Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Hasa Polepole!Uvccm waliokuwa wanamtukana sijui watafanya nini sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa Polepole!Uvccm waliokuwa wanamtukana sijui watafanya nini sasa
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Mkuu ile ilikuwa mechi tu Timu ya CCM ilijigawa mara mbili kwenye uwanja wa Siasa goli Moja lilikuwa chadema lingine CCM timu ile ile .Pole wachezaji ni wale wale wale wa CCM ila magoli yalikuwa tofauti timu ikiwa mazoezini
Ni kawaida Kwa Siasa za Sasa jinsi zilivyo ni Bora alivyorudi CCM,akapumzike Bila bughudha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakika Siasa Ni mchezo Mchafu sana toa maoni Yako hapa je unahisi Alichokifanya ni sahihi au Kashinikizwa au kaona Dalili hazisomi Huko??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhama kwa Mjumbe wa Kamati Mkuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Edward Lowassa na kuamua kurejea CCM hivi kweli anamkimbia Tundu Lissu katika kinyang'anyiro cha Urais 2020?View attachment 1035440View attachment 1035441
Police wanatumika kwa lipi kama hawana nguvuWapinzani hawana nguvu kabisa kwa sasa
Mkuu Rais wa mioyo yenu karudi kule alikotokaga...!Labda akihama Mbowe na Lissu ndiyo kidoogo nitapatwa na kizunguzungu cha muda tu lkn lowasa wacha arudi zizini akaokoe mali zake
In God we Trust
TrueNitamshangaa anayeshangaa kwa Lowasa kurudi CCM........CDM imara ni ile halisi ni isiyo na Makapi ya CCM.