EACJ: Vyama vya Upinzani vyashinda kesi dhidi ya Tanzania, kuhusu mabadiliko ya Sheria za Vyama vya Siasa

Je serikali itatekeleza?

Hiyo mahakama inao uwezo wa kukazia hukumu?
 
Yule mliyempa ukuu wa mkoa kwa makengeza yenu mlimuona mwanaume au mwanamke anakuwa mwanamke mpaka awe mwanaccm?

Mbona mlimuibia vijikura vyake japo vichache, nyie watu wakatili sana kuliko Carl Peters.
 
Kwani huko Kingai hakuwepo, na PGO ilitumika?
 

Hivi bado tu hujaunyaka uteuzi sheikh? So sad!
 
We mzalendo? Umeamua na nani? Kwa nini mnajipachika wasifu usio wahusu? Hamna mzalendo double standard, kujipendekeza, kuvizia, haipo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…