Acheni matokeo ya kura yaamue....ndio demokrasia hiyo.Jinsi upepo unavyovuma ndani ya CHADEMA kwa asilimia kubwa Mhe. Mbowe hana chake tena. Mhe. Mbowe kubali yaishe na ujitoe kwenye uchaguzi wa tarehe 21.1.2025. Wanachama bado wanakupenda na utaendelea kupendwa kwa sababu umekitoa CHADEMA mbali.
Demokrasia ni uchaguzi, tuwaache wajumbe waamuwe.Hilo tukio lilinifurahisha lakini kiukweli nilihuzunika sana, Mbowe sio wa kufikia hatua ile.
Mbowe anatupa wakati mgumu wa kumkataa kwa heshima aliyoijenga juu yetu.
SawaDemokrasia ni uchaguzi, tuwaache wajumbe waamuwe.
Nilikuwa namuunga mkono sana Lisu, lakini nchi ni zaidi ya Lisu.
Genge la Lisu halina nia njema na nchi yetu na wala shida yao siyo kuchukuwq dola maana huwezo haupo kwa sasa kwa chama chocote kuitowa ccm madarakani, bali wana movement zao za kushindana na serikali.
Ni Mbowe pekee ndio anaweza kuleta utulivu wa kisiasa nchini.
Saivu ndo amepata akili baada ya kutumika kwa muda kufanya spinning dhidi ya LissuMtangazaji wa kipindi cha Jana na Leo kutoka Wasafi Fm, Edo Kumwembe amesema angekuwa mshauri wa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe angemshauri kujiondoa katika kinyang'anyiro cha Uenyekiti kisha atangaze kumuunga mkono mpinzani wake Tundu Lissu
Edo amesema “ningekuwa mshauri wa Mbowe ningemwambia Mbowe ajiondoe kwenye kinyang'anyiro na ajiondoe kable ya boksi la kura na atangaze kumuunga mkono Lissu”
Soma: Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA
Edo ameeleza sababu ya yeye kuwaza hivyo ni kutokana na Lissu kuungwa mkono na watu wenye ushawishi na nguvu katika siasa za upinzani hasa CHADEMA.
“watu ambao wanatangaza kuwa upande wa Lissu ni watu wazito sana kwa CHADEMA, John Heche Heche na ana kanda yake, Lema kwa kaskazini lema na kama angesema anamuunga mkono Mbowe kidogo watu wangeyumba, Lissu hao wote ni watu wazito sana kwenye hicho chama”
Ameongeza kuwa kama Mbowe atashinda atakuwa na wakati mgumu kuongoza bila uwepo wa watu hao watatu “fanya Mbowe umeshinda unaongozaje bila hao makamanda, na hao makamanda wana vitu moyoni ukiwasikiliza kulikuwa na mipango ya kuwaondoa kutoka kwa Freeman aweke watu wengine”
Pamoja na hayo amejaribu kuelezea namna watu hao walivyopambania CHADEMA kwa kukaa jela pamoja na kupigwa na polisi wakati mwingine.
Aidha amekumbusha kuwa moja ya pigo alilopata Mbowe ni kushinda kwa Wakili Deogratius Mahinyila Adv Mahinyila kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA ambapo pia anamuunga mkono Lissu
Vp unajua kwl democrasia acha ushamba kwaiyo ndy nyie mnataka mtu apite bila kupgwa?Jinsi upepo unavyovuma ndani ya CHADEMA kwa asilimia kubwa Mhe. Mbowe hana chake tena. Mhe. Mbowe kubali yaishe na ujitoe kwenye uchaguzi wa tarehe 21.1.2025. Wanachama bado wanakupenda na utaendelea kupendwa kwa sababu umekitoa CHADEMA mbali.
Yeah, zimekuwa nyingi mnoIfikie hatua uanzishwe uzi mmoja wa mbowe special thread
Bowe lazima atapike bung'o.. sasa akikaa nchale na akisimama nchaleYeah, zimekuwa nyingi mno
Kumbe unaongeaga?Ifikie hatua uanzishwe uzi mmoja wa mbowe special thread
🤣🤣🤣Mi sitaki kuwa mtabiri maana CCM nawajua🥴Bowe lazima atapike bung'o.. sasa akikaa nchale na akisimama nchale
Mbowe usiachie chama kabisa,haiwezekani chama uneachiwa na baba mkwe wako,kisha uje uwape wageni,.......inawezekanaje mzee Mbowe chama ambacho wachaga wamejaa wakina Mrema.pale wanakula posho Kila siku,kisha uje uwape wakuja TU?Jinsi upepo unavyovuma ndani ya CHADEMA kwa asilimia kubwa Mhe. Mbowe hana chake tena. Mhe. Mbowe kubali yaishe na ujitoe kwenye uchaguzi wa tarehe 21.1.2025. Wanachama bado wanakupenda na utaendelea kupendwa kwa sababu umekitoa CHADEMA mbali.
Asa hivi hela ya dula ni loss kihasibu.. na maturation kwa mipago yao🤣🤣🤣Mi sitaki kuwa mtabiri maana CCM nawajua🥴
Sasa akilazimisha ushindi kwa kushirikiana na wana ccm ndiyo utakuwa mwisho wa chama cha CHADEMA ....Watu wanamuhitaji LisuIla mkumbuke huyu jamaa anasaidiwa na CCM,na CCM Wana Mbinu 1000 za kushinda....
Siasa za Tanzania ni Shaghalabaghala 🚮
Mbowe anakula na CCM wanaweza mwibia kura🤭Asa hivi hela ya dula ni loss kihasibu.. na maturation kwa mipago yao
Ee sema hapo,atapoteza wafuasi kwa asilimia kubwaSasa akilazimisha ushindi kwa kushirikiana na wana ccm ndiyo utakuwa mwisho wa chama cha CHADEMA ....Watu wanamuhitaji Lisu
Inakera sana mtu kujifanya kila kitu ni mjuwaji.Aache kujifanya mchambuzi wa kila kitu japo ni kweli Sultan Mbowe Bin king'ang'anizi anatakiwa aondoke
Edo hajielewi kabisa...........hivi hata kama wewe umeachiwa chama kutoka Kwa baba mkwe wako,chama ambacho ruzuku inaingia moja kwa moja kwenye account ya familia,wanaukoo kibao wanatajirika kupitia hiki chama,Kisha from no where uje uwaachie wakuja tu,wakina Lissu.Mtangazaji wa kipindi cha Jana na Leo kutoka Wasafi Fm, Edo Kumwembe amesema angekuwa mshauri wa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe angemshauri kujiondoa katika kinyang'anyiro cha Uenyekiti kisha atangaze kumuunga mkono mpinzani wake Tundu Lissu
Edo amesema “ningekuwa mshauri wa Mbowe ningemwambia Mbowe ajiondoe kwenye kinyang'anyiro na ajiondoe kable ya boksi la kura na atangaze kumuunga mkono Lissu”
Soma: Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA
Edo ameeleza sababu ya yeye kuwaza hivyo ni kutokana na Lissu kuungwa mkono na watu wenye ushawishi na nguvu katika siasa za upinzani hasa CHADEMA.
“watu ambao wanatangaza kuwa upande wa Lissu ni watu wazito sana kwa CHADEMA, John Heche Heche na ana kanda yake, Lema kwa kaskazini lema na kama angesema anamuunga mkono Mbowe kidogo watu wangeyumba, Lissu hao wote ni watu wazito sana kwenye hicho chama”
Ameongeza kuwa kama Mbowe atashinda atakuwa na wakati mgumu kuongoza bila uwepo wa watu hao watatu “fanya Mbowe umeshinda unaongozaje bila hao makamanda, na hao makamanda wana vitu moyoni ukiwasikiliza kulikuwa na mipango ya kuwaondoa kutoka kwa Freeman aweke watu wengine”
Pamoja na hayo amejaribu kuelezea namna watu hao walivyopambania CHADEMA kwa kukaa jela pamoja na kupigwa na polisi wakati mwingine.
Aidha amekumbusha kuwa moja ya pigo alilopata Mbowe ni kushinda kwa Wakili Deogratius Mahinyila Adv Mahinyila kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA ambapo pia anamuunga mkono Lissu
Sasa hivi ataliwa yeye boweee.. kama samakiMbowe anakula na CCM wanaweza mwibia kura🤭