Edo Kumwembe: Ningekuwa mshauri wa Mbowe, ningemshauri ajiondoe katika kinyang'anyiro

Uchaguzi wowote wa kidemokrasia ni kwenye sanduku la kura, uimara wa chama utatokea iwapo chama kitapitia kwenye njia za kidemokrasia kuweka viongozi wake madarakani. Chadema kikipita salama kwenye uchaguzi huu kwa njia ya kidemokrasia basi kitakuwa chama imara kuliko siku zote.
 
Mbowe kwenye hili Amefeli sana hata yeye ameshaliona hilo japokuwa it's too late. Mfumo umemuweka kati waliochoshwa na mfumo nao wamemuweka kati. Aikaeli wajina wangu watch out before its more than too late.
 
kwani edo hajui kuwa chadema ni chama cha ukoo?
 
Jinsi upepo unavyovuma ndani ya CHADEMA kwa asilimia kubwa Mhe. Mbowe hana chake tena. Mhe. Mbowe kubali yaishe na ujitoe kwenye uchaguzi wa tarehe 21.1.2025. Wanachama bado wanakupenda na utaendelea kupendwa kwa sababu umekitoa CHADEMA mbali.
unadhani Mbowe hajui nini kinaenda kutokea hyo tarehe 21.1.2025? Unadhani kwanini ameng'ang'ania?Hapo tutadanganywa eti anafuata Democrasia sio kweli ngoja tusubili hyo democrasia yake baada ya uchaguzi halafu tuilete humu kuijadili.
 
Inakera sana mtu kujifanya kila kitu ni mjuwaji.

Yeye ni mchambuzi wa soccer, awaachie wachambuzi wa siasa wachambuwe nyege tu zinamsumbuwa.
Kwa sababu amesema usilotaka kusikia,kuwa mchambuzi wa mpira hakumzuii kuchambua siasa na hii siyo mara yake ya kwanza kuchambua mambo ya siasa ameshaandika makala nyingi tu juu ya siasa za Chadema, na huyu ni mshabiki wa Chadema na inawezekana kabisa ni mwanachama pia. Hajavunja sheria yoyote ile kutoa maoni yake.
 
Hilo tukio lilinifurahisha lakini kiukweli nilihuzunika sana, Mbowe sio wa kufikia hatua ile.

Mbowe anatupa wakati mgumu wa kumkataa kwa heshima aliyoijenga juu yetu.
Mi najiuliza zile busara za mbowe zumeenda wapi??
Mbona kwa hapa ilipofikia haihitaji sayansi ya siasa kuona kwamba nyakati ni mbaya kwake hivyo anakwenda kuaibika tarehe 21?
Atafute namna abadili gia hewani atunze heshima kubwa aliyoijenga kwa miaka mingi kama mwamba wa siasa za upinzani hapa nchini kwa kujitoa kwenye uchaguzi huu.
MBowe akishindwa uchaguzi itakuwa ni fedheha kubwa sana kwake!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…