Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Aisee hizi pua na marehemu na za daimond zimefanana kumbe aisee. Ila mtoto wa Daimond huyu kabisa watu waache kabisaKama Mapacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hizi pua na marehemu na za daimond zimefanana kumbe aisee. Ila mtoto wa Daimond huyu kabisa watu waache kabisaKama Mapacha
Mtakuja muumbuke...watoto wanabadilika badilika mno hata dadake mlisema kafanana na marehemu.
Tanzania kuna wachawi aisee.. Yani watu wanaloga hadharaniukuda, umbea, roho mbaya, wivu, majungu, udaku, unafiki,urozi,chuki, ndo wabongo mlivyowekeza kuliko kufanya kazi.
Sasa extent ni ipi? Ukishayaweka mambo yako hadharani usitegemee kuwapangia watu tena chakusema juu yako. Ukipenda sifa penda na kinyume chake maana hamna namna.nmepita njia hyohyo uliokujia nayo wewe mkuu,sio vibaya kuwajadili wasanii,hususan hawa waliomua kujianika maisha yao hadharani,lakini not to that extent aisee,hususan kama mleta uzi ni mwanaume.
Sasa extent ni ipi? Ukishayaweka mambo yako hadharani usitegemee kuwapangia watu tena chakusema juu yako. Ukipenda sifa penda na kinyume chake maana hamna namna.
Kabisa watu hawajui kufananisha . au kisa kasema mange?Plus Midomo na Miguu....
Mtoto hana miguu kama ya diamond, mtoto hana mwili /afya ndo maana miguu inaonekana myembamba. Huyu mtoto akipata lishe ya nguvu hiyo miguu ni minene kabisa.Plus Midomo na Miguu....
Ohoooooo!!!![]()
-Ndumilakuwili-
Basi kuna watu wakiona hivi Wanaumia roho hatari, akija hapa anamaliza hasira zake kwa kuandika Nonsense.......
Mtoto anaweza fanana na wewe kumbe kazaa na mdogo wako, mjomba wao au baba yako..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wachonganishi hawana kazi za kufanya kabisa. Sasa ukiwafuata tu, unakuwa maskini. Na ukiona watu wanafuatilia mambo ya mtu, ujue wanalala njaa.Pua
Midomo
Macho
Vyote wanafanana wabongo wachonganishi.