Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Hivi mlela ni wa kuzaa na mtu yule huyo mtoto si atakuwa bwabwa

Wanawake bhana mnaweza zaa hata na masokorindo [emoji1787][emoji1787]

Bora umshauri akatafute hela aanze upya maisha yake .

Sasa kujibebesha mimba ndio ushauri [emoji44]
Ndio wanavyoshauriana hivyo kwenye magroup yao ya WhatsApp baadae wanakuja kulia na kuomba msaada wa mtoto.
 
Hivi mlela ni wa kuzaa na mtu yule huyo mtoto si atakuwa bwabwa

Wanawake bhana mnaweza zaa hata na masokorindo [emoji1787][emoji1787]

Bora umshauri akatafute hela aanze upya maisha yake .

Sasa kujibebesha mimba ndio ushauri [emoji44]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km nia ni kumkomoa na kumpelekesha then mimba ingesaundi kuliko alivyoenda kuvamia empty. Kundi la Akina mlela ni la Mario huwa hawahangaiki na wanawake wenye njaa wao ni wadangaji full. Hata hemmed anawadanga mama watoto wake
 
Sorry una akili za ajabu sana kwa hiyo Mwanaume kumtegeshea mimba ndio kumkomoa yaani huyo mpaka poda unamtegeshea nyie ndio mnasababisha watoto ombaomba mtaani.
 
Ila walimwambia, aachane na Mlela akaona kapata [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…