Msomi hewa
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 768
- 1,066
You are wrong, tumeichoka ccm. Alikuja akakikuta chama. Ameondoka chama kipo. Tume huru ndo isueNdio kilichobaki hicho kujipa moyo hivi unafikiri zile kura milioni 6 walizopata chadema 2015 zilikuja kwa lisu na kina mnyika hakika ule kwa asilimia kubwa ni mtaji wa lowasa kiukweli hili ni pigo kwa chadema kilichobaki kujikaza tu kwa maneno kama yako.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hahahaa....... Mbona wewe unamtegemea Sugu!!"Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu " Lowassa ameondoka chadema kama Alivyoondoka kalanga
Bolamadela kuliko JumaBaada ya kwenda na kurudi Ikulu ...na kupewa masharti magumu naona leo mzee kaamua"kusurrender"...
Kwa iyo PhD ya korosho na kupotea kwa Ben sa8 hukuelewa?? Huna elimu weweMbona dr slaa baada kuona hayo na kuamua kuachana na siasa mlimtukana na kusema kanunuliwa na ndio maana lowasa baada kuona viongozi wa chadema hawajielewi akasisitiza sana elimu elimu elimu mkadhani anawambia ccm kumbe lilikuwa dongo kwa mbowe
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hahahahahaa...Hili gamba fisadi linajali tumbo lake tu na si maslahi ya Watanzania.
Ule msemo wa " everything in politics is being engineered" utajidhihirisha very soon.Hahahaha. Wanaofuatilia siasa za TZ kwa umakini sana wanaelewa huu uzi una uzito gani
Lowassa karudi CCM kabla ya Lowassa Mwenyewe kujua Kuwa karudi CCM
Lowassa karudi CCM Siku Rostam alipokaribishwa Chai Ikulu Na Mzee Baba
Nguvu ya Rais Magufuli Kwenye Uchaguzi wa 2020 panapo uhai haimithiliki!
Kushoto Jk, kulia Rostam, Pemben Ngoyai
Hahahahaha
Mkuu naona unachanganya mambo hapa ngoja nikuacheKufanya kazi serekalini haina maana kuwa wewe ni ccm hata wapinzani wamo serekalini na hawajaacha kazi
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unakumbuka ulimjibu nini Musukuma?
Huyo Slaa ana msimamo gani hadi akaenda kuungana na wale aliokuwa akiwatuhumu kuhusika kwa maovu yote ya nchi hii?Ukaungane na watu wasio na msimamo? Si unaona leo wanavyomtukana Lowasa? Chadema wanaishi kadri upepo unavyovuma!
Sent using Jamii Forums mobile app