Ni wawekezaji hao rekebisha usemihuyu na swahiba wake si ndiyo mafisadi tunao pambana nao ktk hawamu hii?
nakuunga mkono pia japo wakati wake umekwisha amerudi ili astaafu siasa huku akipunguza maadui na waweze kumlinda siku zijazo.Mimi sio shabiki wa lowasa na nitabaki hivyo. Simkubali.
Simkubali lowasa toka akiwa ccm mpaka akiwa chadema na sasa pia simkubali bado.na
kuunga mkono pia japo wakati wake umekwisha amerudi ili astaafu siasa huku akipunguza maadui na waweze kumlinda siku zijazo.
Mimi sio shabiki wa lowasa na nitabaki hivyo. Simkubali.
Wenye chama wameingilia baada ya kuona athari za jiwe
alafu hawajua ndo tumekuwa strong zaidi jaman ntahama wote mie sitok upinzani..tena ngoja nije nilipie kadi yngu
Siasa ni siasa sheikh, kwanza nyie ndiyo mlianza kumuita fisadi, and then mkamwita mtukufu na kumpachika katika nafasi ya kugombea kiti cha urais!
Lissu ana taaluma yake hawezi kufanya njaa kwa kukosa ubunge
Kaka tutumie akili zetu kuangalia hili. Hili jambo si jepesi kama linavyoonekana. Aliposimama Rostand Aziz kina chake kinahitaji uzoefu wa kupiga mbizi.
Aiseee mtasema kila aina ya nenoSiasa ni siasa sheikh, kwanza nyie ndiyo mlianza kumuita fisadi, and then mkamwita mtukufu na kumpachika katika nafasi ya kugombea kiti cha urais!
Simkubali lowasa toka akiwa ccm mpaka akiwa chadema na sasa pia simkubali bado.
Uzuri comments zangu zipo humu.