Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Hoja Za Prof Lipumba kuhusu Lowassa sasa zimeeleweka

Ma Prot sio watu wa mchezo mchezo
 
You nailed. Mkwe soon atarudi. Hata ningekua ni mimi
 
Ni kweli japokuwa uraisi watashinda
 
Kwa heri Ruge karibu Lowasa, liko wazi Lowasa angerudi Ccm thus alianza kumtanguliza Karanga ili jimbo LA Monduli lirudi ccm,wanaweza wakawa wamerudi kwa jiwe ili wamuangamize kumbuka hawa mapacha watatu ni watoto wa mjini wako kitambo hawajaja mjini wakubwa,ngoja tuchek sarakasi zitakavopigwa uenda jiwe akaliwa kichwa akiingia 18 ya mapacha hawa.Muda ni mwalimu
 
Mbona hatuzioni Twitter za kina Zitto na Lissu. Au tuungojee waraka mrefu wa Lissu akianza na historia ya kumsafisha Slaa, na kumkebehi Lowasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hatujaziona Twitter za harakaharak za kumsema km jabali la mafisadi?, vipi kaponaa kujinyea mlikomdhalilisha 2015?, mkumbushee alaa sasa choo ipo meza anapolia chakula. Je ataisikia au?
 
Wew
ni sawa na Lowassa mnapenda kuwa penye mteremko, ndio maana watz wataiacha ccm madarakani mpaka kizazi chenye akili kizaliwe.
 
"Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu " Lowassa ameondoka chadema kama Alivyoondoka kalanga
sasa ni wakati wa kufukuzwa kwenye majengo yenu yote mliyopanga maana mlipa kodi amechoka,kaamua kurudi nyumbani
 
Jidanganye
 
Huo ndio mkakati unaoenda kufanywa now na Team Lowassa as perfect as Lowassa anapambana kuweka heshima yake pale pale juu.

Aidha:

1. Njia ya diplomasia itumike Magufuli aishie awamu moja tu, ama
2. Lowassa wakishirikiana vizuri na Rostam Aziz wakafanya wafanyalo CCM imteme Magufuli 2020.

Ukweli:

Lowassa anawajua na ana mashabiki zaidi wa CCM kuliko Magufuli. Pia, Magufuli kawaumiza zaidi wana CCM kuliko hata wapinzani.

Kama, Lowassa akashindwa kupenya 2020, basi kwa ushirikiano na The King Maker #Rostam Aziz wanaweza kumweka mtu wao ama 2020 au 2025 na kuendelea.

Nimemaliza.

Siasa ni ujasiriamali kama ilivyo ujasiriamali mwingine.

The battle is on, if you can't fight them join them and fight within them!
 
Habari mkuu...

Mwendo wa codes tuu..[emoji3][emoji3][emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…