CCM ni moja tu na haitakaa ibadilike.......kila mmoja ni mwizi na mlafi kwa namna yake. Huyu bwana alipoingia madarakani mbwembwe na fujo zilikua nyingi sana tukaaminishwa kwamba huyu ni tofauti!!!
La hasha! Ilikua ni janja ya kupumbaza watanzania tunaominika kama binadamu tusiopenda kushirikisha bongo zetu tusijue kwamba na yeye ni shimo refu la kumeza UCHUMI WETU WOTE.......
Lowasa aliandamwa sana na team ya huyu bwana wa magogoni wakiongozwa na BASHITE na MUSUKUMA, lengo lao lilikua kuendelea kumfarakanisha na watu ili uovu wao wa kumfilisi usipate vipingamizi vingi.....lakini sasa jitu kama Lowasa lina mirija mirefu, wakalishindwa, imebidi waamue kuungana nalo....kwanini? Kwasababu WAMESHATAFUNA KAPU KUU LA KUHIFADHIA PESA LIMEISHA...UCHAGUZI UNAKUJA CAMPAIGN WATAFANYAJE NA HUKO NJE WAHANA ATM??? inabidi sasa ATM iwe LOWASA na ROSTAM....
LOWASA SASA BIASHARA ZAKE KWA MWAKA MMOJA ZITA CHANUA SANA...HATA BWANA STAM....kama hali ndiyo hii watanzania tuchukueni maamuzi magumu TUANDIKE HISTORIA...huyu bwana Chato tumpige chini na GENGE lake 2020. Hapo tutakua salama....VINGINENVYO!!!!!!TWAF
La hasha! Ilikua ni janja ya kupumbaza watanzania tunaominika kama binadamu tusiopenda kushirikisha bongo zetu tusijue kwamba na yeye ni shimo refu la kumeza UCHUMI WETU WOTE.......
Lowasa aliandamwa sana na team ya huyu bwana wa magogoni wakiongozwa na BASHITE na MUSUKUMA, lengo lao lilikua kuendelea kumfarakanisha na watu ili uovu wao wa kumfilisi usipate vipingamizi vingi.....lakini sasa jitu kama Lowasa lina mirija mirefu, wakalishindwa, imebidi waamue kuungana nalo....kwanini? Kwasababu WAMESHATAFUNA KAPU KUU LA KUHIFADHIA PESA LIMEISHA...UCHAGUZI UNAKUJA CAMPAIGN WATAFANYAJE NA HUKO NJE WAHANA ATM??? inabidi sasa ATM iwe LOWASA na ROSTAM....
LOWASA SASA BIASHARA ZAKE KWA MWAKA MMOJA ZITA CHANUA SANA...HATA BWANA STAM....kama hali ndiyo hii watanzania tuchukueni maamuzi magumu TUANDIKE HISTORIA...huyu bwana Chato tumpige chini na GENGE lake 2020. Hapo tutakua salama....VINGINENVYO!!!!!!TWAF