balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Muongeze na kamanda was anga jama,Freeman Mbowentashangaa... ila wengine wote waliobaki upinzani sitashangaa
1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob
Wewe unawajua vzr wanasiasa wewe!!1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob
4.Sugu1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob
Hakuna mwanasiasa asiyetea tumbo lake.huna akili kama unaamini wanafanya hayo yote kwa moyo.they are after something huu ndio ukweli ukitaka kuamini fikiria hapo ulipo Kama unaweza kufanya kazi hio bureTusiwalaumu watanzania watu wa ajabu ,yaani MTU anawapigania ,anaumia ,anateseka , anapoteza Mali ,anapoteza biashara zake ,marafiki halafu anaowatetea hawaelewi wala hawajielewi ,MTU anachoka anaamua kuchukua hela na kupiga maisha maana anaowatetea hawajielewi moshi wa mwenge umewamaliza .
4. JMnyika1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob
Hapana. Huwezi kuwa na moyo mgumu kiasi hicho.Mimi kitendo cha wao wote kumpokea Lowassa nimewatoa maanani kabisa.
Hahahahaha moshi wa mwenge kizazi kilichokimbiza mwenge kinashida hikiTusiwalaumu watanzania watu wa ajabu ,yaani MTU anawapigania ,anaumia ,anateseka , anapoteza Mali ,anapoteza biashara zake ,marafiki halafu anaowatetea hawaelewi wala hawajielewi ,MTU anachoka anaamua kuchukua hela na kupiga maisha maana anaowatetea hawajielewi moshi wa mwenge umewamaliza .
sishangai...
sitashangaa hao ntashangaa wale watatu niliowaweka hasa hasa lissu4.Sugu
5.Mbowe
6.Halima Mdee
wenginewo mpaka sasa sijawahi waamini
Sent using Jamii Forums mobile app
Heche ntashangaa wengine sishangai4. JMnyika
5. HMdee
6 Sugu
7. Heche
8. Erythro wa JF
NtashangaaMbona hechejohn vipi
Mimi naomba wakihama nitafutwe nipigwe mawe mpaka nife..1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob