Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Duh aisee eti jamaa naye anajiita jasusi, ha ha ha.Chahali mzee wa kubahatisha bahatisha, ukiona mtu amenunua sukari, majani ya chai na maji unasema unadhani leo atapika chai halafu unaita hiyo ndio intelijesia.
Make was slaa angesumbua sana.bora alipigwa chiniPengine kete ambayo cdm waliicheza vibaya ni kumchukua huyo bwana, na kuacha mbachao (mzee wa karatu na mzee wa tabora) Kwa msara upitao (mzee wa monduli).
Dedication - Hold on by luck Dube.
Hayo maneno mngeyasema pale mlipokua mnamnadi kugombea urais , mkampa kura milioni sita , mngesema" tumemleta fisadi kugombea uraisi " halafu saizi uje ukazie hapa hayo maneno yako , vinginevyo acha uzushi.Alikuwa fisadi na hatokaa abadilike, na kurudi kwake ccm ni kwakuwa aliona hayuko sehemu sahihi ambapo mafisadi wanatembea vifua mbele.
mcha mago hanywele hwenda akawia papo!!
Jamaa amesharudi full stop.
Hapa mapacha walishindwa kumsaidia mwenzao Lowassa kupata urasi ije kua leo?
No way.
Wapo washika pembe wakina BAK , tindo ns wengineo mbona hawakuyasema , leo kabwaga manyanga ndio tunasikia filimbi za akina BAK , kweeli nimecheka sanaaa😂😂😂😋Sisi tumesema sna humu, hasa kwenye nyuzi za Paschal Mayalla, Dr. Slaa alikuwa sahihi japo alibezwa lkn kwa hapa upinzani walikosea japo kuteleza sio kuanguka basi waanze upya na Wanaye mtu wa kuwavusha.
Hujui shost kuwa Lowasa ni mwana CCM kuanzia March 1, 2019We Sky Eclat haya ya kweli au Asprini kakudanganya. Imetokea saa ngapi au niliishalala?
Yote sawa mimi naona watafta fursa siyo masikini peke yao hata matajiri wanaogopa mali zao zisitaifishwe. MO anaweza kuwa ni shahidi mzuri ma Manji. Nyerere alikuwa na kili kufutilia mbali vyama. Turudi tulikokuwa ili wapate wanachama hasa siyo wachumia tumbo.
Aende, tunamshukuru kwa kututengenezea upepo wa kimbunga ulio wazoa akina mwanry, anna kilango, Arfi wa mpanda, madabida, Idd Azan, yule mama wa kibamba aliyewahi kuwa naibu waziri, zungu aliponea chupuchupu kupeperushwa na huo upepo
View attachment 1035662
Hawa walioko kwenye picha ni watu makini sana katika siasa za Tanzania. Picha hii inaonekana wakati tumebakiza takriban mwaka mmoja na nusu kuingia kwenye uchaguzi mkuu.
Jana balozi wa Uingereza alitoa neno kuhusu kufungiwa kwa gazeti la The Citizen. Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza aliongezea kuwa katika mkutano wa waandishi wa habari utakaofanyika Canada wataliongelea swala la uhuru wa habari Tanzania.
Wakati huohuo Tundu Lissu ameieleza duniawkuhusu shambulio lake la kupigwa risasi 38 akiwa katika mapumziko ya mchana bungeni. Alieleza piawjukosekana kwa ulinzi wakati wa shambulio, kunyimwa stahiki yake ya matibabu, na ku pia kusimamishiwa mshahara wake wa ubunge. Na aliekeza waziwazi nia yake ya kugombea u raisi 2020 kwa tiketi ya CHADEMA.
Kule kusini kwa yakiyotokea baada ya sakata la korosho. CCM inahitaji nguvu ya ziada kupata kura.
Ninavyoona rais amaeamua kuunganisha hekima za watu makini katika kukabiliana na changamoto za sasa kuelekea uchaguzi 2020.
Ujinga wa vijana wa cdm ndo huuSasa nawahurumia wale ambao chama kwao ndio maisha wakampokea mzee wakapambana kwenye uchaguzi vurugu zile ukute kuna waliopoteza viungo vya mwili au kuna waliofariki,familia zinateseka na mzee huyo karudi zake chama cha kijani. Ndio maana mimi na siasa mbali mbali nitapiga kura sababu tu ni haki yangu ila si mshabiki wa siasa kabisaaa
Best hoja yangu ni kuwa, Jiwe alijinasibu kuwa aliingia Ikulu pasi msaada wa mtu, akimaanisha hakukuwa na mkono wa “The King Maker” katika ushindi wake.Kikundi cha watu wachache cha majizi, mafisadi na wahuni ambacho kimetuingizia Watanzania hasara kubwa sana ya trillions kuanzia 1985 hadi hii leo na kusababisha nchi kubaki nyuma kimaendeleo kwenye mambo mengi muhimu ikiwemo elimu, afya, usafiri, kilimo, ajira, biashara n.k.
Sarafu ya Tanzania imeimarika zaidi wakati huu kuliko kipindi chochote cha historia ya nchi hii.Best hoja yangu ni kuwa, Jiwe alijinasibu kuwa aliingia Ikulu pasi msaada wa mtu, akimaanisha hakukuwa na mkono wa “The King Maker” katika ushindi wake.
Sasa huu ukaribu wake nae sasa hivi ni kuwa anatafuta nguvu ya ziada kutoka na na hali ya siasa za Tanzania nje na ndani ya nchi?
Best hoja yangu ni kuwa, Jiwe alijinasibu kuwa aliingia Ikulu pasi msaada wa mtu, akimaanisha hakukuwa na mkono wa “The King Maker” katika ushindi wake.
Sasa huu ukaribu wake nae sasa hivi ni kuwa anatafuta nguvu ya ziada kutoka na na hali ya siasa za Tanzania nje na ndani ya nchi?
Today 1US$ = 2,344.95 TshsSarafu ya Tanzania imeimarika zaidi wakati huu kuliko kipindi chochote cha historia ya nchi hii.
Magufuli amefanya kazi kubwa sana kurekebisha mambo mengi ya ovyooooo
amehakikisha watoto wanasoma bure
maji safi na salama yanapatikana kila mahali
hospitali dawa zimejaa
mikopo inapatikana kwa riba nafuu.
Kwa hayo yote kwa nin wakina lowasa wasilambe miguu yake ?
Today 1US$ = 2,344.95 Tshs
Mimi nilimkataa Lowassa toka siku Chadema walipompa cheo kikubwa kuliko wenye chamaKikundi cha watu wachache cha majizi, mafisadi na wahuni ambacho kimetuingizia Watanzania hasara kubwa sana ya trillions kuanzia 1985 hadi hii leo na kusababisha nchi kubaki nyuma kimaendeleo kwenye mambo mengi muhimu ikiwemo elimu, afya, usafiri, kilimo, ajira, biashara n.k.
Best lakini Lowasa alituaga? Alipoingia tulimkaribisha sasa dharau gani hii ametufanyia.BoT is trying its level best to stabilize the shilling but it is very costly to taxpayers.