Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ngoja nisubiri ukweli wa hii habari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mission accomplished back homeWaziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
View attachment 1035375View attachment 1035381
Kweli siasa ni mchezo wa maigizoWaziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
View attachment 1035375View attachment 1035381
Niliwasema hawa watu baadhi ya wafuasi wasiojua siasa wakanitukana lakini ukweli ni kwamba Lowassa na Sumaye hawajawai kuwa wapinzani.
Sent using Jamii Forums mobile app
shoga nimestuka..najiskia kuumwa kbs!yaa bira maumiv ya uchunguAisee bora niliachana na mambo ya kufuatilia siasa ha ha ha khaah
Sent using Jamii Forums mobile app
Vip Mzee Mwanakijiji ? umesahu ana uzi wake humu kuwa Lowasa ni fisadi yes i said it?Sasa nadhani rafiki yangu nayemuheshimu Dr Slaa atarudi CHADEMA,maana asiyempenda kaja.
Mkuu umeongea ukweli mtupuuLowassa angetumika 2020 kuwatuliza upinzani endapo wangeibiwa kura.
Bora arudi upinzani ubaki na watu wenye maamuzi magumu.ndio wataweza kwenda jino kwa jino na ccm.
Mzee pumzi ilikata ,japo anaushawishi lakini ameugharimu sana upinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana, maana utaendelea kutawaliwa nao.Aisee bora niliachana na mambo ya kufuatilia siasa ha ha ha khaah
Sent using Jamii Forums mobile app