Si kweli, angekuwa right kama asinge jiunga CCM.Dr Slaa alikuwa very right.Kwa kweli Mbowe anastahili lawama kubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli, angekuwa right kama asinge jiunga CCM.Dr Slaa alikuwa very right.Kwa kweli Mbowe anastahili lawama kubwa sana.
wewe 2015 lowassa angegombea urais ndani ya CCM kwa sifa mbaya alizokuwa nazo CCM ingepata tabu sana pengine vurugu zingezuka inakuaje mtu mchafu namna ile anashinda urais wakati watanzania wanajua ni mchafu,kilichofanyika pale ni kuokoa CCM na maslahi yao kwani urais upo tu,kama hivi sio miaka mingi lowassa na kundi lake wanaweza ongoza nchi....Really?
Eti Lowassa aliletwa kimkakati CDM!
Hivi alipokatwa Lowassa akawekwa Jiwe Lowassa alikua kwenye hali gani halafu uniambie alitumwa CDM kimkakati?
Mtu mzima kama wewe kua muongo muongo namna hii kishabiki hivi ni upumbavu!
Lazima avae hapo ni home kwaoJapo niko tips ila ngoja nijaribu kuifinya medula...
Mwanzoni alitumwa kuja kuivuruga Chadema ndo akaja ila hakubvaa gwanda hata siku moja.
Sasa ametumwa tena kurudi kuivuruga CCM sasa sijui zile jezi za Ulipo Tupo zitavaliwa tena...!!!!
Kwaherini, narudi kwenye Mahaba.
Kasie Chuban Matata.
Mkuu mie nishaagiza libapa nalibonyeza kwa furaha, tunaitaka ile CDM yetu imara isiyoyumba... Tukitimua na yule katibu mamluki mambo yatakaa sawa ile nafasi apewe Mh Mnyika.Leo nitakesha kwenye bar kwa furaha ya Lowassa kuondoka cdm. Alaaniwe Mbowe na genge lake kupokea hela ya Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais.
Ndani ya saa keshakuwa fisadi tena...
Wakuu bora tuwaache hawa wanasiasa ...! Hivi vitu tukivichukua tuu personal sie ndio tunaumia.
Nimeshatoa, nipo busy na msiba mie.
Me more aseee
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwani alikua ameenda wapi?Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rais Magufuli, Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, Humphrey Polepole n.k
View attachment 1035375
View attachment 1035459
View attachment 1035448
Unaweza soma pia:
Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums
Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums
Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums
Toka lowasa ahamie chadema siongei na jirani yangu miaka 3 sasa humwambii chochote kuhusu lowasa ndo nasubiri nimuone kesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe ameurudisha upinzani kwa miaka mingi nyuma, hii laana itamwandama sanaLeo nitakesha kwenye bar kwa furaha ya Lowassa kuondoka cdm. Alaaniwe Mbowe na genge lake kupokea hela ya Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais.
wewe 2015 lowassa angegombea urais ndani ya CCM kwa sifa mbaya alizokuwa nazo CCM ingepata tabu sana pengine vurugu zingezuka inakuaje mtu mchafu namna ile anashinda urais wakati watanzania wanajua ni mchafu,kilichofanyika pale ni kuokoa CCM na maslahi yao kwani urais upo tu,kama hivi sio miaka mingi lowassa na kundi lake wanaweza ongoza nchi....
Huu ndio upambavu wangu,weka hekima yako wewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
mfano na mbowe akatoka na kujitoa CHADEMAKila la heri mzee Lowassa ni haki yako kikatiba japo umeumiza walio wengi waliojitoa kukusapoti wewe na kiukweli kama vijana tuliamini kuwa wewe ndiyo rais wa mioyo ya watanzania na hao uliowafuata walikutangazia hata kufa ndiyo hao waliokuchafua kwa madai umejinyea jukwaani ila vijana na makamanda wa kweli tulijitahidi kulipigania hili kulinda utu na heshima yako ila nachoamini Chadema itasimama na wale walioanzia ndani ya chama, nenda mzee Lowassa nenda kapige push up
Sitegemei kuona viongozi wangu wa chama cha demokrasia na maendeleo wakikusemea mbovu zaidi ya kukutakia heri huko ulikorudi ila tambua CHADEMA itaendelea kusimama na kuimarika kila leo
Wambie kesi ya uchochezi na uhaini wakufutie ila Mbowe na viongozi wote wa chama hawatakatishwa tamaa na kurudi kwako
"
hili swali alijibu ndugu yetu Mwanakijiji....Wimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.
Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?
Siasa ni mchezo mbaya sana.