Mkuu ile ilikuwa mechi tu Timu ya CCM ilijigawa mara mbili kwenye uwanja wa Siasa goli Moja lilikuwa chadema lingine CCM timu ile ile .Pole. Wachezaji walikuwa ni wale wale wale wa CCM ila magoli yalikuwa tofauti timu ikiwa mazoezini.Si unajua timu ya mpira mazoezi hujigawa.Sasa inarudi tayari kwa mechi 2020 baada ya kufunga mazoezini goli la chadema 2015Nasubir kauli ya dkt slaa kinyesi kimemfuata sebuleni atakimbilia wapi Act au chauma?
Nyani kakumbuka poriHiki ni kipindi cha kua na akiba ya maneno, wana chedama inabidi muonyeshe demokrasia mnayoipigania sio muda wa kumkashifu, kumbeza, kumtukana wala kumdhalilisha mzee wa watu.
kwa mazingira ya sasa kuunga mkono juhudi ni jambo la kawaida.
Maendeleo hayana chama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii shida sasa MjinLowassa amerudi kung'aa macho au anataka kugombania Uraisi.
Ni mara mia ya Magufuli.
Lipo wazi hilo,kila MTU anajua,akigombea 2020 ataiokoa ccm isife,anao uwezo wa kupambana na Lisu
Ha ha ha! Atakaaje naye sasa? Ngoma inogile.
Bora iwe hivyo ila jiwe atokeWe knew kabla hata ya tetesi nina wasiwasi ndio atakua mgombea wao 2020
Gwanda nzito mkuu asingeziweza kuvaaMzee kaondoka na ramani ya ufipa, lazima watafutane. Mtahangaika sana na mzee huwaga hajibu kitu atapiga kimya tu. Tuliwaambia mbn hata gwanda havai Mara ooh Mara ooh, sasa kiko wapi
Wacha muda uongee!
Ahaa kumbe umeweka kigingi kwenye ushahidi,, basi ushahidi upo na utakuja kuuona tu,vuta subira,,,
Sasa watu aliokuja nao ed low walipewa nafasi za juu ndani ya chama na wakahaminiwa,, sasa wote wameludi ccm.
Utakubaliana na mm kua mwenyekiti alivunja demokrasi ndani ya chama kwa kutoruhusu mchakato wa kuchagua mgombea urais ndani ya cdm,?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uvccm waliokuwa wanamtukana sijui watafanya nini sasa
Tuambieni ni asset au liability?Mzee kaondoka na ramani ya ufipa, lazima watafutane. Mtahangaika sana na mzee huwaga hajibu kitu atapiga kimya tu. Tuliwaambia mbn hata gwanda havai Mara ooh Mara ooh, sasa kiko wapi