Edmund Mndolwa: Awamu ya Tano tulilazimishwa kukalia misumari

Hivi matokeo ya shule za wazazi za sekondari anazozisimamia yakoje?
 
Najua kinachomuuma ni ile kampuni yake....ila yote maisha...
Ila wakati mwingine JPM sijui alikuwa anawaza nini?...
Naona alivurugwa sana....
 
🤣🤣
 
Watetea legacy ni wananchi wa kawaida huko kwa Ground!! Wala haikuwa viongozi ndio watetea legacy !! Nenda kwa ground utawakuta watetea legacy wamejaa kama kawaida na huwaambii chochote kuhusu yule jamaa !!
 
Vijana wa UVCCM msikilizeni kwa makini mzee wenu, anazungumza kiutu uzima. Sisi vijana inabidi tumsikilize kwa umakini bila kujali vyama.


16 June 2022

Edmund Mndolwa : " Kunapo shida basi Mungu huingilia na kutenda yake"


MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WAZAZI EDMUND MNDOLWA AKIONGEA NA WAJUMBE WA BARAZA KUU LA UMOJA WA WAZAZI
 

Narudia kusema. Wewe dada. Kaka unaishi Nchi. Gani. Mimi naishi nje na Wiki iliyopita tu nilimaliza likizo yangu. Watu wanamkumbuka JPM sana kwa mema tu. That’s legacy.

Na Hata Wale waliokula za uso wanasema wakicheka kwamba daaa jamaa alikuwa mwanamume. That’s Legacy. Nazungumzia kwa mtu wa kawaida na mazungumzo Pia. Sasa Ni zamu ya Mama yetu mpendwaaa. Tumwachie afanye yake.

Sasa turudi kwa Bwana Mndolwa. Why azungumzie mambo ya marehemu na tena Hakuna uongozi uliobadilka huko juu. So wewe mwanachadema uko radhi kumkumbatia kinana, Mndolwa kisa wako against marehemu. It’s that not love. Au wewe unadhani dalili za Love- hate relationship Ikoje. Punguzeni mahaba na marehemu. Watu Hai wapo na wanahitaji hayo mahaba.

Lakini kwa CCM Hii kama wallikalia misumari jiulize Kwanini na je Sasa wanakalia Sofa kwa Standard gani ya maisha ya Mtanzania?

Mimi ni mmojawapo nilimpennda Waziri na Rais Magufuli hasa Kwa uzalendo Wake na hasa katika kazi. He was a non nonsense person.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…