Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Mzee alishapima upepo akaona 2020 ndani ya ukawa hataweza kupeperusha bendera ya urais, hizi zinaitwa hesabu za haraka haraka
 
Uyu mzee mnamwonea kwanza Mkwe wake anayemuoa binti yake alifungwa bila dhamana unafikiri uyu mzee anaelewekaje kwenye familia? Lakini pia kazi ilomleta CHADEMA imekwisha alikuja na watu kaondoka mwenyewe.
Ninalowaasa wapinzani chondechonde msimtukane acha ccm wale matapishi yao maana walimtukana vya kutosha.
Nadhani Mh. JPM ameshtukia kuhusu possibility ya Lowassa kuungana na Membe upinzani ingekuwa hatariiiiiiii sana kwa CCM, hivyo akamuwahi kumrudisha home kw gharama yoyote ile..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee Kasoma Alama Za Nyakati Kaona Hana Exposure Tena Ikabidi Arudi Kujilia Zake Pensheni Zake Huko Alikotoka
 
Maalim kichwa ngumu, Juma duni MTU makini sana lkn nae kaingizwa cha kike
 
Hapana. Lowasa alipata support wakati wa uchaguzi tu. Baada ya hapo, he is a liability. Alikuwa anavumiliwa tu ndani ya chama. Na yeye anajua hivyo.
Hiyo inaitwa sizitaki mbichi hizi , afadhali Mh Lowassa umerudi CCM umeachana na lichama lisilo na shukrani na limejaa mitusi midomoni
 
Yule maza hawezi kukubali arudi kupigwa mabomu tena, sasa hivi ni mwendo wa vyuku tu....bandika bandua - Hayo maji ya washawasha nani anayataka tena!!
 
Wako wapi wale waliokuja wakimkebehi Dr.Slaa na wale want rais wa moyoni mwao chadema Keisha kazi hamuaminiki Tena endeleeni kujipendekeza kwa wazungu mtaingia ikulu

Taarifa mbaya sana kwa Dr slaa hizi sijui atahama ccm,ahamie Act alisema hawezi kaa chama kimoja na Lowasa
 

Huyu mamvi nilimtetea sana hadi nikapigwa ngumi nikidhani syo mwizi, leo ndo nimeamini kuwa lowasa ni mwizi mkubwa na amerudi kuratibu wizi wa fedha na kura.
Is a bull shit.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…