Utasubiri sana. Ccm ile ile.Ile inaitwa silent HANDSHAKE.Kama Raila na KenyattaKing maker RA ndani ya nyumba, kuna kitu kizito bila shaka kinaendelea woga umetanda lazima wahuni watafutwe wapambane na mhuni mwenzao maana hasomeki na inaonyesha kama anacheza karata zake vizuri hivi kupitia vijana wake.. Ngoja tuone mchezo sasa..
Tunaondolewa kutoka kwenye mstari.
Lowassa ameingia chadema ikiwa na network nchi nzima , hakuwahi kujenga chadema , na anaondoka akiiacha Chadema ikiwa imara sana , Chadema sasa ina network hadi Ulaya na Americasasa ni wakati wa kufukuzwa kwenye majengo yenu yote mliyopanga maana mlipa kodi amechoka,kaamua kurudi nyumbani
Yajayo mazuri kuliko Jana,Tunatambua mpera mpera wa EL 2015 vs SISIEMU,hatuwezi beza mchango wake!Yajayo yanafurahisha. Ruge amekwenda na kuacha pengo katika fani ya sanaa ya muziki. Leo Mwili wake umewasili nchini kutokea Afrika Kusini. Ujio wa mwili wa Ruge umekumbana na tukio la "Ulipo Tupo..." akikimbia kambi.
Msiba wa Ruge umesikitisha...., Lowasa kurudi CCM ni pigo takatifu kwa upinzani. Je, upi sasa ni mwelekeo wa CHADEMA bila Lowasa?
Msiba, msiba, msiba, msiba!
Kutokana na umri mkubwa wa chama cha CCM, watu wengi wenye kasoro wamejiingiza kwenye chama hiki. Sasa kimekuwa kama dodoki ambalo linabeba vitu visafi na vichafu. Sasa tumekuwa na watu wa ajabu sana ndani ya chamaWatu wa Mungu habari zenu..
Tetesi za ndani za CDM ni maumivu makali baada ya Mh Lowassa kurudi nyumbani kumenoga..!! Yaani ni sawa kuvunjika kwa uti wa mgongo, haiwezi tena kujitutumua hata kidogo kisiasa..!! Poleeeeni..!
CCM haishindwi chochote huwa nasema hivi kila mara.. Sasa mmeona na kudhibitisha..! Chezea kitu kingine sio CCM..!! CHADEMA leo bado wako ktk maruweruwe hawajui nini kimetokea, hawaamini bado..!! Siasa mchezo mchafu sana..!! [emoji12][emoji23][emoji23]
Dunia inajipanga kuzungumzia uhuru wa vyombo vya habari Tanzania
Hajawahi kurudisha kadi ya ccmKwani Slaa lini alijiunga na CCM?