Mtabaki hivyo hivyo na ''mnajua,mnajua ,mnajua,siku zote mnajua hadi kaondoka mnajua ,nyie kweli vichekeshoTunajua mali za Rostam ni za Lowassa hivyo wanarudi ccm kuitafuna tena.
Na majuzi Rostam amewapa channel 10 safari ya ikulu imezaa haya
Muda utaongea!Acha porojo , usije ukamfananisha Lisu Na Lowasa hata siku moja
Sent from my Iphone using Tapatalk
Hah hah sizitaki mbichi hizi....,mtasema sana sababu za kijingaatakua kamuogopa lisu hana lolote uyo...
Unaota weweItakuwa faida kwa upinzani 100%....
Nilishapiga kelele sana hapa kuhusu Lowassa na Sumaye....
Hawa ni watu walioshiriki kila aina ya ufisadi ndani ya ccm .
Angalia sasa tamaa ya mbowe sijui na Dr slaa uso wake atauweka wapi?....
Niwakati wa Lissu kapewa chama na kumshawishi Bi Fatuma karume wagombee 2020 tuchukue nchi mapema...
Fukuzeni na Sumaye kwenye chama ungana na Zitto awe waziri mkuu baada ya uchaguzi hapo tutawapigania kwa hali na mali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu namba nyingine mkuu.risasi 34 bado anatema madini huko abroad unadhani binadamu wa kawaida huyo? Watanzania wenye uchungu na hii nchi wapo wengi tu ni platform tu hawajapata ya kuonesha uwezo wao dhidi ya mafisi wa ccm
Ndio walioufikisha upinzani hapa kwa ukigeugeu. Hawa ndio waliovunja misingi imara ya Dr. Slaa.
Wewe Lisu umemjua lini?
Tuone sasa kama slaa ataondoka ccm
Sasa kwanini mliwapokea?Fisadi mwingine huyo yeye na Sumaye yalikuwa makosa makubwa sana kuwakaribisha Chadema mafisadi hawa wawili. Hawana impact yoyote ile ndani ya Chadema.
Kuliko wale wa makinikia, kikotoo na koroshoHuyu nae kanunuliwa?Chadema kwisha ,naona keshagundua hiyo SACCOS ni ya wahuni.
Kwa walivyo wanafiki hutawaona hapa kujibu hoja yakoNiliisubiri hii Siku kwa hamu kuwaona kina maalim seifu na mbowe wakiumbuka. Lipumba roho ilimsuta aliona mbali. Hence proved prof ni prof tu
Ya bunge la EU ilishazima kitambo sembuse hii ya mabalozi!!!!!Naona tunataka kuzima ishu ya Mabalozi