Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Acheni hilo zee liondoke jamani. Lilininyima kujinafasi ndani ya Chadema asilia. Makamanda hoyeeeee tuanze ukamanda wetu maana wingu limeshaondoka na wamelipokea hukoo vibaraka wake. Chama kizima kimeenda kumpokea huku wanachekaaaaa...!
 
Itakuwa faida kwa upinzani 100%....

Nilishapiga kelele sana hapa kuhusu Lowassa na Sumaye....

Hawa ni watu walioshiriki kila aina ya ufisadi ndani ya ccm .

Angalia sasa tamaa ya mbowe sijui na Dr slaa uso wake atauweka wapi?....

Niwakati wa Lissu kapewa chama na kumshawishi Bi Fatuma karume wagombee 2020 tuchukue nchi mapema...

Fukuzeni na Sumaye kwenye chama ungana na Zitto awe waziri mkuu baada ya uchaguzi hapo tutawapigania kwa hali na mali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaota wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na iwe hivyo, Mungu awalinde hao watumishi wake wasiopiga goti kwa Baali
Lissu namba nyingine mkuu.risasi 34 bado anatema madini huko abroad unadhani binadamu wa kawaida huyo? Watanzania wenye uchungu na hii nchi wapo wengi tu ni platform tu hawajapata ya kuonesha uwezo wao dhidi ya mafisi wa ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani CCM impige risasi 38 aka survive halafu tena arudi ccm.unadhani atakuwa so mzima kichwani
 
EL.JPG
 
Back
Top Bottom