Jaribu kuangalia stats za michezo yote utaona utofauti uliopo kwenye chances creation kati ya Simba na Yanga.Wewe siyo wa kuongea maneno ya kiwango cha chini kama haya labda kama umeandika ukiwa baa.
Mada imehama tena? Kutoka kwa Mayele mpk kwa FeitotoMakolo mnachekesha sana[emoji23]
Lkn si mnajua Simba 3-Fei toto 3
aKwa hiyo na wewe huna tena lawama kwa wachambuzi wa clouds, kwani mlikuwa mnawapigia umbea sana hapa
Acha mikwara😂😂Nchi ina uhuru sana wa kila mtu kutoa mawazo yake ila naona kama wachambuzi uhuru wao unapitiliza natoa ahadi kwa kushirikiana na GSM hili jambo tutaliweka sawa
Walimu wako shuleni walipata sana tabuKwahyo Messi naye wa PSG aje ajifunze kwa Kagere??
Ukweli unaouma, hats offYanga hawatengenezi chances nyingi za kufunga kama Simba.
Lakini pia Fiston ni mchezaji daraja la chini kuliko Kagere namfananisha na Michael Sarpong tu.
Mtazamo wake tuu, na wewe toa wa kwako mkuuWewe siyo wa kuongea maneno ya kiwango cha chini kama haya labda kama umeandika ukiwa baa.
Wewe ni miongoni mwa mashabiki ninaowaheshimu hapa JF. Wengi wanaongea kishabiki kama ulivhofanya Leo ndo maana nikakulaumu. Huwwzi kumfananiaha Mayele na Sarpong hata kama umetoka usingizini. Ni kweli Conversion rate ya Kagere ni Bora japo umri unamtupa na kuwekwa benchi kunachangia kumpotezea confidence. Lakini Mayele siwezi kumunderrate kiasi hicho, angalia anavyopokea mpira, control, turning, dribbling na shooting yake halafu mfananishe na Sarpong!! Kwangu Mechi ya Ruvu imeniongezea Imani kwake na ninabaki kumkosoa katika udhaifu wake wa conversion rate.Jaribu kuangalia stats za michezo yote utaona utofauti uliopo kwenye chances creation kati ya Simba na Yanga.
Kagere huenda akawa na zaidi ya one hundred career goals wakati Fiston Mayele ni siyo rahisi hata kufikia nusu ya magoli ya Kagere.
Kingine Kagere conversion rate yake ni kubwa kuliko striker yoyote kwenye ligi kuu yetu.
Yeah it's true kwamba anajitahidi lakini kumbuka mechi nne za kwanza za Ligi Sarpong alikuwa na goli sawa na alizonazo Mayele.Wewe ni miongoni mwa mashabiki ninaowaheshimu hapa JF. Wengi wanaongea kishabiki kama ulivhofanya Leo ndo maana nikakulaumu. Huwwzi kumfananiaha Mayele na Sarpong hata kama umetoka usingizini. Ni kweli Conversion rate ya Kagere ni Bora japo umri unamtupa na kuwekwa benchi kunachangia kumpotezea confidence. Lakini Mayele siwezi kumunderrate kiasi hicho, angalia anavyopokea mpira, control, turning, dribbling na shooting yake halafu mfananishe na Sarpong!! Kwangu Mechi ya Ruvu imeniongezea Imani kwake na ninabaki kumkosoa katika udhaifu wake wa conversion rate.
Duhh....kweli mayele ni kama sarpong??[emoji1][emoji1]Yeah it's true kwamba anajitahidi lakini kumbuka mechi nne za kwanza za Ligi Sarpong alikuwa na goli sawa na alizonazo Mayele.
Tofauti yao kubwa ni kwamba Mayele ni mobile zaidi kuliko Sarpong lakini kwenye conversion rate tumpe muda zaidi kumpima.
Utopolo wana ugoro vichwani[emoji1787][emoji1787][emoji1787].naya shangilia utadhani yameisha twaa ubingwaSubiri nongwa kutoka utopoloni japo we mwenyewe umemnukuu edgar kibwana
Kwa bahati mbaya sijawahi kusomaWalimu wako shuleni walipata sana tabu
Yawezekana Sarpong alikuwa ana offer vitu vingi kuliko Mayele ila alikuwa kwenye timu mbovu zaidi kuliko hii.Duhh....kweli mayele ni kama sarpong??[emoji1][emoji1]
Boss unazungumzia msimu huu au uliopita??😳😳Yanga hawatengenezi chances nyingi za kufunga kama Simba.
Lakini pia Fiston ni mchezaji daraja la chini kuliko Kagere namfananisha na Michael Sarpong tu.
Yes this season.Boss unazungumzia msimu huu au uliopita??[emoji15][emoji15]
Mtu akileta hoja ya kitaalamu na wewe ukachangia ushabiki utaonekana mbangaizajk Tu.
Mleta mada ana hoja nzuri lakini kusema Mayele anacheza soft sijui kwako ulifumdishwa nini maana ya Soft. Mayele mshambuliaji mgumu ambaye tatizo lake ni moja tu, converting rate yake iko chini na hachukui jitihada kuiinua.
Naona mmeniundia bungeMkuu umechangia thread kishamba sana,punguza nongwa kama kushangilia ata akina Ronaldo et all wanashangiliaga kwa nguvu sana as if wamebahatisha la hasha ni uwezo wao binafsi jana Mr Kagere lile goli nilimkubali sana mimi kama mpenda mpira wa miguu na sio shabiki wa mpira Kagere alionyesha ukomavu na uwezo binafsi katika soka as a pro,relax na penda mpira achana na ushabiki itakushushia heshima hapo ulipo its my hope mashabiki wenzie wasiopenda mpra watakusapoti..kila la heri hapo ulipo.
Nimeufwatilia huu uzi ila comment yako imenifurahishaa sanaaWachambuzi wengine hata akili ya kufikiria hawana, Yanga haimtegemei mchezaji mmoja mmoja kwenye kufunga. Na ndio maana unaona Mayele ana magoli mawili, feisali magoli mawili na Moloko ana magoli mawili. Simba saivi wwnalia lia na ma mastraika na ndio maana mpaka sasa hawaelewi ni nani anaweza kuwa msaada kwa timu maana wote ni maji kupwa maji kujaa. Siku akianza Kager kwenye kikosi cha kwanza basi atawakera mashabiki mpaka wamkumbuke Mugalu. Siku akianzishwa Mugalu atawakera mpaka wamuwaze tena Kagere.
Ayo ni mawazo ya mchambuzi, Kama anamuona Kagere ni Bora kuliko Mayele huwezi kumpinga. Mwisho wa msimu kila kitu kitakua hadharani. Huitaji misuli ya shingo ikutoke kumtetea mchezaji, Kazi yake itaongea.