jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Waandishi wa bongo akili zao sawasawa na akili za wasaniiEti ninyi waandishi wa habari, mliitikia wito wa wasanii kwa ajenda zipi hasa? Ni kweli wasanii wa kibongo wengi mbumbumbu ila ninyi waandishi mmezidi bana.
Kumbe tunabishana!!! Sikujua sina muda wa kubishana kwa mambo kama haya mkuu naomba radhi nikuache uendelee na ubishi.How old are you...??
Maana nisije nikajikuta nabishana kinder boy hapa
Either kampa ngoma au kakunjua marinda
ampe mimba huo uwezo wenyewe wa kutungisha anao ye mwenyewe akitoka kumpiga ebitoke mboo na yeye anaenda kuukaliaHapo ebitoke amekosea angemtegeshea mimba ili anapomvamia hapo iwe madai ya kutelekeza mimba....kifupi mlela angegeuka mtumwa wa ebitoke. Sasa hapo anaonekana fala flani maana mwanaume atakuachaje ukamfanyie vurugu? Ukiwa na mimba au mtoto ndo inasaundi na angepata sapoti... Ila wanaume nyoko sana akishakukojolea na kazi yako imeisha...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwahio Ebitoke kapigwa hela kumbe. Kupeana fadhila za hela kwa dhamana/ahadi za mapenzi ni uzwazwa sana.Aiseee... tatizo sio dyudyu ,huyo mlela kachukua pesa mingi sana za huyo ebitoke,si unajua mapenzini tena dada alikuwa amevunja akaunti,kumbe jamaa alikuwa anamtumia tu.ndo maana muhaya ana hasira,( nasikia kuna kahela ebi aliwekeza kwenye project fulani ambayo huyo marioo aliomba assist.sasa baada ya kufanikiwa kamgeuka. Ni kesi inayofanana na ile sisi wanaume inatupata ile ya kusomesha mchumba.
Aiseeeampe mimba huo uwezo wenyewe wa kutungisha anao ye mwenyewe akitoka kumpiga ebitoke mboo na yeye anaenda kuukalia
Matapeli Wana Mbinu Nyingi sana. Ebitoke Inaonekana hana Ushaidi, Aliombewa Pesa Chumbani na Akazikabidhi akiwa Chumbani.Sio lazima maandishi ata sms za kuomba pesa zinatosha kufungua case, transaction zote alizofanya kwenda kwa mlela zinatosha kufungua case ya madai
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂ampe mimba huo uwezo wenyewe wa kutungisha anao ye mwenyewe akitoka kumpiga ebitoke mboo na yeye anaenda kuukalia
Hahaa wanawake wa ukelewe noma ,ukimuzingua anaweza kukutumai mamba chumbaniIt is obvious she is not fight for love, there is something behind all these. ILA kama ni mkerewe patachimbika
Nani kawaambia alikuwa bikra...Hehe anatumika tu km dekio.... Ndo huyo huyo
Mbona ni kawaida tu
Anapigania mti nyama wa dada urudi tena pangoni
Alikuwa anaamini true love exists🤣Hivi Ebitoke nae alikuwa anajiamini nini kutoka na Mlela
Nani kawaambia alikuwa bikra...
Demu alikuwa bwawa yule...