busha
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 1,712
- 2,577
Rostam yupo very smooth,,alafu anajua kusoma mchezo,,,ukimchikia yy anakupenda..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Gwajima kajiunga na wauaji ambao wamempa sumu aliyemtetea na kumlindia heshima yake aaskofu wa chini ya mti hovyo kabisa.Marehemu aligoma kiirusha ile Shilawadu ya kumuumbia Ngwajima wakati mzee akiwa live anaisubiria ...hadi ikapelekea maumivu kwa Nape na wengine wengi....RIP Ruge...kuna wakati mamlaka nazo hucheza faulo za waziwazi.
watu wa ajabu sana,kwahiyo unataka kila mtu amlilie huyo uliyemtaja.When u die the game is over hata tungeimba nyimbo za kila aina haisaidii
Mtandao ganiNilivyo muona RA magogoni tu tayari niliona EL kurudi Ccm ni swala la mda, Huo ndio king maker kapiga calculation na kumpelekea EL ili achague upande wenye faida zaidi, Rais atafute watu wenye uwezo na experience mana mtandao una andaliwa unaweza kuleta madhara makubwa...Hao EL na RA wamerejea ila nao wanayao moyoni, Papandikizwe tu watu mpaka wafyeka maua, Housagl ili mkuu ajue adhma yao
Yaan nimepata nguvu ghafla..Lowasa kastaafu tu siasa dadeq zako ww..tujuane tu chadema asilia..na kina nyalandu kama mmekuja kutudekshia imekula kwenu na sumaye kama unachapa lapa huu ndo mwaka wako..mtuache jaman na chadema
Acha matusi dogo!mimi nilipata hisia fulan nadhan oct au nov..nikasema hapana bwana..jamaa àlikua amemute sana..pumbavu sana
Hapa nina hamu ya kumsikia Mwanakijiji tu.Jamaa amerudi na nguvu zote tukae tayari
Mpumbavu kweli wewe sina haja ya kukupa maelezo ila inatosha kusema wewe ni mpumbafu.
acha undezi anatuhusu nini sasa....watu wamefiwa na baba,mama na watoto wao.kinacho kuskitisha wewe usiforce kila mtu i feel unavyo feel.Wabongo tuna unafki wa hali ya juu sana,usikute huyo ruge hujawai hata kumuona zaidi ya kwenye tv unashidadia tu.
The mafioso chief is back on the realmJamaa amerudi na nguvu zote tukae tayari