC zote , Rais Obama na maseneta wakiwemo wa GOP kama Lindsey Gram na Mcain wanaohoji kuhusu suala hilo na si matokeo.

Hoja ni Russia imeingilia demokrasia inafanya hivyo si kwa US bali zipo taarifa za nchi kama Bulgaria na Ujerumani

Kwa mtazamo huo, wao wanadhani Russia inataka kuweka ushawishi mpya katika siasa za dunia

Katika hili, si Dem, maseneta, wachambuzi au surrogates wa Trump wanaokataa.
Aliyebaki kukataa ni Trump akisema limelenga ku delegitimize urais wake.

Swali analokabiliana nalo ni,Je haoni hilo kama shambulio la nchi za nje dhidi ya Marekani?
Na tatizo lipo wapi kufanya uchunguzi ukaobaini ukweli?

Hakuna namna suala la hacking linaweza ku 'delegitimize' urais wa Trump.

Ikiwa wote wanakubaliana uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, isipokuwa ulikuwa influence na hacking za Russia tatizo lipo wapi?

Moja ya tweets za Trump ilisema hilo haliwezi kutokea ikiwa hakuna aliyekamatwa.
Kadri siku zinavyosonga mbele hali inazidi kutoa taswira tofauti

Lakini pia ni jambo la kushangaza kwamba Trump anasema wanataka ku delegitimize Urais wake
Ikiwa alishinda na kila mmoja anakubali hilo vipi basi urais wake uhojiwe?

Asichokumbuka Trump ni kuwa kwa miaka 5 mfululizo na bila kuomba radhi ali delegitimize Urais wa Obama kwa kutumia cheti cha kuzaliwa. Je hilo lilikuwa jema?

Kadri siku zinavyosonga suala hili linachukua sura mpya na mengi yanazidi kujitokeza
Kwa bahati mbaya Trump hataki kuliongelea kama Rais ajaye ikiwa liilikuwa jambo jema

Alichokifanya ni kwenda kombo kwa kusigishana na vyombo vya ulinzi na usalama kwa maana ya IC

Pengine angekuwa na mkutano na waandishi wa habari ingemsaidia, kumbukumbu zinaonyesha mkutano wake wa mwisho na waandishi ulikuwa siku 140+ zilizopita.

Je ni vema kuendelea na tweets au kujitokeza na kueleza msimamo wake?

Msimamo wake ni muhimu kama Rais ajaye wa Marekani. Ikiwa alizungumzia suala la China, vipi hili?

Tusemezane
Mkuu Nguruvi3
Bado napata shida hasa kuelewa ni vipi Marekani inaweza kuiwajibisha Russia.

Kama Obama alivyosema kilichofanywa na Russia watalipiza, vingine vinaweza vikatangazwa na vingine visitangazwe.

Kwanza najiuliza Obama ana muda mchache pale WH, atafanya hayo lini?

Pili huoni kwamba Trump akishaingia WH, hilo la Obama haliwezi kutekelezeka?

Tatu, nikiangalia chama cha upinzani dhidi ya chama cha Putin hakina nguvu kubwa kiasi cha kutishia Putin kupigwa chini kwenye uchaguzi, sasa Marekani inaweza fanya nini hapa?

Tukisema iiwekee vikwazo Russia, hapa bado haiingii akilini kwa kosa la Russia kuinfuence matokeo, kwani mpaka sasa haijaonekana wazi kama serikali ya Russia imehusika wazi.

Yaani kiufupi sijajua Marekani inaweza fanya nini, naomba mchango wako hapa.
 
"General Mangi, post: 18939616, member: 190025"]
Bado napata shida hasa kuelewa ni vipi Marekani inaweza kuiwajibisha Russia
Mkuu Mangi, hapa tuelewe kuwa US ndiye baba wa teknolojia duniani.

'Funguo' wanazo kuanzia satellite, wataalam n.k. Uwezo wa kujibu wanao, haihojiwi

Kuna taarifa walitaka kufanya hivyo, wakachelea kuwa Russia inaweza kuwa ime hack habari nyingi na hivyo kuharibu zaidi.

Ni suala linalohitaji uangalifu kuepuka 'self distractions', lakini uwezo wanao tena mkubwa
Kama Obama alivyosema kilichofanywa na Russia watalipiza, vingine vinaweza vikatangazwa na vingine visitangazwe.
Yes yapo amabyo ni top secret na hayawezi kuachwa hadharani kwani ni kumpa 'adui' mbinu
Kwanza najiuliza Obama ana muda mchache pale WH, atafanya hayo lini?
US ina sera za mambo ya kitaifa bila kujali nani yupo Madarakani. Ilichukua zaidi ya miaka 40 kusimbaratisha USSR na kwa muda huo walipita Marais wengi.

Ilichukua miaka zaidi ya 15 kumpata Osama na kwa muda huo walipita Marais wengi.
Kinachofanya kazi si mtu bali mfumo. Kazi za Intelligence community ni endelevu bila kujali nani yupo madarakani. Hiyo ni tofauti kubwa na mataifa mengi duniani
Pili huoni kwamba Trump akishaingia WH, hilo la Obama haliwezi kutekelezeka?
Haijalishi nani yupo WH. Rais anaweza kulazimishwa na mihimili mingine kama Congress katika ku act katika sera au jambo fulani.
Itategemea uzito wa tatizo na si suala la nani yupo WH.
Kwa mfano, sera za US kwa middle east hazijabadilika Rais mmoja hadi mwingine

Tatu, nikiangalia chama cha upinzani dhidi ya chama cha Putin hakina nguvu kubwa kiasi cha kutishia Putin kupigwa chini kwenye uchaguzi, sasa Marekani inaweza fanya nini hapa?
IC za Marekani zinafanya mambo kitaalam.
Leo tunajua kifo cha Lumumba na CIA ingawa ilionekana kama ameuawa na Wazaire.

Tunajua kusambaratika kwa USSR haikuwa kazi ya upinzani bali ilifanywa na CIA kwa kutumia Warusi wenyewe.

Yanayompata Maduro Venezuela ni gharama za Chavez ingawa hayupo
Watu wana react lakini nyuma ya reaction kuna sababu, US

Usitegemee kila kitu black and white, kuna nyakati mambo yanatokea bila kujua lakini nyuma ya pazia kuna mkono mzito
Tukisema iiwekee vikwazo Russia, hapa bado haiingii akilini kwa kosa la Russia kuinfuence matokeo, kwani mpaka sasa haijaonekana wazi kama serikali ya Russia imehusika wazi.
Na hapa ndipo hoja ya uchunguzi inahitajika ili kupata ushahidi wa kutosha kama upo na kama hakuna suala lipuuzwe.

Hadi sasa IC zinasema kuna influence, na haziwezi kusema tu bila kuwa na clue au lead za kuwawezesha kufikia tamati hiyo.
Hawa jamaa wapo mbali, kila kitu wanakigeuza upside down kujua undani wake
Yaani kiufupi sijajua Marekani inaweza fanya nini, naomba mchango wako hapa
Marekani inaweza ku destabilize Russia kwa kutumia kwa njia nyingi sana

Hadi sasa kuna vikwazo kutokana na uvamizi wa Ukraine.

Ingawa havijauma sana, inatosha kusema vinaileta Russia katika meza ya majadiliano kama iliyotokea kwa azimio la pamoja dhidi ya Iran

Iran ilikubali makubaliano ya Nyuklia kutokana na vikwazo.

Halikuwa jambo la siku moja, limechukua miaka lakini mwisho wakakubali.

US haikutuma jeshi, walipeleka maumivu kwa wananchi walioshinikiza serikali.

Kwamba, US watafanya nini, ndugu yangu hawa jamaa wana uwezo tukubali tu.

Wataweza kujibu mapigo kwa kadri wanavyoweza kwa kutumia njia nyingi
 
Mkuu Mangi, hapa tuelewe kuwa US ndiye baba wa teknolojia duniani.

'Funguo' wanazo kuanzia satellite, wataalam n.k. Uwezo wa kujibu wanao, haihojiwi

Kuna taarifa walitaka kufanya hivyo, wakachelea kuwa Russia inaweza kuwa ime hack habari nyingi na hivyo kuharibu zaidi.

Ni suala linalohitaji uangalifu kuepuka 'self distractions', lakini uwezo wanao tena mkubwa
Yes yapo amabyo ni top secret na hayawezi kuachwa hadharani kwani ni kumpa 'adui' mbinuUS ina sera za mambo ya kitaifa bila kujali nani yupo Madarakani. Ilichukua zaidi ya miaka 40 kusimbaratisha USSR na kwa muda huo walipita Marais wengi.

Ilichukua miaka zaidi ya 15 kumpata Osama na kwa muda huo walipita Marais wengi.
Kinachofanya kazi si mtu bali mfumo. Kazi za Intelligence community ni endelevu bila kujali nani yupo madarakani. Hiyo ni tofauti kubwa na mataifa mengi duniani Haijalishi nani yupo WH. Rais anaweza kulazimishwa na mihimili mingine kama Congress katika ku act katika sera au jambo fulani.
Itategemea uzito wa tatizo na si suala la nani yupo WH.
Kwa mfano, sera za US kwa middle east hazijabadilika Rais mmoja hadi mwingine

IC za Marekani zinafanya mambo kitaalam.
Leo tunajua kifo cha Lumumba na CIA ingawa ilionekana kama ameuawa na Wazaire.

Tunajua kusambaratika kwa USSR haikuwa kazi ya upinzani bali ilifanywa na CIA kwa kutumia Warusi wenyewe.

Yanayompata Maduro Venezuela ni gharama za Chavez ingawa hayupo
Watu wana react lakini nyuma ya reaction kuna sababu, US

Usitegemee kila kitu black and white, kuna nyakati mambo yanatokea bila kujua lakini nyuma ya pazia kuna mkono mzito Na hapa ndipo hoja ya uchunguzi inahitajika ili kupata ushahidi wa kutosha kama upo na kama hakuna suala lipuuzwe.

Hadi sasa IC zinasema kuna influence, na haziwezi kusema tu bila kuwa na clue au lead za kuwawezesha kufikia tamati hiyo.
Hawa jamaa wapo mbali, kila kitu wanakigeuza upside down kujua undani wake Marekani inaweza ku destabilize Russia kwa kutumia kwa njia nyingi sana

Hadi sasa kuna vikwazo kutokana na uvamizi wa Ukraine.

Ingawa havijauma sana, inatosha kusema vinaileta Russia katika meza ya majadiliano kama iliyotokea kwa azimio la pamoja dhidi ya Iran

Iran ilikubali makubaliano ya Nyuklia kutokana na vikwazo.

Halikuwa jambo la siku moja, limechukua miaka lakini mwisho wakakubali.

US haikutuma jeshi, walipeleka maumivu kwa wananchi walioshinikiza serikali.

Kwamba, US watafanya nini, ndugu yangu hawa jamaa wana uwezo tukubali tu.

Wataweza kujibu mapigo kwa kadri wanavyoweza kwa kutumia njia nyingi
Hapo kidogo nimekuelewaa!!

Ila naomba nichepuke kwenye Mada kidogo.

Ni kuhusiana na Brexit, inasemekana kwamba nayo UK itaamua kujiimarisha yenyewe kijeshi pasipo itegemea US na NATO baada ya kujiondoa Eu

British anataka aanze kutumia commonwealths zake km Canada, Australia, NZ nk. UK wanaamini kuwa wao ndio walipaswa kuwa tishio duniani.

Sasa kujiondoa EU wataweza kujiweka sawa kijeshi kwa kutengeneza Nyuklia yao wawe tishio km Russia au US.
Na ndio maana Obama aligundua hili mapema na hata kuwashawishi British wachague remain.

Nimesoma kwenye quora, ila sijui kama kuna kaukweli hapa.
 
Ila naomba nichepuke kwenye Mada kidogo.

Ni kuhusiana na Brexit, inasemekana kwamba nayo UK itaamua kujiimarisha yenyewe kijeshi pasipo itegemea US na NATO baada ya kujiondoa Eu

British anataka aanze kutumia commonwealths zake km Canada, Australia, NZ nk. UK wanaamini kuwa wao ndio walipaswa kuwa tishio duniani.

Sasa kujiondoa EU wataweza kujiweka sawa kijeshi kwa kutengeneza Nyuklia yao wawe tishio km Russia au US.
Na ndio maana Obama aligundua hili mapema na hata kuwashawishi British wachague remain.

Nimesoma kwenye quora, ila sijui kama kuna kaukweli hapa.
Mkuu sina uhakiki wa hiyo forum uliyosoma na ni ngumu ku comment kama ni maoni au ni real news

Ninachoweza kusema ni kuwa suala hilo halikuangaliwa kwa mtazamo mpana
Kwanza, UK ina jeshi lisilotegemea US
Pili, NATO ni washirika na hutegemeana
Tatu, UK itapata tatizo kama inavyopata kuhusu trade kwasasa kuelekea Brexit
Nne, kushirikisha commonwealth countries kama Canada au Australia kuna maanisha kubadilisha hata mwenendo wa biashara. Mataifa hayo yatamudu?

Kama nilivyosema awali sina ufahamu wa ndani wa habari hii
 
Hongera Trump kwa kudhibitisha ushindi wako (Trump 304 vs. Hillary 227 ; its about Electoral College votes)
===========
Trump wins Electoral College vote amid protests (VIDEO)

Hillary has been rejected by the electors

Expected: Trump - 306 , Hillary - 232

Seven (7) faithless electors!, who lost many electors??

With all the paid protests, Trump lost only 2 while Hillary 'unexpectedly' lost 5!!

Trump lost only the two (2) electors in Texas. One voted for Kasich, the Ohio governor; the other voted for former Texas Rep. Ron Paul.

Clinton lost four (4) electors in Washington state — three (3) voted for former Secretary of State Colin Powell and one voted for Native American tribal leader Faith Spotted Eagle. She also lost an (1) elector in Hawaii to Vermont Sen. Bernie Sanders.

It is time for libtards to stop delegitimizing President Elect Trump.
 
Hillary has been rejected by the electors

Expected: Trump - 306 , Hillary - 232

Seven (7) faithless electors!, who lost many electors??

With all the paid protests, Trump lost only 2 while Hillary 'unexpectedly' lost 5!!

Trump lost only the two (2) electors in Texas. One voted for Kasich, the Ohio governor; the other voted for former Texas Rep. Ron Paul.

Clinton lost four (4) electors in Washington state — three (3) voted for former Secretary of State Colin Powell and one voted for Native American tribal leader Faith Spotted Eagle. She also lost an (1) elector in Hawaii to Vermont Sen. Bernie Sanders.

It is time for libtards to stop delegitimizing President Elect Trump.

Hahahaaa...yaani kelele zote zile bibi kaishia kupoteza kura zaidi hata kwenye electoral college.

Wanyamaze tu sasa na wakubali kuwa wameshindwa.
 
Hahahaaa...yaani kelele zote zile bibi kaishia kupoteza kura zaidi hata kwenye electoral college.

Wanyamaze tu sasa na wakubali kuwa wameshindwa.
Aibu ya mwaka!

Waliwapa media-airtime electors wa Rep waliompinga Trump, wakawaambia electors wa Rep kuwa Trump amekuwa Rais kwa sababu ya 'Russia hacking' na kuwa hafai. Walivyoona electors hawasikii kelele zao, wakawatishia vifo.Wakalipa waandamanaji waandamane kwenye State capitals jana. Too bad.

Hayo yote waliyafanya huku wakiwa hawana habari kuwa hata kura za hao electors wao 232 walizokuwa na uhakika nazo hawatazipata zote!! Funny
 
Hii inashangaza, mpaka sasa, Mheshimiwa Mag3 bado anaanda report ya tathimini ya ECV iliyomuidhinisha Trump kama rais rasmi wa US. Sema hata neno moja la kutuandaa kupokea report yako hiyo,Tafadhali.
 
Back
Top Bottom