Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

This is sad, Pole sana Ebitoke….utapona hayo maumivu..wengi wamepitia hayo unayopitia sasa hivi na wameweza kupona na kusahau..hata wewe utapita tu hio stage
 
Hujakosea kabisa wacha walimwengu yamfundishe...... Mjini uje na akili tu
Historia yake huyu binti anaonekana kateseka sana....katoka familia maskini sana...... kafanya kazi za kimaskani sana....anaanza kutoka kidogo.....familia sasa inaanza kutabasamu kidogo .....lakini akiwa hajafanya cha maaana......anaingia adui mapenzi.......anaivuruga akili yake......anasahau kutafuta mchumba wa kaliba yake kijijini .....anajiona wa mjini....anaokota na yeye magumekonki yaliyokubuhu mjini...yanayotumia kila ya haramu...eti naye aonekani wa mjini.....ona..sasa!!!!! si mkatoliki huyu??? kwanini asingefuata tamaduni za kikatoliki kumpata mume bora!!!!!?? si mkerewe huyu!!!!??? kwa nini asingefuata mila za ku ukerewe kumpata Mume anayeendana naye!!!!?? haya mchuma janga hula na wa kwao
 
Ndio ilivyokuwa mkuu jamaa alikuwa anatunishiana na mlela na ebitoke na beyonce [emoji23]..mlela alipoulizwa na waandishi akasema yule sio kaka ake jamaa shobo tu kwanza wanapigana miti[emoji23]
Kwa hiyo ebitoke aliend mshambulia anayemla jamaa yake na huyu kaka lienda mshambulia anayemla mtu wake.
 
Nanukuu
Mbaya zaidi ametoa matusi mazito adharani,nitashangaa sana BASATA na TCRA wakikaa kimya katika hili.
Bila shaka unamaanisha Ebi ashugulikiwe na TCRA na Basata.

Ndugu mwandishi.
1.Kwani Ebitoke wakati anatukana alikuwa ana rap matusi au anachana.
2.wakati anatukana alikuwa ana igiza na kutukana matusi kwa mtindo wa stand up comedy ya matusi au reality show.
3.Wakati anatukana alikuwa anaji recod na na kisha kusambaza video au ilikuwaje?

Nakukumbusha kidgo.
TCRA NI MAMLAKA YA UDHIBITI WA MAWASILIANO Tanzania.
BASATA NI BARAZA LA SANAA Tanzania.

Naomba ufafanuzi
Ktika 12na3.
 
Ila wadada wengine wako very cheap. Sasa ebitoke na mlela walikua na project tu ya swahiliflix, project imeisha dada wa watu aka-fall in love mazima akatoa nyapu bei chee acha tu apigwe miti
 
Amuulize odama. Ali fall in love kwa mlela. Mlela akawa anampiga matukio tu mwisho dada wa watu akaamua kukubali matokeo. Yusuph anapenda kulelelewa maisha yake ni duni mtoto wa kinondoni shamba
 
Asanthe sana mkuu
Hii itakua bongo movie pia. Lakini kama ni kweli basi huyo dogo ana matatizo, analilia dyudyu hadi kwa presser?

Kama ni kweli that young lady has tarnished her brand image for good, hatakapata tena matangazo wala u- brand ambassador tena.

Wasanii wetu wafundishwe jinsi ya ku-protect reputations zao at any costs. Kwenye kitabu cha 48 rules of power Robert Greene kwenye no 5 anasema, guard your reputation with your life, much depends on reputation.

Haka katoto kama ni kweli kanategemea nani tena atakuja kukapa deals za kazi huku hakawezi kudhibiti mihemuko yake ya mapenzi, hakawezi kujizuia. Shule ndogo na exposure ndogo ni matatizo.
U
Hii itakua bongo movie pia. Lakini kama ni kweli basi huyo dogo ana matatizo, analilia dyudyu hadi kwa presser?

Kama ni kweli that young lady has tarnished her brand image for good, hatakapata tena matangazo wala u- brand ambassador tena.

Wasanii wetu wafundishwe jinsi ya ku-protect reputations zao at any costs. Kwenye kitabu cha 48 rules of power Robert Greene kwenye no 5 anasema, guard your reputation with your life, much depends on reputation.

Haka katoto kama ni kweli kanategemea nani tena atakuja kukapa deals za kazi huku hakawezi kudhibiti mihemuko yake ya mapenzi, hakawezi kujizuia. Shule ndogo na exposure ndogo ni matatizo.
Hapa nimeamini kuwa kile kitabu cha Green ni applicable to real life
 
Hapo ebitoke amekosea angemtegeshea mimba ili anapomvamia hapo iwe madai ya kutelekeza mimba....kifupi mlela angegeuka mtumwa wa ebitoke. Sasa hapo anaonekana fala flani maana mwanaume atakuachaje ukamfanyie vurugu? Ukiwa na mimba au mtoto ndo inasaundi na angepata sapoti... Ila wanaume nyoko sana akishakukojolea na kazi yako imeisha...
Haha labda mlela alikuwa anachomoa na kumwaga njee
 
Wasichana tu-try kuweka vitu privately until we know it's permanently hili mambo haya yasitupate, kadada ka watu kamejitoa kwa jamaa kumbe lenzake halipo naye jamaaan, Mungu nisaidie hivi viatu visinipate maana vinanibana
 
Wewe mtu wa Ushirombo kaka mtu kashirikishwa baada ya kupewa utapeli wote wa huyo Mlela akimlaghai aidha kumuoa. Kuna baadhi ya watu huchukia sana dada zao kuchezewa na kutapeliwa. Siku zote mwanaume anayependa kutapeli huwa haachi kuvaa miwani myeusi
Black tinted[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]..Mlela bana a.k.a Jigga
 
Kwan shida nn?! Nimeiona kwa Millard Ayo muda si mrefu. Dada analalamika sijui Mlela alimpa nn huyu mhaya wa watu..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Dekiiii babu ufundi vijana umezidi
 
Back
Top Bottom