Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Labda akihama Mbowe na Lissu ndiyo kidoogo nitapatwa na kizunguzungu cha muda tu lkn lowasa wacha arudi zizini akaokoe mali zake
In God we Trust
Kwa ufupi Waziri Mkuu mstaafu ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Frederick Sumaye amesema uamuzi uliochukuliwa na Edward Lowassa kurejea CCM hauwezi kuwateteresha
In God we Trust