gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,048
HahahahaHana uwezo wa kufanya kazi na yuko ugenini kwenye matibabu baada ya jiwe kuagiza ashambuliwe. Hebu ww kaa zaidi ya mwaka kitandani bila kufanya kazi kama hujaona tukitembea na mkeo chumbani kwako. Ww mwenyewe ukiumwa mafua tu unachangiwa ndio itakuwa matibabu ya Ulaya?
Katika watu wachache waliolifahamu jambo hili labda kwa miezi 6 iliyopita mimi ni mmojawao , sina wasiwasi wala shaka yoyote ilekabisa...tusubiri tu matamko ya viongoz wetu
Erythrocyte sijakuona kbs mamyto..bado huamin😂😂mie nna nguvu mpya sana yaan
Ni nani kati yenu aliyewahi kumuona Lowassa kavaa gwanda hata siku moja?
Mbinu za election zinaanza kusukwa.Jamaa amerudi na nguvu zote tukae tayari
Kazi ya Kwanza ya Rostam ulikuwa kumrudsha Ngoyai Na ameikamilisha kwa a haraka Sana Kuliko ilivyotarajiwa
Kazi ya pili kutafuta 'mawakala wa Tigo pesa' Kwenye Vyama vya Upinzani Na Ni rahisi Sana kwake Kuliko ya kumrudisha ngoyai
Kazi ya tatu Ni kurudisha Na Kuwa Middleman kati ya Wafanyabiashara Na SerIkal
Ila tukumbuke Rostam Ni Muajemi ukizubaa unaokota Mpira Nyavuni
Kiuhalisia lowasa nguvu ya ushawishi kwa kipindi hiki ishashuka mno...Mnamu overrate sana Membe. Huyu kimkakati hanusi hata nukta kwa Lowasa. Jipangeni tu upya Chadema ili walau 2025 mrejeshe nguvu yenu ya kuelekea ikulu lakini ya CCM kwasasa hayatowasaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀😀😀😀Kazi ya Kwanza ya Rostam ulikuwa kumrudsha Ngoyai Na ameikamilisha kwa a haraka Sana Kuliko ilivyotarajiwa
Kazi ya pili kutafuta 'mawakala wa Tigo pesa' Kwenye Vyama vya Upinzani Na Ni rahisi Sana kwake Kuliko ya kumrudisha ngoyai
Kazi ya tatu Ni kurudisha Na Kuwa Middleman kati ya Wafanyabiashara Na SerIkal
Ila tukumbuke Rostam Ni Muajemi ukizubaa unaokota Mpira Nyavuni
Mbinu za election zinaanza kusukwa.
"Mimi niseme nini? Mmemsikia wenyewe akisema anarudi nyumbani, asante karibu nyumbani!"Mmechanganyikiwa?
Katika watu wachache waliolifahamu jambo hili labda kwa miezi 6 iliyopita mimi ni mmojawao , sina wasiwasi wala shaka yoyote ile
Anayewaambia Membe ananguvu za kupingana na katiba ya chama 2020 ni nani? Membe hata akigombea hawezi kumshinda JPM ambaye ndiye aliyeshika hatamu. Jiandaeni kwa 2025.Katika kitu nachokiona juu ya huu mpango wakumrudisha Lowassa kuna mambo mawili juu ya siasa za CCM.
Moja ya mkakati huu nikumdhohofisha Cumilius Membe na team yake!kwakutambua Membe ana wafuasi na amekigawa Chama. Pili wanatambua Lowassa anamasalia mengi CCM hivyo kumrudisha nimsaada kwa UMOJA ndani ya CCM pia kudhoofisha CHADEMA kwakuwa wamemfastrate Mbowe kwakujua kesi zinazomkabili. Chama kitadhoofika pia kitakimbiwa na wanachama.
Mytake nikwamba Lowassa si asset tena kwa chama pia kwa taifa ila nachokiona Membe bado ananguvu katika chama hasa CCM hivyo sioni kama wamepiga bao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliona aibu wakaona wajifichie kwenye msiba...Muda alioondoka Lowasa hauna negative impact kwa CDM, yaani hii ni timing mbovu kuwahi kutokea katika siasa za vyama vingi popote duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuna mengi ya kusema kwa sasa mkuumimi nilipata hisia fulan nadhan oct au nov..nikasema hapana bwana..jamaa àlikua amemute sana..pumbavu sana
we r strong enuf!Hatuna mengi ya kusema kwa sasa mkuu