Duru za Siasa Special: Mgogoro kambi ya Upinzani (CHADEMA)

Duru za Siasa Special: Mgogoro kambi ya Upinzani (CHADEMA)

Then there is another group of CDM supporters who becuase of their medicrity thinks people like LISSU,Mnyika et.al wont do no wrong. they worship and clap at whatever comes out of their mouths.this is something else that is wrong with CDM. there are a bunch of leaders who can't take a NO,and who thinks they are always right.

Just for the record, Dr.Slaa ni mwanasiasa ambaye hajawahi kuomba radhi hata siku moja. Katika viongozi waliowahi kugombea Urais mpaka sasa sijafanikiwa kumpata ambaye hajawahi kutamka sentensi "naomba radhi" au "mtusamehe/mnisamehe" isipokuwa Dr. Slaa.

This is to say, what you wrote is right and Slaa is an example.
 
Here is a piece of advice, no matter how right you are regarding ZITTO and his supporters, i think CHADEMA has missed a big point in this whole fiasco, to me,and many who thinks alike, they have ceased to be a serious party, they are now more or less a popular party. And this won't be enough to take power. This is something that has come as a test to CDM.as we mourn Mandela, CDM has even been given a marking scheme,it's all in the wall for them to see, agenda of the room is reconciliation, not punishment and alienation.

Again, you are absolutely right in this.

A fresh example is today when President Barack Obama shook hands with President Raul Castro of Cuba even though for decades their countries do not have any direct diplomatic relations. Actually they are enemies.

This would have been a political scandal had it happened two months ago, but today nobody (as in no media) can bring this up negatively.

View attachment 125923
 
Mkuu Mkandara

Kama nitakuwa nimekuelewa vizuri una hoja zifuatazo
1. Kwamba CCM wanashangilia mgogoro uliopo
Sina shaka na hilo na tumewahi kulisema. Lakini pia hakuna shoka linalokata bila mpini.

Ni wajibu wa viongozi kuelewa hilo kabla ya washabiki wa 'Man U na Arseanal' ambao hawana hisa.
Laiti Mkumbo na Zitto wangesimama kidete na hadharani waksema yanayowafunda CCM wasingepata pa kuingilia.

Hiyo ingekuwa karata ya ukomavu wa kisiasa.
Ni karata hiyo ndiyo CCM wanaitumia kuwananga mawaziri katika serikali yako.

Mkumbo na Zitto walikuwa na nafasi ya kuongoza ili CCM wafuate.
Hawakufanya hivyo, nao kama CCM wakajiunga na mfumo wa mtandao bila kujua zama zinabadilika na huko wanakoelekea siko, ni kule kulikopelekea taifa kumkosa Salim Ahmed.

2. Kama yangekuwepo mapinduzi milango ingevunjwa!
Labda kama tuna tafsiri tofauti ya mapinduzi. Mapinduzi si lazima yaambatane na ngeu.

Nimechungulia katika Merriam-webster nikaokoteza vi- def miongoni mwa nyingi sijui kama zita kidhi haja
-''a fundamental change in political organization; especially: the overthrow or renunciation of one government or ruler and the substitution of another by the governed'
-'Revolution-a fundamental change in the way of thinking about or visualizing something'

Walichokusudia hao mabwana hakipo mbali sana na tafsiri nyingi za mapinduzi ndio maana waraka umesema wazi kabisa'iwe siri kubwa na watafutwe watu waaminifu' ili kuwaondoa viongozi haraka iwezekanavyo kwa mujibu wa waraka

Hoja yangu ni kuwa nafasi ya wao kutumia uhuru na demokrasia hawakuitumia, walichokifanya kinafanana sana na njama tena zinazomitiliana na maudhui ya mapinduzi.

3. Kuondoa viongozi ni kupinga mabadiliko
Sina tatizo na kuondoa viongozi. Mandela aliuzwa na CNN je ikitokea ukafanyiwa kama alivyofanyiwa J.F.Kennedy analionaje suala hilo. Mandela akajibu, viongozi ni watu wa kuja na kupita lakini taasisi ni kitu kilichopo.
Kwa muktadha huo huo nasema viongozi wanakuja na kuondoka hivyo sipo kusema nani kiongozi mzuri n.k.

Ninachosisitiza ni kuwa taasisi zipo hata kama viongozi wanakuja na kuondoka.
Kilichokusudiwa na Zitto/Mkumbo ni kuharibu maana ya taasisi kwa kukiuka misingi ya uongozi, maadili, kufuata utawala wa sheria na kusimamia demokrasia.Njia waliyotaka kuitumia ili kupata viongozi wanaokuja na kuondoka siyo njia iliyokusudiwa kwa maana ya demokrasia. Ni njia iliyokusidia kuangamiza taasisi hata kama wao wanakuja na wataondoka

4. Kwamba Zitto na Kitila wasingeweza kubadili mwelekeo wa kura
Hakuna tatizo kuandaa mikakati ya kisiasa tena ikiwa katika sera. Hakuna tatizo wao kuwa viongozi.

Lipo tatizo wao kuwa sehemu ya viongozi halafu kurudi nyuma na kughilibu umma na hasa vijana.
Wamewaghilibu vijana wengi kwa kuwaaminisha kuwa Mbowe hana akili na elimu yake ni magumashi.
Kwa watu wenye weledi kiwango chao hiyo si njia njema kuelekea katika demokrasia na mbadiliko ndani ya chama chao kwanza.

5. Watu wasiogope mabadiliko kwani kufanya hivyo ni kuondoa matumaini
Ni kweli lakini matumaini hayaji kwa kejeli, kashfa, majungu, ukanda na udini.

Hiyo ni njia nyepesi ya kuligawa taifa.Inachukua sentensi moja kuligawa taifa na miaka zaidi ya 10 kuliunganisha taifa kwa kauli hiyo tena kwa gharama kubwa.Kinachotokea Nigeria ni kauli za miaka 100 iliyopita za vongozi. Ni kauli hizo ndizo zilipelekea mauaji Kenya.Mabadiliko wanayohitaji watu ni socioeconomic.
Siyo mabadiliko kwasababu fulani hana degree au fulani anazo nyingi.

6. Abdul Sykes na wenzake walifanya mapinduzi
Kwa zama hizo kulikuwa hakuna muda wa kuongea na dhalimu. Ilikuwa kuchukua hatua za dharura na makusudi.
Miaka 50 baada yao hatupaswi kurudi kule walikoanzia.

Kila kitabu na zama zake, hizi ni za kitabu kingine.
Kama tutachukua model za kina Abdul basi zile degree, diploma na honorary zilizotajwa katika waraka hazina maana.
Na kwanini basi Mbowe ahukumiwe kwa elimu ndogo kama ya Abdul wakati huo huo Abdul aonekane shujaa?

Mkuu, nadhani kuna umuhimu wa kujenga nidhamu. Hapa tulipo ni matokeo ya viongozi kukosa nidhamu.
Hatuwezi kuwa na template ya namna hiyo tena tuakatumaini mabadiliko yatakuja.

Mabadiliko hayateremki kama mvua, yanaundwa.
Mabadiliko hayaanzi kutoka juu yanaanza kutoka chini. Huwezi kupata kiongozi mzuri ngazi ya taifa kama hukuanza na viongozi wazuri ndani ya vyama na serikali za vijiji. Nidhamu ifuatwe bila kuangalia makunyanzi.

Tusipojenga nidhamu tutarudi kule kule kwa siku 30,60, 60 na sasa 720 za kuvuana magamba.
Nchi hii haina upungufu wa viongozi, ina upungufu wa kupata viongozi.
Tuanze kurekbisha wapi kama si kuweka msingi wa nidhamu?

Naheshimu mawazo yako lakini naona nawe umekuwa na ushabiki,kuwa katikati,kundi la mbowe lipate haki yake na kundi la zito lipate haki yake,tunajadili waraka ambao chadema imesema sio au ule uliobaki kwa uongozi wa chadema
 
Last edited by a moderator:
Naheshimu mawazo yako lakini naona nawe umekuwa na ushabiki,kuwa katikati,kundi la mbowe lipate haki yake na kundi la zito lipate haki yake,tunajadili waraka ambao chadema imesema sio au ule uliobaki kwa uongozi wa chadema
Yes, umesoma tuhuma alizopewa Zitto? Kuna tofauti yoyote na yaliyomo katika waraka?

Pili, tunajadili kwa upana kile kilichopo. Mbowe hakuandika waraka sijui ungependa ajadiliwe vipi katika waraka wa Zitto na Kitilla. Mbowe ni sehemu ya mjadala tu. Wenye waraka, waliotimuliwa uongozi ni akina Zitto na Kitila.

Tatu,hebu onyesha ushabiki upo wapi katika majadiliano haya?

Mwisho, lazima tujifunze kusimama na kusema ukweli. Hata Mbowe nilipomkomalia na Togwa washabiki wake walisema ni ushabiki. Sitegemei washabiki waseme vinginevyo.

Ni bora niwe public enemy number 1 kuliko kuidhulumu nafsi yangu kwa kuinyima nafasi ya kusema kile kinachoonekana na kilichopo kwa ukweli na uwazi hata kama kufanya hivyo kutaudhi watu.

Kama una hoja, weka hapa. Ni muda ulisema utarudi kuweka mizania sawa naona unarudi na mistari miwili. Hebu weka mizania sawa ndugu Adharusi

 
Last edited by a moderator:
Post yangu nimeirekebisha ili ijumlishe maswala yaliyoibuliwa na Mchambuzi hapo juu.

Uungwana ni vitendo.

Muungwana anapomtembelea mtu humuuliza mtu huyo "una hali gani?" wakati huo muungwana huwa tayari kusikiliza na kumfariji mwenzake kwa lile jibu atakalotoa.

Zitto ni kielelezo cha mkoa wa Kigoma katika siasa za Tanzania. Kigoma inajivunia vitu vingi, kimoja wapo ni kuwa na mwanasiasa hodari - Zitto Kabwe.

Zitto anapopatwa na misukosuko inayomuondolea sifa nzuri katika utendaji wake, wananchi wa Kigoma wanakuwa na dukuduku la kujua ni nini hasa kimetokea na hatma yake ni nini.

Ni uungwana kwa yeyote atakayeenda kwa watu wa Kigoma kwa kipindi kuwa tayari kusikiliza dukuduku hilo la watu wa Kigoma na kuwa tayari kuwafariji katika hali hiyo. Huu ni uungwana wa kitanzania au wa kiafrika kwa upana zaidi.

Siku chache kabla Dr. Slaa hajafunga safari ya Kigoma alitangaza kuwa ni MARUFUKU kwa wanachama wote wa Chadema kujadili swala la Zitto kuvuliwa nyadhifa alizokuwa nazo ndani ya Chadema. Hii ni kumaanisha kuwa kila mwanachama anayemheshimu Dr. Slaa kama Katibu Mkuu anapaswa kukaa kimya kuhusu swala hili mpaka pale Zitto atakapojibu na hukumu ya mwisho kutolewa.

Kiungwana, kauli hii ya Slaa moja kwa moja ilipaswa kumaanisha kuwa ataahirisha safari yake ya Kigoma ambayo imeelezewa bila ushahidi wa kutosha kuwa ilipangwa muda mrefu.

Si uungwana kwa Dr. Slaa kwenda Kigoma leo hii na kuwaambia watu wa Kigoma wasiongelee swala linalowatatiza zaidi kisiasa.

Kwa lugha nyingine ni kwamba safari ya Slaa Kigoma imechochea mijadala ambayo alitangaza kuifunga. Huu si uungwana.

Ninaweza kufananisha kitendo hiki cha Slaa na mtu anayemtembelea jirani yake ambaye amevunjiak mguu yuko kitandani akiwa na maumivu. Mtu huyo kabla ya kumtembelea jirani yake anatuma ujumbe kwamba hataki swala la maumivu ya mguu wa huyo jirani yake liongelewe!

Swali watakalouliza waungwana ni je, kwanini huyu bwana asisubiri mpaka mwenzie maumivu ya mguu yapungue ndio aje kumtembelea. Jibu likitolewa kwamba ni kwa sababu safari hiyo ilipangwa tangu awali litakuwa halitoshelezi, LIMEPWAYA MNO.
Kupwaya kwa jibu hilo kunatokana na ukweli kwamba utu uzima na busara ni pamoja na uwezo wa kubadilisha mipango kulingana na hali halisi inavyobadilika. Hata baba mwenye nyumba inapofika siku ya kukusanya kodi yake akiona mpangaji wake amefiwa na mwanae si uungwana kusema kuwa alishapanga kukusanya kodi tarehe hiyo kwa hiyo ataulizia tu kodi yake.

Hali ingekuwa tofauti kidogo iwapo Dr. Slaa asingepiga marufuku wanachama wa Chadema kujadili sakata hili. Hata hivyo bado kuna kingine cha kuangaliwa.

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Kigoma alitoa rai kuwa huu si muda muafaka kwa Slaa kutembelea Kigoma. Alishauri Slaa asubiri mpaka hatma ya sakata la Zitto ifahamike.

Mwenyekiti wa Mkoa anaufahamu mkoa huo kisiasa zaidi ya Kiongozi yeyote wa makao makuu. Kupuuzia ushauri wake si uungwana.

Taarifa nilizopata juzi ni kwamba ofisi ya mwenyekiti huyo wa Chadema mkoa wa Kigoma ilikuwa haijajibiwa barua aliyoandika makao makuu kushauri ziara hiyo ya Slaa iahirishwe. Barua hii aliyoandika mwenyekiti iliwakilisha maamuzi ya vikao halali vya chama. Kutokuijibu na kutokuheshimu ushauri walioutoa sio uungwana.

Hii inafanana sana na jinsi Mh. Arfi alipotangaza kujiuzuru nafasi yake ya makamu mwenyekiti na ofisi ya chadema makao makuu haijasema chochote juu ya hilo!

Uungwana ni vitendo. Safari ya Slaa kigoma katikati ya sakata hili sio ya kiungwana na inatoa picha kwamba swala hili zima linafanyika katika mazingira yasiyo ya kiungwana ikiwa ni pamoja na kupuuzia michango ya viongozi mbalimbali ndani ya chama.

Hapa umegusia jambo muhimu na la msingi sana ambalo inaoneakana CDM linakosekana, nalo ni UUNGWANA. hatutaki CDM wawe waungwana kwa kuacha kukemea mapungufu ya serikali. la hasha, bali tunapenda CDM yenye uungwana wa kuweza kuelewa mambo ya msingi kama uliyoyataja hapo juu.

Mwaka 2010 niliwahi kuongea na mama mmoja wa makamo wakati wa uchaguzi mkuu. alisema kuwa binafsi amechoshwa sana na CCM na jinsi isivyojali wananchi, lakini alikuwa anasita kuichagua CDM kupitia Dr.Slaa kwa sababu simple sana ya kuwa CDM hawana uungwana, na pindi wakichukua nchi wataleta visasi kwa wale wasiokubaliana nao. Naturally nilipingana na bi mkubwa yule na nikamueleza kuwa Nchi yetu inahitaji mabadiliko na si vibaya akawapa CDM nafasi hiyo.alinijibu tu kuwa, itakuwa ngumu na akasema kura yake inatazama mambbo mengi,haiba ya mgombea,na matarajio ya ujumla.Huyu ni mama wa makamo msomi aliyebobea na mwenye uelewa mkubwa,aliniudhi aliposema ataangalia haiba kama sababu ya kupiga kura,lakini leo namuelewa.

Naelewa sasa kwa nini CDM itazidi kupata shida kwenye Kura za Kina mama na wale wenye kupiga kura zao sio kwa kusikiliza hoja tu,bali kwa mutazama mgombea kwa ujumla wake.

Nina uhakika nikimuuliza yule mama hivi leo ataniambia "i told you so".

CDM kuna matatizo makubwa sana ya kiutendaji, kimkakati na hata kimtazamo. nawashauri waunde timu ya Wataalamu,si vibaya wakimweka Dr.Kitila na external members wenye uelewa wa siasa za TZ ,na zile za kimataifa,wafanye comprehensive analysis ya mapungufu ya CDM,washughulike na hayo kwanza, na wawe tayari "kutukanwa", "kuudhiwa" na watakayoyasikia kwenye analysis hiyo.kisha wapange mkakati wa kushinda uchaguzi 2020.as of now it will need a miracle wao kushinda 2015,they have lost so much ground on CCM as it stands( this is the reality). natumai wanalitambua hili.

Hii biahsara wanayoendelea nayo ya Msaliti,mhaini, mpelelezi wa siri,red bregade na upuuzi mwengine ni upuuzi ambao CCM wametuletea,wao CDM wanabadilisha majina na kuendelea na Upuuzi uleule.

Aaagh.

samahani kwa niliowakwaza.
 
Nguruvi3,

Mkuu wangu turudi nyuma tuachane na dhana maana hapa nakuona unachoongea wewe ni fikra zako. What will happen if.. if nyingi sana badala ya kuzengumzia hali halisi. Nimekupa mfano wa CCM wa kina AbdulWahid umeanza kudai pasingekuwa na amani? Hivi kweli unataka kusema watu wa leo hawana ueleo mzuri zaidi ya wale wa zamani maana nijuavyo watu wa zamani ndio walikuwa ngumi mkononi na swala la demokrasia halikuwepo. Udikteta ndio ulitawala mataifa leo hii Chadema warushiane ngumi kwa sababu Zitto anataka kuwa mwenyekiti?.

Statement kama hizi ndio zinanifanya nijiulize kama kweli chama hiki kina wenyewe, japo sipendi kabisa niamini hivyo. Kwenu wapenda mpira yule Suerez wa Liverpool hakufukuzwa bwawa la maishi kwa sababu timu ile inatazama ushindi, kuchukua Ubingwa na sii kashifa za mwenyekiti ama kocha. Tena wako radhi kumfukuza kocha ikiwa haleti ushindi kuliko kunfukuza mchezaji bora japo utaona mchezaji mmoja sii timu nzima ya wachezaji 11.

CCM wale pale sii walisema watawafukuza magamba watatu? wa,mefanya hivyi? na tulishangilia sana tukisubiri wafukuzwe maana tulijua ndio kifo cha CCM lakini kwa busara zao CCM wakashtuka, wakajiweka sawa kufuta lugha ya Ufisadi na leo wanaendelea kupeta. Ufisadi sasa umekuwa lugha ya kila mtu kwa kila chama, kila kiongozi na kila dhulma ya jasho la watu. Imekuwa jambo la kawaida yaani sasa hakuna chama wala mtu msafi. Wanatumia mwanya huu kuonyesha kuwa hata sisi sio wasafi.

Kifupi tu, naomba majibu ya swali langu la kwanza.. Kila shilingi ina pande mbili. Tumeyajua makosa ya kina Zitto na Kitila sawa lakini je yale waloyadai kuwepo ndani ya chama mbona hayana majibu? hadi leo sijamsikia kiongozi hata mmoja akielezea swala moja baada ya jingine.

Ikiwa madai yao ni ya kweli basi hata mimi ningeunga mkono mageuzi afanyike japo si kwa kiti cha mwenyekiti pekee bali mfumo mzima wa UONGOZI iwe katiba ama sheria. na kibaya zaidi umnaendeleza madai ya kuheshimu katiba...jamani katiba ya makaburu ilidumisha Aparthied, ina maana walopinga mfumo huu baina yao utawaita Wahaini na Wasaliti kiasi kwamba hata wewe ulokaa pembeni hutakiwi kuwaunga mkono? Pia zamani nchi zote za magharibi - UTUMWA ulikuwa ruksa kikatiba na wakatokea watu kama kina Zitto ndani ya vyanma vyao walopingana na katiba hiyo na wakafanya mageuzi makubwa. Maswala ya haki za wanawake na kadhalika yote haya yameanza within vyama kisha yakaenda hatua nyingine. Kutambua garamu ama makosa siku zote hutupa hekima ya kutorudia makosa. Hekima hutokana na uvumilivu wa maswala kama haya ukayaona nje ya box. Naweza sema kwamba mageuzi hayakutoa roho za watu wengi kama ilivyokuwa sheria hizo zikitumika iwe Apartheid ama Utumwa.

Mkuu namalizia na kuuliza tena zile sababu waloorodhesha kina Mkumbo hadi kufikia maamuzi ya mageuzi ni ya UONGO?.. Je Ukweli ni upi naomba maelezo kwa mtu yeyote anayefahamu undani wa kile kinachofanyika huko. Na ikiwa madai hayo ya waraka ni kweli tupu, wewe unaridhika na mfumo huo wa uongozi kiasi kwamba bora tufumike kombe (Zitto) wana haramu wapite(wanachama)
 
Nguruvi3,

Mkuu wangu turudi nyuma tuachane na dhana maana hapa nakuona unachoongea wewe ni fikra zako. What will happen if.. if nyingi sana badala ya kuzengumzia hali halisi. Nimekupa mfano wa CCM wa kina AbdulWahid umeanza kudai pasingekuwa na amani? Hivi kweli unataka kusema watu wa leo hawana ueleo mzuri zaidi ya wale wa zamani maana nijuavyo watu wa zamani ndio walikuwa ngumi mkononi na swala la demokrasia halikuwepo. Udikteta ndio ulitawala mataifa leo hii Chadema warushiane ngumi kwa sababu Zitto anataka kuwa mwenyekiti?.

Statement kama hizi ndio zinanifanya nijiulize kama kweli chama hiki kina wenyewe, japo sipendi kabisa niamini hivyo. Kwenu wapenda mpira yule Suerez wa Liverpool hakufukuzwa bwawa la maishi kwa sababu timu ile inatazama ushindi, kuchukua Ubingwa na sii kashifa za mwenyekiti ama kocha. Tena wako radhi kumfukuza kocha ikiwa haleti ushindi kuliko kunfukuza mchezaji bora japo utaona mchezaji mmoja sii timu nzima ya wachezaji 11.

CCM wale pale sii walisema watawafukuza magamba watatu? wa,mefanya hivyi? na tulishangilia sana tukisubiri wafukuzwe maana tulijua ndio kifo cha CCM lakini kwa busara zao CCM wakashtuka, wakajiweka sawa kufuta lugha ya Ufisadi na leo wanaendelea kupeta. Ufisadi sasa umekuwa lugha ya kila mtu kwa kila chama, kila kiongozi na kila dhulma ya jasho la watu. Imekuwa jambo la kawaida yaani sasa hakuna chama wala mtu msafi. Wanatumia mwanya huu kuonyesha kuwa hata sisi sio wasafi.

Kifupi tu, naomba majibu ya swali langu la kwanza.. Kila shilingi ina pande mbili. Tumeyajua makosa ya kina Zitto na Kitila sawa lakini je yale waloyadai kuwepo ndani ya chama mbona hayana majibu? hadi leo sijamsikia kiongozi hata mmoja akielezea swala moja baada ya jingine.

Ikiwa madai yao ni ya kweli basi hata mimi ningeunga mkono mageuzi afanyike japo si kwa kiti cha mwenyekiti pekee bali mfumo mzima wa UONGOZI iwe katiba ama sheria. na kibaya zaidi umnaendeleza madai ya kuheshimu katiba...jamani katiba ya makaburu ilidumisha Aparthied, ina maana walopinga mfumo huu baina yao utawaita Wahaini na Wasaliti kiasi kwamba hata wewe ulokaa pembeni hutakiwi kuwaunga mkono? Pia zamani nchi zote za magharibi - UTUMWA ulikuwa ruksa kikatiba na wakatokea watu kama kina Zitto ndani ya vyanma vyao walopingana na katiba hiyo na wakafanya mageuzi makubwa. Maswala ya haki za wanawake na kadhalika yote haya yameanza within vyama kisha yakaenda hatua nyingine. Kutambua garamu ama makosa siku zote hutupa hekima ya kutorudia makosa. Hekima hutokana na uvumilivu wa maswala kama haya ukayaona nje ya box. Naweza sema kwamba mageuzi hayakutoa roho za watu wengi kama ilivyokuwa sheria hizo zikitumika iwe Apartheid ama Utumwa.

Mkuu namalizia na kuuliza tena zile sababu waloorodhesha kina Mkumbo hadi kufikia maamuzi ya mageuzi ni ya UONGO?.. Je Ukweli ni upi naomba maelezo kwa mtu yeyote anayefahamu undani wa kile kinachofanyika huko. Na ikiwa madai hayo ya waraka ni kweli tupu, wewe unaridhika na mfumo huo wa uongozi kiasi kwamba bora tufumike kombe (Zitto) wana haramu wapite(wanachama)

Mkandara;

Hivi vyama vinaanzishwa tunaviona. Na historia ya vyama hivi kama ulivyogusia kidogo hapo juu tunaijua. Lakini uchambuzi wa Nguruv3 na Mchambuzi unalenga sana kwenye potential ya CDM kuwa chama mbadala ambacho kinaweza kushika madaraka 2015 na kuwaondolea watanzania matatizo yanayoletwa na CCM. Wanajaribu sana kufumbia macho historia. Na hili ni kosa ambalo watanzania walilifanya 1995.

Mrema aliipa CCM changamoto katika uchaguzi wa 1995 kwa sababu watu walitaka mabadiliko, lakini chama alichogombea na yeye mwenyewe walikuwa wana ulakini. Migogoro ya ndani ya CDM inafanana na migogoro ya NCCR baada ya uchaguzi wa 1995. Tofauti kubwa ni nani wanaogombana. Na bahati nzuri kwa kipindi cha sasa ni kuwa kiongozi wa CCM wa sasa hana nguvu za kuwaunganisha wenzake na performance yake as leader is questionable.

Hili CDM kiwe chama kinachoweza kuhimili misukumo ya ndani na nje, ni lazima kipate viongozi na wanachama wenye nia na moyo. Wachukue mfano kutoka kwa viongozi na wanachama mwisho wa TAA na mwanzo wa TANU. Nyerere alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa TAA, walimkubali mara moja. Na yeye alikubali kwa kuonyesha nia na moyo wa kuwatumikia waliomchagua.

Zuberi Mtemvu alipojitoa TANU, hakujitoa kwa sababu uongozi mbaya, ukabila, ukanda, au udini. Alijitoa kwa sababu ya kifalsafa ya uzawa. Kwa kipindi cha sasa migogoro ndani ya vyama vya kisiasa, sio migogoro ya kifalsafa. Ni migogoro inayotokana na maslahi binafsi ya viongozi wa vyama. Hii ni hatari kubwa hususa kwa vyama vya upinzani.

TANU ilipigania uhuru kwa kutumia resources za viongozi na wanachama. Pamoja na kuwa na kisomo kidogo kama sisi tunavyotaka kusema, lakini viongozi na wanachama wa mwanzo walikuwa ni waaminifu. Makatibu na ambao walikuwa waweka fedha hawakujitajirisha na ada au michango ya wanachama. Matumizi ya ruzuku na wahisani mbalimbali inawafanya viongozi wa vyama vya upinzani kupoteza focus.
 
It is quite unfortunate that an old man as Dr.Slaa seems to lack fundamental wisdom that comes with old age.

There is no denying that Zitto is ambitious, there is no denying that he is squarely against medicrity in Tanzanian politics,there is no denying that he tries to stand out from his fellow "sheep" MPs from CDM even this sometimes brings him to odds with his peers.

It is quite obvious that, in CDM leader's eyes ZITTO ni mkosaji, but..., as jesus once famously said, he who is without sin should be the first to throw a stone...,

what we are seeing here is hypocrisy at it's highest stage, same CDM who claimed CCM are opposing freedom of speech wont even let their leader have his.same CDM who are actively trying to remove CCM from power would not tolerate power struggle within itself.

who is naive enough among CDM to believe that not a few of them are aspiring to become party leaders?
who is naive enough to even claim that the entire party has a single view on everything?

If CDM can't stand opposition from within will it even tolerate outside opposition once in power?
I would have respected Slaa, Mbowe and Team if they called Zitto, told him that we understand what you are trying to do, and we don't like it,but we will co-exist with you.

Kikwete off all his shortcomings gets called funny names by every dick and harry in this country, but no one has been labeled msaliti,mhaini etc.

Then there is another group of CDM supporters who becuase of their medicrity thinks people like LISSU,Mnyika et.al wont do no wrong. they worship and clap at whatever comes out of their mouths.this is something else that is wrong with CDM. there are a bunch of leaders who can't take a NO,and who thinks they are always right.

Here is a piece of advice, no matter how right you are regarding ZITTO and his supporters, i think CHADEMA has missed a big point in this whole fiasco, to me,and many who thinks alike, they have ceased to be a serious party, they are now more or less a popular party. And this won't be enough to take power.

This is something that has come as a test to CDM.as we mourn Mandela, CDM has even been given a marking scheme,it's all in the wall for them to see, agenda of the room is reconciliation, not punishment and alienation.

I so long for a day Tanzania has a proper political party. CCM is too rotten to be saved and CHADEMA is just so much a mess to be cherished.

I guess they were right when they said, people choose leaders they deserve.

its painful truth that must be swallowed that we deserve CCM and soon we might deserve a mess that CDM is. Unless of-course if we decide to take action
Mkuu Kimweri ahsante sana kwa mchango wako.

1. Nipo katika rekodi nikisema Zitto ni mfano wa vijana katika bunge. Wanaomuonea kijicho are dead wrong.
Nimejifunza kuwa umahiri wa ku stand out si kwa ajili ya taifa ni kwa masilahi yake binafsi.

Mifano miwili, all about Barricks na madini yaliishia kupokea milioni 10 and that was the end of the road.
Suala la ukaguzi wa hesabu za vyama linaonekana la kitaifa, leo tunafahamu ni la waraka.
Yes he tries to stand out of the crowd, the concern is his motive behind.

2. Sijui kwa jicho la CDM wanamuonaje Zitto, Mimi namuangalia kama potential leader aliyekosa vionjo vya uongozi, busara na mwenye majivuno kama sehemu ya haiba yake.
Migogoro ya CDM Zitto anahusika, iweje akiwa kiongozi ashindwe kusimama na kusema this is right that is wrong. Kwanini atumie makundi ambayo hujulikana kwa bahati mbaya na asitumie karama na mvuto wake kuonyosha njia?

3. Niliwahi kusema Zitto aliposusia kutoka bungeni na alipoandika maoni yake kuhusu muungano hakukuwa na tatizo.
Niliwahoji CDM kwanini kuwe na misimamo ya pamoja bila kumsikiliza ilikuwaje asitoke bungeni.

Hiyo ni mifano michache sana. Nikasema uhuru wa maoni lazima uanzie ndani ya vyama kwanza.
Lakini uhuru una mipaka, sijui waraka wa siri ulikuwa ni matumizi mazuri ya uhuru.

Nani alimnyima uhuru Zitto na Kitilla zaidi ya wao kujinyima kwa kuunda makundi yenye ID tofauti.
Why watumie ID za bandia wakati walipaswa kutumia uhuru walio nao hata kama kuna gharama zinazoambatana na hilo. Ndio ukomavu wa kisiasa uaminifu na ukweli.

4. Ningefurahi kuona kuna viongozi wengi wanagombea ili wananchi na wanachama wa vyama vya siasa wapate fursa za kuwachuja. Nilisimama na Zitto kuuliza kwanini CDM wawe na mgombea pekee. Je hiyo haikuwa template ya CCM.

5. Kupingana kwa mawazo katika vyama ni jambo muhimu na la maana sana.
Tuhuma za nyuma ambazo zingine zilisemwa katika vikao Zitto alikuwa approached kuwa ni vema mambo yakasemwa katika vikao kuliko kuunda makundi ya vijana.

Ndio maana katika migogoro mitatau mikubwa ya CDM Zitto ametajwa na wala hajawahi kuchukuliwa hatua (co-exist). This time inaonekana kapita mipaka pengine akiwa tayari kuanguka na jengo.

Haiwezekani yeye awe katikati ya migogoro tena si kwa kuhisiwa bali kwa ushahidi apewe pass kila siku.
Nidhamu inapatikana vipi kwa double standard? Kwamba Zitto is a special person in CDM hence needs special treatment.

6. Kikwete sidhani kama ni mfano mzuri wa kutumia.
Hawezi kuwaita wana mtandao wahaini au wasaliti si kwa kupenda bali kwa 'conditions'.

Tatizo la JK ni kutaka kumpendeza kila mtu. Ni kwa msingi huo naye hajui matatizo ya udini au ukabila.
Analalamika rushwa inchini. Sijui kama anaweza kutumia neno wasaaiti au wahaini kwa namna yoyote.

7. Nakubaliana nawe kabisa kuwa CDM kiliacha kuwa chama na kuwa mkusanyiko. Mwaka jana nilisema(rekodini) mbona CDM haionyeshi kuwa taasisi bali mkusanyiko wa personalities?
Walicha suala la nidhamu siku nyingi, wakaacha taratibu za uongozi siku nyingi na haya ni matokeo ya uzembe huo.

8. Kuhusu reconciliations, not punishment and alienation nadhani hili lina tatizo.
Kutakuwa na reconciliation gani kwa hawa wanaoamini kuwa wenzao hawana shule wana akili ndogo na ni malaya?

Yes inaweza kuwepo cosmetically ukweli utabaki kuwa hakutakuwa na kuaminiana kama ilivyowahi kutokea.
Sijui lugha iliyotumika katika waraka ni lugha ya sera au reconciliations na kwanini upande mmoja uhusike na si pande zote? Nilidhani Zitto angeomba msamaha halafu warUdui mezani.
Utaratibu wa kupita katika redio na vyombo vya habari sijui kweli una lenga reconciliation.

Mkuu Kimweri it takes two to tango
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3,

Mkuu wangu turudi nyuma tuachane na dhana maana hapa nakuona unachoongea wewe ni fikra zako. What will happen if.. if nyingi sana badala ya kuzengumzia hali halisi. Nimekupa mfano wa CCM wa kina AbdulWahid umeanza kudai pasingekuwa na amani? Hivi kweli unataka kusema watu wa leo hawana ueleo mzuri zaidi ya wale wa zamani maana nijuavyo watu wa zamani ndio walikuwa ngumi mkononi na swala la demokrasia halikuwepo. Udikteta ndio ulitawala mataifa leo hii Chadema warushiane ngumi kwa sababu Zitto anataka kuwa mwenyekiti?.

Statement kama hizi ndio zinanifanya nijiulize kama kweli chama hiki kina wenyewe, japo sipendi kabisa niamini hivyo. Kwenu wapenda mpira yule Suerez wa Liverpool hakufukuzwa bwawa la maishi kwa sababu timu ile inatazama ushindi, kuchukua Ubingwa na sii kashifa za mwenyekiti ama kocha. Tena wako radhi kumfukuza kocha ikiwa haleti ushindi kuliko kunfukuza mchezaji bora japo utaona mchezaji mmoja sii timu nzima ya wachezaji 11.

CCM wale pale sii walisema watawafukuza magamba watatu? wa,mefanya hivyi? na tulishangilia sana tukisubiri wafukuzwe maana tulijua ndio kifo cha CCM lakini kwa busara zao CCM wakashtuka, wakajiweka sawa kufuta lugha ya Ufisadi na leo wanaendelea kupeta. Ufisadi sasa umekuwa lugha ya kila mtu kwa kila chama, kila kiongozi na kila dhulma ya jasho la watu. Imekuwa jambo la kawaida yaani sasa hakuna chama wala mtu msafi. Wanatumia mwanya huu kuonyesha kuwa hata sisi sio wasafi.

Kifupi tu, naomba majibu ya swali langu la kwanza.. Kila shilingi ina pande mbili. Tumeyajua makosa ya kina Zitto na Kitila sawa lakini je yale waloyadai kuwepo ndani ya chama mbona hayana majibu? hadi leo sijamsikia kiongozi hata mmoja akielezea swala moja baada ya jingine.

Ikiwa madai yao ni ya kweli basi hata mimi ningeunga mkono mageuzi afanyike japo si kwa kiti cha mwenyekiti pekee bali mfumo mzima wa UONGOZI iwe katiba ama sheria. na kibaya zaidi umnaendeleza madai ya kuheshimu katiba...jamani katiba ya makaburu ilidumisha Aparthied, ina maana walopinga mfumo huu baina yao utawaita Wahaini na Wasaliti kiasi kwamba hata wewe ulokaa pembeni hutakiwi kuwaunga mkono? Pia zamani nchi zote za magharibi - UTUMWA ulikuwa ruksa kikatiba na wakatokea watu kama kina Zitto ndani ya vyanma vyao walopingana na katiba hiyo na wakafanya mageuzi makubwa. Maswala ya haki za wanawake na kadhalika yote haya yameanza within vyama kisha yakaenda hatua nyingine. Kutambua garamu ama makosa siku zote hutupa hekima ya kutorudia makosa. Hekima hutokana na uvumilivu wa maswala kama haya ukayaona nje ya box. Naweza sema kwamba mageuzi hayakutoa roho za watu wengi kama ilivyokuwa sheria hizo zikitumika iwe Apartheid ama Utumwa.

Mkuu namalizia na kuuliza tena zile sababu waloorodhesha kina Mkumbo hadi kufikia maamuzi ya mageuzi ni ya UONGO?.. Je Ukweli ni upi naomba maelezo kwa mtu yeyote anayefahamu undani wa kile kinachofanyika huko. Na ikiwa madai hayo ya waraka ni kweli tupu, wewe unaridhika na mfumo huo wa uongozi kiasi kwamba bora tufumike kombe (Zitto) wana haramu wapite(wanachama)
Wanajamvi, Kimweri ametoa angalizo zuri sana.
Kasema wapo wanaoamini lolote kutoka kwa Lissu au Mnyika hata kama halina maana Mkandara#169 kasema wengi wameifanya siasa kama Man U na Asenali.
Nami naongezea kuwa wapo wanaoamini fulani ni kiongozi mzuri sana hata kama hawana sababu za kutosheleza.
Hadi hapo tutakapoondoka katika mitazamo hiyo, tuna safari ndefu ya kuikwamua nchi hii.
Mkandara kwanza uniwie radhi kwa 'if nyingi' mkuu .
Nimeandika kwa fikra zangu nikiamini kile wanachosema ' kila mmoja yupo entitled to his/her own opinion'

Nimezungumzia mengi kwa uhalisia na wala si hisia.
Uhalisi niliouzungumzia miongoni mwa mengi ni haya
1. Kwamba Zitto na Kitila wameandika waraka wa siri -Uhalisia
2. Katika waraka huo wamemshirikisha Mwigamba na wengine-uhalisia
3. Ndani ya waraka wametoa hoja zao na nimezianisha katika bandiko#14- uhalisia
4. Kwamba waraka ulikuwa na kejeli, matusi na mipasho-uhalisia
5.KwambaKitila amekiri kushiriki kuandika waraka-uhalisia
6. Kwamba Zitto hajibu hoja zitokanazo anatembelea vituo vya redio kujisafisha-uhalisia
7. Kwamba Zitto ametumia hoja ya ukaguzi kwa manufaa yake-Uhalisia
8. Ametumia njia alizotumia kupokea milioni 10 za Barrick-uhalisia
9. Waraka umemshauri Zitto afanye mapenzi kwa siri na nepotism-uhalisia
10. Na waraka umelaani mapenzi kwa viongozi wa CDM-uhalisia
11. Bandiko#2 nikaweka vifupisho vya lugha zilizotumika-uhalisia
12. Nimeonyesha upotoshaji wa data-uhalisia

n.k.

Madai ya akina Zitto na Kitila tumeyaona, bandiko#14.
Kinachotukwamisha tusiyajadili hayo 10 ni baadhi yetu kuamini kuwa waraka ulikuwa na usahihi na ni halali.

Katika bandiko#10,11,12, nimeweka kwa mtazamo wangu makosa ya waraka.
Hapa sina maana makosa ya maoni ya waraka bali makosa ya waraka kama ulivyoandikwa na wasomi waliobobea, pili njia zilizotumika katika kufikisha maoni kwa wanademokrasia watarajiwa, upungufu wa hoja, tatu njia walizopaswa kutumia kama viongozi, upotoshaji uliopo ndani ya waraka na mwisho usaliti wa waandikaji kama viongozi

Leo tupo bandiko karibu la 200 hakuna hata mmoja, nasema hata mmoja aliyejibu makosa niliyoyaanisha na kunionyesha kuwa ima nimezua, sikutenda haki, sikuwaelewa au nimewabambikizia.

Kinachosemwa ni kuwa waraka ni halali na tatizo ni ueneykiti wa Zitto.
Hilo ndilo jibu na wala si yale yatokanayo na tuhuma alizopewa au zilizo katika waraka vyote viwili vikifanana sana.
Labda mtu auchukue waraka au aje na maoni ya kuonyesha kwanini akina Zitto walikuwa sahihi kuandika waraka.

Kuhusu historia za za vyama kama TAA na TANU Mkandara na Zakumi wanajenga hoja za kuvumiliana kwa kutumia historia za vyama hivyo wakiwataja akina Abdul Sykes na mapinduzi yao.

Wanatusaidia kujenga hoja kuwa TAA ilianza ikafuatiwa na TANU. Wapo wanachama ambao hawakuridhika na mwenendo wa TANU wakajimega na kuunda AMNUT.

Wengine wakaona sera si sahihi wakajiengua na kuunda UTP.
Hawa waifanya mambo yao hadharani baada ya kuyasema na kuona hawasikilizwi.
Hakuna sababu za kusema hawakuwa sahihi kwa mujibu wao, muhimu ni kutambua uhuru waliokuwa nao wa kuzungumza na hata kujiondoa katika vyama.

Kitila na Zitto ni vongozi wa ngazi za juu sana. Niltarajia wangekuwa mfano mzuri wa demokrasia ya karne ya 21 kwa kuwa wawazi pale wasiporidhika. Hawakuchukua mkondo huo, walichokifanya ni espionage na kutumia nafasi zao kutaka kuleta mageuzi ya kitu walichokisimamia kukiandaa na kukishauri kama naibu katibu mkuu na mshauri wa chama.
Sijui historia mnayoizungumzia inasemaje kuhusu hilo.

Hata kama wangefuata nyao za Abdul Sykes bado walipaswa kuvunja milango Kinondoni na kuwaondoa kama historia inavyosema. Hawakufanya hivyo, walichokifanya ni uchochezi ndani ya mitandao huku wakikaa katika vikao na kupanga yale wasiokubaliana nayo lakini walishiriki kuyaandaa. Sijui kama si unafiki na ni kitu gani kwa lugha ya kiswahili(Bandiko# 92)

Tukubaliane tu kuwa kuna matatizo na nashangaa kwanini watu waone hili wakati wengine tulishaliongelea miaka 2 iliyopita huku tukitahadharisha mtafaruku mkubwa ndani ya miezi 18 kama uongozi hautachukua hatua za makusudi za kujenga nidhamu ndani ya uongozi wenyewe na si kwa watu mmoja mmoja.

Tusione haya au kuwa na mapenzi yasiyo na sababu. Tuweni wakweli ili tusizidhulumu nafasi zetu kwa mapenzi tu.
Ukweli usemwe hata kama unauma. Ukweli utatuweka huru.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nguruvi3, heshima mbele. Nimeueatilia huu uzi tangia mwanzo bilakuchangia, I'm of opinion that you are taking side already umeshawahukumu akina Zitto. Hoja zako ziko implied zaidi kuliko "black & white" facts; yaani kama tunavyotafsiri aya za misahafu. Can you please; as moderator of this thread, assume a middld ground?
 
Last edited by a moderator:
Nimezungumzia mengi kwa uhalisia na wala si hisia.
Uhalisi niliouzungumzia miongoni mwa mengi ni haya
1. Kwamba Zitto na Kitila wameandika waraka wa siri -Uhalisia
2. Katika waraka huo wamemshirikisha Mwigamba na wengine-uhalisia
3. Ndani ya waraka wametoa hoja zao na nimezianisha katika bandiko#14- uhalisia
4. Kwamba waraka ulikuwa na kejeli, matusi na mipasho-uhalisia
5.KwambaKitila amekiri kushiriki kuandika waraka-uhalisia
6. Kwamba Zitto hajibu hoja zitokanazo anatembelea vituo vya redio kujisafisha-uhalisia
7. Kwamba Zitto ametumia hoja ya ukaguzi kwa manufaa yake-Uhalisia
8. Ametumia njia alizotumia kupokea milioni 10 za Barrick-uhalisia
9. Waraka umemshauri Zitto afanye mapenzi kwa siri na nepotism-uhalisia
10. Na waraka umelaani mapenzi kwa viongozi wa CDM-uhalisia
11. Bandiko#2 nikaweka vifupisho vya lugha zilizotumika-uhalisia
12. Nimeonyesha upotoshaji wa data-uhalisia

n.k.

Ukweli utatuweka huru.

Mkuu Nguruvi3, tungali tunafuatilia uzi huu muhimu ingawa sometimes tunatingwa na mambo kadhaa. Hata hivyo, rejea kwenye ushauri wa wachangiaji kadhaa. Usitafute upande madhali wewe ni moderator tena mchamubuzi huru tena mwenye credibility ya hali ya juu hapa Jukwaani.

Mwanzoni nilikuwa na swali moja lillilokuwa linanisumbua; kwamba tatizo ni Waraka au ua yaliyomo kwenye waraka? Kwa mujibu wa mabandiko yako kadhaa humu, nashukuru umelijibu swali hili hivyo sikuwa na haja kukuuliza. Kwamba tatizo si Waraka bali ni mazingira na yaliyomo kwenye Waraka(kama nimekuelewa vibaya uaweza kuweka sawa katika hili). Kwamba waraka umejaa matusi, kejeli, dharau tambo nk. Lakini pia umebainisha kuwa katika Waraka huo, ziko hoja za msingi zinazohitaji kujibiwa. Sasa nionavyo mimi, kama waraka si tatizo bali tatizo ni mazingira na yaliyomo katika waraka ni suala la busara kama Kamati Kuu ingekuja na majibu ya namna mbili. Kwanza onyo na adhabu kwa maeneo yenye tatizo katika Waraka. 2 Majibu na hatua zilizochukuliwa kwa yaliyotuhumiwa kutokana na waraka. Kwa vile Kamati kuu haikuweza kuja na majibu ya pande mbili, hapa ndipo akina Mkandara wanapoona kwamba bango la Zitto, Kitila na Mwigamba ni tactics za CDM kukwepa hoja za msingi na kucheza na sisi wapiga kura. Ni mazingira haya ndio wako wanaoamini CDM hawana hoja ya msingi ya maamuzi waliyoyafanya, ni kutokana na mazingira haya ndio yanayofanya wawepo wanaoamini kwamba kuna tatizo ndani ya CDM ambalo ni pamoja na umangimeza, utoto na ubinafsi-mambo ambayo hayatufai kwa tunaoona CDM kama mbadala wa CCM.

Lakini pia, labda mimi siko informed kuhusu wahusika wa Waraka. Nijuavyo mimi, Dkt. Kitila ndiye aliyekiri (hope na Mwigamba) kuandika waraka, na amebainisha kwamba mkusudiwa wa Waraka ambaye ni Zitto hakuhusika kuuandaa waraka, ingawa yeye ndiye mlengwa (Jambo ambalo ni possible katika ulimwengu wa siasa na uongozi). Sasa mkuu unaporejea mara nyingi kumhusisha Zitto directly na waraka kwamba kitendo cha Dkt Kitila kumkana ni mbinu ya kumuweka salama, unatumia evidence gani zaidi ya hii ya aliyeandika kukiri na kubainisha Zitto hakuhusika? Suala la Fedha za vyama vya siasa kuhusishwa na waraka kwamba ni sehemu ya utekelezaji wa waraka, itakuwa ni dhambi kubwa unayoifanya. Zitto amelitolea ufafanuzi jambo hili kuwa mchakato wake ulianza tangia 2009 na kinachofanyika sasa ni ukumbusho tu kwa CAG na wahusika wengine. Iweje hoja ya Ukaguzi ukaita ni utekelezaji wa waraka ulioandika 2013 hali ya kuwa msingi wa hoja ya ukaguzi ilianza 2009? Huoni kwamba unatumia hisia hapa ndugu yangu?

Aidha, miongoni mwa tuhuma nyingine ni kwamba Zitto amewakashfu viongozi wenzie kinyume cha taratibu za vyama; Je kilichofanywa na Lema, na wengine waliokuwa wakiposti taarifa na nyaraka kadhaa zinazomhusu Zitto si sehemu ya kashfa kwa kiongozi wao? Iweje Kamati kuu inashindwa kuwa mkweli katika hili? Ni hatua gani zimechukuliwa kwa watu hawa ambao mabandiko yao yapo hapa JF lakini sijaona bandiko la Zitto akiwajibu(yeye personally). Hapa unajenga hoja kwamba ni kwa kuwa Zitto anatekeleza Waraka asimjibu vibaya Lema et. al-ni kweli kwamba ulitaka Zitto naye aje atoe kashfa kama walivyotoa wao?

Mkuu wangu, rudi nyuma jadili jambo hili kwa kuwasaidia CDM maana kiukweli kuna tatizo ambalo wengi wetu(au mie binafsi nisingependa liendelee). Niliwahi kusema huko nyuma vijana wa CDM walioko makao makuu ni janga ima ni watoto sana na harakati za siasa, na nilitahadharisha kwamba wanachukua taarifa halali na za siri kutoka HQ na kuzileta hapa na kudai ni tetesi, kwamba ni hatari kwa afya ya chama. Leo nimeona bandiko moja likisema Zito, Kitila na Mwigamba waiangukia CDM kwa kuwasilisha utetezi wao na kuomba wasamehewe. Hii ina maana kuna "mtoto" hapo CDM HQ akaiona hii taarifa na kuileta hapa; haya ni mambo ya ndani tena ya vikao vya chama ni kwanini wanafanya utoto. Nadhani wewe ni mkomavu wa kutosha mambo ya chini ya jua tunayajua. Inaweza kutokea hali "mamlaka" zikatoa taarifa tofauti na uhalisia wa jambo ili kuokoa jambo fulani-hata walio serikalini wanjua vema jambo hili-ndio maana wanafushishwa adabu za kazi, siri za ofisi na msemaji wa ofisi. Kipindi cha nyuma niliwahi kuandika kwamba CDM wanatakiwa kuwahamishia mikoani timu yote iliyopo makao makuu ili kuweza kupima flow ya habari kutoka makao makuu..Nitaendelea ikibidi..
 
Last edited by a moderator:
Nimezungumzia mengi kwa uhalisia na wala si hisia.
Uhalisi niliouzungumzia miongoni mwa mengi ni haya
1. Kwamba Zitto na Kitila wameandika waraka wa siri -Uhalisia
2. Katika waraka huo wamemshirikisha Mwigamba na wengine

Mkuu Nguruvi3

Sijui kama umedhamiria kupotosha au huna taarifa sahihi. Hiki unachoongea hapa ni kipya kabisa!!! Una ushahidi wowote wa Zitto kuandika waraka wa siri? taking into account jukwaa tulilopo...
 
Last edited by a moderator:
@Kakalende , Zinedine
Mumeongelea suala la kuchukua upande katika timbwili hili.
Nadhani uzi umekuwa mrefu na upo uwezekano si kila post watu wameisoma napengine kufikia conclusion haraka.

Bandiko # nimesema tuabgalie pande zote kwa undani. Ndivyo tunavyofanya kwa kuzingatia waraka uliopo. Ni wazi kuwa wahusika wakuu wataangaliwa mara nyingi kuliko watu wengine nap engine kwa undani ili kujua msingi wa hoja

Bandiko#14 zimewekwa hoja zinazohitaji majibu kutoka katika uongozi ambazo zipo ndani ya waraka ikiwa ni pamoja na hoja za wachangiaji wengine.
Katika hoja 10 ni moja inayohusu ratiba ya uchaguzi iliyojibiwa

Kuhusu suala la Lema, katika uzi wake niliwasihi viongozi wa CDM na hasa Mbowe aache ziara ya mwanza asuhgulikie nidhamu mbovu inayooendelea. Nikasema Lema anachokifanya ni makosa na utoto.
Yapo masuala ya kuzungumzika kama viongozi

Kuhusu hatua dhidi ya akina Kitila na MkumboTulililongelea ya kamati kuu kukaa na akina Mchambuzi.
Tukasema lazima kiwepo chombo tofauti haki itendeke.
Haiwezekani watuhumiwa(uongozi) wakawa walalamikaji, waendesha mashtaka na mahakimu. Kwa kukurupuka kwao hawakufanya hivyo.

Tukazungumzia sababu za kuziba nafasi za akina Zitto haraka kwasababu bado kuna haki ya wao kukata tufaa. Itakapobainika vinginevyo litakuwa kosa la kiuongozi. Mwanasheria wa Zitto kalisema hilo kama sehemu ya madai dhidi ya hatua zizlizochukuliwa kwa mteja wake

Tumeogelea kuhusu ziara ya Dr Slaa kama ina umuhimu wakati tatizo lipo makao makuu. Hatukusema ni Zitto au Kitila bali makao makuu kwa maana ndani ya uongozi. Hili lilisemwa kuonyesha kuwa tatizo ni la kiuongozi kwa ujumla
Tukasema hatua za Zitto kupita katika vyombo vya habari ni mbovu.

Mwanasheria wa Zitto amesema wataka rufaa kupinga maamuzi. Huo ndio ukomavu wa kisiasa na si
kuendelea kujisafisha kwa njia za kuua chama chao.

Ninafahamu wapo wapenzi na mashabiki ambao kwao hoja lazima ijengwe kwa Usimba na Uyanga.
Wengine wamefikia hatua ya kusema Zitto si mshiriki hata kama wanajua alishaanza kuufanyia kazi waraka.

Kwa Zitto ni ngumu sana kuwa na evidence kwasababu ya ujanja na nia ya kumuokoa hasa katika nafasi ya ubunge.
Huo ni ukweli na ndicho alichokifanya Kitila. Kwamba abebe mzigo kwa kumuokoa mshirika.

Zitto amehusika kwa matendo na tumeyaonyesha. Ametoa bomu la fedha kama alivyoelekezwa na waraka, ameshiriki kampeni kama alivyoelekezwa na waraka n.k. Ni sawa na kusema Zitto hakuchukua mlungula wa Barrick, lakini logically alifanya hivyo.Ni sawa na kusema Chenge hakula rushwa ya mikataba mibaya lakini logically alifanya hivyo.

Vyama vya kisiasa ni taasisi na zijengwe kwa misingi hiyo na siyo mapenzi au umaarufu wa mtu mmoja.
Kuna tatizo gani kusema hapa ni sawa pale si sawa?
 
Moja ya chanzo cha migogoro ya namna hii ni kutokana na vyama vyetu vya siasa kutokuwa institutionalized. Tatizo hili lipo ndani ya vyama vyote including CCM. Chadema needs to build its institution and stop depending on individuals. Institutionalizing a political party lazima ianze by "separating leadership of parties" from "national leadership". Wale wenye elective political positions kama vile Wabunge, mawazirim Rais wa nchi - hawatakiwi kushika nafasi zozote za uongozi ndani ya chama. Chama kinatakiwa kuwa na staffers na officials elected just to grow the party and organize party activities. Kwa kufanya hivi, kutapunguza (na hata eliminate) ‘personality clashes among politicians ndani ya Chama, ambazo mara nyingi hupelekea chama kugawanyika au kufa. Hii ni moja ya effective ways of depersonalizing political parties. Chadema wajifunze na ikiwezekana should adopt Unites States' party leadership. Chadema waanze kuwaondoa wabunge wake wote kwenye uongozi wa Chama – kwa mfano Mbowe, Lissu, Mnyika.

Nafasi zote za uongozi ndani ya Chama ni muhimu zipatikane via popular vote ya party members. Kwa kufanya hivyo, it will enhance internal democracy na kupalilia democratic values and ethics, mambo ambayo hayapo katika political landscape ya nchi yetu. Uongozi unaopatikana kupitia kura za wanachama lazima uwe na uwezo to – inspire and weld members together kuwa one strong POLITY, na kuzaa an organizational setup based on principles, with a strong sense of identity, commitment and purpose.

Sakata la Zitto (a similar crisis is imminent in CCM kuelekea 2015) ni ushahidi kwamba Chadema has SUPPORTERS, not MEMBERS. Kuna haja ya Chadema kuwekeza katika juhudi zaku recruit, inspire and retain wanachama ili to give life and sufficient Human Capital kwa chama. Chama kiweke mikakati na malengo ya kujenga Human Capital in the institution, sio kujenga Personalities.
 
Moja ya chanzo cha migogoro ya namna hii ni kutokana na vyama vyetu vya siasa kutokuwa institutionalized. Tatizo hili lipo ndani ya vyama vyote including CCM. Chadema needs to build its institution and stop depending on individuals. Institutionalizing a political party lazima ianze by "separating leadership of parties" from "national leadership". Wale wenye elective political positions kama vile Wabunge, mawazirim Rais wa nchi - hawatakiwi kushika nafasi zozote za uongozi ndani ya chama. Chama kinatakiwa kuwa na staffers na officials elected just to grow the party and organize party activities. Kwa kufanya hivi, kutapunguza (na hata eliminate) ‘personality clashes among politicians ndani ya Chama, ambazo mara nyingi hupelekea chama kugawanyika au kufa. Hii ni moja ya effective ways of depersonalizing political parties. Chadema wajifunze na ikiwezekana should adopt Unites States' party leadership. Chadema waanze kuwaondoa wabunge wake wote kwenye uongozi wa Chama – kwa mfano Mbowe, Lissu, Mnyika.

Nafasi zote za uongozi ndani ya Chama ni muhimu zipatikane via popular vote ya party members. Kwa kufanya hivyo, it will enhance internal democracy na kupalilia democratic values and ethics, mambo ambayo hayapo katika political landscape ya nchi yetu. Uongozi unaopatikana kupitia kura za wanachama lazima uwe na uwezo to – inspire and weld members together kuwa one strong POLITY, na kuzaa an organizational setup based on principles, with a strong sense of identity, commitment and purpose.

Sakata la Zitto (a similar crisis is imminent in CCM kuelekea 2015) ni ushahidi kwamba Chadema has SUPPORTERS, not MEMBERS. Kuna haja ya Chadema kuwekeza katika juhudi zaku recruit, inspire and retain wanachama ili to give life and sufficient Human Capital kwa chama. Chama kiweke mikakati na malengo ya kujenga Human Capital in the institution, sio kujenga Personalities.
Well said mkuu, na culture ya kudhani personality ni muhimu sana kuliko institution ifike mwisho.
Lazima vyama vielewe kuwa uongozi ni fursa na heshima ya kukitumikia chama na si vinginevyo.

Njia rahisi ya kuachana na culture ya personality ni kusimama katika taraibu, maadili na sheria.
Ni pamoja na kuchukua hatua kali na za makusudi kuhakikisha wenye personality wanazitumia kwa faida ya taasisi zao na wala si kwa ajili yao. Ni kusimama katika ukweli bila kupinda sheria.
Kutambua umuhimu wa mchango wa kila mmoja na si wa mmoja.

Hakuna institution imara isiyo na nidhamu na hapo ndipo pa kuanzia.

 
Moja ya chanzo cha migogoro ya namna hii ni kutokana na vyama vyetu vya siasa kutokuwa institutionalized. Tatizo hili lipo ndani ya vyama vyote including CCM. Chadema needs to build its institution and stop depending on individuals. Institutionalizing a political party lazima ianze by "separating leadership of parties" from "national leadership". Wale wenye elective political positions kama vile Wabunge, mawazirim Rais wa nchi - hawatakiwi kushika nafasi zozote za uongozi ndani ya chama. Chama kinatakiwa kuwa na staffers na officials elected just to grow the party and organize party activities. Kwa kufanya hivi, kutapunguza (na hata eliminate) ‘personality clashes among politicians ndani ya Chama, ambazo mara nyingi hupelekea chama kugawanyika au kufa. Hii ni moja ya effective ways of depersonalizing political parties. Chadema wajifunze na ikiwezekana should adopt Unites States' party leadership. Chadema waanze kuwaondoa wabunge wake wote kwenye uongozi wa Chama – kwa mfano Mbowe, Lissu, Mnyika.

Nafasi zote za uongozi ndani ya Chama ni muhimu zipatikane via popular vote ya party members. Kwa kufanya hivyo, it will enhance internal democracy na kupalilia democratic values and ethics, mambo ambayo hayapo katika political landscape ya nchi yetu. Uongozi unaopatikana kupitia kura za wanachama lazima uwe na uwezo to – inspire and weld members together kuwa one strong POLITY, na kuzaa an organizational setup based on principles, with a strong sense of identity, commitment and purpose.

Sakata la Zitto (a similar crisis is imminent in CCM kuelekea 2015) ni ushahidi kwamba Chadema has SUPPORTERS, not MEMBERS. Kuna haja ya Chadema kuwekeza katika juhudi zaku recruit, inspire and retain wanachama ili to give life and sufficient Human Capital kwa chama. Chama kiweke mikakati na malengo ya kujenga Human Capital in the institution, sio kujenga Personalities.

Mchambuzi;

Nakubaliana na wewe kimsingi. Lakini hili viwe ni taasisi ni lazima viwe na wamiliki wenye nia na ambao wapo kujitolea kwa mali na rasilimali hili kutetea na kulea itikadi ya chama. Na njia ya muhimu kuwapata wamiliki hao, vyama viendelezwe kwa kutumia michango ya wanachama wake.

Kwa sasa ruzuku za kutoka serikalini na vyama vya siasa vilivyo nje ya Tanzania, hazisaidii kukuza demokrasia. Kuna vyama vimeanzishwa Tanzania kwa sababu ya kupata ruzuku. Kuna vyama vimeanzishwa hili vipate misaada kutoka vyama vya kisiasa vilivyopo katika nchi zilizoendelea.

Kuna watu wamo kwenye payroll la CCM na CDM, na hawajulikani kazi zao ndani ya chama nini. Kuna watu hapa JF ni wasemaji wakubwa wa CCM na CDM lakini hatujuhi nafasi zao ndani ya chama ni zipi. Vilevile viongozi wa auxiliary organizations ndani chama kama vile baraza la vijana au wanawake, wafanye kazi zao kwa kujitolea. Hawa wanatakiwa wawe na day jobs.
 
Mkandara;

Hivi vyama vinaanzishwa tunaviona. Na historia ya vyama hivi kama ulivyogusia kidogo hapo juu tunaijua. Lakini uchambuzi wa Nguruv3 na Mchambuzi unalenga sana kwenye potential ya CDM kuwa chama mbadala ambacho kinaweza kushika madaraka 2015 na kuwaondolea watanzania matatizo yanayoletwa na CCM. Wanajaribu sana kufumbia macho historia. Na hili ni kosa ambalo watanzania walilifanya 1995.

Mrema aliipa CCM changamoto katika uchaguzi wa 1995 kwa sababu watu walitaka mabadiliko, lakini chama alichogombea na yeye mwenyewe walikuwa wana ulakini. Migogoro ya ndani ya CDM inafanana na migogoro ya NCCR baada ya uchaguzi wa 1995. Tofauti kubwa ni nani wanaogombana. Na bahati nzuri kwa kipindi cha sasa ni kuwa kiongozi wa CCM wa sasa hana nguvu za kuwaunganisha wenzake na performance yake as leader is questionable.

Hili CDM kiwe chama kinachoweza kuhimili misukumo ya ndani na nje, ni lazima kipate viongozi na wanachama wenye nia na moyo. Wachukue mfano kutoka kwa viongozi na wanachama mwisho wa TAA na mwanzo wa TANU. Nyerere alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa TAA, walimkubali mara moja. Na yeye alikubali kwa kuonyesha nia na moyo wa kuwatumikia waliomchagua.

Zuberi Mtemvu alipojitoa TANU, hakujitoa kwa sababu uongozi mbaya, ukabila, ukanda, au udini. Alijitoa kwa sababu ya kifalsafa ya uzawa. Kwa kipindi cha sasa migogoro ndani ya vyama vya kisiasa, sio migogoro ya kifalsafa. Ni migogoro inayotokana na maslahi binafsi ya viongozi wa vyama. Hii ni hatari kubwa hususa kwa vyama vya upinzani.

TANU ilipigania uhuru kwa kutumia resources za viongozi na wanachama. Pamoja na kuwa na kisomo kidogo kama sisi tunavyotaka kusema, lakini viongozi na wanachama wa mwanzo walikuwa ni waaminifu. Makatibu na ambao walikuwa waweka fedha hawakujitajirisha na ada au michango ya wanachama. Matumizi ya ruzuku na wahisani mbalimbali inawafanya viongozi wa vyama vya upinzani kupoteza focus.
Mkuu umemaliza kiu yangu. nadhani wamekusoma na kuuelewa maana mimi nazunguka sana kutokana na uchungu wa chama, nawe kama mtazamaji nje ya ulingo nadhani unatusoma vizuri kupitia luninga maana unaziona kona zote kwa wakati mmoja na unaweza rewind...
 
Mchambuzi;

Nakubaliana na wewe kimsingi. Lakini hili viwe ni taasisi ni lazima viwe na wamiliki wenye nia na ambao wapo kujitolea kwa mali na rasilimali hili kutetea na kulea itikadi ya chama. Na njia ya muhimu kuwapata wamiliki hao, vyama viendelezwe kwa kutumia michango ya wanachama wake.

Kwa sasa ruzuku za kutoka serikalini na vyama vya siasa vilivyo nje ya Tanzania, hazisaidii kukuza demokrasia. Kuna vyama vimeanzishwa Tanzania kwa sababu ya kupata ruzuku. Kuna vyama vimeanzishwa hili vipate misaada kutoka vyama vya kisiasa vilivyopo katika nchi zilizoendelea.

Kuna watu wamo kwenye payroll la CCM na CDM, na hawajulikani kazi zao ndani ya chama nini. Kuna watu hapa JF ni wasemaji wakubwa wa CCM na CDM lakini hatujuhi nafasi zao ndani ya chama ni zipi. Vilevile viongozi wa auxiliary organizations ndani chama kama vile baraza la vijana au wanawake, wafanye kazi zao kwa kujitolea. Hawa wanatakiwa wawe na day jobs.
Mkuu wangu ebu turudi nyuma ktk historia yetu. Wale wadhamini wa TANU walomsaidia mwalimu kwa fedha na gharama zote unataka kusema ndio walikuwa wamiliki wa chama?.

Ikiwa hivyo, basi bila shaka yule mhindi alotupa mabillioni alitakiwa kuwa mmiliki maana sidhani kama hata mzee Mtei kisha toa fedha hiyo.Na kama ndivyo mbona yule mwenyekiti wetu wa Singida leo anaitwa Mhaini na msaliti wakati katumia mali na rasilimali zake kuliko hata wewe na mimi hapa! Uzalendo wa kiongozi ama mwanachama haupimwi kwa mali na rasilimali anazotumia bali ushirika wake, jasho lake na kujitoa mhanga kama kina Mandela, Oliver Tambo na Steve Biko.

Vyama vyote duniani huwa vina wafadhili wake na hawa hutokana na mapenzi yao kwa mrengo na sera za chama hicho iwe kwa kuelewa waakuja faidika pindi sera gizo zikipita ama wakisaidia mageuzi. Chama chochote cha kisiasa kinachomilikiwa na mtu ama watu fulani basi jua kuwa hawa ni MADIKTETA wanaotaka kutawala wao kwa kutumia nguvu ya fedha zao. Na sidhani kama kweli kina mMbowe wanafanya haya kwa nia ya kuwa madikteta lakini ndivyo itakavyo someka.

Sahihisho:- Huu waraka sisi wote tumeusoma na hakuna mahala hata pamoja imeonysha Zitto anahusika na uandishi wa huo waraka - HAKUNA. Yeye ni mtajwa tu, ndiye alopendekezwa na hicho kikundi iweje matusi na chuki yote yawe kwa ZItto?. Kwa nini haswa kupendekezwa kwake ndiko kunauma ama? Kw ahiyo ukiondoa jina la Zitto kama mwandalizi wa mageuzi hayo ya waraka huo, Uhalisia wa maelezo yako yote unaondoka...

Swali,ingiwa huu waraka unaitwa wa siri - ati kama walikuwa na mashaka walitakiwa kuyapeleka malalamiko hayo ktk vikao vya chama..Je, hivi kweli haya malalamiko ndio kwanza hata sisi ndio tumeyasoma ktk waraka huo ama yamezungumzwa na viongozi wengi walokwisha pita!..Binafis nimeoana machache sana mageni lakini kila kilichoandikwa nimesha kisoma tena hapahapa JF na hatukuona majibu wala mabadiliko yoyote ktk utekelezaji wake isipokuwa wote walodai hivyo huitwa wasaliti na mapandikizi wa CCM - Jamani mwee What's going on?..

Ikiwa ni kweli mahesabu ya chama hiki yanajulikana na watu watatu tu, toka 2010 hakuna mwaka wajumbe wa kamati kuu waliwahi kusomewa matumizi ya mwaka ulopita! mkuu huoni kama hili ni janga kubwa sana maana kwa tabia hii tukija shika nchi itakuwaje?. Na hii sio siri ama huko inaitwa jina jingine?. Mkuu wangu hata co-ops, asasi na Jumuiya za Watanzania nje na ndani huonyesha matumizi yao kwa kila mwaka ktk vikao vyao vya kufunga mwaka, iweje Chadema chama kubwa (mbadala) iwe siri ya watu watatu tu, kiasi kwamba hata Naibu katibu wa chama hajui kinachoendelea?..Hii ni kusema kwamba Zitto hakuaminika toka ameingia madarakani sasa tujiulize kwa nini alipewa nafasi ile ikiwa haaminiki?. Na wajumbe wengine pia hawaaminiki? kina ani haswa wanaoaminika kuwa kweli ndio i wana Chadema damu.
 
Mkuu wangu ebu turudi nyuma ktk historia yetu. Wale wadhamini wa TANU walomsaidia mwalimu kwa fedha na gharama zote unataka kusema ndio walikuwa wamiliki wa chama?. basi bila shaka yule mhindi alotupa mabillioni alitakiwa kuwa mmiliki maana sidhani kama hata mzee Mtei kisha toa fedha hiyo. Uzalendo wa kiongozi ama mwanachama haupimwi kwa mali na rasilimali anazotumia bali ushirika wake, jasho lake na kujitoa mhanga kama kina Mandela, Oliver Tambo na Steve Biko.

Vyama vyote duniani huwa vina wafadhili wake na hawa hutokana na mapenzi yao kwa mrengo na sera za chama hicho iwe kwa kuelewa waakuja faidika pindi sera gizo zikipita ama wakisaidia mageuzi. Chama chochote cha kisiasa kinachomilikiwa na mtu ama watu fulani basi jua kuwa hawa ni MADIKTETA wanaotaka kutawala wao kwa kutumia nguvu ya fedha zao. Na sidhani kama kweli kina mMbowe wanafanya haya kwa nia ya kuwa madikteta lakini ndivyo itakavyo someka.

Sahihisho:- Huu waraka sisi wote tumeusoma na hakuna mahala hata pamoja imeonysha Zitto anahusika na uandishi wa huo waraka HAKUNA. isipokuwa ndiye alopendekezwa na hicho kikundi iweje matusi yote yawe kwa ZItto?.

Swali jingine ingiwa huu waraka unaitwa wa siri na kama walikuwa na mashaka walitakiwa kupeleka malalamiko hayo ktk vikao vya chama..Je, haya malalamiko ndio kwanza tunayasoma ktk waraka huo ama yamezungumzwa na viongozi wengi walokwisha pita na hatukuona majibu wala mabadiliko yoyote ktk utekelezaji wake isipokuwa wote walodai hivyo huitwa wasaliti na mapandikizi wa CCM - What's going on?..

Ikiwa ni kweli mahesabu ya chama hiki yanajulikana na watu watatu tu, hakuna mwaka wajumgbe wa kamati kuu waliwahi kusomewa matumizi ya mwaka ulopita huoni kaa hili ni tatizo kubwa sana maana kwa tabia hii tujkija shika nchi itakuwaje?.. Mkuu wangu hata co-ops, asasi na hata Jumuiya za Watanzania huonyesha matumizi yao kwa kila mwaka ktk vikao vyake vya kufunga mwaka, iweje Chadema chama kubwa iwe siri kiasi kwamba hata Naibu katibu wa chama hajui?..Hii ni kusema kwamba Zitto hakuaminika toka ameingia madarakani sasa tujiulize kwa nini alipewa nafasi ile ikiwa haaminiki?.

Mkandara;

Nilipozungumzia wamiliki nilikuwa na maana kuwa kuna vyama vya siasa na vyama vya kijamii nchini Tanzania ambavyo vinategemea mapato ya kutoka vyama vya kirafiki vilivyopo nje ya Tanzania au ruzuku ya kutoka serikalini. Malengo ya kusaidiwa na vyama vya kirafiki ni mazuri, lakini kwa sababu nia kubwa ya viongozi kuanzisha au kuwa madarakani katika taasisi hizo ni kupata misaada, watanzania walengwa wananyimwa haki za kumiliki vyama hivyo.

Kwa mfano vyama vya Democrats na Republican zina mafungu ya kusaidia vyama vyenye malengo yenye kufanana katika nchi zinazoendelea. Je mapato kama haya yanapokwenda CCM, CDM, TLP au CUF, yanatumika vizuri?
 
Nafuatilia mjadala huu kwa makini sana ila pia nimenote impaired objectivity ya baadhi ya great thinkers wetu humu!.
Tuendeleeni tuu kitu kimoja pekee kuhusu Chadema, ukweli ndio utakaosimama na kushinda test in time!.
Malipo ya uonevu huwa yanalipwa na "karma" kwa Kuala la kina Zitto, Mwigamba na Kitila, naomba kuwatangulizia pole ahead of 2015!, with the bad karma created, kuna watu hata hiyo 2015 hawatafika!.
How could they!?.
Pasco
 
Back
Top Bottom