Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Huu ni muda kwa vyama vya upinzani kuonyesha ukomavu wa kisiasa, pia ni wakati muwafaka kuonyesha demokrasia mnayoipigania.

Maendeleo hayana chama

Leo babangu kaona chozi langu😂😂later akasema huyo ndo ashajimaliza kisiasa nijajihis nimekiwa mwepesi..nyoko sana..bora aende
 
Nilikuwa nikijiuliza Lowassa yuko Chadema ila kimuonekano kama yupo CCM yaani yupo kimya vyama vya upinzani visiludie tena kosa kama hili walitumia nguvu kubwa kumsafisha.
Kweli kabisa katika jambo walilokosea sana ni hilo na ni bora amerudi, tofauti na uchaguzi mkuu sijaona jipya alokuwa nalo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu mbariki Lowassa.
Cc: Erythrocyte
 
Taarifa mbaya sana kwa Dr slaa hizi sijui atahama ccm,ahamie Act alisema hawezi kaa chama kimoja na Lowasa
Sio kweli Dr. Slaa alitaka lowassa aje awe Kama mwanachama was kawaida Ila mkakimbilia kumtukana Leo yametimia
 
Hili gamba fisadi linajali tumbo lake tu na si maslahi ya Watanzania.

 
Hili pigo la leo pale ufipa ni kama bomu la nyuklia vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…