EACJ: Vyama vya Upinzani vyashinda kesi dhidi ya Tanzania, kuhusu mabadiliko ya Sheria za Vyama vya Siasa

Sasa sijui hit sheria wataifuta au?
 
Enzi za JPM na Kabudi Tz ilijitoa kwenye hii mahakama, sijui kama ilisharudi...
 
Mbowe saivi ni kama remote tu sio yeye, hakuna tena kitu hapo ni vile moshi unaonekana kufuka tu lakini moto ushamwagiwa maji zamani, kwisha chadema
 
Wazee wakushupaza shingo sijui kama watatekeleza maana hata swala la mgombea binafsi lilipuuzwa wanatakiwa kupigiwa kelele.
Hakuna cha kushupaza shingo. Hakuna sheria ya kuilazimisha nchi yoyote kutekeleza uamuzi wa mahakama hii na ndio maana gharama za kesi hizi kila mmoja anabeba msalaba wake ajijue kuwa ameshinda au ameshindwa na ndio mwisho wake hapo.

Hivyo sheria ya Vyama vya Siasa lazima iheshimiwe na itaendelea kutekelezwa kama ilivyo na Chadema lazima waiheshimu wakiikiuka watawakuta kwa mujibu wa Sheria za Tanzania

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Majaji wetu tume ya uchGuzi, vyama vya siasa ni wazi wanachangia kutupa sheria mbaya unashangaa ujaji wameupataje.

Haya mambo yanaonyesha umuhimu wa katiba mpya.
 
Majaji wetu tume ya uchGuzi, vyama vya siasa ni wazi wanachangia kutupa sheria mbaya unashangaa ujaji wameupataje. Haya mambo yanaonyesha umuhimu wa katiba mpya.
Katiba mpya ni sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…