Dialysis
JF-Expert Member
- Sep 22, 2021
- 325
- 677
Liko wapi sasa hivi ?Magufuli sijui lilikuwa lina hofu nini kuachia madaraka kwa amani.
Aliwaza kufikia madarakani tu jambo ambalo alifanikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Liko wapi sasa hivi ?Magufuli sijui lilikuwa lina hofu nini kuachia madaraka kwa amani.
Aliwaza kufikia madarakani tu jambo ambalo alifanikiwa
Sasa sijui hit sheria wataifuta au?Jaji:
Na kwamba sheria kumpa msajili uhuru wa kuingilia mambo ya ndani ya chama cha siasa!
Na kwamba msajili sio mtu huru kwa kuwa anateuliwa na mwenyekiti wa chama cha siasa.
Ni maoni ya mahakama hii kuwa sheria hii inampa msajili nguvu kubwa dhidi ya vyama vya siasa jambo ambalo ni kinyume cha mkataba wa Jumuiya
Hitimisho
Mahakama hii ina declare kuwa sheria ya vyama vya siasa inakiuka vifungu vya mkataba sehemu 6d 72 ya Jumuiya ya Afrika
Jamhuri ya Tanzania inaamriwa kurekebisha sheria ya vyama siasa iendane na mkataba.
Gharama za kesi kwa kila mmoja
Jaji anahitmisha
These Smart People May Allah Bless them.
Magufuli alikuwa anawasukuma watendaji wake kufanya lolote alilo ona linamfaa.Mama atafika 2025 amechoka sana. Hii mikwaju huku na kule juu na chini.
Kwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
P
Mbowe saivi ni kama remote tu sio yeye, hakuna tena kitu hapo ni vile moshi unaonekana kufuka tu lakini moto ushamwagiwa maji zamani, kwisha chademaItakumbukwa kwamba Chadema ilifungua kesi ya kupinga mabadiliko ya sheria za vyama vya siasa nchini Tanzania yaliyopitishwa na bunge bila aibu ili kuua demokrasia na kukandamiza vyama vya upinzani, Kesi hiyo ilifunguliwa mwaka 2020 kwenye Mahakama ya Afrika Mashariki iliyoko Arusha.
Leo Hukumu ya kesi hiyo inasomwa, Tayari Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema amekwishafika Mahakamani hapo akiambatana na Wakili wa chama chake John Mallya.
Pia, soma:
1). Vyama vya Upinzani vyafungua kesi kwenye Mahakama ya Afrika Mashariki kupinga Sheria kandamizi ya vyama vya siasa kutumika
UPDATE
----
Hakuna cha kushupaza shingo. Hakuna sheria ya kuilazimisha nchi yoyote kutekeleza uamuzi wa mahakama hii na ndio maana gharama za kesi hizi kila mmoja anabeba msalaba wake ajijue kuwa ameshinda au ameshindwa na ndio mwisho wake hapo.Wazee wakushupaza shingo sijui kama watatekeleza maana hata swala la mgombea binafsi lilipuuzwa wanatakiwa kupigiwa kelele.
Mama yako ana majeshi, dola na chama tawala mikononi mwake, nani wa kumuondoa!Kwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
P
Unaifaham hii EACJ..?Lakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi
Masikini weeeee!!!!Lakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi
Kibaraka mkubwa muimba mapambioKwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
P
Katiba mpya ni sasaMajaji wetu tume ya uchGuzi, vyama vya siasa ni wazi wanachangia kutupa sheria mbaya unashangaa ujaji wameupataje. Haya mambo yanaonyesha umuhimu wa katiba mpya.
Soma uelewe uache kuhemuka.Lakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi
Lala KwanzaLakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi
Mahakama iliyoamua kesi hii ni ya Afrika Mashariki,iliyoamua kesi ya Mbowe ya ugaidi ni ya Tanzania.Lakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi