Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Ila hawa jamaa bhana!

Walianza kwenda magogoni mmoja mmoja ....!

Leo wote 3 wametokea mlango wa mmoja Lumumba...
 
Niliwadharau saaana chadema walipomkaribisha huyu jasusi kikongwe kwenye chama chao na bad enough wakampa nafasi ya kugombea uraisi

Hakika pengo la Dr SLAA halitozibika

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Upinzani hakika tumeshikwa pabaya bora kukimbia mapema ngoja nianze kujifunza salamu za CCM na Kesho nikashone shati la kijani
20190301_182544.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
King maker RA ndani ya nyumba, kuna kitu kizito bila shaka kinaendelea woga umetanda lazima wahuni watafutwe wapambane na mhuni mwenzao maana hasomeki na inaonyesha kama anacheza karata zake vizuri hivi kupitia vijana wake.. Ngoja tuone mchezo sasa..
Utasubiri sana. Ccm ile ile.Ile inaitwa silent HANDSHAKE.Kama Raila na Kenyatta
 
Yajayo yanafurahisha. Ruge amekwenda na kuacha pengo katika fani ya sanaa ya muziki. Leo Mwili wake umewasili nchini kutokea Afrika Kusini. Ujio wa mwili wa Ruge umekumbana na tukio la "Ulipo Tupo..." akikimbia kambi.

Msiba wa Ruge umesikitisha...., Lowasa kurudi CCM ni pigo takatifu kwa upinzani. Je, upi sasa ni mwelekeo wa CHADEMA bila Lowasa?

Msiba, msiba, msiba, msiba!
Yajayo mazuri kuliko Jana,Tunatambua mpera mpera wa EL 2015 vs SISIEMU,hatuwezi beza mchango wake!
 
Ameamua kutokana na matusi aliyoyaambulia pale alipouliza pesa za ruzuku wakati jamaa yake yuko gerezani na kutukanwa maneno machafu aisee !! kumbuka maulizo hayohayo ndo yaliyo mfukuza zitto na hata chachawangwe mpaka akaambulia mauti aisee hata mie naacha UCHADEMA
 
Watu wa Mungu habari zenu..

Tetesi za ndani za CDM ni maumivu makali baada ya Mh Lowassa kurudi nyumbani kumenoga..!! Yaani ni sawa kuvunjika kwa uti wa mgongo, haiwezi tena kujitutumua hata kidogo kisiasa..!! Poleeeeni..!

CCM haishindwi chochote huwa nasema hivi kila mara.. Sasa mmeona na kudhibitisha..! Chezea kitu kingine sio CCM..!! CHADEMA leo bado wako ktk maruweruwe hawajui nini kimetokea, hawaamini bado..!! Siasa mchezo mchafu sana..!! [emoji12][emoji23][emoji23]
Kutokana na umri mkubwa wa chama cha CCM, watu wengi wenye kasoro wamejiingiza kwenye chama hiki. Sasa kimekuwa kama dodoki ambalo linabeba vitu visafi na vichafu. Sasa tumekuwa na watu wa ajabu sana ndani ya chama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom