Historia yake huyu binti anaonekana kateseka sana....katoka familia maskini sana...... kafanya kazi za kimaskani sana....anaanza kutoka kidogo.....familia sasa inaanza kutabasamu kidogo .....lakini akiwa hajafanya cha maaana......anaingia adui mapenzi.......anaivuruga akili yake......anasahau kutafuta mchumba wa kaliba yake kijijini .....anajiona wa mjini....anaokota na yeye magumekonki yaliyokubuhu mjini...yanayotumia kila ya haramu...eti naye aonekani wa mjini.....ona..sasa!!!!! si mkatoliki huyu??? kwanini asingefuata tamaduni za kikatoliki kumpata mume bora!!!!!?? si mkerewe huyu!!!!??? kwa nini asingefuata mila za ku ukerewe kumpata Mume anayeendana naye!!!!?? haya mchuma janga hula na wa kwao
Kwa hiyo ebitoke aliend mshambulia anayemla jamaa yake na huyu kaka lienda mshambulia anayemla mtu wake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] amloge tena?Arudishe pesa za mtoto wa watu, mjini kaja muda mrefu alikuwa anafanya nini? Kama kweli Ebitoke mshitaki tu arudishiwe mpunga wake. Au mloge tu kwani nini bana
Hiyo movie inaitwaje
UHii itakua bongo movie pia. Lakini kama ni kweli basi huyo dogo ana matatizo, analilia dyudyu hadi kwa presser?
Kama ni kweli that young lady has tarnished her brand image for good, hatakapata tena matangazo wala u- brand ambassador tena.
Wasanii wetu wafundishwe jinsi ya ku-protect reputations zao at any costs. Kwenye kitabu cha 48 rules of power Robert Greene kwenye no 5 anasema, guard your reputation with your life, much depends on reputation.
Haka katoto kama ni kweli kanategemea nani tena atakuja kukapa deals za kazi huku hakawezi kudhibiti mihemuko yake ya mapenzi, hakawezi kujizuia. Shule ndogo na exposure ndogo ni matatizo.
Hapa nimeamini kuwa kile kitabu cha Green ni applicable to real lifeHii itakua bongo movie pia. Lakini kama ni kweli basi huyo dogo ana matatizo, analilia dyudyu hadi kwa presser?
Kama ni kweli that young lady has tarnished her brand image for good, hatakapata tena matangazo wala u- brand ambassador tena.
Wasanii wetu wafundishwe jinsi ya ku-protect reputations zao at any costs. Kwenye kitabu cha 48 rules of power Robert Greene kwenye no 5 anasema, guard your reputation with your life, much depends on reputation.
Haka katoto kama ni kweli kanategemea nani tena atakuja kukapa deals za kazi huku hakawezi kudhibiti mihemuko yake ya mapenzi, hakawezi kujizuia. Shule ndogo na exposure ndogo ni matatizo.
Haha labda mlela alikuwa anachomoa na kumwaga njeeHapo ebitoke amekosea angemtegeshea mimba ili anapomvamia hapo iwe madai ya kutelekeza mimba....kifupi mlela angegeuka mtumwa wa ebitoke. Sasa hapo anaonekana fala flani maana mwanaume atakuachaje ukamfanyie vurugu? Ukiwa na mimba au mtoto ndo inasaundi na angepata sapoti... Ila wanaume nyoko sana akishakukojolea na kazi yako imeisha...
Ni applicable kabisa kwenye real life.Asanthe sana mkuu
U
Hapa nimeamini kuwa kile kitabu cha Green ni applicable to real life
JF raha sana 🤣🤣🤣 kwahio ndio umeshani yuda mara hiiHahahaaaa huyo namtania we ndio wa ukweli sasa.
Akili ya mwanamkeNdio maana mimi huyu danga langu prof namkamua vilivyo siku hata akiondoka sitoumia hata, maana nitahakikisha najega na hela yake
Black tinted[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]..Mlela bana a.k.a JiggaWewe mtu wa Ushirombo kaka mtu kashirikishwa baada ya kupewa utapeli wote wa huyo Mlela akimlaghai aidha kumuoa. Kuna baadhi ya watu huchukia sana dada zao kuchezewa na kutapeliwa. Siku zote mwanaume anayependa kutapeli huwa haachi kuvaa miwani myeusi
Ila Odama huwa ni mzr sana!Amuulize odama. Ali fall in love kwa mlela. Mlela akawa anampiga matukio tu mwisho dada wa watu akaamua kukubali matokeo. Yusuph anapenda kulelelewa maisha yake ni duni mtoto wa kinondoni shamba
Dekiiii babu ufundi vijana umezidiKwan shida nn?! Nimeiona kwa Millard Ayo muda si mrefu. Dada analalamika sijui Mlela alimpa nn huyu mhaya wa watu..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]