Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Labda akihama Mbowe na Lissu ndiyo kidoogo nitapatwa na kizunguzungu cha muda tu lkn lowasa wacha arudi zizini akaokoe mali zake
Kwa ufupi Waziri Mkuu mstaafu ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Frederick Sumaye amesema uamuzi uliochukuliwa na Edward Lowassa kurejea CCM hauwezi kuwateteresha

In God we Trust
 
Sasa mbowe akijitoa tu chadema hata uenyekiti tu basi chama hakuna kwa akili za akina lissu,mdee,angalau mnyika na lema kidogo wanaweza wakakiendesha chama ila hao wengine harahara/malolota sana.

Mbowe and hekima despite michezo yake michafu kama walivyo wale wa CCM tu
Hata Mbowe nae ni suala la muda tu. Hasa kama atapokonywa uenyekiti nadhani baada ya masaa 72 atakuwa tayari ashapewa kadi ya CCM na uwaziri wa TAMISEMI kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee kaona ameingia hasara kununua chama.
Bado Yule mwingne nae atarudi uchaguzi ukikaribia.
Stay tuned,
Devils can't be Angels and vice versa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Best comment brother.
 
Yeye anawazaga URAISI tu basi.
Hana jambo lingine.
Alimharibia tu Raisi wetu kipenzi, Bermad Kamilius Membe.
Zaidi ya Urais, hana ndoto au wazo lingine.
Anataka 2025 Magufuli ampe mafasi ya kugombea Urais,
Lowasa anahaha kuupata Uraisi tu Basi.
LowasaLipumbavuprofesa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahaa kumbe umeweka kigingi kwenye ushahidi,, basi ushahidi upo na utakuja kuuona tu,vuta subira,,,

Sasa watu aliokuja nao ed low walipewa nafasi za juu ndani ya chama na wakahaminiwa,, sasa wote wameludi ccm.

Utakubaliana na mm kua mwenyekiti alivunja demokrasi ndani ya chama kwa kutoruhusu mchakato wa kuchagua mgombea urais ndani ya cdm,?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo tunahesabau masaa tu kama siyo siku
In God we Trust
 
Mkuu hawa wanasiasa ambao hawako consistent wanachefua sana ...afadhali angejivua uanachama na sio kurudi CCM what a traitor??!!!

Mkuu ni bahati mbaya sana wanasiasa wengi sana ni malaya namna hii!

It is unfortunate!


Exactly my sentiments!

Cha ajabu mambo muhimu kama haya watu hua hawayaoni kabisa!

Watu wanao-support CCM ni aina fulani ya watu ambao mimi hua hata siwezi wa-define!

I tried atleast to understand them,ila nilishindwaga miserably!

I’m also with opposition, people who despite being harassed and humiliated and sometimes jailed,they continue to fight for democracy of this country

You are all exceptional and noble people!

I feel them deeply and I will always support them,iwe mchango,etc!
 
Heshima kwenu wana jamvi,

Leo imekuwa siku muhimu katika siasa za Tanzania na pengine nchi ikaingia katika historia mpya katika medani za siasa za ushindani.

Mheshimiwa Lowassa waziri mkuu mstaafu na mgombea urais wa UKAWA mwaka 2015 kajiengua CDM na kurejea CCM.Ukweli mchungu siasa za upinzani katika nchi za dunia ya Tatu hasa Afrika zinahitaji ngozi ngumu kweli kweli.Ikiwa umezoea raha upinzania si mahali pake,kaa mbali kabisa kwasababu zinaweza kukuletea umaskini ikiwa wewe ni mfanya biashara na zinaweza kukulaza ndani ikiwa wewe ni mwanasiasa.

Sote tunajua Rostam Aziz mdogo wake alifunguliwa kesi mbaya sana na tulitarajia angeweza kuhukumiwa kifungo cha muda mrefu.Baada ya Rostam kwenda Ikulu mdogo wake alihukumiwa kupigwa faini na sasa yuko nje akiendelea na biashara zake.

Leo Lowassa karejea ndani ya chama natarajia atarejeshewa tena heshima zake ikiwemo ya kijana wake kuachiwa mara moja na kesi kufutwa.Sitashangaa iwapo Sioni Sumari akiachiwa huru na mambo yakaendelea kama kawaida.

Naomba nisiendelee sana kwa leo naomba kuishia hapa muda ni mwalimu mzuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…