Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Yaani LOWASA ni MJANJA MJANJA SANA...ALAFU TANGU ADHALILISHWE ILE YA RICHMOND hapendi aibu tena.

Ameshajua kwa upepo uliopo lazima akatwe....AKAJISEMES MOYONI...Edward Ngoyai Lowasa kwani wewe ni mzembe???nafsi ikasema hapana!!! Akajiuliza kwani hujui kwamba nguvu yako kisiasa na kiushawishi imeshuka???? Nafsi ikasema najua!!!HAPO IKALIPUKA SAUTI KUBWA ikisema, ondoka wewe acha ujinga, bora ukaweke biashara zako vizuri muda huu mchache uliobaki maana hujui huko mbele nini kitatokea..

Hapo mara moja Lowasa akampigia Mr Magu....Mh....si ulisema mimi ndo hofu yako na tukiwa pamoja utanirudishia heshima yangu??? MAGU chapchap akajibu Mzee wangu unajua kabisa huo ndio ukweli...HARAKA Lowasa akajibu..baadae tukutane LUMUMBA....HUWEZI AMINI! Mh Aliondoka magogoni kwa furaha hadi akasahau kwamba NCHI IMEONDOKEWA NA NGUVU KAZI MUHIMU NA NI MAJONZI YA KITAIFA. SHKAMOO LOWASA.....KARIBU LISU UWANYOOSHE HAWA WATU
 
Marehemu aligoma kiirusha ile Shilawadu ya kumuumbia Ngwajima wakati mzee akiwa live anaisubiria ...hadi ikapelekea maumivu kwa Nape na wengine wengi....RIP Ruge...kuna wakati mamlaka nazo hucheza faulo za waziwazi.
Kwa hiyo Gwajima kajiunga na wauaji ambao wamempa sumu aliyemtetea na kumlindia heshima yake aaskofu wa chini ya mti hovyo kabisa.
 
Nilivyo muona RA magogoni tu tayari niliona EL kurudi Ccm ni swala la mda, Huo ndio king maker kapiga calculation na kumpelekea EL ili achague upande wenye faida zaidi, Rais atafute watu wenye uwezo na experience mana mtandao una andaliwa unaweza kuleta madhara makubwa...Hao EL na RA wamerejea ila nao wanayao moyoni, Papandikizwe tu watu mpaka wafyeka maua, Housagl ili mkuu ajue adhma yao
 
Wazee wa Gia za Angani bana.

Amenunuliwa kwa tsh ngapi?
 
watu wa ajabu sana,kwahiyo unataka kila mtu amlilie huyo uliyemtaja.When u die the game is over hata tungeimba nyimbo za kila aina haisaidii

Wewe ndo mtu wa ajabu sana.If you don't value someone's life who passed away then you're incarnated devil!!
 
Tusiufiche ukweli

hatujaimarika bali tumesambaana,
mwenyekiti yupo ndani,
katibu ndo hata hasikiki

waliobaki niambieni wapo wapi?
Lema?
sugu?
Mnyika?
N.K,wote wameingiwa ubaridi,afadhali kidogo bulaya na mdee.

Hatuna muunganiko kama chama,sasa kila mtu anatoka kwa staili yake.
 
Mtandao gani
 
Chadema inajidhalilisha sana,yaani MTU anaingia chamani anawafukunyua anawapelekesha alafu anarudi kwao kirahisi hivyo?? Tukisema chadema hakuna watu making wanaoweza kuongoza chama mnabisha. Muhimu gombeeni ubunge tuu lkn urais Hanna hadhi hiyo.
 

Kama unauliza Ruge anatuhusu nini.....wewe wasikilize Watawala wako wanachozungumza mbele ya camera...! Kama Rais Magufuli ametoa ndege Bombadier au Dreamliner kwenda BKB kupeleka mwili wa Ruge unaweza kujua marehemu nnani...!Kama una ubavu nenda kamwulize Magufuli kuwa Ruge nnani hadi atoe ndege ya Serkali kupeleka mwili wa marehemu Bukoba....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…