Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

kuunganisha nguvu kupambana na Membe labda, maana huyo 'jasusi' mambo yake sio ya mchezo inawezekana, yeye ame 'chill' tu huko Lindi wakati huku town dk. Bashiru analialia majukwaani kuwa jamaa anamhujumu JPM! ni matumaini yangu JPM hajapoteza support ya Ben na mzee wa msoga, hao wazee waki 'team-up' 2020 patawaka moto.
 
Really?

Eti Lowassa aliletwa kimkakati CDM!

Hivi alipokatwa Lowassa akawekwa Jiwe Lowassa alikua kwenye hali gani halafu uniambie alitumwa CDM kimkakati?

Mtu mzima kama wewe kua muongo muongo namna hii kishabiki hivi ni upumbavu!
wewe 2015 lowassa angegombea urais ndani ya CCM kwa sifa mbaya alizokuwa nazo CCM ingepata tabu sana pengine vurugu zingezuka inakuaje mtu mchafu namna ile anashinda urais wakati watanzania wanajua ni mchafu,kilichofanyika pale ni kuokoa CCM na maslahi yao kwani urais upo tu,kama hivi sio miaka mingi lowassa na kundi lake wanaweza ongoza nchi....

Huu ndio upambavu wangu,weka hekima yako wewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima avae hapo ni home kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nitakesha kwenye bar kwa furaha ya Lowassa kuondoka cdm. Alaaniwe Mbowe na genge lake kupokea hela ya Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais.
Mkuu mie nishaagiza libapa nalibonyeza kwa furaha, tunaitaka ile CDM yetu imara isiyoyumba... Tukitimua na yule katibu mamluki mambo yatakaa sawa ile nafasi apewe Mh Mnyika.
 
Acha ujinga wewe umewahi kufuatilia ninachoandika humu?

Ndani ya saa keshakuwa fisadi tena...

Wakuu bora tuwaache hawa wanasiasa ...! Hivi vitu tukivichukua tuu personal sie ndio tunaumia.
 
Kwani alikua ameenda wapi?
 
Leo nitakesha kwenye bar kwa furaha ya Lowassa kuondoka cdm. Alaaniwe Mbowe na genge lake kupokea hela ya Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais.
Mbowe ameurudisha upinzani kwa miaka mingi nyuma, hii laana itamwandama sana
 

Mkuu kila mtu ana theory yake!

Theory yako wewe haimaanishi ni ya kweli,na yangu haimaanishi yaweza kua kweli pia!

Huenda ikawa kweli au uongo,hapa tunaangalia kila mtu na opinion yake!

Wewe shika yako na mimi nishike yangu mkuu!

Haina noma,pamoja sana!
 
mfano na mbowe akatoka na kujitoa CHADEMA
 
hili swali alijibu ndugu yetu Mwanakijiji....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…