Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza hasira huu mchezo hauitaji ku panic.Mbowe saivi ni kama remote tu sio yeye, hakuna tena kitu hapo ni vile moshi unaonekana kufuka tu lakini moto ushamwagiwa maji zamani, kwisha chadema
Yule mliyempa ukuu wa mkoa kwa makengeza yenu mlimuona mwanaume au mwanamke anakuwa mwanamke mpaka awe mwanaccm?Kwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
P
Kwani huko Kingai hakuwepo, na PGO ilitumika?Itakumbukwa kwamba Chadema ilifungua kesi ya kupinga mabadiliko ya sheria za vyama vya siasa nchini Tanzania yaliyopitishwa na bunge bila aibu ili kuua demokrasia na kukandamiza vyama vya upinzani, Kesi hiyo ilifunguliwa mwaka 2020 kwenye Mahakama ya Afrika Mashariki iliyoko Arusha.
Leo Hukumu ya kesi hiyo inasomwa, Tayari Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema amekwishafika Mahakamani hapo akiambatana na Wakili wa chama chake John Mallya.
Pia, soma:
1). Vyama vya Upinzani vyafungua kesi kwenye Mahakama ya Afrika Mashariki kupinga Sheria kandamizi ya vyama vya siasa kutumika
UPDATE
----
bado haujachoka tu kuwania uteuziKwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
P
kama umepakatwa jichomoe kwanza ndio uje tujadiliLakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi
Sema wewe Kama Paschal umeamua hivyo usijumuishe watz wote.Kwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
P
Kwa hiyo unasemaje kwamfano,hujui Ile ilikuwa ya kimchongo🤔Lakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi
Hahaaa. Uzalendo kweli kweli.Kwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
P
Ushauri wako tume upuuza.Kwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
P
Italazimishwa tuJe serikali itatekeleza?
Hiyo mahakama inao uwezo wa kukazia hukumu?
Kwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
PWatanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Wanabodi, Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari. Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha...www.jamiiforums.com
Hata WEWE ni kibaraka mkubwa na muimba mapambio wa Mbowe kama wenzako.Kibaraka mkubwa muimba mapambio
We mzalendo? Umeamua na nani? Kwa nini mnajipachika wasifu usio wahusu? Hamna mzalendo double standard, kujipendekeza, kuvizia, haipo!Kwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
PWatanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Wanabodi, Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari. Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha...www.jamiiforums.com