Ebu niambie unapoona hii kitu unamkumbuka nani katika mahusiano

Ebu niambie unapoona hii kitu unamkumbuka nani katika mahusiano

Umenikumbusha Mbal Mkuu Nakumbuka Kulikua Na Dada Mmoja Alikua Ndie Monita Wakat 2po Std 7 Wama P/s Alikua Anaitwa Patricia Nilikua Nampenda Xana Nahic Hata Yy Alikua Anajua Kua Nampenda Ndio Maana Hatakama Nacheza Class Alikua Haniandiki
 
Umenikumbusha Mbal Mkuu Nakumbuka Kulikua Na Dada Mmoja Alikua Ndie Monita Wakat 2po Std 7 Wama P/s Alikua Anaitwa Patricia Nilikua Nampenda Xana Nahic Hata Yy Alikua Anajua Kua Nampenda Ndio Maana Hatakama Nacheza Class Alikua Haniandiki

mkuu mtoto alizimika huyo na ndo maana akawa hakuandiki. Vp una update zozo kuhusu yeye?
 
....primary mtoto Mercy mweh mweh mweh....eti nilikuwa naota ndoto nimempakiza kwenye ndinga....wakati viatu nilikua navaa mwisho saa sita!! :becky:
 
....primary mtoto Mercy mweh mweh mweh....eti nilikuwa naota ndoto nimempakiza kwenye ndinga....wakati viatu nilikua navaa mwisho saa sita!! :becky:

umenikumbusha mdundo wangu wa enzi zile. Utanikoma sa sita
 
Mi balehe yangu ilikua sijui nzuri!Mi nilimzimia kweli ticha wangu muhimbili pr.aisee alikua na wezere la hatari!!!
 
Hahahahaaaa mwisho saa sita mchana tulikuwa tunavilowanisha, au kuvijaza maji ndani lakini wapi!!! Unakumbuka gogo?

nakumbuka mkuu maana kiatu chenyewe kilikuwa ni mpira tupu asa ukijipindua tu ukatembea juani mbona mbona utatembea peku
 
Mi balehe yangu ilikua sijui nzuri!Mi nilimzimia kweli ticha wangu muhimbili pr.aisee alikua na wezere la hatari!!!

Dah! Chuo(sio university) kulikuwa na ticha mmoja,ambae alikuwa mtoto wa mkuu wa chuo!

Jamani jamani alikuwa akipiga min yake na mpasuo! Hayo mapaja yake rangi ya chungwa!! hapo mnara unasoma full,we ticha ulinitesa sana!!
 
Dah! Chuo(sio university) kulikuwa na ticha mmoja,ambae alikuwa mtoto wa mkuu wa chuo!

Jamani jamani alikuwa akipiga min yake na mpasuo! Hayo mapaja yake rangi ya chungwa!! hapo mnara unasoma full,we ticha ulinitesa sana!!

yaani we acha tu waalimu ni hatari hususan wale wanaokuja field
 
...darasa tano nikamdondokea mtoto wa Mark Mwandosya alikuwa anaitwa Emanuel ila alihama mwaka huohuo tukiwa darasa la 5,hope alienda nje au international school....

Kumbe umesoma na Ima...
 
nakumbuka pale ubungo kisiwani kulikuwaga na watoto wakali kweli yaani ila mm nilimpenda sana ILUMINATHA jaman maana yule mtoto wakichaga ni shida. Kwanza mrefu,mwembamba wastani,ana boflo kijungu (kalio la wastani),macho yake bwana hajakuita umeitika cha mwisho sasa mtoto alikuwa na sauti nzuri yenye rafudhi ya kichaga akiongea mtoto wa mwanamke mwenzie huku hoi unaambiwa. Jamani natamani niludi shule ya msingi jaman
 
Umenikumbusha Mbal Mkuu Nakumbuka Kulikua Na Dada Mmoja Alikua Ndie Monita Wakat 2po Std 7 Wama P/s Alikua Anaitwa Patricia Nilikua Nampenda Xana Nahic Hata Yy Alikua Anajua Kua Nampenda Ndio Maana Hatakama Nacheza Class Alikua Haniandiki

hihihii ulikuwa umewekwa kwenye hadidu rejea!!:becky:
 
Darasa la nne nilikuwa na spidi hatari! Maneno mengi na fix za hatari! kuna dem mmoja (Jacky) alizimika kinoma na alikuwa tayari kufanya matusi ila mimi ndukiii!!!
 
Darasa la nne nilikuwa na spidi hatari! Maneno mengi na fix za hatari! kuna dem mmoja (Jacky) alizimika kinoma na alikuwa tayari kufanya matusi ila mimi ndukiii!!!

ungefanya ww sasa ulikuwa unakimbia kitu gani?. ah! matusiiiiiiiii au jogoo alikuwa hawiki
 
Back
Top Bottom